JAMII FM RADIO

JAMII FM RADIO JAMII FM ni kituo cha redio cha kijamii kilichoanza kutoa huduma mwezi Septemba 2016 kwa lengo la kuwapa jamii jukwaa la kuzungumzia maendeleo yao.

JAMII FM RADIO haitawajibika kwa maoni yatakayotolewa yenye kukiuka sheria za nchi. JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflects community livelihood including people with

special needs. Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production. JAMII FM RADIO gives voice to the voiceless. Vision
The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media. Mission
The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development. Location
JAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute. Coverage:
JAMII FM RADIO owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique. Programme Schedule
0600 – 1000hrs – Dira ya Asubuhi
1000 – 1300hrs – Kapu la Jamii
1300 – 1600hrs – Mchakamchaka
1600 -- 1610hrs – Habari (News Bulletin)
1610 – 1800hrs – Sauti ya Jamii
1800 – 1900hrs – Radio France International (RFI)
1900 – 1910hrs – Habari (News Bulletin)
1910 – 2000hrs – Dimba la Michezo (Sports)
2000 – 2100hrs – Makala Maalum
2100 – 2200hrs – Usiku Mwema
2200 – 0000hrs – Love Boat
0000 – 0600hrs – Music Mix

Location
https://www.google.co.tz/maps/place/Jamii+Fm+Radio/@-10.3559624,40.1615128,17z/data=!3m1!4b1!4m5!3m4!1s0x188d5a1f07878dd3:0x3a55ced2bafdf73e!8m2!3d-10.3559624!4d40.1637015?hl=en&hl=en

Umetoa zawadi za Krismasi kwa nafasi yako??
21/12/2025

Umetoa zawadi za Krismasi kwa nafasi yako??

Kituo cha Maendeleo ya Mtoto na Kijana FPCT Mtwara kimetoa zawadi za Krismasi kwa watoto wanaosoma kituoni hapo, ikiwa ni kuwapongeza na kumshukuru Mungu Na Musa Mtepa Kituo cha Maendeleo ya Mtoto na Kijana cha FPCT Mtwara kimetoa zawadi za…

Wabanguaji sasa kushikwa mkono na wadau
16/12/2025

Wabanguaji sasa kushikwa mkono na wadau

Ujenzi wa kiwanda cha Tells One General Supply Mahuta wilayani Tandahimba mkoani Mtwara umeleta faraja kwa akina mama na wabanguaji wadogo wa korosho. Kiwanda hicho kimewezesha upatikanaji wa soko, ajira na kuboresha maisha ya wananchi hususan wanawake wa eneo hilo…

Wananchi kuendelea kunufaika na mnyororo wa thamani wa zao la korosho hasa kipindi cha usafirishaji wa mazao
13/12/2025

Wananchi kuendelea kunufaika na mnyororo wa thamani wa zao la korosho hasa kipindi cha usafirishaji wa mazao

Waziri wa Kilimo, Daniel Chongolo, amemuagiza Mkurugenzi wa COPRA kuhakikisha mazao ya Ruvuma, Lindi na Mtwara yapitie Bandari ya Mtwara ili kuongeza tija, kurahisisha upakiaji na kuhakikisha fursa zinabaki kwa wakazi wa mikoa hiyo Na Musa Mtepa Waziri wa kilimo…

Wataalamu wajadili tafiti na changamoto za kilimo msimu wa 2025/2026 ndani ya Mtwara
13/12/2025

Wataalamu wajadili tafiti na changamoto za kilimo msimu wa 2025/2026 ndani ya Mtwara

Taassisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) Naliendele imefanya mkutano wa mwaka na wadau wa kilimo kuwasilisha matokeo ya tafiti na kujadili mikakati ya kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa, huku ikilenga kuongeza uzalishaji wa zao la korosho msimu…

Waziri wa kilimo afika Mtwara kuona msimu wa korosho unavyoenda, Mkoani kwako unajivunia zao gani??
12/12/2025

Waziri wa kilimo afika Mtwara kuona msimu wa korosho unavyoenda, Mkoani kwako unajivunia zao gani??

Waziri wa Kilimo, Daniel Chongolo, alifanya ziara ya kikazi Mtwara kufuatilia msimu wa korosho 2025/2026, kuhimiza ruzuku ya pembejeo kwa wakulima, kuanzisha teknolojia ya ndege nyuki kupulizia dawa, na kuagiza TARI-Naliendele kufanya utafiti wa changamoto za korosho kutokana na mvua…

Jamii imetakiwa kutenga muda wa kufikiria, kuchakata na kutoa maamuzi sahihi katika kutatua migogoro inayowakabili katik...
09/12/2025

Jamii imetakiwa kutenga muda wa kufikiria, kuchakata na kutoa maamuzi sahihi katika kutatua migogoro inayowakabili katika maeneo yao.

Hayo yamesemwa na Afisa Tathmini na ufuatiliaji kutoka shirika lisilo la kiserikali la Tanzania Safety Alliance (TASA) linalofanya kazi katika Manispaa ya Mtwara–Mikindani, Hamisi Rashidi Mwinshekhe, kupitia kipindi cha Dira ya Asubuhi kinachorushwa na kituo cha redio cha Jamii FM Mtwara.

Afisa wa TASA, imeitaka jamii kutenga muda wa kufikiria na kutoa maamuzi sahihi katika kutatua migogoro, ikisisitiza kuepuka hisia na kutoegemea upande wowote Na Musa Mtepa Jamii imetakiwa kutenga muda wa kufikiria, kuchakata na kutoa maamuzi sahihi katika kutatua migogoro…

Wakulima wa mwani kutoka Kijiji cha Naumbu, Kata ya Naumbu, Halmashauri ya Mtwara Vijijini wameiomba Serikali pamoja na ...
08/12/2025

Wakulima wa mwani kutoka Kijiji cha Naumbu, Kata ya Naumbu, Halmashauri ya Mtwara Vijijini wameiomba Serikali pamoja na wadau wa zao hilo kuhakikisha kunakuwepo na ongezeko la wanunuzi ili kuongeza ushindani wa soko.

Serikali imeombwa kuongeza wanunuzi wa zao la mwani ili kuboresha ushindani wa soko huku wakulima wakilalamikia bei ya shilingi 800 ambayo haiendani na gharama za uzalishaji na usafirishaji kutoka baharini Na Musa Mtepa Wakulima wa mwani kutoka Kijiji cha Naumbu,…

SDA Yaadhimisha siku ya watu wenye ulemavu duniani kwa kwa Usafi wa Mazingira
04/12/2025

SDA Yaadhimisha siku ya watu wenye ulemavu duniani kwa kwa Usafi wa Mazingira

“ikiwa leo ni siku ya watu wenye ulemavu imeambatana na mabadiriko ya tabia ya nchi na uwepo wa mabadiliko hayo kuna athari kwa watu wenye ulemavu kwa mujibu” Na Grace Hamisi Shirika lisilo la kiserikali Sports Development Aids (SDA) kupitia…

KIPAZA 🎤November 20 kila mwaka ni siku ya watoto Duniani, huadhimishwa na Umoja wa Mataifa lengo ni kuboresha haki za wa...
20/11/2025

KIPAZA 🎤

November 20 kila mwaka ni siku ya watoto Duniani, huadhimishwa na Umoja wa Mataifa lengo ni kuboresha haki za watoto na kuboresha ustawi kwa watoto wote Duniani.

Tuambie wazazi na walezi wana mchango gani katika kupunguza watoto mtaani?

https://radiotadio.co.tz/jamiifm

Sikiliza Jamii FM Radio kupitia kiunganishi kicholichopo hapo juu

Redio yangu, Sauti yangu

Unafikiri upi unuhimu wa Lishe Bora kwa Watoto chini ya umri wa miaka mitano?Kushiriki mjadala huu usikose kusikiliza  9...
19/11/2025

Unafikiri upi unuhimu wa Lishe Bora kwa Watoto chini ya umri wa miaka mitano?

Kushiriki mjadala huu usikose kusikiliza 90.5 jamii fm radio Mtwara na Lindi .

www.radiotadio.co.tz/jamii-fm

Siku ya Ijumaa ya November 21-2025,saa 3 kamili Asubuhi

Piga au tuma sms kupitia

Simu namba 0717 841 929

Au
Comment hapa na ujumbe wako utasomwa Mubashara kwenye kipindi

Hali ya tozo katika biashara kwenye eneo lako likoje??
19/11/2025

Hali ya tozo katika biashara kwenye eneo lako likoje??

Wafanyabiashara wa Mtwara wamelalamikia ongezeko la tozo na ushuru linalodaiwa kupandisha bei za bidhaa, huku wakitaka serikali kupitia upya kanuni hizo. Manispaa imesisitiza kuwa tozo zinatekelezwa kwa mujibu wa sheria na iko tayari kushughulikia malalamiko kupitia majadiliano Na Musa Mtepa…

KIPAZALeo ni siku ya Mwanaume duniani tuambie Mwanaume ana nafasi gani katika kutunza familia?  https://radiotadio.co.tz...
19/11/2025

KIPAZA

Leo ni siku ya Mwanaume duniani tuambie Mwanaume ana nafasi gani katika kutunza familia? https://radiotadio.co.tz/jamiifm/

Sikiliza Jamii FM Radio kupitia kiunganishi kicholichopo hapo juu

Redio yangu, Sauti yangu

Address

Naliendele, Mtwara/
Mtwara

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when JAMII FM RADIO posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to JAMII FM RADIO:

Share

Category