𝐌𝐆𝐔𝐒𝐔 𝐘𝐄𝐓𝐔

𝐌𝐆𝐔𝐒𝐔 𝐘𝐄𝐓𝐔 Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from 𝐌𝐆𝐔𝐒𝐔 𝐘𝐄𝐓𝐔, News & Media Website, Geita, Geita.

group hili ni la ki-jamii....
na kwa kuwa wanajamii wanajihusisha katika mambo mabimbali k**a uchumi, siasa, michezo, dini, nk

kwahiyo group letu group letu halina mipaka isipokua kuepuka matumizi ya lugha za matusi, fedheha udharilishaji nakadharika

Ngoja niweke sawa hoja ili kuepuka mgongano na watu wanaochelewa Sana kuelewa, japokua nitatumia lugha isioeleweka Kwa w...
23/03/2025

Ngoja niweke sawa hoja ili kuepuka mgongano na watu wanaochelewa Sana kuelewa,

japokua nitatumia lugha isioeleweka Kwa wepesi ilikuendelea kudumisha tabaka, lakini isipokua TU Kwa atakae ruhusu kutafakari Kwa kutumia ufahamu yeye atapokea uamsho Moja Kwa Moja.........

nianze na historia kidogo......
kabla ya hiki kinachoitwa "UWEKEZAJI WA KIGENI"

Bara la alkeblan(afrika) lilikuwa likivunwa pasina malipo yoyote kwanzia madini, aridhi, mazao, wanyama, mpaka binadamu..

vyote hivi vilipelekwa UGENINI wanakotoka wanaoitwa WAWEKEZAJI Leo, Ili kuijenga miundombinu ya maeneo yao, (nchi/mabara wanakotokea)
na hivyo kuwafanya wako kuwa na nguvu zaidi katika maeneo tofauti tofauti k**a kiuchimi, kisiasa, kijeshi nakadharika nakadharika Leo......

Kwa ufupi Sana...
baada ya wimbi (miaka kadhaa) la nchi nyingi kujipatia uhuru kutoka Kwa wanyonyaji /watawala wao (wazungu) wale waliokuwa wakichukua Kila kitu walichotaka bure kbisa.....

ndipo kukaboreshwa sela mbalimbali kupitia umoja wa mataifa zenye lengo la kuruhusu MGENI kuwekeza kokote atakako ikiwa atazingatia mashariti 1 2 3..
watakayo kubaliana

Sasa hapa ndipo neno MUWEKEZAJI WA KIGENI linazaliwa pamoja na UKORONI MAMBO LEO.....

kwamba ni Mtu yule yule aliekutumikisha Zamani katika kuvuna asilimali ya aridhi yako bila malipo na mateso sana ili akajenge kwake...

Leo anakuja vile vile lakini Kwa propaganda...
hatumii tuteni(mabavu)
anatumia lugha k**a "technical support"

lakini sio kwamba anakusaidia kinyume chake utamsaidia kuvuna asilimali ya aridhi ya nyumbani kwako mwenyewe na wewe kuachiwa asilimia siyofika nusu ya mlichozalisha.....
Kwa kigezo cha ametoa "MITAMBO NA UJUZI"
mmhh mmh mmh anasahau aliomba tumpokee k**a mtoa msaada,

"wale wafanyakazi wasio na ujuzi aliokuwa akiwak**ata Zamani bure(watumwa)
Leo anakuja vile vile ila kwa mazungumzo wa malipo kiasi kwajina la "anatoa Ajira"

Sasa Mimi Sina tatizo na hako ka utaratibu....

shida yangu ni kwamba
KWANINI HAYA TUNARUHUSU YANAFANYIKA SASA
.......zama ambazo tekonolojia imekuwa, maarifa yameongezeka, Kila Kitu kipo wazi....

kwanini hatubebi majukumu yetu wenyewe tunamuachia mgeni afanye kwaniaba yetu na sisi tupo

Mpaka hapa Mgusu Iko salama..    Bila uchawi wala Rushwa...Mgusu ni Kijiji Cha wachimbaji wadogo na sio ukulima   kuweka...
12/02/2025

Mpaka hapa Mgusu Iko salama..
Bila uchawi wala Rushwa...
Mgusu ni Kijiji Cha wachimbaji wadogo na sio ukulima
kuweka mwekezaji kwenye maeneo ya maduara yetu
ni kuhujumu
haki za raia wasio na la kufanya
kwenye aridhi Yao,

HATUJAKUBALIANA NA HILO
na TUMESHINDA TAYARI

Address

Geita
Geita

Telephone

+255685765982

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when 𝐌𝐆𝐔𝐒𝐔 𝐘𝐄𝐓𝐔 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to 𝐌𝐆𝐔𝐒𝐔 𝐘𝐄𝐓𝐔:

Share