07/06/2026
IBADA YA JUMAPILI KBC-KAHAMA MANISPAA
TAR 07/06/2026
Hii ni ibada siku ya bwana kujifunza neno la mungu la kweli lisiloghoshiwa kujifunza biblia
imefanyika kaanan Bible Church manispaa ya kahama manzese
Ibada imeongozwa na mhubiri mtumishi wa mungu mch Imelda Alexandr ambaye ndo mchungaji wa kaanan Bible Church kahama
Lime fundishwa Somo Kwa sala zote na maombi
,waefeso:6:18
Mathayo:12:43
Waeburania:5:7@
Hakika tunauona mkono wa Bwana katka Ibada hizi na kila mmoja amehudumiwa kwa utoshelevu kutoka kwa BWANA.
"Popote Ulipo, Karibu Kwenye Ibada za Kiroho Katika Kaanan Bible Church Kahama!"
Ikiwa uko Kahama, tunakukaribisha kwa mikono miwili katika Kanisa la Kaanan Bible Church, lililopo Manzese, karibu na barabara ya Rugera. Hapa, utapata fursa ya kushiriki ibada za kiroho, maombezi, na kujifunza jinsi ya kumjua Mungu kwa undani zaidi. Ibada zetu hutoa nafasi ya kumtukuza Bwana na kufurahi katika neno lake.
HarvestTV inapatikana masaa 24 kwa siku, siku saba za wiki, na inarusha Neno la Mungu la kweli lisiloghoshiwa. Channel hii inapatikana katika "Other Channels" kwa wale wenye Ving'amuzi vya Dish. (AZAM TV)
Kwa mawasiliano:
Piga simu namba: +255763284136 / +255764595357
Fuatilia Neno la Mungu kupitia YouTube kwa kutafuta "Robert Tv Tanzania"
Karibu sana!