Lenard Jovini

Lenard Jovini Kabla hujanichukia jiulize una msaada Gani kwangu
(2)

Watu wanapenda kusikia tunasajili wachezaji wa kigeni kwa hela nyingi lakini hawapendi kusikia tunauza wachezaji wetu kw...
10/08/2025

Watu wanapenda kusikia tunasajili wachezaji wa kigeni kwa hela nyingi lakini hawapendi kusikia tunauza wachezaji wetu kwa hela nyingi,tena sio tu kuweka dau kubwa nataka Young African waweke na kipengele cha kunufaika k**a clement atauzwa kwenda klabu nyingne

HANS RAPHAEL Mjadala siyo kusema Yanga inambania Mzize kwenda nje,but mjadala unatakiwa kuwapongeza Yanga kwa kutambua t...
09/08/2025

HANS RAPHAEL
Mjadala siyo kusema Yanga inambania Mzize kwenda nje,but mjadala unatakiwa kuwapongeza Yanga kwa kutambua thamani halisi ya Mzizeโ€ฆ.$1m ni bei halisi ya Mzize maana huyu jamaa ni mshambuliaji haswaa.

Dunia ya leo haina washambuliaji wa kutosha hivyo ukiwa nae lazima umuuze kwa faida.

Yanga wanajua thamani halisi ya Mzize ndio maana wanataka $1m.

09/08/2025

Goli pili la mzize hili hapa ๐Ÿ’ฅ๐Ÿ’ฅ๐Ÿ’ฅ

09/08/2025

Goli la pili la mzize

NI MZIZE TENA ๐Ÿ’ฅ๐Ÿ’ฅ๐Ÿ’ฅ๐Ÿ’ฅGooooooooal mzize anaitanguliza Tanzania hapa TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ 2โž–๏ธ 0 MADAGASCAR ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฌ
09/08/2025

NI MZIZE TENA ๐Ÿ’ฅ๐Ÿ’ฅ๐Ÿ’ฅ๐Ÿ’ฅ
Gooooooooal mzize anaitanguliza Tanzania hapa
TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ 2โž–๏ธ 0 MADAGASCAR ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฌ

Gooooooooal mzize anaitanguliza Tanzania hapa TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ 1๏ธโƒฃโž–๏ธ0๏ธโƒฃ MADAGASCAR ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฌ
09/08/2025

Gooooooooal mzize anaitanguliza Tanzania hapa
TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ 1๏ธโƒฃโž–๏ธ0๏ธโƒฃ MADAGASCAR ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฌ

KUTOKA CAF Droo ya mashindano yote ya,caf kwa ngazi ya vilabu inafanyika leo ambapo kutakuwa na mabadiliko kadhaa  tofau...
09/08/2025

KUTOKA CAF
Droo ya mashindano yote ya,caf kwa ngazi ya vilabu inafanyika leo ambapo kutakuwa na mabadiliko kadhaa tofauti na misimu iliyopita msimu huu timu zote club bingwa zinaanzia hatua ya awali isipo kuwa timu mbili tu ambazo ni al ahly na mamelod ndo zitaanzia hatua inayofuta

AMEANDIKA JEMEDARI SAIDHii Klabu Kuna Muda K**a Inaendeshwa Kihuni Sana, Vuta Picha Maxi Amegoma Kuongeza Mkataba Mpaka ...
08/08/2025

AMEANDIKA JEMEDARI SAID
Hii Klabu Kuna Muda K**a Inaendeshwa Kihuni Sana, Vuta Picha Maxi Amegoma Kuongeza Mkataba Mpaka Nkane Aongezewe Mkataba Ndo Yeye Asaini, Nasikia Pia Hata Chama Kabla Ya Kusaini Alitaka Ahakikishiewe Kuwa Mkude Anaongezewa Mkataba K**a Ambao Anapewa Yeye Hawa Yanga Wanamasihara siioni yanga ikivuka hata makundi msimu huu"

NANI CHAWA NANI KAONGEA FACT?
07/08/2025

NANI CHAWA NANI KAONGEA FACT?

06/08/2025

Kapombe ameibakiza furaha Tanzania dakika za jiooooooni

Address

Mwanza

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Lenard Jovini posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Lenard Jovini:

Share