Butiamaonlinetv

Butiamaonlinetv Huu ni Ukurasa rasmi wa Channel ya Mtandaoni ya ButiamaOnlineTv inayopatikana Youtube.

MIAKA 46 YA KUZALIWA KWA CCM
05/02/2023

MIAKA 46 YA KUZALIWA KWA CCM

Kutoka Jimboni Butiama
04/02/2023

Kutoka Jimboni Butiama

CCM Butiama yaendelea kujiimarisha kisiasa, Uongozi wa Wilaya watoa semina ngazi ya Kata
02/02/2023

CCM Butiama yaendelea kujiimarisha kisiasa, Uongozi wa Wilaya watoa semina ngazi ya Kata

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Viongozi mbalimbali Ikulu Chamwino Mkoan...
01/02/2023

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Viongozi mbalimbali Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma kabla ya kuzindua Tume ya kuangalia Jinsi ya Kuimarisha Taasisi za Haki Jinai tarehe 31 Januari, 2023

KAZI IENDELEEE
27/01/2023

KAZI IENDELEEE

kazi Iendelee
06/12/2022

kazi Iendelee

UCHAGUZI WA CCMMbunge wa Jimbo la Butiama, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe, Jumanne Sagini Akis...
23/11/2022

UCHAGUZI WA CCM

Mbunge wa Jimbo la Butiama, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe, Jumanne Sagini Akishiriki zoezi la upigaji kura kumchagua Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mara, katika uchaguzi uliofanyika Novemba 21, 2022 .

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Jumanne Sagin akiwa katika ziara ya kukagua shughuli za ulinzi na Usalama katika bandari ...
17/11/2022

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Jumanne Sagin akiwa katika ziara ya kukagua shughuli za ulinzi na Usalama katika bandari ya Dar es Salaam

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Waziri Mkuu (Premier) w...
03/11/2022

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Waziri Mkuu (Premier) wa Jamhuri ya Watu wa China Li Keqiang mara baada ya kuwasili The People Great Hall, Beijing chini China tarehe 03 Novemba, 2022.

Taarifa ya Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi CCM  jimbo la Butiama chini ya Naibu Waziri wa Ulinzi na Mbunge w...
27/10/2022

Taarifa ya Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi CCM jimbo la Butiama chini ya Naibu Waziri wa Ulinzi na Mbunge wa jimbo hilo Jumanne Sagini

23/10/2022

Mwenyekiti wa CCM wilaya butiama akizungumza na wajumbe wa CCM wilayani humo

21/10/2022

Butiama-Mara
Ujenzi wa Barabara mpya ya kutoka kizaru-Buhembahadi Muriaza yenye km 10

MBUNGE SAGINI ATOA MAAGIZO MGOGORO WA MPAKA ULIODUMU MIAKA 34Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Jumanne Sagini ...
14/10/2022

MBUNGE SAGINI ATOA MAAGIZO MGOGORO WA MPAKA ULIODUMU MIAKA 34

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Jumanne Sagini amemuagiza Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mara kuharakisha uchunguzi na kuchukua hatua za haraka kwa wote watakaobainika kuhusika katika mauaji ya Mzee Omary Iyombe (64) Mkazi wa Kitongoji cha Kwigina Kijiji cha Kizaru Kata Muryaza wilayani Butiama.

Maagizo hayo ameyatoa mapema hii leo aliposhiriki katika mazishi ya marehemu Mzee Iyombe aliyeuawa mnamo Septemba 24, 2022 akiwa anatoka sokoni Majira ya asubuhi, kuvamiwa kisha kushambuliwa kwa kukatwa mapanga sehemu mbalimbali za mwili, kisa kikiwa ni mgogoro wa ardhi uliodumu kwa muda wa takriban miaka 34.

"Jeshi la Polisi linaendelea na misako na upelelezi mpaka tuwajue waliofanya mauaji haya na pia nilipata taarifa kuwa mlianza kufyekana asubuhi baada ya tukio hili kutokea, wakati serikali iliwapa muda wa wiki moja kuja kusikilliza pande zote mbili, hivyo hatuwezi kuvumilia vitendo hivi vinavyoendelea kutokea katika Wilaya Takatifu ya Butiama," amesema Mhe. Sagini.

Kwa upande wake Diwani wa Kata ya Muryaza Dismas Maila amewaomba wananchi na familia kiujumla kuwa watulivu na wavumilivu katika kipindi hiki kigumu kwa sababu Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan ni sikivu na ndio maana Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi amefika kwa haraka ili haki ipatikane.

Aidha Mwenyekiti wa Kijiji cha Kizaru Kennedy Juma, ameeleza kuwa mgogoro wa muda mrefu wa mpaka dhidi ya Kijiji cha Kizaru na wenzao wa Kijiji cha Kamgendi ndio chanzo cha watu kuuana kwani wenzao wamekuwa wakikataa maamuzi ya serikali kuhusu mpaka huo na pia wamefikia hatua hadi ya kutishiwa kwenda kijiji hicho kwa ajili ya shughuli mbalimbali za kimaendeleo japo wote ni watanzania.

Ofisi ya Mbunge Butiama Kitengo cha Habari

Address

Mara
Mara

Telephone

+255685777794

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Butiamaonlinetv posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Butiamaonlinetv:

Share