Janson NewsUpdates

Janson NewsUpdates Publicity

04/04/2026

With Simba SC Tanzania โ€“ I'm on a streak! I've been a top fan for 17 months in a row. ๐ŸŽ‰

Rais wa Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF), Patrice Motsepe, mwezi Mei mwaka huu anatarajiwa kufanya ziara nchini Ke...
29/03/2026

Rais wa Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF), Patrice Motsepe, mwezi Mei mwaka huu anatarajiwa kufanya ziara nchini Kenya ili kukagua maendeleo ya miundombinu ya viwanja na maandalizi ya Michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027.

Michuano hiyo mikubwa barani Afrika inatarajiwa kuandaliwa kwa pamoja na nchi tatu za Afrika Mashariki ambazo ni Tanzania, Kenya na Uganda, jambo ambalo ni la kihistoria kwa ukanda huo kupata fursa ya kuandaa mashindano ya hadhi ya juu ya CAF.

Motsepe amesema ziara hiyo itampa nafasi ya kujionea hali halisi ya maandalizi, ikiwa ni pamoja na ubora wa viwanja, miundombinu ya usafiri, na huduma za wageni zitakazohitajika wakati wa mashindano.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Cairo nchini Misri, Motsepe amebainisha kuwa CAF imejipanga kuhakikisha AFCON 2027 inakuwa ya kiwango cha kimataifa, huku akisisitiza kuwa ushirikiano kati ya nchi hizo tatu ni mfano bora wa mshik**ano wa Afrika katika kuendeleza soka.

Aidha, viongozi wa serikali na sekta ya michezo kutoka nchi husika wanatarajiwa kushirikiana kwa karibu na CAF ili kuhakikisha maandalizi yote yanakidhi viwango vinavyotakiwa kimataifa.

CAF PRESS | โ€˜โ€˜โ€ฆmechi ya fainali Morocco kati ya Senegal na Morocco, si jambo muhimu sana kwetu kuendelea kulijadiliโ€ฆโ€™โ€™ R...
29/03/2026

CAF PRESS | โ€˜โ€˜โ€ฆmechi ya fainali Morocco kati ya Senegal na Morocco, si jambo muhimu sana kwetu kuendelea kulijadiliโ€ฆโ€™โ€™ Rais wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF), Patrice Motsepe akizungumza na waandishi wa habari mjini Cairo, Misri.

Motsepe amesema mpira wa miguu ni mchezo wenye hisia kubwa, lakini tukio lililotokea katika fainali kati ya Senegal na Morocco halipaswi kupewa uzito mkubwa wa mijadala kwa sasa.

โ€˜โ€˜Tunachotaka kusisitiza ni kwamba suala hilo tayari liko mbele ya Mahak**a ya Usuluhishi wa Michezo (CAS), ambayo ni chombo cha juu cha maamuzi katika masuala ya michezo duniani, na sisi tutaheshimu na kutekeleza uamuzi wowote utakaochukuliwa na CAS''.

Ameeleza kuwa CAF haioni umuhimu wa kuendelea kujadili suala hilo hadharani, bali inaelekeza nguvu katika kuheshimu taratibu na mifumo ya kisheria ya michezo.


Iran imesema kuwa vikosi vyake vya kijeshi vimeshambulia vyombo sita vya kijeshi vya Marekani, na kusababisha kuuawa kwa...
29/03/2026

Iran imesema kuwa vikosi vyake vya kijeshi vimeshambulia vyombo sita vya kijeshi vya Marekani, na kusababisha kuuawa kwa idadi kubwa ya wanajeshi wa Marekani waliowataja k**a magaidi.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa usiku wa Ijumaa na Ofisi ya Uhusiano wa Umma ya Kikosi cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), mashambulizi hayo ni sehemu ya awamu ya 84 ya operesheni iitwayo โ€œAhadi ya Kweli 4โ€.

Taarifa hiyo ilieleza kuwa jeshi la majini la IRGC lilifanya mashambulizi ya usahihi dhidi ya malengo ya Marekani na Israel katika bandari ya Al-Shuwaikh pamoja na fukwe na bandari ya Dubai, likilenga wanajeshi wa Marekani na vifaa vyao vya kijeshi.

Kwa mujibu wa taarifa hiyo, operesheni hiyo ilihusisha matumizi ya makombora ya masafa marefu (ballistic missiles) pamoja na makombora ya cruise aina ya Qadr 380. Vyombo sita vya kutua vikosi (LCU) vya Marekani viliripotiwa kupigwa katika bandari ya Al-Shuwaikh, ambapo vitatu vilizama na vingine vinaendelea kuungua.

Aidha, Iran ilisema ilifanya mashambulizi ya ndege zisizo na rubani dhidi ya maeneo ya kukusanyika wanajeshi wa Marekani, ikiwemo ufukweni na katika moja ya hoteli jijini Dubai, na kwamba malengo hayo yalipigwa kwa usahihi mkubwa.

Taarifa hiyo iliongeza kuwa mbali na kuharibiwa kwa vyombo hivyo vya kijeshi, idadi kubwa ya wanajeshi wa Marekani waliuawa katika operesheni hiyo.

  Wachezaji wa Senegal wamewasilisha Kombe la Mataifa ya Afrika mbele ya maelfu ya mashabiki leo, licha ya uamuzi wa Shi...
29/03/2026

Wachezaji wa Senegal wamewasilisha Kombe la Mataifa ya Afrika mbele ya maelfu ya mashabiki leo, licha ya uamuzi wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kuinyangโ€™anya timu hiyo taji hilo na kulikabidhi kwa Morocco. Kabla ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Peru katika uwanja wa Stade de France, kikosi cha Senegal kilichoongozwa na nahodha Kalidou Koulibaly kiliingia uwanjani na kombe hilo k**a sehemu ya shamrashamra za kabla ya pambano hilo.

Chama cha Soka cha Senegal kilikuwa kimetangaza mapema kuwa kingeliwasilisha kombe kwa mashabiki wake mjini Saint-Denis, Paris jiji lenye idadi kubwa ya raia wenye asili ya Senegal wakati huo timu hio inapinga uamuzi wa ghafla wa CAF wiki iliyopita wa kuinyangโ€™anya ubingwa ilioupata katika fainali yenye vurugu mwezi Januari na kuutangaza Morocco k**a mabingwa wapya. Kwa mujibu wa k**ati ya rufaa ya CAF, Senegal โ€œimetangaza kupoteza fainaliโ€ na ushindi wao wa 1-0 katika muda wa nyongeza kubadilishwa kuwa ushindi wa 3-0 kwa Morocco, kwa hoja kwamba wachezaji wa Senegal, wakiongozwa na kocha wao, walitoka nje ya uwanja kupinga penalti, jambo lililosababisha mchezo kusimama kwa dakika 15.

  news updates
28/03/2026

news updates

28/03/2026

I got over 100 reactions on my posts last week! Thanks everyone for your support! ๐ŸŽ‰

Senegal ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ณ wameendelea kuwa gumzo pale Ufaransa hata page rasmi ya Ligi Kuu ya Ufaransa ina watambua k**a Mabingwa wa AF...
28/03/2026

Senegal ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ณ wameendelea kuwa gumzo pale Ufaransa hata page rasmi ya Ligi Kuu ya Ufaransa ina watambua k**a Mabingwa wa AFCON 2025 baada ya kupost sherehe yao.

Kwa kifupi Dunia ipo upande wa Senegal ila CAF na Morocco ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ wao ni familia

RATIBA YA MECHI ZA LEO MAR 28TH 2026:ZANZIBAR ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ - PBZ PREMIER LEAGUE:16:15 Mafunzo FC vs KVZ Football Club AFRIKA ๐ŸŒŽ - M...
28/03/2026

RATIBA YA MECHI ZA LEO MAR 28TH 2026:

ZANZIBAR ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ - PBZ PREMIER LEAGUE:
16:15 Mafunzo FC vs KVZ Football Club

AFRIKA ๐ŸŒŽ - MICHEZO YA KIRAFIKI:
16:00 Zambia ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฒ vs Malawi ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ผ
19:00 Botswana ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ผ vs Zimbabwe ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ผ
19:00 Senegal ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ณ vs Peru ๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡ช
21:00 Burkinafaso ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ซ vs Bissau ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ผ

MECHI ZINGINE ZA KIRAFIKI:
16:00 Kyrgyzstan ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ฌ vs Madagascar ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฌ
16:00 San Marino ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ฒ vs Faroe ๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ด
17:00 Korea Kusini ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ท vs Ivory Coast
20:00 Canada ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฆ vs Iceland ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ธ
20:00 Hungary ๐Ÿ‡ญ๐Ÿ‡บ vs Slovenia ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ฎ
20:00 Scotland vs Japan
22:30 Marekani ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ vs Belarus ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡พ

ENGLAND ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ - LEAGUE ONE:
18:30 Black Pool vs Burton Albion
18:30 Exeter vs Leyton
18:30 Reading vs Wigan Athletic
18:30 Stockport vs Wimbledon
18:30 Wycombe vs Portvale
18:30 Bristol City vs Accrington
18:30 Colchester vs Walsall
18:30 Crewe Town vs Oldham United
18:30 Salford City vs MK Dons
18:30 Swindon Town vs Fleetwood

HISPANIA ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ - LA LIGA TWO:
16:00 Ceuta vs Cadiz
18:00 Granada vs Huesca
18:00 Valladolid vs Burgos
20:00 Malaga vs Leganes
23:00 Albacete vs Castello

ITALIA ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡น - SERIE C:
16:30 Latina vs Catania
16:30 Potenza vs Salernitana
16:30 Lavagne vs Milano
19:30 Lumeza vs Albinoleffe
19:30 Ospitaletta vs Gianna
19:30 Alcione vs Verceli
19:30 Dolomiti vs Arzignano
19:30 Pergolete vs Patria
19:30 Renate vs Novara
19:30 Belunesi vs Verona

UHOLANZI ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฑ - EERESTIE DIVISIE:
20:00 Willem ll vs Grasshopper
23:00 Eindhofen vs Emmen

AUSTRIA ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡น - FRAUEN BUNDESLIGA:
15:00 Lask vs Vienna
18:00 Neulengbach vs RB Salzburg

UTURUKI ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ท - BEYAZ CUPASI CUP:
14:00 Kepezspor vs Adana
16:00 Bucaspor vs Elazigspor
18:00 Inegolspor vs Erzincanspor

CROATIA ๐Ÿ‡ญ๐Ÿ‡ท - HLN DRUGA LEAGUE :
17:00 Jarun vs Sesvete
18:00 Croatia ZED vs Kerlovac
19:00 Hrvace vs Cibalia

SERBIA ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ธ - MOZART BET PARVA LIGA:
17:00 Loznica vs Jedinstro
17:00 Trayal vs Macva
18:00 Duboczes vs Novi Sad
19:00 Graficar vs Vrsac
19:00 Sujug vs Zemun

SCOTLAND - PREMIERSHIP:
18:00 Morton

Address

Kasulu

Telephone

+255628193183

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Janson NewsUpdates posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Janson NewsUpdates:

Share