๐…๐€๐‡๐€๐Œ๐” ๐Œ๐€๐†๐€๐™๐ˆ๐๐„

  • Home
  • Tanzania
  • Mbeya
  • ๐…๐€๐‡๐€๐Œ๐” ๐Œ๐€๐†๐€๐™๐ˆ๐๐„

๐…๐€๐‡๐€๐Œ๐” ๐Œ๐€๐†๐€๐™๐ˆ๐๐„ ๐„๐ฅ๐ข๐ฆ๐ข๐ค๐š ๐๐š ๐”๐›๐ฎ๐ซ๐ฎ๐๐ข๐ค๐ž
https://instagram.com/fahamumagazine/ https://youtu.be/gXqlqwj65MU

Nimesikitishwa sana kuona jina langu na sura yangu vikihusishwa na tukio la Police akifanya mashambulizi kwenye maandama...
07/11/2025

Nimesikitishwa sana kuona jina langu na sura yangu vikihusishwa na tukio la Police akifanya mashambulizi kwenye maandamano.

Napenda kusisitiza kuwa mtu anayeonekana kwenye ile picha si mimi, tumefanana tu. Kwa sasa niko Congo kikazi nikiendeleza majukumu yangu k**a dereva wa gari la mizigo, nikiwa mbali kabisa na yaliyoendelea.

Ni uchungu mkubwa kuona mtu akituhumiwa kwa jambo zito k**a hilo bila kosa. Heshima yangu, maisha yangu ya kazi, na usalama wangu vimeguswa na jambo hili. Naomba jamii, ndugu na marafiki waendelee kutuamini; ukweli upo wazi.

Naamini haki itasimama na jina langu litarejea katika heshima yake. Ahsanteni kwa uungwana, sala na msaada wenu wote wakati huu mgumu.

Hamza Msonga ๐Ÿ—ฃ

Aiseeee ๐Ÿฅบ
06/11/2025

Aiseeee ๐Ÿฅบ

Kwenye simu yako bado unanyimbo za wasanii wa Bongo ๐Ÿšถ
06/11/2025

Kwenye simu yako bado unanyimbo za wasanii wa Bongo ๐Ÿšถ

MENE MENE TEKELIโœ๏ธHaya sasa kwa wale wajuzi wa maarifa, hii ishara inamaanisha nini ๐Ÿ˜ถโ€๐ŸŒซ๏ธ
05/11/2025

MENE MENE TEKELIโœ๏ธ

Haya sasa kwa wale wajuzi wa maarifa, hii ishara inamaanisha nini ๐Ÿ˜ถโ€๐ŸŒซ๏ธ

"Mama wa mtoto wangu alidhani dola 5,000 kwa mwezi za matunzo ya mtoto zingenikwamisha, kwa hiyo nikamlipa dola 1,080,00...
05/11/2025

"Mama wa mtoto wangu alidhani dola 5,000 kwa mwezi za matunzo ya mtoto zingenikwamisha, kwa hiyo nikamlipa dola 1,080,000 kwa miaka 18 yote mara moja. Hatujihusishi tena." ~ Anthony Edwards

Mchezaji nyota wa NBA, Anthony Edwards, amefanya uamuzi wa kihistoria kwa kulipa dola 1,080,000 mara moja k**a gharama ya matunzo ya mtoto kwa kipindi cha miaka 18 ijayo.

Kwa kufanya hivyo, amemaliza kabisa jukumu lake la malipo ya kila mwezi mapema. Baada ya miaka 18, mtoto wake atakuwa mtu mzima na hatakuwa tena na haki ya kupokea matunzo hayo.

KWETU BOBGO IMEKAAJE HIYO...

Daktari nchini Burkina Faso aliyemkosoa Rais Ibrahim Traorรฉ kwa kushindwa kupambana na ugaidi, alik**atwa, akapewa mafun...
05/11/2025

Daktari nchini Burkina Faso aliyemkosoa Rais Ibrahim Traorรฉ kwa kushindwa kupambana na ugaidi, alik**atwa, akapewa mafunzo na kutumwa moja kwa moja kwenye uwanja wa mapigano.
Traorรฉ, alisema, "Ikiwa daktari anathubutu kunikosoa Mimi mwanajeshi Ina maana yeye anajua zaidi yangu SI ndio ? , basi na achangie moja kwa moja!".

HIVI HAIWEZEKANI RAIS MMOJA KUONGOZA NCHI MBILI๐Ÿ™„!
Najaribu tu kufikiria...

Aiseeee ๐Ÿ˜‚
12/10/2025

Aiseeee ๐Ÿ˜‚

Kuna jamaa alifungwa jela miaka 7 kwa kosa la wizi wa mamilioni ya pesa. Baada ya miaka 2 akiwa jela anapata barua toka ...
12/10/2025

Kuna jamaa alifungwa jela miaka 7 kwa kosa la wizi wa mamilioni ya pesa. Baada ya miaka 2 akiwa jela anapata barua toka kwa babake,

Mwanangu mpendwa umeniacha Katika hali ya uzee na maradhi, wakati wa kutayarisha shamba umefika, na sina mtu wa kunilimia, natamani ungekuwepo ukanisaidia kulima na kupanda mahindi. Tutaonana mungu akipenda.

Mtoto akajibu- Baba tafadhali usije lima katika hilo shamba kwa sasa mpaka nitoke jela, pesa zote nilizoiba nimezifukia Katika shamba hilo.

Kwa kuwa barua zote za wafungwa husomwa na Askari wa gerezani. Baba siku ya pili alipoamka akakuta Askari magereza zaidi ya 100 wanalima shamba. Mpaka wak**aliza wasipate kitu.
Mtoto akamwandikia Baba yake,
Mpendwa baba natumai msaada niliokupa umeufurahia, panda mahindi sasa.
.๐Ÿ‘ฎ๐Ÿ‘ฎ๐Ÿƒ๐Ÿƒ...๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Aiseeee
10/10/2025

Aiseeee

Ukishazikwa tu habari yako ndo inakuwa imeisha, hakuna ataye jihangaisha kukukumbuka, HAKIKISHA UNAENJOY UNAPOKUWA DUNIA...
10/10/2025

Ukishazikwa tu habari yako ndo inakuwa imeisha, hakuna ataye jihangaisha kukukumbuka,
HAKIKISHA UNAENJOY UNAPOKUWA DUNIANI๐Ÿ™‚

Unavyoiona hii graph ๐Ÿ“ˆ, unadhani hapa alikuwa anatafutwa mtoto  gani?๐Ÿ˜ƒ
09/10/2025

Unavyoiona hii graph ๐Ÿ“ˆ, unadhani hapa alikuwa anatafutwa mtoto gani?๐Ÿ˜ƒ

Penzi ni penzi tu โ˜บ๏ธMwaka 2015 Wawili hao wote walikua hivo SEMA tuu huyo mwanamke kipindi hiko alikua mcheza filamu za ...
09/10/2025

Penzi ni penzi tu โ˜บ๏ธ

Mwaka 2015 Wawili hao wote walikua hivo SEMA tuu huyo mwanamke kipindi hiko alikua mcheza filamu za ngono mwaka 2025 Wawili hao wapo kwenye penzi zito balaaaa ๐Ÿ˜€

Address

Meta
Mbeya

Telephone

+255653615692

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when ๐…๐€๐‡๐€๐Œ๐” ๐Œ๐€๐†๐€๐™๐ˆ๐๐„ posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to ๐…๐€๐‡๐€๐Œ๐” ๐Œ๐€๐†๐€๐™๐ˆ๐๐„:

Share

Category