BONGO FOCUS

BONGO FOCUS FOLLOW US FOR EXCLUSIVE
YOUTUBE: SAUTI PLUS MEDIA
(3)

20/08/2026

Katibu wa CHADEMA Jimbo la Deni Mjini, Kombo Mohammed Maturu, ameitaka Chadema kutoa majibu kuhusu tuhuma za ubadhilifu wa fedha zinazomkabili Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, John Heche, akisisitiza kuwa chama kinapaswa kuzingatia misingi ya uwazi na uwajibikaji.

Kombo amesema tayari alishawahi kutoa ushauri kwa chama kuhusu suala hilo, lakini hadi sasa hakuna majibu ya kuridhisha yaliyotolewa, hali ambayo amesema inazidi kuibua maswali miongoni mwa wanachama. Ameitaka Kamati Kuu ya chama kukutana na kutoa majibu rasmi kuhusu tuhuma hizo.

Aidha, amesema kikao cha wenyeviti wa mikoa kilichofanyika hivi karibuni hakikufikia idadi iliyotarajiwa ya viongozi 30, kwani walihudhuria wenyeviti 15 pekee. Kwa mujibu wake, baadhi ya viongozi walishindwa kushiriki kutokana na kutoridhishwa na namna tuhuma zinazomkabili Heche zinavyoshughulikiwa.

Kombo amesisitiza kuwa CHADEMA ni taasisi na si mali ya mtu mmoja, hivyo viongozi wanapaswa kuwaj

19/08/2026
19/08/2026

Mtu mmoja ambae bado hajafahamika amejikuta matatani baada ya kuk**atwa akijaribu kupora simu eneo la Africana Mbezi beach alipokuwa na wenzie ambao inasemekana walitoroka na na kumuacha pekeake na kujikuta mikononi mwa wananchi wenye Hasira kali.

19/08/2026

Kocha wa timu ya taifa ya Misri, Hossam Hassan, ameripotiwa kulazwa hospitalini baada ya wake zake wawili kuhusika katika ugomvi wa kimwili kwenye hoteli moja iliyopo Pwani ya Kaskazini mwa Misri.

Ripoti zinasema kuwa mzozo huo uliongezeka kabla ya usalama na polisi kuingilia kati.

Hassan ameripotiwa kuathiriwa na tukio hilo, ingawa ripoti zinazopingana zimeibuka kuhusu k**a kweli alipata dharura ya matibabu.

Wakili wake ameripotiwa kupinga madai kwamba kocha huyo alipata shida kubwa ya kiafya.

Address


Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when BONGO FOCUS posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

  • Want your business to be the top-listed Media Company?

Share