Dems media

Dems media Dems Media | Habari & Burudani
Tunakuletea yaliyopo mitaani
DM kwa matangazo & ushirikiano

20/05/2026

Ushauri wa kwa .paten

amemshauri kutenga muda kwaajili ya sala

17/05/2026

Je kuna mtu mwenye maombi mabaya zaidi ya huyu mwenye hii biashara ?? Anataka kupendeza zaidi 🤔

Unampa asilimia ngapi  kwa muonekano huu? 🫡🙌🏽
17/05/2026

Unampa asilimia ngapi kwa muonekano huu? 🫡🙌🏽

17/05/2026

Je kuna content bora zaidi mwaka huu 2026 au unatarajia itatokea content bora zaidi ya hii ya ?

17/05/2026

Katika mahojiano maalum na mwanamuziki na .music ameweka wazi chimbuko la ushirikiano wake na msanii wa Hiphop nchini, , katika wimbo wao unaotamba wa “Umependeza”.

Oleahh ameeleza kuwa mazungumzo ya awali ya mradi huo yalifanyika katika moja ya kumbi za starehe (Bar) jijini hapa, ambapo alikutana na Country Wizzy na kueleza utayari wake wa kufanya nae kazi.

Akizungumza na mwandishi Oleahh amemtaja Country Wizzy k**a mmoja wa wasanii wenye uwezo mkubwa wa kubadilika (Versatile), huku akimpa hadhi ya “Icon” katika muziki wa HipHop nchini Tanzania.

Mbali na kuelezea ushirikiano huo, Oleahh amebainisha kuwa amekuwa akijifunza lugha ya Kiswahili k**a sehemu ya kuimarisha ukaribu wake na mashabiki wa Tanzania, huku akionyesha kuvutiwa na kasi ya ukuaji wa soko la muziki wa Bongo Fleva kimataifa.

Kupata mahojiano haya kwa kina, tembelea chaneli yetu ya YouTube ya Dems Media. Link inapatikana kwenye wasifu wetu (Bio).

17/05/2026

Katika ulimwengu wa muziki, kuna sauti zinazovuka mipaka na kugusa roho. Katika mahojiano haya ya kipekee na , msanii na DJ mwenye mvuto wa kipekee kutoka Norway, Oleahh .music ameweka wazi orodha ya wasanii anao wakubali na kuwapa sifa za kipekee katika orodha iyo Oleahh amewataja
& k**a wababe wenye sauti ya asili (Pure Sound) inayotuliza na kubeba utambulisho wa kweli wa Tanzania.
Amemuita “Big Star” na “Icon”mtu mwenye uwezo usio na mashaka.
Kwa Oleahh, huyu ni “Hit Maker” wa kweli anayejua ladha ya mashabiki.
Lakini mwishoni, Oleahh ameacha ujumbe wa moyoni kwa mpenzi wake, .kesho , akisifu sauti yake tamu na yakipekee

Kati ya Harmonize na Marioo, nani kwako ana sauti ya asili zaidi ya Bongo Fleva? Angusha comment yako hapa chini!

14/05/2026

Mfalme wa muziki wa Bongo Fleva, anaendelea kuandika rekodi mpya baada ya kutawala chati zote nchini Kenya na Tanzania.

Wimbo wake wa , aliomshirikisha unaendelea kushikilia nafasi ya kwanza kwenye mtandao wa YouTube nchini Kenya na Tanzania, ukiwa na zaidi ya watazamaji milioni 4.5 ndani ya siku 12 tu tangu kuachiwa kwake.

K**a hiyo haitoshi, Alikiba amekuwa msanii anayefuatiliwa zaidi (Most Viewed) nchini Kenya na Tanzania katika wiki ya kwanza ya mwezi Mei. Mwaka 2026 umekuwa mwaka wa dhahabu kwa bosi huyo wa na mfalme wa Bongo Fleva.

Kutokana na kasi hii na rekodi hizi kubwa, je, unafikiri tuzo ya Msanii Bora wa Mwaka 2026 inamstahili yeye? Tupe maoni yako hapa chini! 👇

13/05/2026

Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limethibitisha kupatikana kwa sehemu ya kichwa cha marehemu James Rogers Temba, mwanafunzi wa mwaka wa pili wa Chuo cha IFM, kilichokuwa kimefukiwa katika eneo la Kitunda Kibeberu, Ilala.

Polisi wamesema mafanikio hayo yamepatikana baada ya uchunguzi wa kina ulioendelea tangu kutokea kwa tukio
hilo Aprili 30, 2026.

Kwa mujibu wa K**anda wa Polisi Dar es Salaam, Jumanne Muliro, jumla ya watuhumiwa watano wanashikiliwa kuhusiana na tukio hilo akiwemo Said Ally maarufu Side, mganga wa kienyeji mwenye umri wa
miaka 31 na mkazi wa Kitunda Kibeberu.

Polisi wamewataka wananchi kuendelea kuwa watulivu na kuepuka kusambaza taarifa za upotoshaji huku wakisisitiza kuwa uchunguzi na hatua za kisheria zinaendelea.

04/05/2026

alivyokutana na mama 🫡

04/05/2026

Trump Aionya Iran kwa “Uharibifu Kamili” Kuhusu Mlango-Bahari wa Hormuz

Rais Trump ameiambia runinga ya FOX News kuwa Iran itafutiliwa mbali kabisa (“blown off the face of the Earth”) iwapo meli za Marekani zitashambuliwa katika Mlango-Bahari wa Hormuz. Onyo hilo kali limekuja kufuatia hatua ya Iran kurusha makombora kuelekea Milki za Kiarabu (UAE).
Mkuu wa K**andi ya Kati ya Marekani (CENTCOM), Admirali Brad Cooper, amethibitisha kuwa vikosi vya Marekani vimeharibu boti ndogo sita za Iran na kunasa makombora pamoja na droni. Aidha, Marekani imesisitiza kuwa mzingiro wa kijeshi (blockade) dhidi ya Iran bado unaendelea kutekelezwa.

Chanzo : the jerusalm post

Address

Masaki

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dems media posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share