22/09/2025
MWENYEKITI wa CHADEMA, Tundu Lissu, anayekabiliwa na kesi ya uhaini katika Mahakama Kuu ya Tanzania (Masjala ya Dar es Salaam), amewataja mashahidi wake katika kesi hiyo.
➡️ Akitaja majina, Lissu amesema miongoni mwa mashahidi wake ni:
1️⃣ Rais Samia Suluhu Hassan
2️⃣ Makamu wa Rais Philip Mpango
3️⃣ Waziri Mkuu Kassim Majaliwa
4️⃣ IGP Camillus Wambura
5️⃣ DCI Ramadhani Kingai
6️⃣ Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa
7️⃣ DCP Ramadhani Ng’anzi
8️⃣ Agather Atuhaire (Kampala)
9️⃣ Boniface Mwangi (Nairobi)
🔟 John Marwa (Jambo TV)
1️⃣1️⃣ Amani Sam Golugwa (Naibu Katibu Mkuu CHADEMA)
1️⃣2️⃣ John Heche (Makamu Mwenyekiti CHADEMA)
1️⃣3️⃣ John Mnyika (Katibu Mkuu CHADEMA)
1️⃣4️⃣ Dr. W***y Mutunga (Kenya)
1️⃣5️⃣ Martha Karua (Kenya)
🗣️ Lissu ameongeza kuwa anahifadhi haki ya kuwaita mashahidi wa ziada endapo itahitajika.