23/09/2025
Haikuwa ngumu kwa (Asante) Kiongozi wa Kwaya ya Wilaya ya Kusini (Kyela) kutumia chini ya Dakika mbili kuitoa Kwaya yake baada ya kuhitimisha shindano la Uimbaji kwenye Mkutano wa Vijana B Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Kusini, uliofanyika katika ushirika wa Ibaba Ileje.
Maoni yako ni Muhimu.