Dizzim Fm

Dizzim Fm Official page for Dizzim fm | Instagram & Twitter | Frequency 93.1 Morogoro |

 atakuwepo leo ndani ya LUMBESA ya 93.1 Dizzim FM na     pamoja na Sikiliza LUMBESA Kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa ku...
31/07/2025

atakuwepo leo ndani ya LUMBESA ya 93.1 Dizzim FM na pamoja na

Sikiliza LUMBESA Kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia saa 4:00 Asubuhi hadi saa 7:00 Mchana.

 atakuwepo leo ndani ya LUMBESA ya 93.1 Dizzim FM na  ,  ,  pamoja na Sikiliza LUMBESA Kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa...
30/07/2025

atakuwepo leo ndani ya LUMBESA ya 93.1 Dizzim FM na , , pamoja na

Sikiliza LUMBESA Kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia saa 4:00 Asubuhi hadi saa 7:00 Mchana.

Kwani hamjasikia? Ukweli maneno yamesambaa maana hata sisi tumesikia ila bado mwenyewe hajatwambia.Kwa taarifa Nilizosik...
30/07/2025

Kwani hamjasikia? Ukweli maneno yamesambaa maana hata sisi tumesikia ila bado mwenyewe hajatwambia.

Kwa taarifa Nilizosikia kesho 31/7/2025 ataongea.
Watu wote tunapaswa kusogea pale

Gari ndogo yenye namba za Usajiri T179 BVC imegonga Treni Usiku huu wa Julai 13, 2025, huku Dereva wa gari hiyo akikimbi...
12/07/2025

Gari ndogo yenye namba za Usajiri T179 BVC imegonga Treni Usiku huu wa Julai 13, 2025, huku Dereva wa gari hiyo akikimbia.

Ajali hiyo imetokea ajali katika makutano ya reli ya Kati barabara jirani na Zilipo Ofisi za Makao Makuu ya Ofisi Tanesco Mkoani Morogoro.

Katika ajali hiyo hakuna taarifa za Vifo wala Majeruhi.

Endelea kukaa jirani na kwa taarifa zaidi.

✍🏻 


Dizzim FM inawatakia Waislamu na Watanzania wote Eid al-Adha Mubarak!
07/06/2025

Dizzim FM inawatakia Waislamu na Watanzania wote Eid al-Adha Mubarak!

Timu ya Simba SC imejinyakulia medali za ushindi wa pili katika fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC), baada ya ...
25/05/2025

Timu ya Simba SC imejinyakulia medali za ushindi wa pili katika fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC), baada ya kutoka sare ya 1–1 dhidi ya RS Berkane kwenye uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar.

Bao la mapema la Sadio Mutale liliwapa Simba matumaini makubwa kipindi cha kwanza, lakini RS Berkane walirejea kipindi cha pili na kusawazisha, na hivyo kufanikisha ushindi wa jumla wa 3–1 kwa mabao ya nyumbani na ugenini (aggregate).

Licha ya kutotwaa taji, Simba SC wameonyesha kiwango bora na kuifikisha Tanzania kwenye hatua ya juu ya mashindano ya CAF mafanikio yanayostahili pongezi.

✍️ .tz


SIMBA 1-1 BERKANE (1-3 AGG)⚽ Mutale⚽ S. Sidibe✍️ .tz
25/05/2025

SIMBA 1-1 BERKANE (1-3 AGG)

⚽ Mutale
⚽ S. Sidibe

✍️ .tz


Katika dakika za mwanzo za mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC) unaoendelea kutimua vumbi katika Uwan...
25/05/2025

Katika dakika za mwanzo za mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC) unaoendelea kutimua vumbi katika Uwanja wa New Amaan Complex, Simba SC wamefungua pazia la mabao kupitia kwa Mutale, aliyeunganisha kwa ustadi.

Bao hilo linaweka Simba mbele kwa 1–0 dhidi ya RS Berkane.

Mchezo unaendelea kwa kasi na mashambulizi kutoka pande zote mbili ukipamba moto.

✍️ .tz


Wanasimba hapo vipi..!!
25/05/2025

Wanasimba hapo vipi..!!


Mashabiki wa soka wameelekeza macho yao katika Uwanja wa Amaan, Zanzibar, ambako leo hii timu ya Simba SC itachuana na R...
25/05/2025

Mashabiki wa soka wameelekeza macho yao katika Uwanja wa Amaan, Zanzibar, ambako leo hii timu ya Simba SC itachuana na RS Berkane ya Morocco katika mchezo wa mkondo wa pili wa fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC).

Mchezo huo wa kihistoria unafanyika visiwani kwa mara ya kwanza, na tayari hali ya hewa ya kisoka imetanda maeneo mbalimbali ya Zanzibar huku mashabiki wakionekana wakiwa na rangi za nyekundu na nyeupe ishara ya kuunga mkono Simba.

Timu zote mbili zinapambana kufukuzia taji la heshima barani Afrika, huku Simba SC ikisaka kuwa klabu ya kwanza ya Tanzania kushinda Kombe hilo.

✍️ .tz


Katika kuelekea wiki ya maziwa kitaifa itakayofanyika kuanzia Tarehe 27 Mei 2025 hadi 1 Juni 2025 Mkoani Morogoro jamii ...
23/05/2025

Katika kuelekea wiki ya maziwa kitaifa itakayofanyika kuanzia Tarehe 27 Mei 2025 hadi 1 Juni 2025 Mkoani Morogoro jamii imeshautiwa kuyatumia maadhimisho hayo kujifunza juu ya umuhumu wa matumizi ya maziwa na uzalishaji wake.

Kauli hiyo imetolewa na mkuu wa Mkoa wa morogoro Mhe Adam Kigoma Malima wakati akizungumza na Waandishi wa Habari, Bodi ya Maziwa na Wadau mbalimbali leo Mei 23 Ofisini kwake ambapo Amesema kuwa maadhimisho hayo yanamalengo ya kutoa elimu kuhusu matumizi na umuhimu wa maziwa katika jamii pamoja na uzalishaji wake.

Pamoja na hayo Mhe malina Amesema kuwa Mkoa wa Morogoro umejipanga kufanya mapinduzi ya kilimo na kumuondoa mtanzania kwenye umasikini kupitia kilimo Uvuvi, kilimo mazao, kilimo mifugo pamoja na kilimo Misitu.

Maadhimisho haya ya Wiki ya Maziwa ni ya Ishirini na Nane (28) kufanyika kitaifa na kwa mwaka huu wa 2025 yanafanyika Mkoani Morogoro huku yakibeba kauli mbiu isemayo Maziwa Salama kwa Afya Bora na Uchumi Endelevu.

✍️


FT: RS Berkane 2-0 Simba SC⚽️ Mamadou Camara 8'⚽️ Oussama Lamlaoui 14'Katika mchezo wa kwanza wa fainali ya Kombe la Shi...
17/05/2025

FT: RS Berkane 2-0 Simba SC
⚽️ Mamadou Camara 8'
⚽️ Oussama Lamlaoui 14'

Katika mchezo wa kwanza wa fainali ya Kombe la Shirikisho la CAF, Simba SC imeshindwa kufurukuta dhidi ya wenyeji RS Berkane na kupoteza kwa mabao 2-0.

Simba sasa wanahitaji ushindi wa 3-0 kwenye mchezo wa marudiano utakaopigwa Mei 25, 2025 ili kutwaa ubingwa wa CAF Confederation Cup kwa mara ya kwanza katika historia yao.

✍️ .tz


Address

Mtawala
Morogoro

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dizzim Fm posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category