Sayari BEAT

Sayari BEAT Radio Presenter $ Reporter at Pambazuko fm Radio ,Morogoro/Tanzania |
Hosting>>SayariBit 09:00Am mond_frid,& Top 20
>>>TWITTER & INSTAGRAM

NEWS & ENTERTAINMENT

TRA KILOMBERO YASISITIZA ULIPAJI KODI AWAMU YA PILI KABLA YA JUNE 30 ,MWAKA HUUHayo amezunumza Meneja TRA wilaya ya Kilo...
26/06/2025

TRA KILOMBERO YASISITIZA ULIPAJI KODI AWAMU YA PILI KABLA YA JUNE 30 ,MWAKA HUU

Hayo amezunumza Meneja TRA wilaya ya Kilombero Wilfred Makamba wakati akizungumza katika kipindi cha Taswira pambazuko fm iliyopo Ifakara mapema leo June 26,2025

Ambapo amesema ikiwa k**a mfanyabiashara hujalipa kodi awamu ya pili hadi leo ni vema kulipa kwa wakati kabla kufika June 30 mwaka huu ;huku akisisitiza kwa kufanya hivi itasaidia kuepuka faini na adhabu

Hata hivyo ameongeza kuwa ulipaji wa kodi ni faida kwa taifa la Tanzania na kutoa wito kwa jamii kuendelea kulipa kodi kwa uaminifu

Kocha wa mpira 👊👊
16/10/2022

Kocha wa mpira 👊👊

 : Admin wa Page hii   kwenye Picha mbalimbali za Mahafali baada ya Kuongeza Elimu Kidogo🙇‍♂️🙇‍♂️
25/11/2021

: Admin wa Page hii kwenye Picha mbalimbali za Mahafali baada ya Kuongeza Elimu Kidogo🙇‍♂️🙇‍♂️

  LUMEMO KUKAMILISHA UJENZI WA ZAHANATI>>
01/07/2021

LUMEMO KUKAMILISHA UJENZI WA ZAHANATI>>

Pambazuko FM RadioAfyaZahanati Lumemo Kukamilika,Mwenyekiti aeleza Zahanati Lumemo Kukamilika,Mwenyekiti aeleza July 1, 2021, 6:20 am Na: Vitalisi Magalitele Picha na Maktaba Serikali ya Kijiji cha Lumemo kata ya Lumemo Wilayani Kilombero imeingiziwa fedha kiasi cha shilingi Milioni 15 kutoka Serika...

 >TEMBO WAVAMIA MASHAMBA YA WAKULIMA,WALA MAZAO>
29/06/2021

>TEMBO WAVAMIA MASHAMBA YA WAKULIMA,WALA MAZAO>

Pambazuko FM RadioKilimoTembo Wavamia Mashamba,Wala Mazao Ulanga Tembo Wavamia Mashamba,Wala Mazao Ulanga June 29, 2021, 6:13 am Na: Katalina Liombechi Wakulima wa Mashamba ya Luhogi katika kata ya Minepa wamelalamikia Tembo kufanya uharibifu wa Mazao yao hali ambayo inaweza kuwapelekea kukumbwa na....

Sikiliza  >
22/06/2021

Sikiliza >

Ukatili Viboko May 18, 2021, 7:04 am Audio Mwanafunzi Mlimba ajeruhiwa kwa viboko na mwalimu Na:Katalina Liombechi Mdau wa Kituo cha Sheria na haki za Binadamu Wilaya ya Kilombero Bashiri Kwahai amewataka walimu kutojichukulia sheria Mkononi kwa kuwaadhibu wanafunzi pasipo kufuata utaratibu kwani ni...

Tunapatikana LIVE Kupitia Tadio radio Portal>>Bonyeza Link Kutusikiliza>>
14/05/2021

Tunapatikana LIVE Kupitia Tadio radio Portal>>Bonyeza Link Kutusikiliza>>

ifakara December 16, 2020, 8:30 am Audio Siku 16 za kupinga ukatili Ifakara Kamati ya MTAKUWA kijiji cha Sagamaganga, kata ya Signali, kwa kipindi cha mwaka mmoja imefanikiwa kuibua ndoa na mimba za utotoni pamoja na matukio ya ubakaji. Hayo yameelezwa na mjumbe wa k**ati ya MTAKUWA wa kijiji hicho....

 HAYATI DK MAGUFULI AZIKWA CHATO,
26/03/2021


HAYATI DK MAGUFULI AZIKWA CHATO,

Watoto wa Marehemu wakiweka shada la Maua kwenye Kaburi la Aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt ...
26/03/2021

Watoto wa Marehemu wakiweka shada la Maua kwenye Kaburi la Aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt John Magufuli Chato leo March 26

Mjane wa Aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt John Magufuli, Mama Janet Magufuli akiweka Shada l...
26/03/2021

Mjane wa Aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt John Magufuli, Mama Janet Magufuli akiweka Shada la Maua kwenye Kaburi la Hayati Mumewe muda mfupi baada ya Mazishi yaliyofanyika kitaifa Chato Leo

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa akiwa na Mkewe Mary Majaliwa  wakiweka Shada la Maua kwen...
26/03/2021

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa akiwa na Mkewe Mary Majaliwa wakiweka Shada la Maua kwenye Kaburi la Aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt John Magufuli Chato March 26

Address

Ifakara
Ifakara

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Sayari BEAT posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Sayari BEAT:

Share

Category