πŒπ†π”π’π” π˜π„π“π”

  • Home
  • Tanzania
  • Geita
  • πŒπ†π”π’π” π˜π„π“π”

πŒπ†π”π’π” π˜π„π“π” Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from πŒπ†π”π’π” π˜π„π“π”, News & Media Website, Geita, Geita.

group hili ni la ki-jamii....
na kwa kuwa wanajamii wanajihusisha katika mambo mabimbali k**a uchumi, siasa, michezo, dini, nk

kwahiyo group letu group letu halina mipaka isipokua kuepuka matumizi ya lugha za matusi, fedheha udharilishaji nakadharika

Ngoja niweke sawa hoja ili kuepuka mgongano na watu wanaochelewa Sana kuelewa, japokua nitatumia lugha isioeleweka Kwa w...
23/03/2025

Ngoja niweke sawa hoja ili kuepuka mgongano na watu wanaochelewa Sana kuelewa,

japokua nitatumia lugha isioeleweka Kwa wepesi ilikuendelea kudumisha tabaka, lakini isipokua TU Kwa atakae ruhusu kutafakari Kwa kutumia ufahamu yeye atapokea uamsho Moja Kwa Moja.........

nianze na historia kidogo......
kabla ya hiki kinachoitwa "UWEKEZAJI WA KIGENI"

Bara la alkeblan(afrika) lilikuwa likivunwa pasina malipo yoyote kwanzia madini, aridhi, mazao, wanyama, mpaka binadamu..

vyote hivi vilipelekwa UGENINI wanakotoka wanaoitwa WAWEKEZAJI Leo, Ili kuijenga miundombinu ya maeneo yao, (nchi/mabara wanakotokea)
na hivyo kuwafanya wako kuwa na nguvu zaidi katika maeneo tofauti tofauti k**a kiuchimi, kisiasa, kijeshi nakadharika nakadharika Leo......

Kwa ufupi Sana...
baada ya wimbi (miaka kadhaa) la nchi nyingi kujipatia uhuru kutoka Kwa wanyonyaji /watawala wao (wazungu) wale waliokuwa wakichukua Kila kitu walichotaka bure kbisa.....

ndipo kukaboreshwa sela mbalimbali kupitia umoja wa mataifa zenye lengo la kuruhusu MGENI kuwekeza kokote atakako ikiwa atazingatia mashariti 1 2 3..
watakayo kubaliana

Sasa hapa ndipo neno MUWEKEZAJI WA KIGENI linazaliwa pamoja na UKORONI MAMBO LEO.....

kwamba ni Mtu yule yule aliekutumikisha Zamani katika kuvuna asilimali ya aridhi yako bila malipo na mateso sana ili akajenge kwake...

Leo anakuja vile vile lakini Kwa propaganda...
hatumii tuteni(mabavu)
anatumia lugha k**a "technical support"

lakini sio kwamba anakusaidia kinyume chake utamsaidia kuvuna asilimali ya aridhi ya nyumbani kwako mwenyewe na wewe kuachiwa asilimia siyofika nusu ya mlichozalisha.....
Kwa kigezo cha ametoa "MITAMBO NA UJUZI"
mmhh mmh mmh anasahau aliomba tumpokee k**a mtoa msaada,

"wale wafanyakazi wasio na ujuzi aliokuwa akiwak**ata Zamani bure(watumwa)
Leo anakuja vile vile ila kwa mazungumzo wa malipo kiasi kwajina la "anatoa Ajira"

Sasa Mimi Sina tatizo na hako ka utaratibu....

shida yangu ni kwamba
KWANINI HAYA TUNARUHUSU YANAFANYIKA SASA
.......zama ambazo tekonolojia imekuwa, maarifa yameongezeka, Kila Kitu kipo wazi....

kwanini hatubebi majukumu yetu wenyewe tunamuachia mgeni afanye kwaniaba yetu na sisi tupo

Mpaka hapa Mgusu Iko salama..    Bila uchawi wala Rushwa...Mgusu ni Kijiji Cha wachimbaji wadogo na sio ukulima   kuweka...
12/02/2025

Mpaka hapa Mgusu Iko salama..
Bila uchawi wala Rushwa...
Mgusu ni Kijiji Cha wachimbaji wadogo na sio ukulima
kuweka mwekezaji kwenye maeneo ya maduara yetu
ni kuhujumu
haki za raia wasio na la kufanya
kwenye aridhi Yao,

HATUJAKUBALIANA NA HILO
na TUMESHINDA TAYARI

mchakato kuelekea uk**atishaji wa dhahabu...hapa ni jinsia  zote wanaweza kufanya, elimu ya darasani sio kipaumbele.. ng...
20/09/2024

mchakato kuelekea uk**atishaji wa dhahabu...
hapa ni jinsia zote wanaweza kufanya,
elimu ya darasani sio kipaumbele..
nguvu kiasi na uzoefu kidogo ndio muhimu zaidi

K**a mkulima anavyomiliki shamba, mashimo  haya nayo hupewa thamani vile vile
20/09/2024

K**a mkulima anavyomiliki shamba,
mashimo haya nayo hupewa thamani vile vile

picha namba moja ni mahari ambako wawekezaji wanaishi, na picha namba mbili ni mahari ambako kunachimbwa madini(kuwekezw...
19/09/2024

picha namba moja ni mahari ambako wawekezaji wanaishi,
na picha namba mbili ni mahari ambako kunachimbwa madini(kuwekezwa/mawekezo)

Haijalishi uko na rasilimali nyingi kiasi gani kukusaidia kufika kilele Cha mafanikio Yako,lakini usipofahamu kwa ufasah...
18/09/2024

Haijalishi uko na rasilimali nyingi kiasi gani kukusaidia kufika kilele Cha mafanikio Yako,
lakini usipofahamu kwa ufasaha namna ya kuzitumia kusababisha matokeo chanya, mara zote rasilimali hizo zimegeuka kuwa kikwazo Cha kuifikia hatua inayofuata kutoka hapo ulipo.....

Ni sawa kabisa na wakaaji wa kata ya MGUSU, mbali na kuwa walifanikiwa kupewa hati ya kuishi katikati ya milima yenye dhahabu lakini bado jamii hiyo ni MASIKINI sana...
huku wakati wote wakimtegemea MZUNGU kupitia viongozi wao kuja kufanya mapinduzi ya kiuvunaji wa dhabahu Ili angarau wapate Ajira(kumtumikia bwana/utumwa) k**a sehemu ya kunufaika na asilimali Yao...

Hapo nadhani tatizo ni lile lile k**a ilivopangwa,
kwamba "penye miti mingi pakose wajenzi" hauwezi kutajirika kwa kulipwa mshahara labda uwe MWIZIi, tunaweza kufanya uwekezaji kwenye aridhi yetu wenyewe na tukatajirika k**a jamii, kwa maana unatajirika kutokana na matokeo ya ulipowekeza...

nataka kusema Nini Sasa

MTU akifanya mradi Wa uwekezaji kwako yeye ndiye mnufaika namba moja wa huo mradi, yaani alikuona wewe kuwa shamba Bora usiyejitambua, kwaiyo akatamani kula mavuno Yako, Sasa kwa sababu haujitambui yeye anaitumia hiyo fursa kula vyako kwa kipindi choootee mpaka utakapo jitambua, au kuamka usingizini uliko lala...

Sasa kujitambua au kuamka usingizini uliko lala maana yake ni nini...
nikuanza kugundua kuwa kumbe huhitaji chochote kutoka kokote Ili kuzitumia rasilimali zinazo kuzunguka, isipokuwa kuitumia akili yako vyema huku ikijiondolea mipaka katika uthubutu..

k**a haujaelewa rudia kusoma

Kuna waafrika wengi wajinga wanajuaga kabla ya ukoloni waafrika tulikuwa tunaishi k**a wanyama Tena porini...   kwaiyo w...
17/09/2024

Kuna waafrika wengi wajinga wanajuaga kabla ya ukoloni waafrika tulikuwa tunaishi k**a wanyama Tena porini...
kwaiyo wanzungu walipokuwa wakitembea tembea maeneo ya dunia ndipo wakakutana na jamii za watu weusi zikiishi misituni, wakiwa hawajui ustaarabu ni Kitu Gani, na hii ndio sababu maeneo mengi nyeti ya kiutalii katika historia ya afrika Mzungu ndiye aliyagundua/vumbua🀣🀣🀣🀣

wakati ukweli ni kuwa kabla ya ustaarabu uliopo Sasa WA watu weupe...
Afrika imekuwa na himaya muda mrefu zilizokuwa zimestaarabika...
ukarimu wetu uliopelekea uvamizi ndio sababu pekee ya historia yetu kufichwa,
na tokea hapo hatujawahi kujitawala tena kimfumo, kiakili na kiroho....

na katika maeneo hayo ndipo utumwa wetu ulipo mpaka sasa na Mzungu hataki kabisa tuwe huru katika hayo...
maana anajua "siku mtakapokula tunda hakika mtafanana na wao"
that's why "Ili kuwa msomi mbobevu ni muhimu kusomea nje"

kabla Mtu Mweupe  hajakusudia kumpatia Mtu mweusi uhuru wa bendela yake kupepea katika aridhi yake, alihakikisha ameweza...
17/09/2024

kabla Mtu Mweupe hajakusudia kumpatia Mtu mweusi uhuru wa bendela yake kupepea katika aridhi yake, alihakikisha ameweza kujifanya malaika wa Nuru katikati ya bara lenye kiza....
mbali na hapo aliweza kutengeneza taasisi maalumu ambako kivyovyote angeshughulikia kikamilifu kuua ufahamu wa mtu mweusi ili kusababisha kumwekea mipaka katika kutafakari....
akaficha ukweli kuhusu KUISHI, akafanya hata msomi asome vipi asiweze kuitumia akili yake ipasavyo..

Sasa nataka kusema Nini...
Zamani nilikuwa zadhania jamii masikini linakuwa hivo kwa sababu za asili,
lakini ukweli ni kuwa viongozi karibia wengi weusi hawatumii AKILI/UFAHAMU wao wa asili kupelekea mabadiliko katika jamii zao, ndio maana ni rahisi kuuana...
KUPIGANA WAO KWA WAO KWAAJIRI YA BEBERU

Utumwa ambao ulipatiwa uhuru wake ni ule utumwa wa mwili baada ya kumaliza kuijenga miji ya Mtu mweupe....
lakini ROHO na AKILI bado zimefungwa minyororo katikati ya shimo lenye kiza kinene, kiasi mwenye kushikilia mnyororo pekee ndio huamua uelekeo Ili kijitajirisha...

04/06/2024
.........picha inaleta maana harisiπŸ™ˆ Sehemu kubwa barani afrika umasikini umekua mtindo wa maisha...... ukiachilia mbali...
26/03/2024

.........picha inaleta maana harisiπŸ™ˆ

Sehemu kubwa barani afrika umasikini umekua mtindo wa maisha......
ukiachilia mbali maarifa duni waliyo nayo, wao wenyewe hawataki kutia juhudi binafsi katika kuchunguza, kubuni mambo mbalimbali yanayoweza kubadilisha maisha yao na kuwaletea matokeo wanayoyatamani,

Na hii ni kutokana na mipaka ya kufikilia walio wekewa na wale walio wavamia zaman na kuwatawala ikiwa ni pamoja na kuifuta historia Yao iliyo jaa mambo makuu.......

Ndiyo maana Leo haishangazi kukuta jamii inayozungukwa na utajiri wa madini katika aridhi Yao ikiwa haijui na Haina maarifa yoyote ya namna ya kuivuna, hivyo kuendela kuwa masikini wa kutupwa ili hari aridhi wa nayoikanyanga imejaa hazina iliyositilika..

Address

Geita
Geita

Telephone

+255685765982

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when πŒπ†π”π’π” π˜π„π“π” posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to πŒπ†π”π’π” π˜π„π“π”:

Share