El Olama FM

El Olama FM 94.7 MHz - Your Perfect Station
Makambako, Njombe Tanzania
Tusikilize popote duniani kupitia Radiobox - El Olama FM

13/12/2025

Kumbuka daima kwamba mafanikio yako halisi na safari yako ya uponyaji vimefungwa moja kwa moja katika kile unachokipa nafasi akilini mwako.

LOCATION : FOWARD IN FAITH MAKAMBAKO
SMS & OFFERING: +255756700021
EV & APOSTLE: Evangelist Anthony Mkane Ministry
What do you want Jesus Christ of Nazareth to do for you, this year 2025? Connect with God's servant through this link
www.anthonymkane.online
TEAM SAFARI YA IMANI:

13/12/2025

Kila hatua na matokeo unayoyapata leo yanaakisi kile ambacho tayari umekiamini na kujiwekea akilini mwako.

LOCATION : FOWARD IN FAITH MAKAMBAKO
SMS & OFFERING: +255756700021
EV & APOSTLE: Evangelist Anthony Mkane Ministry
What do you want Jesus Christ of Nazareth to do for you, this year 2025? Connect with God's servant through this link
www.anthonymkane.online
TEAM SAFARI YA IMANI:
🎨

12/12/2025

Muziki wa gosple hatuna shida na mashabiki ngoma zinaendelea kulia tu mtaani na matamsha tunaanda ni mwendo wa kumsifu Mungu.



▪Hosted By:
,




🎯

12/12/2025

Nimeonea Mungu akitenda miujiza, nimesumbuliwa na magonjwa ya zinaa kwa muda mrefu lakini baada ya neno la mtumishi wa Mungu nimeona uponyaji kamili kwa hakika Mungu ni mponyaji.

LOCATION : FOWARD IN FAITH MAKAMBAKO
SMS & OFFERING: +255756700021
EV & APOSTLE: Evangelist Anthony Mkane Ministry
What do you want Jesus Christ of Nazareth to do for you, this year 2025? Connect with God's servant through this link
www.anthonymkane.online
TEAM SAFARI YA IMANI:
🎨

11/12/2025

Msimamo wetu k**a waumini si wa unyenyekevu mbele ya pepo, bali ni wa kusimama imara na kuwakemea kwa amri ya Mungu , tukitambua kwamba ushindi tayari upo mikononi mwetu.

LOCATION : FOWARD IN FAITH MAKAMBAKO
SMS & OFFERING: +255756700021
EV & APOSTLE: Evangelist Anthony Mkane Ministry
What do you want Jesus Christ of Nazareth to do for you, this year 2025? Connect with God's servant through this link
www.anthonymkane.online
TEAM SAFARI YA IMANI:
🎨

11/12/2025

Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Halmashauri ya Mji Makambako,John Mtyauli, amesema huenda changamoto ya maji kwa wakazi wa Makambako mwaka 2026 ikapungua kutokana na miradi ya maji inayotekelezwa kwa sasa.

Akizungumza na El Olama FM, Mteuli amebainisha sababu zinazochangia ukosefu wa maji kwa sasa.

Uchumi wa mji wa Makambako unategemea kwa kiasi kikubwa huduma za maji safi na usafi wa mazingira, hivyo utekelezaji wa miradi hiyo unatarajiwa kupunguza changamoto zilizopo na kuongeza ustawi wa wananchi,sambamba na kuimarisha maendeleo ya kijamii na kiuchumi.

11/12/2025

Yule alikuwa akisumbuliwa kilio cha PID kwa miaka mitatu, leo analia kwa furaha ya miujiza kutimia kwa maombi ya mtumishi wa mungu vifungo vya PID vimevunjila

LOCATION : FOWARD IN FAITH MAKAMBAKO
SMS & OFFERING: +255756700021
EV & APOSTLE: Evangelist Anthony Mkane Ministry
What do you want Jesus Christ of Nazareth to do for you, this year 2025? Connect with God's servant through this link
www.anthonymkane.online
TEAM SAFARI YA IMANI:
🎨

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, M***a Azzan Zungu, ametangaza kifo cha Mbunge wa Peramiho, Jenista Jo...
11/12/2025

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, M***a Azzan Zungu, ametangaza kifo cha Mbunge wa Peramiho, Jenista Joakim Mhagama, kilichotokea leo Alhamisi, Desemba 11, 2025 jijini Dodoma.

Katika taarifa yake, Spika Zungu amesema:

“Kwa masikitiko makubwa, naomba kutangaza kifo cha Mbunge wa Peramiho Mheshimiwa Jenista Mhagama kilichotokea leo 11 Desemba, 2025 jijini Dodoma. Natoa pole kwa waheshimiwa Wabunge wote, familia ya marehemu, ndugu, jamaa na wananchi wa Jimbo la Peramiho. Mwenyezi Mungu awape moyo wa uvumilivu na subira katika kipindi hiki kigumu.”

Jenista Mhagama, alizaliwa Juni 23, 1967, na amehudumu katika nafasi mbalimbali ndani ya Serikali na Bunge la Tanzania, akiacha mchango mkubwa katika utumishi wa umma.

Kwa mujibu wa taarifa ya Bunge, ofisi hiyo inashirikiana na familia ya marehemu kuratibu taratibu za mazishi, na taarifa zaidi zitatolewa kadiri mipango itakavyokamilika.

“Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi, amina,” imehitimisha taarifa hiyo.

10/12/2025

Wiki Moja tangu Rais Marekani Donald Trump awelete Pamoja Viongozi wa Jamhuro ya Kidemokrasi ya Congo na Rwanda kwaajili ya Makubaliano ya Amani...

Hali imeendelea kuwa tete mashariki kwa DRC huku wapiganaji wa M23 wakifanikiwa kuuteka Mji wa Uvira hii leo...

Je Kagame na Tshisekedi walikuwa tayari kutafuta Amani ya kudumu Au Marekani imeyafanikisha kwa manufaa yake ?

10/12/2025

Je wajua kuwa rafaki wa Dunia ni kuwa adui wa Mungu.

LOCATION : FOWARD IN FAITH MAKAMBAKO
SMS & OFFERING: +255756700021
EV & APOSTLE: Evangelist Anthony Mkane Ministry
What do you want Jesus Christ of Nazareth to do for you, this year 2025? Connect with God's servant through this link
www.anthonymkane.online
TEAM SAFARI YA IMANI:
🎨

09/12/2025

Si Kila rafiki ni rafiki yako wengine ni maadui zako.

LOCATION : FOWARD IN FAITH MAKAMBAKO
SMS & OFFERING: +255756700021
EV & APOSTLE: Evangelist Anthony Mkane Ministry
What do you want Jesus Christ of Nazareth to do for you, this year 2025? Connect with God's servant through this link
www.anthonymkane.online
TEAM SAFARI YA IMANI:
🎨

Address

House No. 7, Azimio Street
Makambako

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when El Olama FM posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category