Lenard Jovini

Lenard Jovini Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Lenard Jovini, Digital creator, Mwanza.
(2)

Kabla hujanichukia jiulize una msaada Gani kwangu
0693348626
[email protected]
https://www.instagram.com/lenard_jovini
https://youtube.com/
Penda unacho fanya k**a hufanyi unacho penda

YOUNG AFRICANS SC  YAMFUTA KAZI KOCHAunapenda kuutaarifu umma kuwa umemfuta kazi Kocha Mkuu wa kikosi cha kwanza Pedro G...
06/05/2026

YOUNG AFRICANS SC YAMFUTA KAZI KOCHA
unapenda kuutaarifu umma kuwa umemfuta kazi Kocha Mkuu wa kikosi cha kwanza Pedro Goncalves.

Uongozi wa Klabu unamshukuru Kocha Pedro GonΓ§alves kwa mchango wake alioutoa ndani ya klabu yetu na unamtakia kila la kheri katika majukumu yake yajayo.

06/05/2026

Kumbe gool lilishafungwa lakini tunadanganywa nahawa kolo kuwa halikuwahi kufungwa duniani koteπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

05/05/2026

Kuna dalili kubwa za arsenal kuwa bingwa msimu huu

Kiwanda cha hizi juice kipo sehemu gani  kwa anaejua
05/05/2026

Kiwanda cha hizi juice kipo sehemu gani kwa anaejua

Goalkeeper wao alidhani ni goal kick πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜€
04/05/2026

Goalkeeper wao alidhani ni goal kick πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜€

04/05/2026

Mashabiki wa United vita ya UBINGWA wa ligi kuu England wamewaachia arsenal na man city

sijalala usiku mzima najiuliza tuu au makolo waliuza mechi GOLI mbili zirudi kweli πŸ˜‚
04/05/2026

sijalala usiku mzima najiuliza tuu au makolo waliuza mechi GOLI mbili zirudi kweli πŸ˜‚

JEMEDARI SAID AWAJIA JUU YANGA  "Mtu anatoka Uwanjani anakwenda kwenye nyumba iliyo nje ya Uwanja kabisa, jambo la aibu ...
04/05/2026

JEMEDARI SAID AWAJIA JUU YANGA
"Mtu anatoka Uwanjani anakwenda kwenye nyumba iliyo nje ya Uwanja kabisa, jambo la aibu sana na nani atazuia k**a utatumia dawa zilizopigwa marufuku michezoni? Kwa sababu Uwanjani ndio kuna Dopping Room sisi tutajua je k**a hujatumia dawa

"Hili ni jambo la kuaibisha Taifa ambalo linaenda kuandaa AFCON " Jemedari Said

04/05/2026

Huwenda chama sio mzee sisi ndo tuna mzeesha

KARIBUNI  Guantanamo bay
26/04/2026

KARIBUNI
Guantanamo bay

Aminini ya kuwa derby haziwezi kuwa mbili ndani ya siku 10 simba lazima ale chocholooo yanga bingwa
25/04/2026

Aminini ya kuwa derby haziwezi kuwa mbili ndani ya siku 10 simba lazima ale chocholooo yanga bingwa

Address

Mwanza

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Lenard Jovini posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Lenard Jovini:

Share