Musoma Tv

Musoma Tv Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Musoma Tv, Media/News Company, Kawawa Street, Musoma.

Musoma Tv is a Digital Multmedia Storytelling for Local News with the Public Interest under License of Musoma News Hub-TCRA/OMST/0098/2025
Contact:
Email: [email protected]
Phone: +255713256054

02/06/2026

Na Oscra Tarimo WMJJWM- Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum imeendelea kuimarisha juhud...

02/06/2026

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo anayesimamia Umwagiliaji na Zana za Kilimo, Mha. Athumani Kilundumya, amesema ushirikishwaji wa vijana...

29/05/2026

Na Clement Robert, WAF - Dodoma Serikali imedhamiria kuhakikisha kaya zote zisizo na uwezo nchini zinaingizwa katika mfumo wa Bima ya Afya k...

28/05/2026

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, akimwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan, ameshiriki Mkutano wa 61 w...

27/05/2026

Na Shaban Juma, Dodoma Naibu Waziri wa Afya Mheshimiwa. Dkt. Florence Samizi amesema Tanzania imeendelea na hatua za kuzuia na kuimarisha ut...

26/05/2026

Na Angela Sebastian Bukoba : Afisa habari wa Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa (NIDA) makao makuu Alfan Mlacha amewashauri wananchi wa mko...

26/05/2026

Mamlaka ya mapato Tanzania TRA mkoa wa Kagera kwa kipindi cha miezi mitatu Januari hadi Machi mwaka huu wamevuka lengo la ukusanyaji mapato ...

DCEA Kanda ya Ziwa kwa kushirikiana na Kanisa la Waadventista Wasabato imeshiriki katika kilele cha maadhimisho ya kupig...
26/05/2026

DCEA Kanda ya Ziwa kwa kushirikiana na Kanisa la Waadventista Wasabato imeshiriki katika kilele cha maadhimisho ya kupiga vita Dawa za Kulevya yaliyoandaliwa na Vijana wa Kanisa la Waadventista Wasabato Jimbo Kuu la Kaskazini mwa Tanzania yaliyofanyika katika viwanja vya furahisha Jijini Mwanza ambapo mgeni rasmi katika maadhimisho haya alikuwa ni Kamishna Msaidizi wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Kanda ya Ziwa aliyewakilishwa na Afisa Sheria John John Kaombwe.

Maadhiminisho hayo yalilenga kufikisha elimu kwa vijana ikiwa ni mwezi katika kalenda ya waadventista wasabato kuelimisha jamii juu ya athari za dawa za kulevya ambapo zaidi ya watu 1000 wamepata elimu hiyo iliyowasilishwa na maafisa wa DCEA Kanda ya Ziwa. Ujumbe maalumu wa maadhimisho haya ulikuwa ni “Vunja Mduara, Dawa za Kulevya ni sumu, Jikinge, Yesu anakuja “ ujumbe unaohamasisha waumini na wananchi kutokujihusisha kwa namna yoyote ile na matumizi na biashara ya Dawa za Kulevya.

Chanzo: DCEA

26/05/2026

Na Ghati Msamba WAZIRI wa Ofisi ya Rais,Utumishi wa Umma na utawala Bora,Ridhiwani Kikwete ameshiriki ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa 13 wa Ch...

26/05/2026

Wizara ya Kilimo imetoa elimu ya mwongozo wa matumizi ya ghala za umma katika mikoa ya Kigoma, Katavi, Rukwa, Songwe na Mbeya tarehe 11 hadi...

Address

Kawawa Street
Musoma

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Musoma Tv posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Musoma Tv:

Share