Bongo20 Tv

Bongo20 Tv Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Bongo20 Tv, Digital creator, Nachingwea, Lindi.

Habar karibuni Sana katika kurasa yetu pendwa ya Abdi Media Africa lengo la ukurasa huu ni kuku habarisha Habar mbari mbari za siasa,michezo,burudani na Udaku pia na story kari za wasanii wetu wa Tanz

"Sitoi pesa kwa ndugu au marafiki zangu wa karibu. Ukija nakuuliza unataka kufanya nini kwenye maisha yako ukisema biash...
19/02/2025

"Sitoi pesa kwa ndugu au marafiki zangu wa karibu. Ukija nakuuliza unataka kufanya nini kwenye maisha yako ukisema biashara nitakufungulia, ukisema kazi nitakutafutia utaiapata. mwaka jana tu nilisaidia zaidi ya watu 11 kusafiri nje ya nchi. Hii ni kuwaepusha wasije kila mara kutafuta msaada. Kuwasaidia mara moja imekuwa siri yangu" ~Samuel Etoo

11/01/2025

Salamu wafuasi wangu wapya! Nina furaha kuwa nanyi! Said Ally Milanzi, Ridhiwani Mvamba

13/11/2024

Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! Yusco Rai, Lifhat Abdillah

𝗗𝗢𝗡𝗘 𝗗𝗘𝗔𝗟 🩺🚨  Klabu ya Yanga SC,  leo hii imeingia kandarasi na Hospital ya Aga Khan,ambapo itawafanya wachezaji wa Yang...
06/02/2024

𝗗𝗢𝗡𝗘 𝗗𝗘𝗔𝗟 🩺

🚨 Klabu ya Yanga SC, leo hii imeingia kandarasi na Hospital ya Aga Khan,ambapo itawafanya wachezaji wa Yanga kupima afya zao, lakini pia wanachama na mashabiki wa Yanga SC kuweza kupata huduma nchi nzima kwenye Hospital za Aga Khan.

Wanachama wenye kadi ya uanachama wa Yanga SC anaweza kuhudumiwa kwa punguzo la bei na mkataba wa Yanga SC na Hospital ya Aga Khan ni wa miaka miwili.

🟡🟢

YANGA YALEJEA KILELENI   📰
05/02/2024

YANGA YALEJEA KILELENI

📰

Liverpool 1 🆚 3 Arsenal 93 GOOOAL ⚽️😅Nyie huu mpira una maamuzi ya maumivu sana  kunywa soda nakuja kulipa wa kunyumba T...
04/02/2024

Liverpool 1 🆚 3 Arsenal

93 GOOOAL ⚽️😅

Nyie huu mpira una maamuzi ya maumivu sana

kunywa soda nakuja kulipa wa kunyumba

THIS IS FOOTBALL ⚽

Wamejibu tena uku 😄😂
04/02/2024

Wamejibu tena uku 😄😂

SUPER SUNDAY ⚽️
04/02/2024

SUPER SUNDAY ⚽️

04/02/2024
Ukishaoa ndio anatokea Mwanamke anakupenda kuliko Mkeo Daah!!💔🥹
03/02/2024

Ukishaoa ndio anatokea Mwanamke anakupenda kuliko Mkeo Daah!!💔🥹

Nigeria wanatinga nusu fainaliFT: Nigeria 1-0 Angola A Lookman 41⚽️
02/02/2024

Nigeria wanatinga nusu fainali

FT: Nigeria 1-0 Angola

A Lookman 41⚽️

Tutarajie ujio wa ngoma mpya kutoka kwa  X   au una hisi nini? Kipo kati yao Dondosha Comments👇
02/02/2024

Tutarajie ujio wa ngoma mpya kutoka kwa X au una hisi nini? Kipo kati yao Dondosha Comments👇

TOP SCORERS NBC PREMIER LEAGUE ⚽KI AZIZ🫵10JEAN BELEKE🫵8Feisal Salum🫵8Max Nzengeli🫵7Waziristan Junior🫵7Prince Dube🫵6Adam ...
02/02/2024

TOP SCORERS NBC PREMIER LEAGUE ⚽

KI AZIZ🫵10
JEAN BELEKE🫵8
Feisal Salum🫵8
Max Nzengeli🫵7
Waziristan Junior🫵7
Prince Dube🫵6
Adam Adam🫵5
Marouf Tchakei🫵5

•••🔰|YANGA WAMEFANYA KILE WALICHOPASWA KUFANYA.- Ukikiangalia kikosi cha Yanga chini ya kocha Miguel Gamondi kila eneo l...
02/02/2024

•••🔰|YANGA WAMEFANYA KILE WALICHOPASWA KUFANYA.

- Ukikiangalia kikosi cha Yanga chini ya kocha Miguel Gamondi kila eneo lipo kwenye ubora hii inaonyeshwa na team performance kwa ujumla kuanzia eneo la golikipa hadi eneo la ushambuliaji kwa maana kubwa ya timu hairuhusu magoli na ina wastani mzuri wa kufunga magoli.

- Kwenye NBC Premier league Yanga ndio timu iliyoruhusu magoli machache hapa unaisifia safu yao ya ulinzi na kwenye kufunga magoli pia Yanga ina wastani mzuri,licha ya kutokuwa na Clinical number 9 lakini bado wanapata magoli kutoka sehemu nyingine.

- Walichoamua kukifanya Yanga kwenye dirisha dogo la usajili ni kuongeza mchezaji kwenye eneo la mwisho mchezaji ambaye anaweza kufanya kazi ambayo Konkoni ameishindwa mchezaji ambaye anaweza kumpa changamoto Clement Mzize na Kennedy Musonda.

- Pacome,Aziz Ki na Maxi Mpia wanauwezo mkubwa wa kufunga magoli na wameshaonyesha hilo, lakini kuna muda timu itahitaji magoli kutoka kwa striker wao na hapa ndio maana Yanga wakaamua kusajili mshambuliaji

Address

Nachingwea
Lindi

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bongo20 Tv posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Bongo20 Tv:

Share