El Olama FM

El Olama FM Your Perfect Station
94.7Mhz Njombe | 96.5Mhz Ruvuma
(1)

14/08/2026

Hizi ndizo sababu zitakazo ua biashara yako.

LOCATION : FOWARD IN FAITH MAKAMBAKO
SMS & OFFERING: +255 754 388 050
EV & APOSTLE: Evangelist Anthony Mkane Ministry
What do you want Jesus Christ of Nazareth to do for you, this year 2026? Connect with God's servant through this link
www.antonmkane.co.tz
TEAM SAFARI YA IMANI:
&

Mkurugenzi wa Halmashauri ya mji Makambako Keneth Haule, aipongeza shule ya Bright Star kwa kuendelea kutoa elimu bora k...
14/08/2026

Mkurugenzi wa Halmashauri ya mji Makambako Keneth Haule, aipongeza shule ya Bright Star kwa kuendelea kutoa elimu bora kwa wanafunzi.

Haule ametoa pongezi hizo leo baada ya kushiriki mahafali ya 3 ya darasa la 7 na ya 11 kwa darasa la awali.

Shule ya Bright Star ni miongoni wa shule zinazofanya vizuri kwa Halmashauri ya mji Makambako na maeneo Mengine.

Matukio ya picha: Mkurugenzi wa shule ya Bright Star Bahati Kiwambe amewashukuru wazazi na walezi kwa kuendelea kupeleka...
14/08/2026

Matukio ya picha: Mkurugenzi wa shule ya Bright Star Bahati Kiwambe amewashukuru wazazi na walezi kwa kuendelea kupeleka watoto katika shule yake.

Ametoa shukrani hizo leo katika mahafali ya 3 ya darasa la 7 na ya 11 kwa darasa la awali.

Aidha amewasihi wazazi na walezi waendelee kupeleka watoto katika shule hiyo na wao wanajipanga kutoa elimu bora.

Matukio ya picha: Baadhi ya wanafunzi wa darasala la saba katika shule ya Bright Star waliofanya mahafali  leo shuleni h...
14/08/2026

Matukio ya picha: Baadhi ya wanafunzi wa darasala la saba katika shule ya Bright Star waliofanya mahafali leo shuleni hapo.

Mahafali hayo ni ya 3 kwa shule hiyo.

Mgeni rasmi katika mahafali hayo alikuwa mkurugenzi wa Halmashauri ya mji Makambako Keneth Haule.

14/08/2026

Mchungaji Richard Hananja, amesema moyo uliochngamka ni dawa njema.

Ameeleza hayo akiwa mgeni mwalikwa katika mahafali ya tatu ya Darasa la Saba ya Shule ya Bright Star, yaliyofanyika leo katika shule hiyo.

14/08/2026

Msikilize Mchungaji Richard Hananja, akisema anashangaa mtu mwenye digrii kukosa kazi.

Ameeleza hayo akiwa mgeni mwalikwa katika mahafali ya tatu ya Darasa la Saba ya Shule ya Bright Star, yaliyofanyika leo katika shule hiyo.

14/08/2026

Mchungaji Richard Hananja, akitoa ujumbe kwa wananchi wa Makambako kuhusu kuwalinda watoto.

Ametoa ujumbe huu akiwa mgeni mwalikwa katika mahafali ya tatu ya Darasa la Saba ya Shule ya Bright Star, yaliyofanyika leo katika shule hiyo.

14/08/2026

Jeshi la Polisi Mkoa wa Njombe linamshikilia Okoa Julio Lwenya (28) Mkazi wa mtaa Kambarage Halmashauri ya Mji wa Njombe, kwa tuhuma za mauaji ya Nelly Hokororo (20) aliyekutwa ameuawa na kufukiwa kwenye Shamba lenye mianzi.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe ACP Mahamoud Banga amesema “Baada ya kuhojiwa Mtuhumiwa huyu amekiri kutenda kosa hilo na ameeleza kiini ni kipato au kuwania mali ambapo kabla ya kutekeleza tukio hili alimkodi Marehemu ambaye alikuwa ni Dereva wa bodaboda na kisha kwenda kumuua na kumfukia”amesema Kamanda Banga.

Wakazi wa Halmashauri ya mji Makambako wametakiwa kuacha tabia ya kutelekeza watoto.Wito huu umetolewa na Mchungaji Rich...
14/08/2026

Wakazi wa Halmashauri ya mji Makambako wametakiwa kuacha tabia ya kutelekeza watoto.

Wito huu umetolewa na Mchungaji Richard Hananja, ambaye leo mgeni mwalikwa katika mahafali ya tatu ya Darasa la Saba na ya 11 darasa la awali ya Shule ya Bright Star.

Aidha amewataka wazazi na walezi wahakikishe wanawafundisha watoto safari ya maisha na neno la Mungu.

Kwa upande mwalimu Mkuu Ezekiel Lunyungu na mkurugenzi wa shule ya Bright Star bahati kiwambe wamewakumbusha wazazi na walezi kuhakikisha watoto wanaendelea kuwa katika mazingira salama.

Watangazaji wa El Olama FM wakiwa pamoja na mashabiki na wafuasi wa El Olama Media, baada ya kufanya kipindi cha Chimbo ...
14/08/2026

Watangazaji wa El Olama FM wakiwa pamoja na mashabiki na wafuasi wa El Olama Media, baada ya kufanya kipindi cha Chimbo la Michezo LIVE kutoka Freshtec Soko Kuu la Makambako. 🎙️⚽🔥

Asanteni mashabiki wote kwa mapokezi na sapoti kubwa

Cc
&



📸

Address

HOUSE NO 478, EL OLAMA FM RADIO, MAKATANI Street
Makambako
59119

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when El Olama FM posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share

Category