Frapafx TV

Frapafx TV Ukurasa bora wa habari za michezo za ndani na nje ya Tanzania

✅DEAL DONE: Klabu ya Mohammedan Sporting Club 🏁 ya nchini Bangladesh Premier League. 🇧🇩 ⚽ amekamilisha usajili wa mcheza...
29/08/2025

✅DEAL DONE: Klabu ya Mohammedan Sporting Club 🏁 ya nchini Bangladesh Premier League. 🇧🇩 ⚽ amekamilisha usajili wa mchezaji Bernard Morrison 🇬🇭

👉 Anatajwa k**a nyota mkubwa zaidi kuwahi kusajiliwa katika historia ya ligi hiyo. 🌟

Follow me

  Mchezo wa Dabi ya Kariakoo wa raundi ya kwanza utapigwa Desemba 13, 2025, Yanga SC atakuwa mwenyeji wa Simba Sports Cl...
29/08/2025

Mchezo wa Dabi ya Kariakoo wa raundi ya kwanza utapigwa Desemba 13, 2025, Yanga SC atakuwa mwenyeji wa Simba Sports Club.

Mchezo wa pili wa Kariakoo Dabi utapigwa April 04, 2026, Simba Sports Club itakuwa mwenyeji wa mchezo huo wa Dabi ya pili ya ligi kuu ya NBC kwa msimu wa 2025/2026.

_____ ✍️ "Nassib Mkomwa"

Wageni wetu kwenye 𝐒𝐢𝐦𝐛𝐚 𝐃𝐚𝐲 𝟐𝟎𝟐𝟓 ni Gor Mahia kutoka nchini Kenya.
28/08/2025

Wageni wetu kwenye 𝐒𝐢𝐦𝐛𝐚 𝐃𝐚𝐲 𝟐𝟎𝟐𝟓 ni Gor Mahia kutoka nchini Kenya.

📝CONFIRMED -Klabu ya JKt Tanzania  imempa mkono wa kwaheri kipa wao namba moja na kipa wa timu ya taifa ya Tanzania 🇹🇿  ...
28/08/2025

📝CONFIRMED

-Klabu ya JKt Tanzania imempa mkono wa kwaheri kipa wao namba moja na kipa wa timu ya taifa ya Tanzania 🇹🇿 Yakoub Seleman Ally .

-Kipa Yakoub Seleman atajiunga na klabu ya Simba sc kuanzia hapo kesho watakapo Tua kutoka Misri

Kilalaheri kwenye majukumu mapya Tanzania One Yakoub Seleman Ally

Malizeni Utata "NANI ASIFANANISHWE NA NANI"⁉️🤔🔥
28/08/2025

Malizeni Utata "NANI ASIFANANISHWE NA NANI"⁉️🤔🔥

Kwa mujibu wa taarifa, wakati wa shughuli ya kupangwa kwa mechi za UEFA Champions League leo hii, Chelsea itapewa tuzo m...
28/08/2025

Kwa mujibu wa taarifa, wakati wa shughuli ya kupangwa kwa mechi za UEFA Champions League leo hii, Chelsea itapewa tuzo maalumu mara baada ya kushinda mataji yote ya Ulaya inayosimamiwa na shirikisho la soka barani Ulaya (UEFA)

Chelsea ndiyo timu pekee kushinda mataji yote ya Ulaya;
🏆UEFA Champions League 2012 na 2021
🏆UEFA Europa League 2013 na 2019
🏆UEFA Europa Conference League 2025
🏆UEFA Cup Winners' Cup 1971 na 1998
🏆UEFA Super Cup 1998 na 2021

Karibu Simba SC, Selemani Mwalimu.
28/08/2025

Karibu Simba SC, Selemani Mwalimu.

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa  ,  , ametangaza kuwa tamasha la mwaka huu la Simba Day litakuwa na tukio maalum la k...
25/08/2025

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa , , ametangaza kuwa tamasha la mwaka huu la Simba Day litakuwa na tukio maalum la kuwaaga rasmi wachezaji wawili wa zamani waliotoa mchango mkubwa kwa klabu hiyo — John Raphael Bocco na Jonas Mkude.

Ahmed Ally amesema:

“Siku ya Simba ni nafasi kubwa ya kuwapa heshima watu waliofanya makubwa ndani ya Simba. Tunatambua, tunakumbuka na tunathamini mchango wao. Mwaka huu kwenye Simba Day tutawaalika wachezaji wetu wawili wa zamani ambao wamefanya makubwa ndani ya Simba yetu.”

Kuhusu Bocco, Ahmed alisema: “Nahodha wetu wa zamani ambaye amedumu Simba kwa miaka 6, ametupa makombe 4 na kutupeleka Robo Fainali mara 4. Kwa sasa amestaafu rasmi soka hivyo ni nafasi ya sisi kumpa shukran John Raphael Bocco.”

Na kuhusu Jonas Mkude, alisema: “Siku hiyo hiyo tutaenda kumuaga nahodha wetu mwingine aliyeitumikia Simba kwa miaka 15. Ameondoka mwaka juzi lakini hatukupata nafasi ya kumuaga. Hii ni fursa ya kipekee kwetu kumuaga kipenzi chetu Jonas Mkude.”

Nimeziona hizi Jezi zikiranda randa Mitandaoni🤒 Bado haijajulikana k**a ndo Jezi zao mpya au laa🤗 Lakini k**a hizi ndo J...
24/08/2025

Nimeziona hizi Jezi zikiranda randa Mitandaoni🤒

Bado haijajulikana k**a ndo Jezi zao mpya au laa🤗

Lakini k**a hizi ndo Jezi mpya, pale simba patakuwa na Msaliti✍️

U*I MPYA WA YANGA  UNA UPA ALAMA  NGAPI KATI YA KUMI?
24/08/2025

U*I MPYA WA YANGA UNA UPA ALAMA NGAPI KATI YA KUMI?

Simba Wakianzisha Kitu Lazima Yanga Watafuata Na Watafanya Kitu Hicho: Ngereza…Kutoka kwenye ukurasa wa instagram wa mch...
24/08/2025

Simba Wakianzisha Kitu Lazima Yanga Watafuata Na Watafanya Kitu Hicho: Ngereza…

Kutoka kwenye ukurasa wa instagram wa mchambuzi wa soka, Alex Ngereza ameandika ujumbe huu.

“Simba wakianzisha kitu lazima Yanga watafuata na watafanya kitu hicho ambacho Simba wamefanya ingawa ni mara chache kuona Simba wanaiga kitu ambacho wamefanya Yanga”

“Na ubaya wa hili linaenda hadi kwenye mikataba,ikitokea Simba kasaini mkataba wa Billion 20 basi ujue siku Yanga nao wakisaini mkataba itakuwa zaidi ya hizo Billion 20”

“Simba juzi wametangaza kuuza jezi kwa namna ya tofauti,wataandaa event ya kutambulisha na watu watapata package ya jezi na burudani juu na leo nimeona Yanga nao wamepita kwenye idea ile ile ambayo Simba wamekuja nayo maana yake wameshindwa kutengeneza ubunifu wa aina nyingine? Au hawataki kuumiza kichwa.” Ngereza

🚨 OFFICIAL: Mshambuliaji wa Kimataifa wa Cameroon, Lionel Ateba  amejiunga na Klabu ya Al Shorta inayoshiriki Ligi Kuu n...
24/08/2025

🚨 OFFICIAL: Mshambuliaji wa Kimataifa wa Cameroon, Lionel Ateba amejiunga na Klabu ya Al Shorta inayoshiriki Ligi Kuu nchini Iraq 🇮🇶 kwa mkataba wa miaka miwili akitokea Simba SC kwa dau la Shilingi Milioni 740.

Address

176
Mugumu

Telephone

+255783229937

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Frapafx TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category