
10/08/2025
Watu wanapenda kusikia tunasajili wachezaji wa kigeni kwa hela nyingi lakini hawapendi kusikia tunauza wachezaji wetu kwa hela nyingi,tena sio tu kuweka dau kubwa nataka Young African waweke na kipengele cha kunufaika k**a clement atauzwa kwenda klabu nyingne