๐…๐€๐‡๐€๐Œ๐” ๐Œ๐€๐†๐€๐™๐ˆ๐๐„

  • Home
  • Tanzania
  • Mbeya
  • ๐…๐€๐‡๐€๐Œ๐” ๐Œ๐€๐†๐€๐™๐ˆ๐๐„

๐…๐€๐‡๐€๐Œ๐” ๐Œ๐€๐†๐€๐™๐ˆ๐๐„ ๐„๐ฅ๐ข๐ฆ๐ข๐ค๐š ๐๐š ๐”๐›๐ฎ๐ซ๐ฎ๐๐ข๐ค๐ž
https://instagram.com/fahamumagazine/ https://youtu.be/gXqlqwj65MU

NASISI MASHABIKI TAREHE 25 HATUINGII UWANJANI, CHEZENI WENYEWE SASA TUSHAWACHOKA ๐Ÿšถ
14/06/2025

NASISI MASHABIKI TAREHE 25 HATUINGII UWANJANI, CHEZENI WENYEWE SASA TUSHAWACHOKA ๐Ÿšถ

Aiseeee
07/06/2025

Aiseeee

Nini kimemkuta Grand P ๐Ÿ˜ท
05/06/2025

Nini kimemkuta Grand P ๐Ÿ˜ท

Mali Za 2010 Zimeingia Sokoni Umakini Na Miaka 30 Uzingatiwe.
04/06/2025

Mali Za 2010 Zimeingia Sokoni Umakini Na Miaka 30 Uzingatiwe.

Mbappe fungu la kukosa huenda nayeye angekua anasherekea ubingwa sasa hivi ๐Ÿ˜ท
01/06/2025

Mbappe fungu la kukosa huenda nayeye angekua anasherekea ubingwa sasa hivi ๐Ÿ˜ท

PSG_ Paris Saint Germain  yaandika historia yabeba kombe la UEFA champions kwa mara ya kwanza ๐Ÿ†๐Ÿ…๐Ÿ‘
31/05/2025

PSG_ Paris Saint Germain yaandika historia
yabeba kombe la UEFA champions kwa mara ya kwanza ๐Ÿ†๐Ÿ…๐Ÿ‘

๐ŸšจShirika la ndege la gharama nafuu kutoka Ireland, Ryanair, limeibuka na wazo jipya la kupunguza zaidi nauli za ndege: k...
31/05/2025

๐ŸšจShirika la ndege la gharama nafuu kutoka Ireland, Ryanair, limeibuka na wazo jipya la kupunguza zaidi nauli za ndege: kuondoa viti kwenye baadhi ya safari zake.

Mpango huu unalenga kuanzisha safari maalum ambapo abiria watasimama kwa muda wote wa safari, kwa kutumia mikanda ya usalama maalum iliyoambatanishwa kwenye kuta za ndani ya ndege. Teknolojia hiyo imeelezwa kuwa tayari ipo kwenye hatua za majaribio.

Kwa mujibu wa taarifa zilizosambaa, mfano wa safari inayotajwa ni kutoka Tanzania hadi Ufaransa, ambayo inakadiriwa kuchukua masaa 9 angani, huku nauli yake ikisemekana kuwa ni euro 10 tu โ€” takriban shilingi elfu 30 za Kitanzania.

Mpango huo unalenga hasa kuwafikia wasafiri wa kipato cha chini wanaotamani kusafiri nje ya nchi kwa bei nafuu, sawa na nauli ya ndani ya nchi kupitia treni au mabasi.

Swali linabaki:
Uko tayari kusimama masaa 9 angani kwa bei ya soda na maandazi?

PUMBAFU, njoo mjini na wewe uone k**a utatuma hela NYUMBANI ๐Ÿ˜•
31/05/2025

PUMBAFU, njoo mjini na wewe uone k**a utatuma hela NYUMBANI ๐Ÿ˜•

Chelsea ndio klabu pekee iliyovunja Rekodi ya kutwaa mataji yote ya Ulaya ๐Ÿ†๐Ÿ…๐Ÿค๐Ÿ˜ท
28/05/2025

Chelsea ndio klabu pekee iliyovunja Rekodi ya kutwaa mataji yote ya Ulaya ๐Ÿ†๐Ÿ…๐Ÿค๐Ÿ˜ท

Chelsea mabingwa wapya wa kombe la Uefa conference league 2024/2025๐Ÿ†๐Ÿ…๐Ÿ‘๐Ÿ‘
28/05/2025

Chelsea mabingwa wapya wa kombe la Uefa conference league 2024/2025๐Ÿ†๐Ÿ…๐Ÿ‘๐Ÿ‘

Nchi ya Uganda imegundua zaidi ya Tani milioni 31 za Madini ya Dhahabu, huku kukiwa na makadirio ya zaidi ya Tani 320,00...
24/05/2025

Nchi ya Uganda imegundua zaidi ya Tani milioni 31 za Madini ya Dhahabu, huku kukiwa na makadirio ya zaidi ya Tani 320,000 za Dhahabu safi zilizofichwa chini ya Ardhi yake.

Zikiwa na thamani ya kushangaza ya dola trilioni 12 za Kimarekani, Ugunduzi huu unaweza kuiweka Uganda miongoni mwa wazalishaji wakuu wa dhahabu duniani.

Iwapo juhudi za uchimbaji na usafishaji zitaendelea vizuri, uvumbuzi huu unaweza kuibadilisha kabisa uchumi wa Uganda, kuvutia uwekezaji wa kimataifa, na kutikisa masoko ya dhahabu duniani.

Enzi ya dhahabu kwa Uganda huenda ndiyo inaanza, Ni pesa nyingi sana inaweza kubadilisha taifa zima Mara kadhaa!

Mtusaidie kusoma hii Kwa Pesa za Tanzania

Dola Trillion 12,000,000,000,000 ร— 2,600 = 31,200,000,000,000,000 TZS

Funzo la maadili: Nchi za Magharibi na Marekani ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ lazima watajitokeza hivi Karibuni ili kuwasaidia kuisimamia ๐Ÿ˜ท๐Ÿ˜ท

Hiki ni kipande cha chuma chenye uzito wa gramu 1,000, chenye thamani ya takriban dola 100 kikiwa katika hali yake ya ka...
24/05/2025

Hiki ni kipande cha chuma chenye uzito wa gramu 1,000, chenye thamani ya takriban dola 100 kikiwa katika hali yake ya kawaida.

Kikitengenezwa kuwa viatu vya farasi, thamani yake hupanda hadi dola 250.

Kikifinyangwa kutoa sindano za kushonea, kinakuwa na thamani ya karibu dola 70,000.

Kikichongwa kuwa sehemu za ndani za saa k**a vile mshale na gia, thamani yake hupaa hadi dola milioni 6.

Lakini kikipatikana kwa umbo la vifaa vya kisasa vya leza vinavyotumika kwenye chipu za kompyuta, kipande hicho hicho kinakuwa na thamani ya dola milioni 15.

Thamani yako ya kweli haipimwi kwa kile ulichotengenezwa nacho โ€” bali kwa jinsi unavyokua na kutumia ujuzi wako.

โ˜† Ulishawahi kusikia kauli kuwa, "maisha ni kuchagua?" Sasa kuchagua kwenyewe ndio huku. Thamani yako ni kile unachochagua na namna unavyojiunda kwa maarifa na ujuzi na ubora unaouchagua.

โ˜† Maisha yako ni k**a hii chuma... yanaweza kuwa mambo mengi. Chagua kuwa toleo lako bora kabisa na uufuate mchakato wa kuwa bila kukoma wala kukata tamaa.

Address

Meta
Mbeya

Telephone

+255653615692

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when ๐…๐€๐‡๐€๐Œ๐” ๐Œ๐€๐†๐€๐™๐ˆ๐๐„ posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to ๐…๐€๐‡๐€๐Œ๐” ๐Œ๐€๐†๐€๐™๐ˆ๐๐„:

Share

Category