Mtwara Online Tv

Mtwara Online Tv Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Mtwara Online Tv, Media/News Company, NANGWANDA SIJAONA MTWARA, Mtwara.
(1)

31/05/2026
MJUMBE WA BARAZA KUU LA UVCCM TAIFA, SAMEER MURJI, AZUNGUMZA NA WANACHAMA WA CCM BEIJING, CHINABeijing, China – 31 Mei 2...
31/05/2026

MJUMBE WA BARAZA KUU LA UVCCM TAIFA, SAMEER MURJI, AZUNGUMZA NA WANACHAMA WA CCM BEIJING, CHINA

Beijing, China – 31 Mei 2026

Mjumbe wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Sameer Murji, leo ameshiriki Mkutano wa Nusu Mwaka wa Shina la CCM Beijing uliofanyika jijini Beijing, China, ambapo alipata fursa ya kuzungumza na wanachama wa CCM pamoja na Watanzania wanaoishi nchini humo.

Akizungumza katika mkutano huo, Sameer Murji amewapongeza viongozi wa Shina la CCM Beijing kwa kuendelea kudumisha umoja, mshikamano na ushiriki wa wanachama katika shughuli za chama licha ya kuwa nje ya Tanzania.

Aidha, amesisitiza umuhimu wa Watanzania waliopo China kutumia fursa za elimu, biashara, teknolojia na uwekezaji zinazopatikana nchini humo kwa manufaa ya maendeleo ya Tanzania.

“Nimefurahishwa sana kuona jinsi ambavyo wanachama wa CCM Beijing wameendelea kuwa wamoja na kushirikiana. Raha ya mwana CCM ni kukutana, kufahamiana na kusaidiana katika safari ya maendeleo ya Taifa letu,” alisema Murji.

Katika hotuba yake, Murji ametoa pongezi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuendelea kuimarisha diplomasia ya uchumi na mahusiano ya kimataifa ambayo yameendelea kufungua fursa mbalimbali kwa Watanzania ndani na nje ya nchi.

Pia ameeleza kuwa mahusiano kati ya Tanzania na China yanaendelea kuimarika na kutoa rai kwa vijana wa Kitanzania waliopo China kutumia maarifa na uzoefu wanaoupata kuchangia maendeleo ya Taifa pindi wanaporejea nyumbani.

Vilevile, amewahimiza Watanzania waliopo China kuendelea kusaidiana, kushirikiana na kuinuana katika nyanja mbalimbali za maendeleo huku wakibaki kuwa mabalozi wazuri wa Tanzania.

Sameer Murji yupo nchini China kwa kushiriki Seminar for Youth Cadres from Belt and Road Countries, programu ya mafunzo ya vijana viongozi inayowakutanisha washiriki kutoka nchi mbalimbali duniani kwa lengo la kubadilishana uzoefu katika masuala ya maendeleo, uongozi na ushirikiano wa kimataifa.

Updates
Mtwara Online Tv
Habari Kiganjani Kwako

Kwenye imani ni kweli kuwa mwanamke kabla hajaolewa akivaa kovia hizi mahari yake inapungua ?Let's go kiganjani .
31/05/2026

Kwenye imani ni kweli kuwa mwanamke kabla hajaolewa akivaa kovia hizi mahari yake inapungua ?

Let's go kiganjani .

🎶🔥 LEO NI SUNDAY BONANZA – MUSIC BAND 🔥🎶Karibu Amsterdam City Pub usiku wa burudani ya aina yake ambapo wanamuziki na ma...
31/05/2026

🎶🔥 LEO NI SUNDAY BONANZA – MUSIC BAND 🔥🎶
Karibu Amsterdam City Pub usiku wa burudani ya aina yake ambapo wanamuziki na mashabiki watakutana jukwaani kuimba, kucheza na kufurahia muziki wa moja kwa moja.
🗓️ Jumapili, 31 Mei 2026
🕗 Milango itafunguliwa saa 2:00 usiku
🎤 Burudani kuanzia saa 1:00 usiku hadi alfajiri
📍 Amsterdam City Pub, Opp. Nangwanda Sijaona Stadium
🍖 Ni Kula
🍻 Ni Kunywa
🎵 Ni Ku-enjoy Miziki Mizuri
💃 Ni Burudani Mpaka Mapambazuko
Usikose Sunday Bonanza ya leo! Let's Be Happy Together.

Updates
Mtwara Online Tv
Habari Kiganjani Kwako

31/05/2026

NAMPACHILA SAFARIS 📌
🚌✨ SAFIRI KWA STAREHE NA UHAKIKA! ✨🚌
Karibu ujionee huduma ya kisasa kutoka NAMPACHILA SAFARIS – chaguo sahihi kwa safari yako ya uhakika kati ya Mtwara – Dar es Salaam kila siku!
⏰ Muda wa Kuondoka: Saa 1:30 Usiku
📍 Safari: Kila siku bila kukosa
💺 Huduma Ndani ya Basi: ✅ Internet Bure 📶
✅ Choo 🚻
✅ Azam TV 📺
✅ Vinywaji na Vitafunwa 🍹🍪
🎯 Kwa Usafiri Bora na Uhakika – Safiri nasi!
📞 Wasiliana nasi kwa Booking:
☎️ 0687 68 77 95
☎️ 0782 77 99 94
🔥 NAMPACHILA SAFARIS – Safari yako, Starehe yetu!

🍽️✨ KARIBU SUNDAY SITTY CAKES AND SNACKS ✨🍽️Kila siku ya Jumapili tunakukaribisha upate ladha tamu na chakula chenye ubo...
31/05/2026

🍽️✨ KARIBU SUNDAY SITTY CAKES AND SNACKS ✨🍽️
Kila siku ya Jumapili tunakukaribisha upate ladha tamu na chakula chenye ubora wa hali ya juu kutoka Sitty Cakes and Snacks 😋🔥
🍛 Karibu Upate
✅ Kisinia
✅ Biryani
✅ Pilau
📍 Mahali: Soko Kuu Mtwara
📞 Huduma za mawasiliano: 0717532569
Njoo ufurahie chakula kitamu pamoja na huduma bora kila Jumapili.
Sitty Cakes and Snacks – Ladha halisi yenye kukurudisha tena na tena! 🌟

FURAHIA urahisi wa kufanya malipo popote ulipo kupitia PBZ Mobile App!➡️Tuma Pesa➡️Lipia Bili➡️Nunua Umeme(Luku/Tukuza)➡...
31/05/2026

FURAHIA urahisi wa kufanya malipo popote ulipo kupitia PBZ Mobile App!

➡️Tuma Pesa
➡️Lipia Bili
➡️Nunua Umeme(Luku/Tukuza)
➡️Lipia SGR na Tiketi za Ndege

Ukiwa nyumbani, kazini au safarini, PBZ Mobile App iko pamoja nawe kila hatua

Pakua PBZ Mobile App kupitia Playstore au Appstore ufurahie urahisi wa maisha leo

PBZ BANK: "Benki ya watu, Chaguo la watu"

30/05/2026

HAJI MANARA: TIMU ZA TAIFA NI ALAMA YA UMOJA WA WATANZANIA

Msemaji wa Timu za Taifa, Haji Manara, amesema kuwa Timu za Taifa zina nafasi ya kipekee katika kuunganisha Watanzania wote bila kujali tofauti zao za kikabila, kidini au kijamii.

Manara amesema kuwa mapenzi ya Watanzania kwa Timu za Taifa hujenga mshikamano mkubwa wa kitaifa, ambapo wananchi wote huungana kwa lengo moja la kuziunga mkono timu zinazowakilisha nchi katika mashindano mbalimbali ya kimataifa.

“Watu wanapenda Timu za Taifa, kila mtu, bila kuangalia kabila, wote tunakuwa Watanzania,” amesema Manara.

Ameeleza kuwa michezo, hususan soka, imeendelea kuwa nyenzo muhimu ya kuimarisha umoja, uzalendo na mshikamano wa wananchi, huku akiwataka Watanzania kuendelea kuziunga mkono Timu za Taifa wakati wote zinapokuwa zinaiwakilisha nchi.

Kauli hiyo inaonesha namna michezo inavyoweza kuwa daraja la kuwaunganisha wananchi na kuimarisha utambulisho wa Taifa la Tanzania.

Updates
Mtwara Online Tv
Habari Kiganjani Kwako

Address

NANGWANDA SIJAONA MTWARA
Mtwara

Telephone

+255654781128

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mtwara Online Tv posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Mtwara Online Tv:

Share