Tapule 24 NEWs

Tapule 24 NEWs Page is all about Social and Politics News

26/07/2026

SERIKALI YA AWAMU YA SITA YAENDELEA KUFUTA MACHOZI YA WANANCHI WA KATA YA MPOMBO, HALMASHAURI YA WILAYA YA BUSOKELO

Wananchi wa Kata ya Mpombo wameendelea kunufaika na jitihada za Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, baada ya Serikali kutoa Tsh 780,965,648.00 kwa ajili ya ujenzi wa Kituo cha Afya cha Kata ya Mpombo.
Leo, tarehe 26 Julai 2026, wananchi wameeleza shukrani zao wakati wa ziara ya Timu ya Maandalizi ya Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2026 ya Mkoa wa Mbeya, kwa kushirikiana na Kamati za Wilaya, zilizotembelea mradi huo unaotarajiwa kuwekewa Jiwe la Msingi wakati wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2026.

Mradi huu ni ushahidi wa dhamira ya Serikali ya Awamu ya Sita ya kuboresha huduma za afya kwa kusogeza huduma muhimu karibu na wananchi, hivyo kupunguza adha ya kusafiri umbali mrefu kutafuta matibabu.

Hongera Serikali ya Awamu ya Sita! Hongera Lutengano G. Mwalwiba, Mhe.Mbunge Jimbo la Busokelo, Hongera Anyasisye Njobelo, Mhe Diwani kata ya Mpombo, hongereni Wananchi wa Kata ya Mpombo kwa hatua hii muhimu ya maendeleo!

20/06/2026

VIJANA TUEPUKE KUFUATA MIKUMBO YA KIUCHOCHEZI MITANDAONI

Tarehe 19/06/2026 WMT-Kata ya Mpombo ilipata fursa ya kutembelea vijiwe vya vijana na maeneo mbalimbali yanayokusanya vijana katika Kata ya Mpombo. Katika mazungumzo yetu, nilisisitiza umuhimu wa kuipenda nchi yetu, kulinda amani, umoja na mshik**ano wa Taifa letu.

Pia waliwasisitiza vijana kuepuka kufuata mikumbo ya kiuchochezi inayosambazwa kupitia mitandao ya kijamii, kwani mara nyingi huweza kupotosha na kuathiri maendeleo ya jamii na Taifa kwa ujumla.

Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imeendelea kuweka mazingira rafiki na fursa mbalimbali kwa vijana kupitia Wizara yenye dhamana ya maendeleo ya vijana, lengo likiwa kuwawezesha vijana kujiajiri, kujiendeleza kiuchumi na kushiriki kikamilifu katika ujenzi wa Taifa.

Vijana ni nguvu ya Taifa; tuchague maarifa, uzalendo na maendeleo badala ya upotoshaji.

04/06/2026

Wananchi wa Kata ya Mpombo wameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa Shilingi Milioni 780 kwa ajili ya ujenzi wa Kituo cha Afya Mpombo.

Mradi huu muhimu utaongeza upatikanaji wa huduma bora za afya kwa wananchi na kupunguza adha ya kusafiri umbali mrefu kutafuta matibabu. Wananchi wameahidi kuendelea kushiriki kikamilifu katika utekelezaji wa mradi huu ili kuhakikisha unakamilika kwa wakati na kwa viwango vinavyotakiwa.
Maendeleo yanapatikana pale Serikali na wananchi wanaposhirikiana.
Kazi na Utu, tunasonga mbele! ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

Loema Peter
04/05/2026

Loema Peter

01/05/2026

Shared album ยท Tap to view!

THINK BIG SCHOOLS โ€“ Loema Peter  Wangara, maadhimisho ya Mei Mosi Manyara, ambapo Mkuu wa Mkoa Mh. Sendiga aliungana na ...
01/05/2026

THINK BIG SCHOOLS โ€“ Loema Peter Wangara, maadhimisho ya Mei Mosi Manyara, ambapo Mkuu wa Mkoa Mh. Sendiga aliungana na wafanyakazi na kuonesha moyo wa kuthamini juhudi zao kwa namna ya kipekee. ๏ฟฝ
YouTube
Ni tukio lililojaa hamasa, motisha na kuthamini mchango wa wafanyakazi katika maendeleo ya jamii.
Karibu utazame ujifunze, upate hamasa na kushuhudia matukio muhimu yaliyojiri siku hiyo.
๐Ÿ‘ *Usisahau kushare na wengine wapate kujifunza pia!*

1 like. "THINK BIG SCHOOLS, LOEMA WANGARA MEI MOSI MANYARA, MKUU WA MKOA MH SENDIGA AWAMWAGIA NOTI"

JIUNGE NA KIPOKE HIGH SCHOOL 2026/2027 ๐Ÿ”ฅTunawakaribisha Wazazi/Walezi na Wanafunzi kujiunga na familia ya mafanikio!๐Ÿ“ Ki...
12/04/2026

JIUNGE NA KIPOKE HIGH SCHOOL 2026/2027 ๐Ÿ”ฅ

Tunawakaribisha Wazazi/Walezi na Wanafunzi
kujiunga na familia ya mafanikio!

๐Ÿ“ Kiwira โ€“ Tukuyu, Mbeya
๐ŸŽ“ Tunapokea:
๐Ÿ‘‰ Kidato cha Kwanza hadi Kidato cha Sita
๐Ÿ‘‰ Michepuo yote: PCM, PCB, CBG, PGM, EGM, HGE, HGL, HGK & HKL
โœจ Kwa nini uchague sisi?

โœ… Ada nafuu: Tsh 1,000,000 tu kwa mwaka (BWENI)

โœ… Elimu bora na walimu waliobobea

โœ… Mazingira salama, nidhamu na malezi bora

โœ… PRE-FORM FIVE inaendelea โ€“ wahi nafasi yako!

โœ… Nafasi za Private Candidates zinapatikana

๐Ÿ“š Anza safari ya mafanikio leo na KIPOKE HIGH SCHOOL!
๐Ÿ“ž Wasiliana nasi:
๐Ÿ“ฒ +255 753 606 402
๐Ÿ“ฒ +255 719 917 822
๐Ÿ“ฒ +255 764 409 632

๐ŸŒŸ KIPOKE HIGH SCHOOL โ€“ Tunakuandaa kwa kesho iliyo bora! ๐ŸŒŸ

๐ŸŒธ HAPPY INTERNATIONAL WOMENโ€™S DAY โ€“ 8th MARCH ๐ŸŒธThink Big Pre & Primary English Medium School tunawatakia wanawake wote S...
08/03/2026

๐ŸŒธ HAPPY INTERNATIONAL WOMENโ€™S DAY โ€“ 8th MARCH ๐ŸŒธ
Think Big Pre & Primary English Medium School tunawatakia wanawake wote Siku Njema ya Wanawake Duniani.

Leo tunatambua mchango mkubwa wa wanawake katika jamii โ€“ k**a walezi, walimu, viongozi na wajenzi wa kizazi cha kesho. Ujasiri wenu, upendo wenu na bidii yenu vinaifanya dunia kuwa mahali bora zaidi.
Tunawaenzi wanawake wote wanaoendelea kuhamasisha elimu, maendeleo na maadili mema kwa watoto wetu na jamii kwa ujumla.
๐ŸŒท Mwanamke ni nguzo ya familia na taifa.
๐ŸŒท Elimu ya mtoto huanza na mwanamke.
Hongereni sana wanawake wote!
Loema Peter



19/09/2025

Address

MBEYA
Mbeya
2025

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tapule 24 NEWs posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share