mange kimambi

mange kimambi Please download Mange Kimambi app to support my work. WhatsApp. +1
424-537-3057

Kwanini kesi ya Mwenyekiti wetu isogezwe mbele kwa mda mrefu kiasi hiki mara tu baada ya chama kueleza mpango mbovu wa p...
06/11/2026

Kwanini kesi ya Mwenyekiti wetu isogezwe mbele kwa mda mrefu kiasi hiki mara tu baada ya chama kueleza mpango mbovu wa polisi
hapo kesho.
Chama kimeeleza nia ovu ya polisi dhidi ya
chama chetu alafu kesi inasogezwa mbele!!!
Mahak**a ya Tanzania inaondoa imani ya
wananchi na kuchochea chuki kwa matendo
k**a haya.

06/11/2026


free lissu and chadema

Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema chama hicho kimepokea taarifa kutoka gerezani kwa Mwenyekiti wake wa Taifa, ...
06/11/2026

Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema chama hicho kimepokea taarifa kutoka gerezani kwa Mwenyekiti wake wa Taifa, Tundu Lissu kuwa Mahak**a imeomba kuwasilishwa majina ya Watu 40 watakaoruhusiwa kuingia kusikiliza kesi ya uhaini inayomkabili.
Mnyika ameyasema hayo leo Juni 10, 2026 alipokuwa akizungumza na Waandishi wa Habari katika Ofisi Kuu za
CHADEMA.
Ameeleza pia kuwa kuna hofu ya uwepo wa mpango wa
kutokea vurugu siku ya kesi hiyo, akidai kuwa Jeshi la Polisi linaweza kutumia nguvu dhidi ya raia kwa kisingizio cha kesi hiyo.
Vilevile, CHADEMA inadai kuwa kuna mpango wa kuingiza Watu waliovaa sare za chama hicho ili kufanya fujo na
baadaye kuhusishwa na wafuasi wa CHADEMA.

allert‼️‼️‼️‼️Marques Brownlee
06/11/2026

allert‼️‼️‼️‼️Marques Brownlee

Mbunge wa Siha, Dkt. Godwin Mollel amesema Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche anajua kupiga kelele zaidi kulikokuj...
06/10/2026

Mbunge wa Siha, Dkt. Godwin Mollel amesema Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche anajua kupiga kelele zaidi kuliko
kujielekeza kwenye masuala ya msingi
yanayojenga taifa.

06/10/2026

mpya tanzania Marques Brownlee

MPANGO WA JESHI LA POLISI DHIDI YA CHADEMA‼️K**a mtakumbuka siku kadhaa zilizopita ilisambaa taarifa kuhusu Jeshi la Pol...
06/10/2026

MPANGO WA JESHI LA POLISI DHIDI YA CHADEMA‼️

K**a mtakumbuka siku kadhaa zilizopita ilisambaa taarifa kuhusu Jeshi la Polisi kuvamia nyumbani kwa Yoramu Mbyela (Huyu kwenye picha) ambae ni mfanyabiashara anaeuza vifaa vya CHADEMA ikiwemo matisheti, bendera, madera, kombati, n.k

Polisi wakiwa na gari aina ya FUSO walivamia nyumbani kwake, wakamlazimisha mke wa Mbyela afungue duka, kisha wakabeba na kuondoka na mzigo wote wa vifaa vya CHADEMA ambao waliukuta dukani kwake.

Mke wa Mbyela pamoja na Wakili wao wamefuatilia huo mzigo wao, Polisi wakarudisha baadhi ya vitu lakin mzigo mkubwa wakakataa kurudisha mpaka leo bado wamebaki nao.

Sasa nimejulishwa kwamba Jeshi la Polisi wamebaki na huo mzigo kwasababu wanampango wa kuutumia kufanikisha mpango wao dhidi ya CHADEMA hii ni kutokana na hofu waliyonayo kuhusu Maandamano ya 7/7 yani Julai 7, 2026.

Wamepanga kuwavalisha nguo za CHADEMA watu wao ambao ni Green guard, UVCCM na baadhi ya migambo kisha watawapeleka huko porini ambapo badae Polisi watajifanya kwamba wamevamia eneo hilo baada ya kupata taarifa kutoka kwa Wananchi kwamba waliona kuna kundi la watu ambao hawajui ni akina nan.

Baada ya Polisi kuvamia eneo hilo watautangazia umma kwamba Vijana wa CHADEMA wamek**atwa huko porini wakiwa wanapewa mafunzo ya kijeshi kwa ajili ya Maandamano ya Julai 7 ili Msajili apate sababu ya kuingilia kati aseme kwamba CHADEMA imevuja sheria ya vyama vya Siasa maana Sheria ya Vyama vya Siasa ilipiga marufuku vikundi vya ulinzi na mafunzo ya kijeshi mwisho wa siku CHAMA kinaweza kufutwa.

Lakin pia Jeshi la Polisi litakuwa linawavalisha UVCCM hizo nguo za CHADEMA kisha wanawatuma kwenye mikutano ya hadhara ya CHADEMA kufanya fujo ili ionekane CHADEMA wanagombana wao kwa wao.

Sasa ni muhimu sana Wanachama wenzangu mnapoenda kwenda Mikutano, hakikisha unamtambua mtu ambae umekaaa nae jirani ukiona kuna mtu/watu huwaelewi toa taarifa kwa Viongozi wa CHAMA, hawa wahuni wakivamia mikutano yetu inatakiwa muwape HAKI YAO YA KIKATIBA.

"NINAAMINI WATANZANIA WAKO TAYARIKUSUKUMA AJENDA YA KATIBA MPYA, KWA SABABU K**A TUNASHINDWA KULINDA RASILIMALI ZETU, BA...
06/10/2026

"NINAAMINI WATANZANIA WAKO TAYARI
KUSUKUMA AJENDA YA KATIBA MPYA, KWA SABABU K**A TUNASHINDWA KULINDA RASILIMALI ZETU, BASI TUNAHITAJI KATIBA ITAKAYOWEKA MISINGI IMARA YA UWAJIBIKAJI NA KUWAELEKEZA VIONGOZI KATIKA KUWATUMIKIA WANANCHI IPASAVYO," - Wakili Raphael Ngo

06/09/2026

tundu lissu kuamsha nchi kesho Marques Brownlee

Address

Los Angels
Los Angeles, CA

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when mange kimambi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share