22/02/2026
𝗙𝗔𝗜𝗗𝗔 𝗭𝗔 𝗞𝗨𝗙𝗔𝗡𝗬𝗔 𝗞𝗔𝗭𝗜 𝗡𝗔 𝗞𝗔𝗠𝗣𝗨𝗡𝗜 𝗬𝗔 𝗕𝗙 𝗦𝗨𝗠𝗔 ⭐
✍️𝟏. 𝐅𝐀𝐈𝐃𝐀 𝐘𝐀 𝐑𝐄𝐉𝐀 𝐑𝐄𝐉𝐀 (𝐑𝐞𝐭𝐚𝐢𝐥 𝐏𝐫𝐨𝐟𝐢𝐭) 💰
kampuni inakuwezesha kujipatia kipato cha papo kwa papo, kila siku kutokana na mauzo ya bidhaa mpaka 20% ya faida kwa kila bidhaa unayouza.
✍️ 𝟐.𝐌𝐀𝐋𝐈𝐏𝐎 𝐘𝐀 𝐊𝐈𝐋𝐀 𝐌𝐖𝐄𝐙𝐈 (𝐁𝐨𝐧𝐮𝐬).💰💸
Bonus/kamisheni ya utendaji, bonus hii inatokana na utendaji wako wewe mwenyewe, na mwisho wa mwezi mahesabu hufungwa na kupata kamisheni kuanzia 5%-28% kutokana na mauzo yako na ya team yako.
Bonus ya Uongozi, hii unaipata baada ya kufika katika ngazi ya Uongozi (leadership). Ambapo utapata nyongeza ya 3% ya mauzo ya watu ambao hawajafikia ngazi ya Uongozi katika team yako.
Gawio LA faida ya ulimwengu. Hapa kampuni inakupa kuanzia 0.75%-3% ya faida ya mauzo yoote yaliyofanyika katika kampuni ya BF SUMA duniani
✍️𝟑. 𝐓𝐔𝐙𝐎 𝐙𝐀 𝐒𝐀𝐅𝐀𝐑𝐈! 𝐓𝐫𝐚𝐯𝐞𝐥 𝐀𝐰𝐚𝐫𝐝𝐬)🧳✈️
Hapa unajipatia nafasi ya kusafiri kwenda likizo ya siku 8 katika nchi moja wapo ambayo imechaguliwa kwa mwaka husika ambapo yaweza kuwa ni Safari yenye thamani ya
Tsh Milioni 11.2 ($4000) mpaka Tsh Milioni 5.2 ($2000)
✍️𝟒. 𝐓𝐔𝐙𝐎 𝐙𝐀 𝐌𝐀𝐆𝐀𝐑𝐈 (𝐂𝐚𝐫 𝐀𝐰𝐚𝐫𝐝𝐬)🚘🚖
Hapa kampuni inatoa fursa ya wewe kujipatie gari endapo k**a utakidhi vigezo vya mauzo kwa mwaka kwenye kampuni. Gari yaweza kuwa yenye thamani ya kuanzia Milioni 28 ($12,500) au Luxury Car yenye
Thaman ya kuanzia Milioni 70 ($25,000)
✍️𝟓. 𝐓𝐔𝐙𝐎 𝐙𝐀 𝐍𝐘𝐔𝐌𝐁𝐀 (𝐕𝐢𝐥𝐥𝐚 𝐅𝐮𝐧𝐝 𝐀𝐰𝐚𝐫𝐝𝐬) 🏢
Kampuni inakupa nafasi ya kumiliki nyumba yako yenye thamani ya kuanzia Tsh Milioni 480 eneo lolote chini, pale utakapokidhi vigezo vya mauzo kwa miaka mitano
tuu.
Unahitaji kuwa mwanachamaaaa
Vigezo 18Yrs
185000 ya usajili 💪