04/11/2025
𝐀𝐘𝐀𝐍𝐀 𝟒𝐓𝐇 𝐍𝐎𝐕 𝐒𝟎𝟏𝐄𝐏𝟎𝟏𝟕 𝐖𝐑𝐈𝐓𝐓𝐄𝐍 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
Usisahau kuweka LIKE mkuu...na kufollow AYANA Citizen Tv
And remember unaweza watch ayana kwa website yetu
www.princeupdates.co.ke
𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏
Asha alikuja akauliza mamake,kwani ukafanyia nini huyo mwanamke mum? Saida akamwambia zii,mimi sikutaka tu atufukuze,akaanza maneno. Asha akamwambia na iwapo tufukuzwe sasa? Saida akamwambia relax Aisha,babako haezi tufukuza na hii njama sijaanza leo..Asha akamuuliza unamaanisha nini mum? Saida akamwambia sikiza, wakati nilijua babako ni tajiri,nilifanya jambo na lazima hii mali pia sisi tule.
Saida akaambia Asha sikiza,ile siku nikiwa mgonjwa,huo usiku,tukatoka nikapelekwa hosi,hakuna ugonjwa nilikua nao, I planned everything 😂😂😂nilifanya hivyo ndio nipewe muda zaidi.🤣🤣🤣🤣Saida....mambo ndio hayo.
Punde si punde, Robert akakuja akaambia Sabina,we need to talk right now. Amejam ju Selina alimwambia atafute mtoto ndio ampe advice 🤣🤣🤣Sabina aliambiwa hivyo akashindwa sana mbona amuongeleshe hivyo akaona aende kumuongelesha but Robert akamwambia go easy on her,she is our daughter 🤣🤣🤣
Tufike kwa Jemimah,amelia sana na beshte yake ako hapo anampea motisha akamwambia guess what babes, huyo msichana yafaa akuonje pia..si alionja bwanako,yafaa pia aonje mkono wako,umpee beating safi sana 🤣🤣🤣Jemimah,,,kazi kwako sasa. Selina,uchunge,,huyu ni Jemimah na anakuanga wazimu,mbaya makosa.
Sabina alikuja kwa Selina tena,akamwambia mbona unaonyeshana kiburi mtoto wewe,advice pia unakataa? Sabina aliambia Celestine sikiza, kuanzia leo,Robert ni umsikize k**a babako,na unasahau umekua unaplay na bwana ya sister yake ng'ombe haka? Siana isi...
Punde si punde, Mathew akafika 🤣🤣na hakua ameitwa. Kumbuka ilikua waende out but Selina akaambia Mathew leo sitamake kuenda na wewe maybe siku ingine kuna kitu iam trying to sort out. Mathew aliheartbreakiwa sana,akaambia Selina unasahau I reserved na hatarefund? Selina akamwambia pesa si shida,k**a unaworry kuhusu refund, I will sort it out...
Mathew alisinywa sana,hadi akasema aende tu nyumbani alale,lakini cheki,nik**a drama nik**a video,Asha alisikia kila kitu,na wakati Selina ameenda akauliza Mathew,kuliko pesa zako ziende bure mbona basi usiende na mimi? Mimi na wewe,twende niingie pahali Selina angeingia 🤣🤣🤣Mathew akaona enyewe hii pia ni idea safi,akafanya makosa,akakubali..wah! Makosa.
Na hivi ndio pia dem ya Jamal nilifanyanga,nikajipata nimeenda na yeye out,sai Jamal ako single 🤣🤣🤣
𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐
Chris na Robert hatimaye walimeet ,kisha Chris akaambia Robert,by the way unakumbuka deni langu,umekaa nayo sana,nilikukopesha 15million right? Robert akamwambia najua nimekaa nayo but I will pay,can we talk kitu ilituleta hapa? Chris akamwambia relax,sijasema nahitaji hiyo hata nishakuachia usinilipe. Robert akaona wah! Asante bwana 🤣🤣🤣
Chris akamwambia kuhusu ile issue ya sister yako,unajua ni kawaida ya wanaume,na hata wewe najua uko na kadem pahali but usijali,utacheza kiwewe 🤣🤣🤣Robert akamwambia unajua Jemimah ananipressure ati niambie Tyran kuhusu Celestine... lakini punde si punde, wakasikia nini "Celestine amefanya nini",kumbe Chris alikua amemuita Celestine hapa...Robert alishtuka sana kumuona Celestine.
Chris akaambia Selina usishtuke,Robert ni boys wangu na atahakikisha anaongea na sister yake amdanganya tuliacha kumeet na sisi tutakua tunameet bila wasiwasi. Robert amejam,akiimagine huyu ni mtoto wake,na Chris ni bwana ya sister yake lakini shida na makosa ni,haezi fanya kitu kwa nini? Kwa sababu,haifai kujulikana ati alilala na Sabina wakapata Selina na pili,Chris amemsamahe deni la 15million,so hapa Chris ndio kusema na akikohoa, Robert anaitika 🤣🤣🤣
Woiye Robert 🥲🥲
Mathew na Asha washafika out.
Tyran na yeye kufika nyumbani,Saida ndio ako tu,akauliza na watu wako wapi,Selina,Asha,bibi yangu? Saida akamwambia Asha ameenda out na Mathew ju Selina alikataa na Sabina sijui ameenda wapi.
Ungeshindwa sana Sabina ameenda wapi,lakini ukweli wa mambo ni, Sabina amekuja out,wakatafuta room na Robert,nakuambia kile kitu walifanya kwa ile room,ilibidi wasee wa camera an director wazima camera ju ile kumbao...ama acha tu but all in all they had good time together 🤣🤣🤣 Ona Chris hadi kumbao haijaisha ndio anafunga funga mshipi 🤣🤣🤣
Baadaye Robert akakuja direct hadi kwa Jemimah lakini kufika,Jemimah hayuko,na Chris hajafika. Robert akamcall Jemimah,,akamuuliza yoh uko wapi? Jemimah akamwambia this is my fight Robert,naenda kwa Tyran tudeal with that girl myself. Robert akajua mara moja kimeumana.
Asha kasharudi nyumbani kaliletwa na Mathew na kalienjoy sana hadi kakaona wueh,huyu Mathew,siezi mind kumpea..makosa ikawa Saida akaona 🤣🤣🤣
Jemimah alishafika kwa Tyran kwa gate,ni aingie ndani adeal na Selina.
Huku ndani nakwo, Saida alikuja akapata Asha,akamwambia naona umeanzana na Mathew? Asha akamwambia zii,nilimuonea tu huruma venye Selina alimkataa...Saida akamuuliza na kiss nimeona mkikisiana 🤣🤣🤣🤣
Kumbe Chris na yeye,alimleta Selina hadi kwa gate,wakaongea kiasi hapo gate na huyoo Selina akaongia ndani. Hawana habari huko ndani Jemimah ako huku na amewaka mbaya sana ni bahati tu maid amemzuia kuingia ndani. Wacha Jemimah ageuke amuona Selina,akaanza kumuita majina mbaya mbaya..Selina akamuuliza wewe nawe ndio nani? Jemimah akamwambia umekua unalala na bwana yangu hujui najua wewe fala hii..Jemimah akaamua kumslap Selina lakini kakofi kalishikiwa kwa hewa 🤣🤣🤣kumbe Selina pia hapana machezo bwana 🤣🤣🤣woiye
Hebu tungoje kesho tuone venye haka kavita kaliisha....
Meanwhile all episodes iko kwa website
https://princeupdates.co.ke/