El Olama FM

El Olama FM 94.7 MHz - Your Perfect Station
Makambako, Njombe Tanzania
Tusikilize popote duniani kupitia Radiobox - El Olama FM
(1)

Baada ya ibada hii kubwa iliyoongozwa na mtumishi wa Mungu Evangelist Anthony Mkane naamini kutoka sasa umepon na umetok...
21/09/2025

Baada ya ibada hii kubwa iliyoongozwa na mtumishi wa Mungu Evangelist Anthony Mkane naamini kutoka sasa umepon na umetoka kweye kila aina ya vifungo.

LOCATION : FOWARD IN FAITH MAKAMBAKO
SMS & OFFERING: +255756700021
EV & APOSTLE: Evangelist Anthony Mkane Ministry
What do you want Jesus Christ of Nazareth to do for you, this year 2025? Connect with God's servant through this link
www.anthonymkane.online
TEAM SAFARI YA IMANI:
🎬

21/09/2025

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Njombe Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Deo Mwanyika () amesema wapo baadhi ya Watu wanapotosha jamii kwa kusema hakuna kilichofanyika ndani ya miaka mitano kwenye Jimbo la Njombe Mjini jambo ambalo sio kweli.

Mwanyika amesema kwenye sekta ya Maji pekee ndani ya miaka mitano Jimbo la Njombe Mjini lilipokea zaidi ya TSH. Bilioni 58 ikiwemo Mradi wa Maji wa Miji 28, Ijunilo, Lugenge na Howard Kibena.

Ameongeza kuwa mgao wa Maji ndani ya Mji wa Njombe umepungua ukilinganisha na miaka mitano iliyopita na lengo la Chama Cha Mapinduzi ndani ya Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2025/30 ni kumaliza changamoto ya maji.

Pia amewaomba Wananchi kumpigia kura Mgombea Urais kupitia CCM Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mgombea Ubunge Jimbo la Njombe Mjini Deo Mwanyika na Mgombea Udiwani kata ya Njombe Mjini Deo Mazao.

20/09/2025

Umewahi kuwaza siku moja umetulia tu hivi unakutana na Muamala wa fedha, Hivyo ndivyo itakavyokuwa ibada ya jumapili hii pale Foward in faith nyuma ya Tanesco kwa mtumishi wa Mungu Evangelist and Apostle Anthony Mkane, Ungana nasi huenda ni wewe utajionea Miracles Money.

LOCATION : FOWARD IN FAITH MAKAMBAKO
SMS & OFFERING: +255756700021
EV & APOSTLE: Evangelist Anthony Mkane Ministry
What do you want Jesus Christ of Nazareth to do for you, this year 2025? Connect with God's servant through this link
www.anthonymkane.online
TEAM SAFARI YA IMANI:
🎬

19/09/2025

Kuna jumapili nyingi zimepita, inawezekana uliona au kusikia ibada ya maajabu ya uponyaji lakini hii hujawahi kuona wala kufikiri, Nakukaribisha mtu wa Mungu tushiriki ibada kubwa iliyojaa miujiza na maajabu yenye majibu ya kila tatizo lako.

LOCATION : FOWARD IN FAITH MAKAMBAKO
SMS & OFFERING: +255756700021
EV & APOSTLE: Evangelist Anthony Mkane Ministry
What do you want Jesus Christ of Nazareth to do for you, this year 2025? Connect with God's servant through this link
www.anthonymkane.online
TEAM SAFARI YA IMANI:
🎬

19/09/2025

Kumbe inawezekana watu wengi ni matajiri ila tatizo tu ni matumizi.

LOCATION : FOWARD IN FAITH MAKAMBAKO
SMS & OFFERING: +255756700021
EV & APOSTLE: Evangelist Anthony Mkane Ministry
What do you want Jesus Christ of Nazareth to do for you, this year 2025? Connect with God's servant through this link
www.anthonymkane.online
TEAM SAFARI YA IMANI:
🎬

19/09/2025

Kwani amemuona nani amekaa kinyonge huko jamani, wakati furahi day ndiyo hii.

Cc:
TEAM:

📸

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Iringa Mjini, Frank Nyalusi, amefariki dunia usiku w...
19/09/2025

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Iringa Mjini, Frank Nyalusi, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Septemba 19, 2025 Ijumaa akiwa anapatiwa matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya Iringa.

Taarifa za kifo chake zimethibitishwa na viongozi wa chama hicho mapema leo, wakieleza kuwa kwa sasa wanashirikiana na familia ya marehemu kupanga taratibu za mazishi, ambapo ratiba rasmi itatolewa hivi karibuni.

Marehemu Frank Nyalusi alijulikana kwa mchango wake mkubwa ndani ya chama, na aliwahi kujitokeza kugombea ubunge wa Jimbo la Iringa Mjini mwaka 2020, ambapo alishika nafasi ya tatu katika kura ya maoni ya ndani ya chama.

Cc

19/09/2025

Tuwaambie ukweli au tuwaache maana k**a wnajiamini sana.

cc

Mgombea ubunge wa Jimbo la Makambako,  , amefanya ziara katika kituo cha redio El Olama FM 94.7 Mhz na kumpongeza Mkurug...
19/09/2025

Mgombea ubunge wa Jimbo la Makambako, , amefanya ziara katika kituo cha redio El Olama FM 94.7 Mhz na kumpongeza Mkurugenzi wa kituo hiki, Evangelist and Apostle Anthony Mkane, kwa jitihada zake za kufungua kituo cha habari chenye lengo la kuelimisha na kuhabarisha wananchi wa Makambako na maeneo jirani.

19/09/2025

FADLU KITI CHA MOTO MSIMBAZI

18/09/2025

Nini unafikiria juu ya maisha yako, vile wafikiri ndivyo utakavyo kuwa jenga madhabahu njema katika fikra zako.

LOCATION : FOWARD IN FAITH MAKAMBAKO
SMS & OFFERING: +255756700021
EV & APOSTLE: Evangelist Anthony Mkane Ministry
What do you want Jesus Christ of Nazareth to do for you, this year 2025? Connect with God's servant through this link
www.anthonymkane.online
TEAM SAFARI YA IMANI:
🎬

Address

House No. 7, Azimio Street
Makambako

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when El Olama FM posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category