06/05/2026
YOUNG AFRICANS SC YAMFUTA KAZI KOCHA
unapenda kuutaarifu umma kuwa umemfuta kazi Kocha Mkuu wa kikosi cha kwanza Pedro Goncalves.
Uongozi wa Klabu unamshukuru Kocha Pedro GonΓ§alves kwa mchango wake alioutoa ndani ya klabu yetu na unamtakia kila la kheri katika majukumu yake yajayo.