Brother Ben

Brother Ben โ™ฅ๏ธ MAKALA ZA MICHEZO
โœ… AZAM FC
โœ… SHABIKI WA FEI TOTO
๐Ÿง’ BABA SASHA

Wakati Azam wanamsajili Huyu jamaa, wachambuzi tuliwananga sana. Ila jamaa anachokifanya kwenye hizi mechi anazocheza ni...
09/01/2026

Wakati Azam wanamsajili Huyu jamaa, wachambuzi tuliwananga sana. Ila jamaa anachokifanya kwenye hizi mechi anazocheza ni ๐Ÿ”ฅ, kamakawaida yake utaondoa kila kitu kwenye game yake ila upambanaji huwezi kuutoa.

Amemlazimisha Ibenge awe anambadirishia tuu partner kwenye lile eneo la kiungo mkabaji lakini nafasi yake ipo pale. Moja kati ya wachezaji bora wa Azam tangu msimu uanze kwenye michuano yote.

Kiukweli japo Himid ana Umri mkubwa lakini nishati aliyonayo anaweza akacheza kwa misimu kadhaa mbele bila shida yoyote, kwasababu ya aina ya mashindano ambayo yapo hapa ndani. STILL A TOP PLAYER ๐Ÿ™Œ.

Kutoka uwanja wa (New Amaan Complex) Msemaji wa klabu ya Yanga โ€œAli Kamweโ€Amezua taharuki kwa kuangua kilio Uwanjani Baa...
09/01/2026

Kutoka uwanja wa (New Amaan Complex) Msemaji wa klabu ya Yanga โ€œAli Kamweโ€

Amezua taharuki kwa kuangua kilio Uwanjani Baada ya Simba kuondoshwa na Azam kwenye Kombe la Mapinduzi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ๐Ÿผ๐Ÿ™Œ๐Ÿผ

Unahisi Kwanini Ali Kamwe Alikuwa Analia Baada Ya Simba Kuondolewa ?

Wahenga Walisema hakika hawakukosea leo Himidi Mao Mkami Ninja amethibisha Yote ya wahenga walio semaKijiji bila wasee.....
09/01/2026

Wahenga Walisema hakika hawakukosea leo Himidi Mao Mkami Ninja amethibisha Yote ya wahenga walio sema

Kijiji bila wasee..........
Kisu Cha Buchani..........
Weka nawewe msemo unaoendana na umri wa Himid na Mambo anayo yafanya

09/01/2026

K**A KUNA MTU ANASHIDA NA UKWAJU, KUNA TIMU INATOKA ZANZIBAR LEO HII.....

06/01/2026
04/01/2026

FEI TOTO NA SIMON MSUVA
WAMETUKOSEA SANA WATANZANIA

 ||๐Ÿšจ๐Ÿšจ: Serikali ya Gabon imechukua hatua kali ya kuisimamisha rasmi Timu ya Taifa ya Soka ya nchi hiyo kufuatia kutoridh...
01/01/2026

||๐Ÿšจ๐Ÿšจ: Serikali ya Gabon imechukua hatua kali ya kuisimamisha rasmi Timu ya Taifa ya Soka ya nchi hiyo kufuatia kutoridhishwa na kiwango duni kilichoonyeshwa kwenye michuano ya AFCON 2025 nchini Morocco. Taarifa iliyotolewa Januari 1, 2026, jijini Libreville, imeeleza kuwa kiwango hicho kilikuwa cha kusikitisha na kisicho na heshima kwa taifa, jambo lililopelekea kuvunjwa kabisa kwa benchi la ufundi na kusimamishwa kwa timu hiyo hadi hapo itakapotangazwa vinginevyo.

โ€‹Katika mabadiliko hayo makubwa, wachezaji wakongwe na nguzo muhimu za kikosi hicho, Pierre-Emerick Aubameyang {} na Bruno Ecuele Manga, wameondolewa rasmi kwenye timu kwa sasa. Hatua hii inaashiria mwanzo wa mabadiliko ya mfumo ndani ya timu hiyo ambayo imekuwa ikitegemea uzoefu wa nyota hao kwa muda mrefu katika medani za kimataifa {}.

โ€‹Pamoja na kuisimamisha timu, Serikali imelitaka Shirikisho la Soka la Gabon (FEGAFOOT) {} kuwajibika kikamilifu na kuchukua hatua stahiki kurekebisha hali hiyo. Serikali imesisitiza kuwa mwenendo wa timu ulikuwa kinyume na maadili na mfano mwema unaotakiwa kuigwa, hivyo inahitajika mikakati mipya ya kurejesha heshima ya soka la nchi hiyo chini ya uangalizi wa {}.

DROO KAMILI YA HATUA YA 16 BORA AFCON 2025JANUARI 3, 202619:00 Senegal๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ณ vs ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ฉ Sudan22:00 Mali ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฑ vs ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ณ Tunisia   JANUAR...
31/12/2025

DROO KAMILI YA HATUA YA 16 BORA AFCON 2025

JANUARI 3, 2026
19:00 Senegal๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ณ vs ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ฉ Sudan
22:00 Mali ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฑ vs ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ณ Tunisia

JANUARI 4, 2026
19:00 Morocco ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ vs ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Tanzania
22:00 South Africa๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ vs ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฒCameroon

JANUARI 5, 2026:
19:00 Egypt ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ vs ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฏ Benin)
22:00 Nigeria๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฌ vs ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฟ Mozambique

JANUARI 6, 2026
19:00 Algeria ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟ vs ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ DR Congo
22:00 Cote D'ivoire ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ vs ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ซ Burkina Faso

MIGUEL ANGEL GAMONDI: THE HISTORY MAKER1. Miguel Angel Gamondi ni kocha wa kwanza kuipeleka Young Africans Sports Club h...
31/12/2025

MIGUEL ANGEL GAMONDI: THE HISTORY MAKER

1. Miguel Angel Gamondi ni kocha wa kwanza kuipeleka Young Africans Sports Club hatua ya makundi CAF CL baada ya miaka 25 (2023)

2. Miguel Angel Gamondi ni kocha wa kwanza kuipeleka Young Africans SC hatua ya robo fainali ya CAF CL kwa mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwake (2023)

3. Miguel Angel Gamondi ni kocha wa kwanza kutwaa ubingwa wa kwanza tangu kuanzishwa kwa klabu ya Singida Black Stars, baada ya kuinua ubingwa wa CECAFA Kagame Cup 2025.

4. Miguel Angel Gamondi ni kocha wa kwanza kuipeleka klabu ya Singida Black Stars hatua ya makundi ya CAF CC tangu kuanzishwa kwa klabu hiyo

5. Miguel Angel Gamondi ni kocha wa kwanza kuipeleka timu ya Taifa ya Tanzania hatua ya mtoano ya AFCON kwa mara ya kwanza katika ushiriki wa timu ya Tanzania kwrnye mchuano wa AFCON

6.
Tanzania vs Morocco,
Gamondi anaenda kuandika historia mpya kabisaaa

NINI SIRI YA DAKIKA YA 48 KWA FEI TOTO?Nyakati ambazo FAISAL SALUM na TAIFA STARS wanakufanya ujivunie kuwa MTANZANIA. T...
31/12/2025

NINI SIRI YA DAKIKA YA 48 KWA FEI TOTO?

Nyakati ambazo FAISAL SALUM na TAIFA STARS wanakufanya ujivunie kuwa MTANZANIA.

Tarehe 17. Novemba 2021 Benjamini Mkapa
Tanzania 1-1 Tunisia,
โšฝ๏ธ FEISALโ€™48

Tarehe 30. December 2025, Olympic Stadium Rabat
Tanzania 1-1 Tunisia
โšฝ๏ธ FEISAL โ€˜48

Kijana wangu kuna Siri gani ya dakika 48 na Tunisia?

NB: Mechi yetu ya kihistoria ya 16 Bora tutacheza na Morocco tarehe 4Januari 2026 - Jumapili.

Je, Tanzania tunaweza kwenda Robo fainali?

Tuandikie maoni Yako apo kwenye Comment โคต๏ธโคต๏ธ

Bila kunifokea Wala hasira mnieleweshe tu Taratibu,๐Ÿ™๐Ÿ’ช๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟImekuaje Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ kapewa Best Looser akiwa na point mbili na K...
31/12/2025

Bila kunifokea Wala hasira mnieleweshe tu Taratibu,๐Ÿ™๐Ÿ’ช๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

Imekuaje Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ kapewa Best Looser akiwa na point mbili na Kuna wengine wapo na hizo point mbili na hawajapewa hiyo nafasi?

Kigezo ni kipi?, msinifokee tafadhari .

AFCON 2025 โ€“ Hatua ya kumi na sita bora hatua muhimu kwa mataifa yote lakini mataifa bora zaidi yatasonga mbele ili kufu...
31/12/2025

AFCON 2025 โ€“ Hatua ya kumi na sita bora hatua muhimu kwa mataifa yote lakini mataifa bora zaidi yatasonga mbele ili kufukuzia kombe hili.

โ€ข Cameroon ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฒ vs South Africa ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ
โ€ข Morocco ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ vs Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
โ€ข Algeria ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟ vs Democratic Republic of Congo ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ
โ€ข Nigeria ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฌ vs Mozambique ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฟ
โ€ข Ivory Coast ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ vs Burkina Faso ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ซ
โ€ข Egypt ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ vs Benin ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฏ
โ€ข Mali ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฑ vs Tunisia ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ณ
โ€ข Senegal ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ณ vs Sudan ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ฉ

Address

Mbeya

Telephone

+255747506166

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Brother Ben posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Brother Ben:

Share