Doctor wetu

Doctor wetu Tunatoa ushauri wa bure kila siku karibu katika page yetu.

21/04/2025

Sababu za Upungufu wa Nguvu za Kiume

Kuna vitu mbalimbali vinazovyoweza kusababisha upungufu wa nguvu za kiume. Moja ya sababu kuu ni matatizo ya kiafya k**a vile ugonjwa wa kisukari, shinikizo la damu, na magonjwa ya moyo.

Matumizi ya dawa mfano k**a vile dawa za kulevya na dawa za kutuliza maumivu pia zinaweza kuathiri uwezo wa mwanaume kufanya tendo la ndoa.

Dalili za Upungufu wa Nguvu za Kiume

Dalili za upungufu wa nguvu za kiume ni pamoja na

Uume kushindwa kusimama kabisa

Uume kushindwa kusimama kwa muda wa kufanya tendo la ndoa mpaka umalize

Kupoteza hamu ya kufanya tendo la ndoa.

Mtu anapopata dalili hizi, ni muhimu kutafuta ushauri wa kitaalamu ili kupata tiba sahihi na kuzuia madhara zaidi kwa afya ya mwili na akili.

Njia za Kinga na Tiba

Kuna njia kadhaa za kinga na tiba ambazo mtu anaweza kuzingatia ili kukabiliana na upungufu wa nguvu za kiume.

Moja ya njia muhimu ni kudumisha afya bora kwa kula lishe yenye afya, kufanya mazoezi mara kwa mara, na kuepuka matumizi ya dawa za kulevya.

21/02/2025

BAADA YA MUDA MREFU NATOA ZAWADI HII ......U.T.I SUGU NA MATIBABU YAKE

Ikiwa kwa muda mrefu umekuwa ukisumbuliwa na U.T.I bila mafanikio ya kupona, au imekuwa ni yenye kujirudia mara kwa mara basi hapa tunakushauri utumie dawa hii ya asili na utapona ugonjwa huu moja kwa moja.

MAHITAJI NA MATUMIZI

Majani 7 - 10 ya mlonge

Chemsha majani hayo kwa muda wa dakika 5 - 7

Tumia kunywa kikombe kidogo cha chai kutwa mara tatu

Kunywa kwa muda wa siku 2 - 3 utakua umepona kabisa.

21/02/2025


Doctor wetu
Zijue Dalili 7 Za Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Tiba Zake

Upungufu wa nguvu za kiume ni hali ya kushindwa kufanya mapenzi kikamilifu au kushindwa kusimamisha uume vizuri. Shughuli ya tendo la ndoa huhusisha akili, homoni, neva, hisia na mishipa ya damu, misuli ya uume. Tafiti zinaonesha kuwa katika wanaume watano (5) basi mmoja kati yao ana tatizo la upungufu wa nguvu za kiume.

Upungufu wa nguvu za kiume huashiria kutokuwa sawa kiafya hivyo ni tatizo linalohitaji tiba.

Tatizo hili huwanyima sana watu raha na kupelekea kuwa na mawazo, migogoro katika mahusiano. Watu wenye changamoto hii mara zote wanahitaji dawa zisizo na madhara (virutubisho lishe) vilivyotokana na mimea na matunda na kubadilisha mitindo yao ya kimaisha (lifestyle changes) ili kuweza kurudisha hali zao na kuondoa tatizo.

Dalili Za Upungufu Wa Nguvu Za Kiume:

Zifuatazo ni baadhi ya dalili za upungufu wa nguvu za kiume;

1) Kukosa Hamu Ya Kufanya Tendo La Ndoa.

Tatizo la kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa kwa mwanaume ni mojawapo ya dalili za upungufu wa nguvu za kiume na linaweza kusababishwa na sababu nyingi sana. Sababu hizo zinaweza kuwa za kimaumbile au kisaikolojia au za mchanganyiko wa sababu za kimaumbile na sababu za kisaikolojia. Baadhi ya sababu za tatizo hili ni pamoja na;

a) Msongo Wa Mawazo (Depression).

Msongo wa mawazo ni ugonjwa wa kisaikolojia unaohusisha hali ya kuwa na mawazo makali kwa muda mrefu yanapelekea kukosa raha kutokana na kujihisi si mtu wa thamani au kukosa starehe katika vitu ulivyozoea kuvifanya na kukufurahisha hapo awali. Mawazo ya namna hii huathiri mwenendo wako wa maisha yako ikiwa ni pamoja na kukosa matamanio ya kimapenzi.

b) Matumizi Ya Madawa Na Pombe.

Matumizi ya baadhi ya madawa na unywaji wa pombe wa kupindukia vinaweza kupelekea tatizo hili la kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa. Madawa yanayochangia tatizo hili ni pamoja na; Madawa ya p

Doctor wetuZijue Dalili 7 Za Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Tiba Zake.Zijue Dalili 7 Za Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Tib...
21/02/2025

Doctor wetu
Zijue Dalili 7 Za Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Tiba Zake.
Zijue Dalili 7 Za Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Tiba Zake.

Upungufu wa nguvu za kiume ni hali ya kushindwa kufanya mapenzi kikamilifu au kushindwa kusimamisha uume vizuri. Shughuli ya tendo la ndoa huhusisha akili, homoni, neva, hisia na mishipa ya damu, misuli ya uume. Tafiti zinaonesha kuwa katika wanaume watano (5) basi mmoja kati yao ana tatizo la upungufu wa nguvu za kiume.

Upungufu wa nguvu za kiume huashiria kutokuwa sawa kiafya hivyo ni tatizo linalohitaji tiba.

Tatizo hili huwanyima sana watu raha na kupelekea kuwa na mawazo, migogoro katika mahusiano. Watu wenye changamoto hii mara zote wanahitaji dawa zisizo na madhara (virutubisho lishe) vilivyotokana na mimea na matunda na kubadilisha mitindo yao ya kimaisha (lifestyle changes) ili kuweza kurudisha hali zao na kuondoa tatizo.

Dalili Za Upungufu Wa Nguvu Za Kiume:
Zifuatazo ni baadhi ya dalili za upungufu wa nguvu za kiume;

1) Kukosa Hamu Ya Kufanya Tendo La Ndoa.
Tatizo la kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa kwa mwanaume ni mojawapo ya dalili za upungufu wa nguvu za kiume na linaweza kusababishwa na sababu nyingi sana. Sababu hizo zinaweza kuwa za kimaumbile au kisaikolojia au za mchanganyiko wa sababu za kimaumbile na sababu za kisaikolojia. Baadhi ya sababu za tatizo hili ni pamoja na;

a) Msongo Wa Mawazo (Depression).
Msongo wa mawazo ni ugonjwa wa kisaikolojia unaohusisha hali ya kuwa na mawazo makali kwa muda mrefu yanapelekea kukosa raha kutokana na kujihisi si mtu wa thamani au kukosa starehe katika vitu ulivyozoea kuvifanya na kukufurahisha hapo awali. Mawazo ya namna hii huathiri mwenendo wako wa maisha yako ikiwa ni pamoja na kukosa matamanio ya kimapenzi.

b) Matumizi Ya Madawa Na Pombe.
Matumizi ya baadhi ya madawa na unywaji wa pombe wa kupindukia vinaweza kupelekea tatizo hili la kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa. Madawa yanayochangia tatizo hili ni pamoja na; Madawa ya presha ya kupanda (Anti hypertensive

23/05/2024

*DALILI 10 ZA UPUNGUFU WANGUVU ZA KIUME,,*

👉Uume kusinyaa kila ukijaribu kubadilisha style au mtindo.

👉Uume kusimama kwa ulegevu baada ya kumaliza bao la kwanza.

👉Kupata bao lenye maumivu hasa kuanzia bao la pili na kuendelea.

👉Kukosa hisia kabisa baada tu ya kufika kileleni safari ya kwanza

👉Kuchoka sana baada ya kufanya mapenzi.

👉Uume kutosimama ukiwepo na mwenza wako lakini akiondoka unaona unapata hamu na uume unasimama vizuri.

👉Kufika kileleni haraka sana na baada ya kufika unashindwa kurudia tena.

👉Kushindwa kumuandaa mpenzi wako, kuhofia utafika kileleni kabla ya mchezo.

👉Kutoa mbegu hafifu hadi kusababisha kushindwa kumpa mkeo ujazuzito.

K**A UMEKUMBANA NA CHANGAMOTO K**A YOYOTE KATI YA HIZO AU ZOTE USISITE
Kuniomba ushauri. 0655555527

KOROSHO ni muhimu sana katika mwili wa binadamu. Kwa Tanzania zao hili hulimwa kwa wingi katika mikoa ya pwani hasa Mtwa...
23/04/2024

KOROSHO ni muhimu sana katika mwili wa binadamu. Kwa Tanzania zao hili hulimwa kwa wingi katika mikoa ya pwani hasa Mtwara, Lindi na Pwani. Wengi wetu hatuli korosho na hata pale tunapokula, hula k**a kitafunwa cha kuchangamsha mdomo tu, na wala siyo kitu muhimu sana kuliwa. Korosho ina faida nyingi sana kiafya, hasa katika magonjwa yenye uhusiano na magonjwa ya moyo, k**a ambavyo tutaweza kuona katika makala ya leo.

Siyo tu kwamba korosho zina kiwango kidogo cha mafuta lakini pia zina aina ya mafuta ambayo hutoa kinga kwenye moyo. Aidha, ndani ya korosho, kuna kirutubisho aina ya Oleic Acid ambacho huimarisha afya njema ya moyo na huwafaa hata wagonjwa wa kisukari.

Address

Nanyamba
Mtwara

Telephone

+255655555527

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Doctor wetu posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Doctor wetu:

Share

Category