Frapafx TV

Frapafx TV Ukurasa bora wa habari za michezo za ndani na nje ya Tanzania

🚨 Henock Inonga Bacca amejiunga na klabu ya Kuwait SC kwa mkataba wa mwaka mmoja
03/08/2025

🚨

Henock Inonga Bacca amejiunga na klabu ya Kuwait SC kwa mkataba wa mwaka mmoja

AZIZ KI AUKUBALI USAJILI WA DOUMBIA YANGA SC🔰🔰Kiungo Mshambuliaji wa Wydad AC Stephane Aziz Ki ameonyesha kufurahishwa n...
03/08/2025

AZIZ KI AUKUBALI USAJILI WA DOUMBIA YANGA SC🔰🔰

Kiungo Mshambuliaji wa Wydad AC Stephane Aziz Ki ameonyesha kufurahishwa na usajili wa Mohamed Doumbia kwenye kikosi cha Yanga muda mfupi baada ya nyota huyo kutambulishwa kwenye ukurasa wa Instagram wa Yanga

Aziz Ki ameonyesha kufurahishwa huko na kuukubali usajili huo kwa kuweka comment "🔥🔥🔥🙌🏿🙌🏿" kwenye video ya utambulisho wa Mohamed Doumbia pia amemtakia kila kheri kwenye insta story yake kwa kuandika "FAIS NOUS PLAISIR MAGICIEN DOUMBIA15" yaani akimaanisha "Tufurahishe fundi Mohamed Doumbia" kwa kingereza"Make us Happy, Magician".

Inaelezwa kuwa usajili wa Mohamed Doumbia ni pendekezo la Aziz Ki kwa uongozi wa Yanga ambao nao baada ya kuona kiwango chake walifurahishwa nacho.

Follow me

BREANKING NEWS 🖊️👇 Simba wapanga  kuvunja mikataba ya nyota wake wawili  Ateba na Mutale Baada Baada Joshua Mutale agome...
03/08/2025

BREANKING NEWS 🖊️👇

Simba wapanga kuvunja mikataba ya nyota wake wawili Ateba na Mutale Baada

Baada Joshua Mutale agomea matakwa ya viongozi wa Simba. ya kwenda Kwa mkopo katika Klabu ya Singida Black Stars

Awali Klabu ya Simba ili lenga kumpeleka Joshua Mutale ndani ya Klabu hiyo baada ya kunasa Saini za baadhi ya nyota katika eneo hilo.

Lakini Mutale ameuambia uongozi wa Simba yuko tayari kuondoka ndani ya Klabu hiyo endapo watakuwa tayari kuvunja Mkataba na siyo kwenda Kwa mkopo k**a wanavyo taka.

Ikumbukwe Kwa sasa Simba inawachezaji 11 wa kigeni huku Neo Maema na Khadim Diaw wakitajwa kujiunga na timu hiyo.

Nyota ambao wanacheza eneo hilo kwasasa :
Mpanzu, Chasambi, Kibu, Mohamed Bajaber, Mutale, Morice Abraham.

Unaiona nafasi ya Mutale ndani ya kikosi cha Simba kuelekea msimu ujao.

Fiston Mayele ashinda Tuzo ya MSHAMBULIAJI Bora WA Ligi kuu ya Misri. 🏆
03/08/2025

Fiston Mayele ashinda Tuzo ya MSHAMBULIAJI Bora WA Ligi kuu ya Misri. 🏆

Feisal Salum Toto Ndiye Man of The Match Tanzania vs Burkina Faso  ...NENO MOJA KWAKE...
02/08/2025

Feisal Salum Toto Ndiye Man of The Match Tanzania vs Burkina Faso ...

NENO MOJA KWAKE...

K**a tumewanyanyasa hivi Burkina Faso basi Mauritania, Madagascar & Central Afrika wote TUNAUA...Safari ya Robo Fainali ...
02/08/2025

K**a tumewanyanyasa hivi Burkina Faso basi Mauritania, Madagascar & Central Afrika wote TUNAUA...Safari ya Robo Fainali nyeupe sana✅

Hii Tanzania leo ilichangamka sana, Watu waliitaka sana mechi hii🙌

MZIZE kwangu ndio Man of the Match, K**a sio yeye basi Zimbwe Jr, Kagoma au Mudathir walistahili zaidi

Huyu Mzize anakua kimpira siku hadi siku, Anaongeza Ubora, Kasi na nguvu ni mchezaji mzuri sana, Hongera kwa waliomuamini wote tumeona walipomtoa mpaka sasa analitumikia Taifa....Kwa heshima kabisa BodaBoda wote Nchini💪

LETS GO STARS FOR ANOTHER ONE🇹🇿🔥

🚨ALI KAMWE ATANGAZA HALI YA HATARIHii imetokea baada ya club ya Simba na mchezaji wa mpya Jonathan Sowa kuchana picha ya...
02/08/2025

🚨ALI KAMWE ATANGAZA HALI YA HATARI

Hii imetokea baada ya club ya Simba na mchezaji wa mpya Jonathan Sowa kuchana picha ya anayesemekana ni raisi wa club ya Yanga. Ali kamwe amesema Simba wametuchokoza.

Simba wamekamilisha usajili wa Mohammed Bajaber kutoka ligi ya Kenya …. Unaambiwa mwamba ni umeme anapanda na kushuka ki...
02/08/2025

Simba wamekamilisha usajili wa Mohammed Bajaber kutoka ligi ya Kenya …. Unaambiwa mwamba ni umeme anapanda na kushuka kiungo anazima vizuri na winger ndio usiseme 🔥🙌🏽

🚨 𝗧𝗥𝗔𝗡𝗦𝗙𝗘𝗥 𝗡𝗘𝗪𝗦Azam Fc ipo kwenye hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa kiungo wa zamani wa Simba Sc Sadio Kanoute (...
02/08/2025

🚨 𝗧𝗥𝗔𝗡𝗦𝗙𝗘𝗥 𝗡𝗘𝗪𝗦

Azam Fc ipo kwenye hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa kiungo wa zamani wa Simba Sc Sadio Kanoute (28) k**a mchezaji huru baada ya kuachana na Js Kabylie

Follow me

🚨🇹🇿NGAO YA JAMII itachezwa Septemba 11 kwa michezo ya Nusu Fainali na Septemba 14 mchezo wa FainaliBingwa ligi Kuu Vs Ms...
02/08/2025

🚨🇹🇿NGAO YA JAMII itachezwa Septemba 11 kwa michezo ya Nusu Fainali na Septemba 14 mchezo wa Fainali

Bingwa ligi Kuu Vs Mshindi wa Tatu

Mshindi wa Pili Vs Mshindi wa Nne

Fainali?

🚨 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Rais wa Nchi ya Kenya 🇰🇪 , William Ruto ametoa bonasi ya kumpatia kila mchezaji kiasi cha shilingi milioni 2...
02/08/2025

🚨 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Rais wa Nchi ya Kenya 🇰🇪 , William Ruto ametoa bonasi ya kumpatia kila mchezaji kiasi cha shilingi milioni 20 za Kitanzania endapo timu ya Taifa ya Kenya itapata ushindi kwenye mechi za michuano ya CHAN na endapo itapata sare kila mchezaji atapata kiasi cha Shilingi Milioni 10 za Kitanzania.

Rais Ruto amesema atatoa kiasi cha shilingi Bilioni 1.2 kwa timu endapo watafanikiwa kufuzu hatua ya Robo Fainali ya Michuano ya CHAN inayotarajia kuanza hii leo na atatoa kiasi cha shilingi Bilioni 1.4 za Kitanzania.
Endapo timu itafika hatua ya Nusu Fainali na k**a itashinda ubingwa wa Kombe hilo Rais Ruto atatoa kiasi cha shilingi za Kitanzania Bilioni 11.8 kwa timu hiyo.

Nimeona baadhi ya mashabiki wa Yanga wakitoa maneno ya kejeli na kuonyesha kutoridhika juu ya utambulisho wa mchezaji So...
02/08/2025

Nimeona baadhi ya mashabiki wa Yanga wakitoa maneno ya kejeli na kuonyesha kutoridhika juu ya utambulisho wa mchezaji Sowah

Wakihisi k**a wamefananishwa au kudhihakiwa kwa namna fulani hasa kutokana na picha inayomwonyesha Mo Dewji akiwa na furaha, huku nyuma yake kukiwa na picha yenye mfanano wa uso wa Rais wa Yanga na Ikachanwa

Kitendo cha Simba kuposti picha hiyo na kuzua tafsiri ya kufanana na sura ya Rais wa Yanga kimewachukiza baadhi ya mashabiki, wakihisi k**a ni dharau au kejeli kwa kiongozi wao.

Lakini cha kushangaza, inaonekana wameshasahau jinsi Mkude alivyotambulishwa na Yanga baada ya kujiunga nao akitokea Simba — Walitengeneza Clip Iliyo mwonesha Mtu mfano wa Mkude akikata shingo Simba, na mashabiki walishangilia huku wakijiona wabunifu.

Leo hii, wanatokwa na povu kwa nini? Huu pia ni ubunifu, na ni sehemu ya ushindani wa kawaida katika soka.

Address

176

Telephone

+255783229937

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Frapafx TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

  • Address
  • Telephone
  • Alerts
  • Claim ownership or report listing
  • Want your business to be the top-listed Media Company?

Share