Kyela Fm Radio

Kyela Fm Radio Kyela Fm Radio Official Facebook Account
96.1 MHZ 📻
Sauti Yako, Mafanikio Yako.

MWENYEKITI wa CHADEMA, Tundu Lissu, anayekabiliwa na kesi ya uhaini katika Mahakama Kuu ya Tanzania (Masjala ya Dar es S...
22/09/2025

MWENYEKITI wa CHADEMA, Tundu Lissu, anayekabiliwa na kesi ya uhaini katika Mahakama Kuu ya Tanzania (Masjala ya Dar es Salaam), amewataja mashahidi wake katika kesi hiyo.

➡️ Akitaja majina, Lissu amesema miongoni mwa mashahidi wake ni:
1️⃣ Rais Samia Suluhu Hassan
2️⃣ Makamu wa Rais Philip Mpango
3️⃣ Waziri Mkuu Kassim Majaliwa
4️⃣ IGP Camillus Wambura
5️⃣ DCI Ramadhani Kingai
6️⃣ Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa
7️⃣ DCP Ramadhani Ng’anzi
8️⃣ Agather Atuhaire (Kampala)
9️⃣ Boniface Mwangi (Nairobi)
🔟 John Marwa (Jambo TV)
1️⃣1️⃣ Amani Sam Golugwa (Naibu Katibu Mkuu CHADEMA)
1️⃣2️⃣ John Heche (Makamu Mwenyekiti CHADEMA)
1️⃣3️⃣ John Mnyika (Katibu Mkuu CHADEMA)
1️⃣4️⃣ Dr. W***y Mutunga (Kenya)
1️⃣5️⃣ Martha Karua (Kenya)

🗣️ Lissu ameongeza kuwa anahifadhi haki ya kuwaita mashahidi wa ziada endapo itahitajika.

Tukio Halisi la Nane Nane Mbeya!Leo tuko kwenye Viwanja vya John Mwakangale, tumetembelea mabanda mbalimbali na kuzungum...
08/08/2025

Tukio Halisi la Nane Nane Mbeya!
Leo tuko kwenye Viwanja vya John Mwakangale, tumetembelea mabanda mbalimbali na kuzungumza na wakulima, wajasiriamali na watu wengine wa kilimo. 🌽🥕

Tazama uzuri wa mazao, uvumbuzi na ari ya wakulima wetu kule mashambani.

Kabla ya kusahau…

Ni ipi banda lililokuvutia zaidi?

Umepata maoni yoyote mazuri kuhusu kilimo au bidhaa zinazodaiwa? Share nasi!

🌾🌱🌽KHERI YA SIKUKUU YA NANE NANETarehe 8 Agosti 2025
08/08/2025

🌾🌱🌽
KHERI YA SIKUKUU YA NANE NANE
Tarehe 8 Agosti 2025

TBT ya kijanja ushuwani tuna dondoka na  akituambia yapi ambayo yapo kwenye   na sisi hatuyajui hanayomuhusu yeye live k...
07/08/2025

TBT ya kijanja ushuwani tuna dondoka na akituambia yapi ambayo yapo kwenye na sisi hatuyajui hanayomuhusu yeye live kabisaa tunaileta kwenu segment ya kijanja kupitia pindi bora kabisa nyanda za juu kusini

wakubwa wakishua wanakupitishia hili





Dondosha Comment yako hapo ✍️ Tutapita nayo Kwenye   Host:  With  .Show kwa hewa 02:00-05:00 Jioni.
28/07/2025

Dondosha Comment yako hapo ✍️ Tutapita nayo Kwenye

Host: With .

Show kwa hewa 02:00-05:00 Jioni.

24/07/2025

IPONJOLA ARE YOU READY?



Shangwe la Kitaa Season Two linaendelea kwa kishindo💥Safari hii tunatua Tukuyu Iponjola, ambapo kutakuwa na bonanza la m...
23/07/2025

Shangwe la Kitaa Season Two linaendelea kwa kishindo💥
Safari hii tunatua Tukuyu Iponjola, ambapo kutakuwa na bonanza la mechi kali ya kuvutia

🏆 Wachezaji wanaocheza Ligi Kuu Tanzania watapambana na Timu ya Nyota FC kutoka Tukuyu katika pambano la aina yake!

🗓️ 25/07/2025
📍 Location: Tukuyu – Iponjola

Njoo ushuhudie burudani, michezo, na shangwe zisizo na kifani.

Ungana nasi katika matangazo ya moja kwa moja kutoka katika viwanja vya Ruanda Nzovwe Mbeya Jiji kwenye uzinduzi wa opar...
23/03/2025

Ungana nasi katika matangazo ya moja kwa moja kutoka katika viwanja vya Ruanda Nzovwe Mbeya Jiji kwenye uzinduzi wa oparesheni ya ''No reform', No Election'' ambapo mgeni rasmi ni Mwenyekiti wa Chama hicho Tundu Lissu.
96.1 MHz MBEYA| SONGWE | NJOMBE
Kutizama Live YouTube Bonyeza Link hapo chini 👇👇


Ungana nasi katika matangazo ya moja kwa mja kutoka katika viwanja vya Ruanda Nzovwe Mbeya Jiji kwenye uzinduzi wa oparesheni ya ''No reform'm, No Election''...

Mbivu na mbichi juu ya kuvuliwa uanachama kwa Katibu mwenezi na Wanachama wengine watano wa Chama Cha Demokrasia  CHADEM...
17/03/2025

Mbivu na mbichi juu ya kuvuliwa uanachama kwa Katibu mwenezi na Wanachama wengine watano wa Chama Cha Demokrasia CHADEMA wilaya ya Kyela kujulikana Leo March 17,2025.

Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Kyela Victoria Swebe tupo nae hapa ndani ya la Asubuhi

HOST:
| Mwalwembe


📌
26/02/2025

📌

Kutokana na sababu zilizo nje na uwezo wetu tunatangaza mabadiliko ya ratiba ya kufanyika kwa   Mission ndani Ya Jiji la...
26/02/2025

Kutokana na sababu zilizo nje na uwezo wetu tunatangaza mabadiliko ya ratiba ya kufanyika kwa Mission ndani Ya Jiji la Mbeya Badala yake itafanyika tarehe 1/3/2025- 2/3/2025.

Tumefanya mabadiliko haya ili kupata nafasi ya kuungana na Wanahabari wote tulioguswa na Msiba wa Mwandishi Mwenzetu Simchimba aliyefariki kwa ajali ya baada ya Gari ya kampuni ya CRN lenye namba za Usajili T 599 DZQ na Gari ya serikali aina ya Land Cruiser lenye namba za usajili 6167 zilizogongana uso kwa uso katika eneo la Shamwengo wilayani Mbeya na kusababisha vifo vya watu watatu na wengine saba kujeruhiwa wakiwemo waandishi wa habari wenzetu pamoja na baadhi ya viongozi wa Chama cha Mapinduzi CCM.

Kyela Fm Radio tunatoa pole kwa Familia,Ndugu,Jamaa, na Waandishi wa habari wote wa mkoa wa Mbeya ambao wameguswa na Vifo hivi na tunawaombea waliopata Majeraha warejee katika hali zao za wakawaida ili waendelee na majukumu ya kulijenga taifa kupitia tasnia hii Habari.

Bwana alitoa na Bwana Ametwaa!!Jina lake lihimidiwe Ameen

17/02/2025

TAARIFA KWA UMMA

Sauti Za Watu Zikiomba Msaada na Ukombozi zilisikika kutoka katikati ya JIJI LA MBEYA na Maeneo Jirani, wakilia kutokana na mateso ya kukosa Uhuru wa Burudani, (KIDNAPPING) kukosa Vipindi Bora kutoka Radio za nyumbani na habari zilizoshiba na hii imewasababishia maumivu kwa wasikilizaji wa radio (TORTURE) Vikosi vingine vyote vilivyotumwa Mbeya Vimeshindwa Kuwakomboa mateka wa Kiburudani (FAILED MISSION), Ndipo Taarifa zimetufikia makomando kutoka Mpakani pembezoni mwa Ziwa Nyasa, Kikosi No 961 KF (INFORMATIVE) Kyela Fm Radio Tunachukua jukumu Hili La UOKOZI (RESCUE MISSION).. Kikosi cha kwanza kitatua Katikati ya JIJI LA MBEYA Siku ya Tar 27-28 February 2025 (ENTER MISSION)
Hivyo wananchi Mkiona makomando wetu katika Maeneo yenu, Ruksa kupiga nao picha na kuvaibuka pamoja kwakuwa UKOMBOZI WA KIBURUDANI NA KIHABARI UMEOATIKANA (MBEYA JIJI RESCUE MISSION 27-28 FEB)


Address

Kyela
Mbeya
600

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kyela Fm Radio posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Kyela Fm Radio:

Share