JAMII FM RADIO

JAMII FM RADIO JAMII FM ni kituo cha redio cha kijamii kilichoanza kutoa huduma mwezi Septemba 2016 kwa lengo la kuwapa jamii jukwaa la kuzungumzia maendeleo yao.

JAMII FM RADIO haitawajibika kwa maoni yatakayotolewa yenye kukiuka sheria za nchi. JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflects community livelihood including people with

special needs. Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production. JAMII FM RADIO gives voice to the voiceless. Vision
The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media. Mission
The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development. Location
JAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute. Coverage:
JAMII FM RADIO owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique. Programme Schedule
0600 – 1000hrs – Dira ya Asubuhi
1000 – 1300hrs – Kapu la Jamii
1300 – 1600hrs – Mchakamchaka
1600 -- 1610hrs – Habari (News Bulletin)
1610 – 1800hrs – Sauti ya Jamii
1800 – 1900hrs – Radio France International (RFI)
1900 – 1910hrs – Habari (News Bulletin)
1910 – 2000hrs – Dimba la Michezo (Sports)
2000 – 2100hrs – Makala Maalum
2100 – 2200hrs – Usiku Mwema
2200 – 0000hrs – Love Boat
0000 – 0600hrs – Music Mix

Location
https://www.google.co.tz/maps/place/Jamii+Fm+Radio/@-10.3559624,40.1615128,17z/data=!3m1!4b1!4m5!3m4!1s0x188d5a1f07878dd3:0x3a55ced2bafdf73e!8m2!3d-10.3559624!4d40.1637015?hl=en&hl=en

14/04/2026

Thanks VIKES Viestintä ja kehitys -säätiö

Malezi na  ulinzi wa Mtoto anayeishi na kufanya kazi mtaani ni wajibu wetu sote .Kupitia kipindi cha Dira ya Asubuhi kes...
09/04/2026

Malezi na ulinzi wa Mtoto anayeishi na kufanya kazi mtaani ni wajibu wetu sote .

Kupitia kipindi cha Dira ya Asubuhi kesho Ijumaa April 10/ 2026 Tutakuwa Mubashara kupitia 90.5 jamii fm Radio Mtwara na Mtandaoni kupitia

www.radiotadio.co.tz/jamiifm/

Unaweza kuchangia kipindi hiki kupitia ukurasa huu ,
Au
Kwa namba ya simu 0717 841 929

KIPAZA 🎤Unafahamu Mikopo Itolewayo na SIDO Katika Kuwezesha Viwanda na Biashara Bunifu Mkoani Mtwara?https://radiotadio....
27/03/2026

KIPAZA 🎤

Unafahamu Mikopo Itolewayo na SIDO Katika Kuwezesha Viwanda na Biashara Bunifu Mkoani Mtwara?

https://radiotadio.co.tz/jamiifm

Sikiliza Jamii FM Radio kupitia kiunganishi kilichopo hapo juu

Usikose kusikiliza, Tuma SMS na Comment yako itasomwa kwenye kipindi....
26/03/2026

Usikose kusikiliza, Tuma SMS na Comment yako itasomwa kwenye kipindi....

Sikiliza Jamii FM radio ukiwa popote duniani kwa kubonyeza link hapo chini kwenye logo
24/03/2026

Sikiliza Jamii FM radio ukiwa popote duniani kwa kubonyeza link hapo chini kwenye logo

Redio yangu, Sauti yangu

Wananchi wahimizwa kutumia vizuri mvua zinazoelekea kuisha kwa shughuli za maendeleo huku wakitakiwa kuchukua tahadhari ...
24/03/2026

Wananchi wahimizwa kutumia vizuri mvua zinazoelekea kuisha kwa shughuli za maendeleo huku wakitakiwa kuchukua tahadhari na kuzingatia ushauri wa wataalamu wa hali ya hewa na kilimo ili kupata tija

Wananchi wahimizwa kutumia vizuri mvua zinazoelekea kuisha kwa shughuli za maendeleo huku wakitakiwa kuchukua tahadhari na kuzingatia ushauri wa wataalamu wa hali ya hewa na kilimo ili kupata tija Na Musa Mtepa Wananchi wameshauriwa kutumia vizuri mvua zinazoendelea kunyesha katika…

Maadhimisho ya siku ya hali ya hewa Duniani katika mkoa wa Mtwara
23/03/2026

Maadhimisho ya siku ya hali ya hewa Duniani katika mkoa wa Mtwara

Wananchi wahimizwa kuzingatia taarifa za hali ya hewa kutoka TMA ili kuboresha shughuli zao. Elimu yatolewa kwa wanafunzi Naliendele, wakihamasishwa kuwa mabalozi wa taarifa hizo kwa familia na jami Na Musa Mtepa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) Kanda…

Ikiwa katika juhudi za kuimarisha uhusiano na utendaji wake pamoja na jamii inayoizunguka, Taasisi ya Kuzuia na Kupamban...
18/03/2026

Ikiwa katika juhudi za kuimarisha uhusiano na utendaji wake pamoja na jamii inayoizunguka, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Mtwara imejumuika na makundi mbalimbali katika kuandaa Iftar, huku ujumbe wa umoja na mshikamano ukitawala katika hafla hiyo.

Hafla hiyo iliyowakutanisha viongozi na wananchi wa kada mbalimbali imefanyika Machi 17, 2026, katika ukumbi wa mikutano wa Benjamin Mkapa uliopo katika Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (tawi la Mtwara), zamani Chuo cha Ualimu (TTC).

Soma zaidi.....

TAKUKURU Mtwara yaandaa Iftar kuimarisha uhusiano na jamii, viongozi wakisisitiza umoja, mshikamano na ushiriki wa wananchi katika mapambano dhidi ya rushwa wakati wa mwezi wa Ramadhani Na Musa Mtepa Ikiwa katika juhudi za kuimarisha uhusiano na utendaji wake pamoja na…

Jumla ya waandishi wa habari 25 kutoka vyombo mbalimbali mkoani Mtwara wamepatiwa mafunzo ya uhakiki na uthibitishaji wa...
18/03/2026

Jumla ya waandishi wa habari 25 kutoka vyombo mbalimbali mkoani Mtwara wamepatiwa mafunzo ya uhakiki na uthibitishaji wa taarifa, yaliyotolewa na Jamii Africa chini ya taasisi mama ya Jamii Forums, kwa lengo la kuwawezesha kutambua taarifa potofu na zisizo sahihi katika jamii.

Waandishi wa habari 25 mkoani Mtwara wamepata mafunzo ya uhakiki wa taarifa kutoka Jamii Africa, yakilenga kuwasaidia kutambua taarifa sahihi na potofu ili kuboresha utoaji wa habari kwa wananchi Na Musa Mtepa Jumla ya waandishi wa habari 25 kutoka vyombo…

Address

Naliendele, Mtwara/
Mtwara

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when JAMII FM RADIO posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to JAMII FM RADIO:

Share

Category