18/07/2025
Hii interview lengo Kubwa lilikuwa nini Kwa dogo baada Ya kusema Siwezi ongelea Mambo yanayohusu Shule Tuongelee Mziki Wangu , lengo Ni Kumshusha dogo au …? Hilo Swali la jamaa Hapo , K**a Hutaki Kujibu umekuja Kufuata nini Hapa..? AISEEE imeniuma …? JAMAA angeweza Kuuliza Hilo Swali K**a Msanii Mkubwa angesema Siwezi Kuongelea Kitu fulani , Tuongelee Mziki Wangu , Hilo Swali la Nyodo jamaa angeweza Kuuliza Hivyo Kweli…!??