tanakhredio

tanakhredio Official page For Tanakh Fm Radio Injili Kwa Kila Taifa na Kwa Kila Kiumbe.

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Watoto wa Kiume kwa sasa wapo hatarini na a...
27/08/2026

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Watoto wa Kiume kwa sasa wapo hatarini na amewataka Watanzania kuzingatia ulinzi wa Watoto wote.

Waziri Mkuu Mwigulu ameyasema hayo leo Bungeni Jijini Dodoma wakati akijibu swali la Mbunge wa Katavi, Thomas Kampala kuhusu vitendo vya usagaji na ushoga.

“Nitumie Bunge lako Tukufu, niwaombe watanzania kwamba sasa tuwazingatie watoto wote, hata watoto wa kiume kwa sasa wako hatarini sana, na pengine hatari ambayo wanaipata watoto wa kiume kwa sasa inaweza ikawa kubwa kuliko hata lile tulilokuwa tunaliona tatizo kwa watoto wa kike…”- Waziri Mkuu Dkt.Mwigulu Nchemba.

Usisahau kutufuatilia kwenye mitandao yetu
Facebook:
Instagram:
youtube:
Sikiliza kwa Masafa ya,
|105.9 FM Kilimanjaro
|100.3 FM Morogoro
|98.3 Arusha/Manyara
|103.5 Shinyanga/Kahama
online radio .radio12345.com
radio box .tanakhfm.com
Usiache kutufatilia na ku follow ukurasa wetu kwa habari na matukio mbali mbali yanayojiri kila pande ya dunia

Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) chini ya Mwenyekiti wake Rais Samia Suluhu Hassan imempendekeza Deogratius ...
26/08/2026

Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) chini ya Mwenyekiti wake Rais Samia Suluhu Hassan imempendekeza Deogratius Ndejembi (43) kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hilo limetangazwa na Katibu Mkuu wa CCM, Dk Asha Rose-Migiro usiku wa leo Jumatano, Agosti 26, 2026, ofisi ndogo za chama hicho, Lumumba jijini Dar es Salaam.

Dk Migiro amesema baada ya kupendekezwa jina hilo litapelewa bungeni kwa hatua zingine.

Ndejembi ambaye ni Waziri wa Nishati anachukua nafasi ya Dk Nchimbi, ambaye alitangaza kujiuzulu siku ya tarehe 25 Agosti 2026.

Usisahau kutufuatilia kwenye mitandao yetu
Facebook:
Instagram:
youtube:
Sikiliza kwa Masafa ya,
|105.9 FM Kilimanjaro
|100.3 FM Morogoro
|98.3 Arusha/Manyara
|103.5 Shinyanga/Kahama
online radio .radio12345.com
radio box .tanakhfm.com
Usiache kutufatilia na ku follow ukurasa wetu kwa habari na matukio mbali mbali yanayojiri kila pande ya dunia

Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amefukuzwa uanachama wa chama hicho.Dk Nchi...
26/08/2026

Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amefukuzwa uanachama wa chama hicho.

Dk Nchimbi amefukuzwa unachama siku moja baada ya kumwandikia barua Rais Samia Suluhu Hassan kumwomba kujiuzulu nafasi ya Makamu wa Rais ambapo ombi hilo lilikubaliwa.

Uamuzi wa kufukuzwa uanachama, umetangazwa usiku wa leo Jumatano, Agosti 26, 2026 na Katibu Mkuu wa CCM, Dk Asha Rose- Migiro alipozungumza na waandishi wa habari, ofisi ndogo za chama hicho, Lumumba jijini Dar es Salaam.

Ambapo alikuwa akitoa maazimio ya vikao vya k**ati kuu na Halmashauri Kuu vilivyokutana jijini Dar es Salaam kuanzia asubuhi hadi usiku wa leo Jumatano.

Dk Migiro amesema kulikuwa na ajenda ambazo zilijadiliwa na miongoni ni suala la maadili lililokuwa linamkabili mwanachama wetu Dk Nchimbi na vikao vyote vilijadili

Usisahau kutufuatilia kwenye mitandao yetu
Facebook:
Instagram:
youtube:
Sikiliza kwa Masafa ya,
|105.9 FM Kilimanjaro
|100.3 FM Morogoro
|98.3 Arusha/Manyara
|103.5 Shinyanga/Kahama
online radio .radio12345.com
radio box .tanakhfm.com
Usiache kutufatilia na ku follow ukurasa wetu kwa habari na matukio mbali mbali yanayojiri kila pande ya dunia

Kesi ya uhaini namba 19605/2025 inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Antiphas Lissu, imeshika kasi kubwa leo ...
26/08/2026

Kesi ya uhaini namba 19605/2025 inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Antiphas Lissu, imeshika kasi kubwa leo Agosti 26, 2026, baada ya kurejea kwa ajili ya maswali ya dodoso (cross-examination) ambapo Lissu k**a shahidi wa kwanza amedodoswa na Wakili wa Serikali Mkuu, Nassor Katuga, ambapo mwanasiasa huyo amekiri kuwa kauli za ‘tutakinukisha’ ni zake lakini akasisitiza kuwa hazina shida yoyote kisheria wala hazitengenezi kosa la uhaini.

Joto la maswali hayo ya dodoso lilianza pale Wakili wa Serikali Mkuu alipotaka Lissu athibitishe k**a anatambua kuwa Tanzania ni nchi huru iliyopata uhuru Desemba 9, 1961, na k**a Mahak**a ndicho chombo cha mwisho cha maamuzi ya kisheria. Lissu amekiri kuwa Mahak**a hailazimishwi na mamlaka yoyote ya ndani au nje inapotoa uamuzi yake.

Sambamba na hayo, Wakili wa Serikali alimuuliza Lissu k**a anakataa maneno yaliyo kwenye hati ya mashtaka yanayosema " Wanasema msimamo huu unaashiria uasi, ni kweli..., kwa sababu tunasema tutazuia uchaguzi, tutahamasisha uasi, hivyo ndivyo namna ya kupata mabadiliko..., kwa hiyo tunaenda kukinukisha..., sana sana huu uchaguzi tutaenda kuuvuruga kwelikweli". Lissu alijibu kuwa ili kuelewa maneno hayo, ni lazima mtu aelewe hotuba nzima. Wakili aliendelea kumuuliza k**a maneno hayo ni yake au la, Lissu alijibu "Maneno ni ya kwangu, na hayana shida".
Wakili wa Serikali alimuuliza Lissu k**a ana chuki binafsi dhidi ya serikali kutokana na mfululizo wa mapambano yake ya kisiasa. Lissu hakumung'unya maneno bali alijibu thabiti, "Nina chuki dhidi ya uonevu, nina chuki na serikali inayoonea watu".

Usisahau kutufuatilia kwenye mitandao yetu
Facebook:
Instagram:
youtube:
Sikiliza kwa Masafa ya,
|105.9 FM Kilimanjaro
|100.3 FM Morogoro
|98.3 Arusha/Manyara
|103.5 Shinyanga/Kahama
online radio .radio12345.com
radio box .tanakhfm.com
Usiache kutufatilia na ku follow ukurasa wetu kwa habari na matukio mbali mbali yanayojiri kila pande ya dunia

JESHI la Polisi Mkoani Kilimanjaro wamemk**ata John Daud (42), mkazi wa Mtaa wa Renguwa, Manispaa ya Moshi, anayedaiwa k...
26/08/2026

JESHI la Polisi Mkoani Kilimanjaro wamemk**ata John Daud (42), mkazi wa Mtaa wa Renguwa, Manispaa ya Moshi, anayedaiwa kuchoma moto jengo la zamani la Mahak**a ya Mwanzo ya Moshi.

Daud amek**atwa akiwa katika sherehe za Maulidi, siku moja baada ya kutokea kwa tukio hilo la moto, lililoripotiwa Jumatatu, Agosti 24, 2026, katika Mtaa wa Renguwa, Kata ya Mawenzi, Wilaya ya Moshi.

Daud anadaiwa kuhusika na uchomaji wa jengo hilo majira ya saa mbili asubuhi, wakati ambapo jengo hilo halikuwa likitumika tena kwa shughuli za kimahak**a.
Moto huo ulisababisha vyumba vinne vya jengo hilo kuteketea pamoja na nyaraka mbalimbali zilizokuwa zimehifadhiwa ndani ya ofisi hizo.

Usisahau kutufuatilia kwenye mitandao yetu
Facebook:
Instagram:
youtube:
Sikiliza kwa Masafa ya,
|105.9 FM Kilimanjaro
|100.3 FM Morogoro
|98.3 Arusha/Manyara
|103.5 Shinyanga/Kahama
online radio .radio12345.com
radio box .tanakhfm.com
Usiache kutufatilia na ku follow ukurasa wetu kwa habari na matukio mbali mbali yanayojiri kila pande ya dunia

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu, amepandishwa kizimbani, tayari kuanza kuwasilisha...
26/08/2026

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu, amepandishwa kizimbani, tayari kuanza kuwasilisha ushahidi wake wa kujitetea.

Akipandishwa kizimbani hapo, Lissu amesikika akimwambia Makamu Mwenyekiti wake John Heche kwamba "ongeza moto". Na hii imekuwa kauli ambazo lissu mara nyingi amekuwa akizitumia pindi Anapofika Mahak**ani

Usisahau kutufuatilia kwenye mitandao yetu
Facebook:
Instagram:
youtube:
Sikiliza kwa Masafa ya,
|105.9 FM Kilimanjaro
|100.3 FM Morogoro
|98.3 Arusha/Manyara
|103.5 Shinyanga/Kahama
online radio .radio12345.com
radio box .tanakhfm.com
Usiache kutufatilia na ku follow ukurasa wetu kwa habari na matukio mbali mbali yanayojiri kila pande ya dunia

Mashabiki wa Simba SC  mnaolumbana kwenye vyombo vya habari, wote mna hoja za msingi na kila mmoja yuko sahihi kwa mtaza...
18/08/2026

Mashabiki wa Simba SC mnaolumbana kwenye vyombo vya habari, wote mna hoja za msingi na kila mmoja yuko sahihi kwa mtazamo wake.

Agizo langu ni moja: Acheni mara moja marumbano hayo ili kuipa klabu utulivu na kuendelea kupambana kwenye Ligi Kuu.

K**a mnafanya kwa matakwa yenu binafsi, basi sitisheni kuanzia sasa! Na k**a ni maagizo, waambieni wanaowatuma watoke hadharani wazungumze wenyewe, ili Dunia ijue mnagombania nini.

Kwa sasa, Wana Simba wote tuunganishe nguvu zetu kupambana na maadui 15 wa Ligi Kuu ya NBC. 🦁🔥 Amezungumza ahmed ally

Usisahau kutufuatilia kwenye mitandao yetu
Facebook:
Instagram:
youtube:
Sikiliza kwa Masafa ya,
|105.9 FM Kilimanjaro
|100.3 FM Morogoro
|98.3 Arusha/Manyara
|103.5 Shinyanga/Kahama
online radio .radio12345.com
radio box .tanakhfm.com
Usiache kutufatilia na ku follow ukurasa wetu kwa habari na matukio mbali mbali yanayojiri kila pande ya dunia

17/08/2026

Ushahidi upande wa Jamhurii kwenye kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Tundu Lissu umefungwa rasmi leo Agosti 17, 2026.

Akiwasilisha maombi hayo mbele ya Jopo la Majaji watatu wakiongozwa na Jaji Dunstan Ndunguru Wakili Katuga amesema “Waheshimiwa Majaji wa Mahak**a Kuu kuwa upande wa Jamhuri baada ya kupitia ushahidi ambao tayari umewasilisha mahak**ani na kuangalia ushahidi uliobakiwa kwa maana mashahidi waliobaki tumeuchambua na kuangalia hoja zilizokubaliwa upande wa jamhuri ukajikuta kwamba unaona ushahidi ambao tayari umeshautoa ni ushahidi toshelezi na kuleta ushahidi zaidi kuthibitisha hoja ambazo zilikubaliwa wakati wa hoja za awali(Preliminary hearing)ni kinyume cha sheria.” Amesema Katuga

“Hivyo basi tunafurahishwa kuitaarifu mahak**a hii tukufu kwamba upande wa jamhuri umefunga ushahidi wake kwa mashahidi hao 17.” aliongeza Katuga

Ikumbukwe katika kesi hii Jamhuri ilikuwa na jumla ya mashahidi 30 lakini hata hivyo ilishaeleza haitalazimika kutumia mashahidi wote bali itatumia wale ambao itaona wanatosha kukamilisha ushahidi wao.

Usisahau kutufuatilia kwenye mitandao yetu
Facebook:
Instagram:
youtube:
Sikiliza kwa Masafa ya,
|105.9 FM Kilimanjaro
|100.3 FM Morogoro
|98.3 Arusha/Manyara
|103.5 Shinyanga/Kahama
online radio .radio12345.com
radio box .tanakhfm.com
Usiache kutufatilia na ku follow ukurasa wetu kwa habari na matukio mbali mbali yanayojiri kila pande ya dunia

13/08/2026

Leo katika kipindi cha ndani ya kikiongozwa nna mtangazaji wa kipindi hicho hi leo amezungumza na moja kati ya wasikilizaji ambaye leo amepiga simu na kusema kuwa mume wake amemwambia mama yake anamchagulia wanawake.

Hayo Yamesikika kwa siku hi ya leo baada ya msikilizaji kupiga simu na kudai kuwa mama mkwe amekua akimchagulia mwanae mtu wa kumuoa licha ya wao kuishi kwa zaidi ya miaka 3 na kupata mtoto mmoja

Usisahau kutufuatilia kwenye mitandao yetu
Facebook:
Instagram:
youtube:
Sikiliza kwa Masafa ya,
|105.9 FM Kilimanjaro
|100.3 FM Morogoro
|98.3 Arusha/Manyara
|103.5 Shinyanga/Kahama
online radio .radio12345.com
radio box .tanakhfm.com
Usiache kutufatilia na ku follow ukurasa wetu kwa habari na matukio mbali mbali yanayojiri kila pande ya dunia

13/08/2026

Msemaji wa Klabu ya Simba, Ahmed Ally, amesema kikosi hicho kina Wachezaji wenye uwezo mzuri lakini kinachohitajika kwa sasa ni kuongeza ubora wa Wachezaji waliopo, badala ya kutegemea usajili wa Mchezaji mpya kubadilisha hali ya timu.

Aliyazumza hayo baada ya Simba kupoteza kwa bao 1-0 dhidi ya Yanga katika fainali ya Ngao ya Jamii, Ahmed amesema Simba ina mabeki wazuri wa kati, kulia na kushoto pamoja na viungo wenye uwezo, hivyo ni muhimu kurejesha kiwango walichokuwa nacho msimu uliopita.

Usisahau kutufuatilia kwenye mitandao yetu
Facebook:
Instagram:
youtube:
Sikiliza kwa Masafa ya,
|105.9 FM Kilimanjaro
|100.3 FM Morogoro
|98.3 Arusha/Manyara
|103.5 Shinyanga/Kahama
online radio .radio12345.com
radio box .tanakhfm.com
Usiache kutufatilia na ku follow ukurasa wetu kwa habari na matukio mbali mbali yanayojiri kila pande ya dunia

Address

P. O. BOX 10007
Moshi
25103

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when tanakhredio posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share

Category