08/02/2026
๐ฅ kutoka inbox ๐ฅ
*MKASA MZITO, MCHUNGAJI AMEMPA MIMBA MKE WA MTU*
Naumia sana mwenzenu, mwanamke wangu kazaa na mchungaji wa kanisani anaposali nahisi dunia imefika mwisho naombeni mnisaidie
2022 nilikutana na huyu binti nilienda kununua nguo za mama kariakoo, ndie alienipeleka maduka ya nguo, alikuwa winga kipindi hicho, Bro nimepambana kubadilisha maisha yake mpaka kufikia kumuoa na kumfungulia duka la nguo mtaan kwetu, Kuna kipindi alikuwa hakai dukan akawa anaomba nimtaftie dada wa kumsaidia, akkanza kwenda kanisani sana, nikajua basi huyu si ndo wife sasa Akawa hakai dukani na kuwa mtu wa kwenda kanisani tu, na huko ndipo alipata mimba ya huyo mchungaj, kaka najilaumid kwa kufanya maamuzi ya kumuoa nilidhan kwa upambanaji wake angekuwa msaada mkubwa kwangu Kumbe nilikuwa najidanganya, yani nimeishia kupata majeraha ya moyo na muda huu, juzi nilitaman kufanya jambo baya juu yake lakin nashukuru Mungu amenisadia Hivi Nikimtimua nitakuwa na dhambi? maana mtoto mwenyew huyo ana mwezi tu sasa ndo nmejuua kuwa ni mtoto wa huyo mchungaji baada ya kutengeneza simu yake iliyokuwa ni mbovu na kuona mesej kutoka kwenye ile simu.. Nimemgeea na mama nikamwambia ukwel,mama yangu ameshindwa kutoa ushauri wa kueleweka kwa sababu huyu mke wng ni rafik sana wa mama yangu Kaka nashindwa kufanya kazi kabisa tangu week iliyopita hasa nikikumbuka mateso ya kulea mimba na siku ya mke wng kujifungua Nilihesha hospital kaka sikuwa na amani ile siku, nilikuwa namuuwa za mke wang ma mtoto wangu, nilimuombea usiku kucha ajifungue salama
G mlay@ # #
story book # #
Naomba mnifollow