BANDO MC TZ

BANDO MC TZ 💎𝐏𝐇𝐈𝐋𝐎𝐒𝐎𝐏𝐇𝐄𝐑.....

📚𝐈𝐍𝐒𝐏𝐈𝐑𝐀𝐓𝐈𝐎𝐍𝐀𝐋&𝐌𝐎𝐓𝐈𝐕𝐀𝐓𝐈𝐎𝐍 𝐖𝐎𝐑𝐃𝐒....

📖𝐒𝐏𝐄𝐀𝐊𝐄𝐑 𝐎𝐅 𝐓𝐑𝐔𝐓𝐇....

TUISHIE HAPA📌
31/12/2025

TUISHIE HAPA📌

🔋HAKIKA
28/12/2025

🔋HAKIKA

"𝐇𝐞𝐤𝐢𝐦𝐚 𝐳𝐚 𝐔𝐦𝐦𝐚 𝐬𝐢 𝐤𝐢𝐭𝐮 𝐤𝐰𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐦𝐨𝐲𝐨 𝐮𝐬𝐢𝐨 𝐧𝐚 𝐀𝐦𝐚𝐧𝐢 𝐲𝐚 𝐤𝐮𝐝𝐮𝐦𝐮"S TE VESteven Gerald
27/12/2025

"𝐇𝐞𝐤𝐢𝐦𝐚 𝐳𝐚 𝐔𝐦𝐦𝐚 𝐬𝐢 𝐤𝐢𝐭𝐮 𝐤𝐰𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐦𝐨𝐲𝐨 𝐮𝐬𝐢𝐨 𝐧𝐚 𝐀𝐦𝐚𝐧𝐢 𝐲𝐚 𝐤𝐮𝐝𝐮𝐦𝐮"

S TE VE
Steven Gerald

KISA CHA BUBU NA MAJARIBU YA DUNIANI🪄🔋Siku moja katika pitapita zangu mtaani nilikutana na watu wa aina mbili tofauti, m...
26/12/2025

KISA CHA BUBU NA MAJARIBU YA DUNIANI🪄🔋

Siku moja katika pitapita zangu mtaani nilikutana na watu wa aina mbili tofauti, mwenye uwezo wa kutafuta hela na asiye kuwa na huo uwezo wa kuingiza hata 0.1% kwa siku.

Basi ilikuwa hivi, asiye kuwa na huo uwezo alikuwa ni
(BUBU) alipita karibu na ofisini kwangu akihitaji kupata msaada fulani ambao mimi nilishindwa kuufumbua kutokana na vile vitendo alivyoonesha kuwa ni kitu fulani.

Tulikaa k**a dakika 3, akatokea mzee ambaye binafsi yeye kabarikiwa na Mungu ridhiki anaipata vizuri bila shida. Mzee huyu alijaribu kushare baadhi ya vitendo na yule bubu. Hali ilikuwa hivi:

MZEE ;Bwana naomba ninunuliwe soda k**a hiyo unayokunywa.

BUBU;Aaah hapana bwana mimi mwenyewe nimenunuliwa kule na jamaa fulani.

MZEE;Aaah wewe ninunulie bwana, hela si hiyo umeshika?
BUBU;Hapana bwana..

MZEE;Wewe ninunulie moja bwana, hela umeshika mkononi...

BUBU;Nilishaambiwa nisimnunulie mtu yeyote, hata k**a atataka, kwa sababu hela hii imetolewa kwa ajili yangu tu.

MZEE;Lakini sisi tunasaidiana, unayokunywa si umegawiwa tu, sasa nawe unisaidie...

JE?Mzee Huyu yupo sahihi au kajishusha heshima na ni unyanyasaji au imekaaje?

Hisia za kweli ni mzigo hasa uaminifu unapogeuka kuwa adhabu yako sahihi na yenye funzo kwa kesho usiyoijua"🔋FOLLOW
25/12/2025

Hisia za kweli ni mzigo hasa uaminifu unapogeuka kuwa adhabu yako sahihi na yenye funzo kwa kesho usiyoijua"

🔋FOLLOW

M'penzi wanangu ni kitendawili kilichojaa furaha na machozi bila majibu.Jana kilitupa furaha bila majibu ya sehemu tuliy...
24/12/2025

M'penzi wanangu ni kitendawili kilichojaa furaha na machozi bila majibu.

Jana kilitupa furaha bila majibu ya sehemu tuliyokuwepo, kikatupa amani ambayo mwisho wake ilitubid tushangae.

M'penzi yaliyojaa hisia za upande mmoja ni furaha ya moyo na ni huzuni kwenye huohuo moyo siku moja,hayo ndio mapenzi wanangu

Jana tulicheka nao leo tunalia juu yao ya mapenzi, hayana kiapo cha kudumu wala uaminifu wa kukinga upande wa huzuni

M'penzi ni gereza wanangu bila askari lakin hukumu utaiapata ipasavyo na ukitaji kutoka basi wakili wako ni Mungu na maamuzi yako.

F'ture wife ni maamuzi sio kiumbe kile kwaajili ya mwili wanangu,nyakati zinasonga muda unaenda lakin maamuzi sahihi yatadumu siku zote"

📌NAILED

27/11/2025
09/01/2024

Please Explain? Follow Me

  ANNOUNCEMENT
25/11/2023

ANNOUNCEMENT

Address

Morogoro

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when BANDO MC TZ posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share