Baraka Enock

Baraka Enock LIKE PAGE HII Ili upate Habari Moto moto, Vichekesho, Buludani Na Michezo Utavipata hapa.

�Fanya ndoto zako kuwa kipaumbele. �Fanya afya yako ya akili iwe kipaumbele. �Fanya mahusiano yako kuwa kipaumbele. �Fanya furaha yako iwe kipaumbele. �Jiweke kipaumbele.� �Karibu sana Ujipatie jumbe zenye Mafundisho nk.�

25/09/2025
Asante Semaji
22/09/2025

Asante Semaji

Umoja wa Mataifa (UN) umeweka wazi taarifa ya sensa ya robo ya kwanza ya mwaka 2025, ikionesha mgawanyo wa kijinsia duni...
24/08/2025

Umoja wa Mataifa (UN) umeweka wazi taarifa ya sensa ya robo ya kwanza ya mwaka 2025, ikionesha mgawanyo wa kijinsia duniani.

Wanawake duniani ni mara 2.5 zaidi ya wanaume, ambapo wanawake wanachukua takribani asilimia 72 ya watu wote (5.6 bilioni kati ya 7.8 bilioni), huku wanaume wakiwa asilimia 28 pekee (2.2 bilioni). Hii inamaanisha kuwa kwa kila mwanaume mmoja duniani anazungukwa na wanawake watatu wanaomhitaji.

Kwa mujibu wa ripoti hiyo, kati ya watu 7.8 bilioni waliopo duniani:
• Wanawake ni bilioni 5.6
• Wanaume ni bilioni 2.2 pekee

Lakini takwimu hizo zinachambua zaidi hali halisi ya wanaume:
• Bilioni 1 tayari wameoa
• Milioni 130 wako gerezani
• Milioni 70 wanakabiliwa na matatizo ya afya ya akili na maradhi mbalimbali

Hii inamaanisha kuwa ni takribani bilioni 1 pekee ya wanaume wanaobakia ambao wanatakiwa kuwaridhisha wanawake wote hao zaidi ya Bilioni 5.

Hata hivyo, hata hao waliopo bado changamoto ni kubwa:
• 56% hawana ajira
• 3% wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja
• 1% ni mapadre wa Kikatoliki
• 10% ni wazazi au ndugu wa karibu
• 30% wana umri wa zaidi ya miaka 65

Kwa mantiki hiyo, Umoja wa Mataifa unashauri wanawake wote duniani, walio kwenye ndoa au wasioolewa, wawashikilie na kuwathamini wanaume hawa waliobaki kwa sababu ni wachache sana na idadi inazidi kupungua.

👉🏽 “Ewe mwanamke, mtunze mwanaume wako. Hata ukimfumania, msamehe tu kwa sababu wanaume ni wachache mno duniani leo.” 😂😂

Source  🔥🔥🔥

30/06/2025
Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Geita Ndugu Manjale Magambo kwenye picha ya Pamoja na Baadhi ya Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa C...
30/05/2025

Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Geita Ndugu Manjale Magambo kwenye picha ya Pamoja na Baadhi ya Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa kutoka Mkoa wa Geita akiwepo Cde. Gabriel Nyasilu Katibu wa Siasa na Uenezi CCM wilaya ya Geita

BILA SIMBA NCHI HII HATA UWANJA WA BENJAMIN MKAPA USINGEJENGWA
08/03/2025

BILA SIMBA NCHI HII HATA UWANJA WA BENJAMIN MKAPA USINGEJENGWA

Faida za kufanya mazoez siku moja kabla ya mechi ni.... Kujifunza hali ya uwanja – Wachezaji wanapata nafasi ya kuzoea h...
08/03/2025

Faida za kufanya mazoez siku moja kabla ya mechi ni.... Kujifunza hali ya uwanja – Wachezaji wanapata nafasi ya kuzoea hali ya uwanja, k**a aina ya nyasi, ugumu wa ardhi, na ukubwa wa uwanja.
Kuimarisha mazoezi ya mwisho – Timu inaweza kufanya marekebisho ya mwisho katika mbinu na mfumo wa uchezaji.
Kujenga kujiamini – Wachezaji wanapata fursa ya kujenga hali ya kujiamini kwa kuwa wamecheza katika mazingira ambayo watatumia kesho yake
Kupunguza athari za mazingira mapya – Hali ya hewa na upepo wa eneo husika zinaweza kuathiri mchezo, hivyo mazoezi husaidia kujiandaa kwa hali hizo.
Kufanya marekebisho ya kimbinu – Kocha anaweza kuona jinsi wachezaji wanavyohimili mazingira ya uwanja na kufanya marekebisho ya mkakati

Kanuni hizo hapo.
08/03/2025

Kanuni hizo hapo.

Address


Telephone

+255769796665

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Baraka Enock posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Baraka Enock:

  • Want your business to be the top-listed Media Company?

Share