El Olama FM

El Olama FM Your Perfect Station
94.7Mhz Njombe | 96.5Mhz Ruvuma
(1)

 Engineer soma hiyo...?
13/05/2026

Engineer soma hiyo...?

13/05/2026

Ukiwa CCM njia ya kwenda mbinguni ni nyeupe.

TEAM: &
STATION: [94.7 MHz - Makambako, Njombe, Tanzania]

📸

13/05/2026

K**a umekata tamaa hii ndiyo dawa.

LOCATION : FOWARD IN FAITH MAKAMBAKO
SMS & OFFERING: +255756700021
EV & APOSTLE: Evangelist Anthony Mkane Ministry
What do you want Jesus Christ of Nazareth to do for you, this year 2026? Connect with God's servant through this link
www.antonmkane.co.tz
TEAM SAFARI YA IMANI:

13/05/2026

*IJUMAA HII NI YA MAAJABU YA EFL*

Tunajua Mitaa ilipoa ,watu wamekaa kinyonge sana ,sasa ijumaa hii unyonge baaaaaasi,hii ni ijumaa iliyobeba maajabu ya EFL 2026

Wash*tue na Wenzako waambie waleeeee Jamaa wa HII NI KUBWA SANAAAA wanaleta maajabu ya EFL ijumaa hii, chakufanya ikumbatie 94.7 El Olama FM kwani Mitaa inaenda kupokea maajabu ya EFL 2026

Ijumaa ya maajabu itakujia ndani ya chimbo la michezo saa 09:00 Asubuhi mpaka 11:00 Asubuhi usikubali maajabu haya ya EFL yakupite ijumaa hii.

!

13/05/2026

Sowah akacha mazoezi Simba licha ya kurejea kikosini

13/05/2026

Yanga, Dodoma jiji mechi ya kibabe.

12/05/2026

Dunia ya zamani mambo mapya, unaujua ugonjwa wa kuganda?

TEAM: &
STATION: [94.7 MHz - Makambako, Njombe, Tanzania]

📸

*IJUMAA HII NI YA MAAJABU YA EFL* Tunajua Mitaa ilipoa ,watu wamekaa kinyonge sana ,sasa ijumaa hii unyonge baaaaaasi,hi...
12/05/2026

*IJUMAA HII NI YA MAAJABU YA EFL*

Tunajua Mitaa ilipoa ,watu wamekaa kinyonge sana ,sasa ijumaa hii unyonge baaaaaasi,hii ni ijumaa iliyobeba maajabu ya EFL 2026

Wash*tue na Wenzako waambie waleeeee Jamaa wa HII NI KUBWA SANAAAA wanaleta maajabu ya EFL ijumaa hii, chakufanya ikumbatie 94.7 El Olama FM kwani Mitaa inaenda kupokea maajabu ya EFL 2026

Ijumaa ya maajabu itakujia ndani ya chimbo la michezo saa 09:00 Asubuhi mpaka 11:00 Asubuhi usikubali maajabu haya ya EFL yakupite ijumaa hii.

!

12/05/2026

Bili ya 8000 yaondoa maisha ya mteja.

TEAM: &
STATION: [94.7 MHz - Makambako, Njombe, Tanzania]

📸

12/05/2026

Naibu Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi,Kaspar Mmuya, amewataka maafisa ardhi katika halmashauri zote nchini kuhakikisha maeneo yote ya taasisi za serikali yanapimwa na kumilikishwa ili kuepuka migogoro ya kimpaka na wananchi.

Mmuya amesema zoezi hilo linapaswa kuanza mwezi Juni na kukamilika ifikapo Desemba 30 mwaka huu, ili kulinda maeneo ya taasisi yasivamiwe na wananchi.

12/05/2026

Dereva, familia yako inakusubiri, kuwa makini.

Address

HOUSE NO 478, EL OLAMA FM RADIO, MAKATANI Street
Makambako
59119

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when El Olama FM posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category