22/09/2025
Mshambuliaji wa Paris Saint-Germain (PSG), Ousmane Dembélé, ametoa maneno ya shukrani baada ya kutwaa Ballon d’Or 2025 k**a Mchezaji Bora Duniani.
🗣️ "Nimepokea tuzo hii kutoka kwa mmoja wa magwiji wakubwa wa wakati wote, siwezi kuamini hili. Kuweza kucheza na Lionel Messi, Nimejifunza mengi kutoka kwake."
Dembélé pia alisisitiza kuwa tuzo hii ni matokeo ya jitihada za kikosi.
🗣️ "Hii ni tuzo ya shukrani kwa timu. Nataka kuwashukuru wachezaji wenzangu wote."