29/07/2025
🔍 "Unajua nafaka yako inaanza safari wapi?"
Leo tumepokea mzigo mpya wa mchele kutoka kwa mkulima wetu Kilosa... na sasa tunaandaa oda ya kilo 100 kwenda Dodoma!
📦 Kila gunia tunalopanga linabeba si tu nafaka — bali ni ahadi ya ubora, usafi na huduma ya uhakika.
💬 Ukituma oda leo, kesho tunaipakia — hatuchelewi, hatubahatishi.
✅ Usikae kutazama tu — kuwa sehemu ya wateja wenye akili wanaonunua nafaka moja kwa moja mtandaoni kwa urahisi.
📲 Agiza sasa kwa 0656 943 740
💰 LIPA KWA DUKA: 66544926 | Nafaka POINT