Frapafx TV

Frapafx TV Ukurasa bora wa habari za michezo za ndani na nje ya Tanzania

Mshambuliaji wa Paris Saint-Germain (PSG), Ousmane Dembélé, ametoa maneno ya shukrani baada ya kutwaa Ballon d’Or 2025 k...
22/09/2025

Mshambuliaji wa Paris Saint-Germain (PSG), Ousmane Dembélé, ametoa maneno ya shukrani baada ya kutwaa Ballon d’Or 2025 k**a Mchezaji Bora Duniani.

🗣️ "Nimepokea tuzo hii kutoka kwa mmoja wa magwiji wakubwa wa wakati wote, siwezi kuamini hili. Kuweza kucheza na Lionel Messi, Nimejifunza mengi kutoka kwake."

Dembélé pia alisisitiza kuwa tuzo hii ni matokeo ya jitihada za kikosi.

🗣️ "Hii ni tuzo ya shukrani kwa timu. Nataka kuwashukuru wachezaji wenzangu wote."

Pichani ni nyota wa FC Barcelona Lamine Yamal ambaye ameshinda Tuzo ya Kopa Trophy ambayo hutolewa kwa Wachezaji waliofa...
22/09/2025

Pichani ni nyota wa FC Barcelona Lamine Yamal ambaye ameshinda Tuzo ya Kopa Trophy ambayo hutolewa kwa Wachezaji waliofanya vizuri wakiwa na Umri chini ya Miaka 21

Yamal ambaye ana Miaka 18 amekuwa Mchezaji wa Kwanza kutwaa Tuzo hiyo mara mbili mfululizo tangu kuanzishwa kwake Mwaka 1956 nchini Ufaransa.

🚨 OFFICIAL Simba SC imethibitisha kocha wa Timu ya Taifa ya Tanzania Hemed Suleiman Moroco atakuwa kocha wa klabu hiyo k...
22/09/2025

🚨 OFFICIAL Simba SC imethibitisha kocha wa Timu ya Taifa ya Tanzania Hemed Suleiman Moroco atakuwa kocha wa klabu hiyo kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa CAF dhidi ya Gaborone

CC- Bama

FOLLOW me

RASMI ✅Mshambuliaji wa Arsenal, Victor Gyokeres ameshinda tuzo ya Gerd Muller, Mshambuliaji bora wa mwaka Duniani.Gyoker...
22/09/2025

RASMI ✅

Mshambuliaji wa Arsenal, Victor Gyokeres ameshinda tuzo ya Gerd Muller, Mshambuliaji bora wa mwaka Duniani.

Gyokeres alikuwa na msimu bora sana akiwa na Sporting Lisbon pamoja na timu ya taifa ya Sweden msimu uliopita.

Well deserved 🥷.

🚨BREAKING;  Wametia Million 110 Kwa wachezaji wa Simba Sports K**a watampiga Yanga Africa tarehe 16.Million 100 ni Kwaaj...
13/09/2025

🚨BREAKING; Wametia Million 110 Kwa wachezaji wa Simba Sports K**a watampiga Yanga Africa tarehe 16.

Million 100 ni Kwaajili ya wachezaji wote na Milioni 10 Kwa Golikipa K**a atafanikiwa Kuondoka na CLEAN SHEET.

Nasubiri KLABU nayo itaweka bei gani? Mechi Muhimu sana hii Kwa Simba Sports. Kufungwa Mechi 5 Mfululizo Kwa Derby Kubwa K**a hii haikubaliki

Nini Maoni Yako???

Hawa hapa wakali wa mic ambao watakuwepo katika Simba Day 2025.Hapa Meena Ally, pale Adam Mchomvu, mbavu ya kushoto mkal...
09/09/2025

Hawa hapa wakali wa mic ambao watakuwepo katika Simba Day 2025.

Hapa Meena Ally, pale Adam Mchomvu, mbavu ya kushoto mkali Samio na mbavu ya kulia ni MC Petit. Kesho ni hatari fire 🔥🔥🔥

Klabu ya Simba Imetangaza kuuza tiketi zote za uwanja wa mkapa za tamasha lao la Simba Day Kabla ya Siku 2 hii wanaivunj...
08/09/2025

Klabu ya Simba Imetangaza kuuza tiketi zote za uwanja wa mkapa za tamasha lao la Simba Day Kabla ya Siku 2 hii wanaivunja rekodi yao waliyo iweka mwaka jana kwenye Simba Day 2024

🚨 :- Klabu ya soka ya Tabora United imeuzwa rasmi na sasa inamilikiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) yenye makao ma...
07/09/2025

🚨 :-

Klabu ya soka ya Tabora United imeuzwa rasmi na sasa inamilikiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) yenye makao makuu jijini Dar es Salaam. Mabadiliko haya yameleta sura mpya katika historia ya klabu hiyo, kwani sasa itakuwa chini ya usimamizi wa taasisi ya kiserikali inayohusika na ukusanyaji mapato ya taifa.

Viongozi waliokuwa wakiongoza klabu hiyo hadi sasa wamepewa taarifa ya miezi mitatu ili waweze kujiandaa na kutafuta ajira au nafasi nyingine kabla ya kuanza rasmi kwa mfumo mpya wa uendeshaji.

Baada ya kipindi hicho kukamilika, klabu itapewa jina jipya na uongozi mpya ambao utasimamia mwelekeo wa baadaye wa timu hiyo.

  🚨🇹🇿Mtanzania Sabri Kondo (20) amejiunga na Klabu ya BK Hacken ya Sweden akitokea Singida Black Stars.Kondo ambaye msim...
06/09/2025



🚨🇹🇿Mtanzania Sabri Kondo (20) amejiunga na Klabu ya BK Hacken ya Sweden akitokea Singida Black Stars.

Kondo ambaye msimu uliopita alicheza kwa mkopo Coastal Union amesaini Mkataba wa miaka 4½ kuitumikia Hacken.

Mkataba huo utakuwa halali hadi December 31, 2029

Viongozi wa Simba SC wamekubaliana kupokea Dola Milioni 1 ambazo ni sawa na Bilioni 2.4 za Kitanzania kutoka Al Ittihad ...
06/09/2025

Viongozi wa Simba SC wamekubaliana kupokea Dola Milioni 1 ambazo ni sawa na Bilioni 2.4 za Kitanzania kutoka Al Ittihad Club kutoka Libya ili kumuachia Steven Desse Mukwala🇺🇬

Mukwala amekubaliana tayari maslahi binafsi na Al Ittihad Club ambapo anaenda kupokea mshahara mara 4 ya ule aliokua analipwa Simba SC✅

Kilichobaki ni kumshirikisha Fadlu Davids na akibariki Dili litakamilika⏰✍️

Hakuna biashara ikiwa Kocha atakataa, Simba wamechagua kutimiza kila hitaji la Fadlu Davids ✅

🚨 JUST IN: Klabu ya SIMBA SC imetangaza Mlinda mlango, Ally Salim hatakuwa sehemu ya kikosi kuelekea msimu mpya wa mashi...
05/09/2025

🚨 JUST IN: Klabu ya SIMBA SC imetangaza Mlinda mlango, Ally Salim hatakuwa sehemu ya kikosi kuelekea msimu mpya wa mashindano 2025/2026 baada ya kufikia makubaliano ya pande mbili.
Ally alijiunga na Simba akiwa kijana mdogo katika msimu wa 2016/2017 akitokea timu ya Makorora FC ya Tanga ambapo alijiunga na timu ya vijana.

Aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa klabu ya Yanga Sc, Clatous Chota Chama ni mfanyakazi mpya wa klabu ya Singida Black Sta...
04/09/2025

Aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa klabu ya Yanga Sc, Clatous Chota Chama ni mfanyakazi mpya wa klabu ya Singida Black Stars na tayari nyota huyo wa zamani wa Simba Sc ameanza majukumu yake k**a mchezaji mpya wa Wakulima hao wa Alizeti.

Kupitia ukurasa wake rasmi wa mitandao ya kijamii, Singida Black Stars imechapisha picha zikimuonesha nyota huyo raia wa Zambia akiwa kwenye mazoezi ya timu hiyo ikiambatana na 'caption' “Siku ya kwanza kazini ”

Chama anaungana na wachezaji wengine kutoka Young Africans Sc, kiungo Khalid Aucho na na beki wa kushoto Nickson Kibabage ambao pia wamesajiliwa na Singida Black Stars

Followme me

Address

176
Mugumu

Telephone

+255783229937

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Frapafx TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category