Anuket mamaland

Anuket mamaland Tiktok bushkitchen.youtube bushkitchen
Instagram; Grandmaza_bushkitchn

BODY CREAM YA LIMAOMUHIMU KUZINGATIA USAFI. Unatakiwa uwe na- nta ya nyuki 50grams (beeswax) unaweza kuulizia kwa wale w...
16/01/2023

BODY CREAM YA LIMAO
MUHIMU KUZINGATIA USAFI.

Unatakiwa uwe na
- nta ya nyuki 50grams (beeswax) unaweza kuulizia kwa wale wanaouza asali au hata Instagram wapo watu kibao wanauza.
-shea butter 30grams
-mafuta ya n**i nusu kikombe
-mafuta ya mzaituni (olive oil) nusu kikombe
-malimao makubwa mawili

Anza kwa kukwangua maganda ya limao kwa kutumia grater (kile cha kukwangulia karoti au nyanya)
Ukishakwangua weka kwenye bakuli la udongo alafu mimina humo mafuta ya n**i, changanya vizuri

Chukua sufuria weka maji bandika jikoni, chukua lile bakuli uliloweka maganda ya limao pamoja na mafuta ya n**i weka juu ya sufuria hilo, fanya k**a unafunikia hapo yani liingie nusu kwenye sufuria, nusu liwe linagusa maji ya kwenye sufuria kwa hiyo maji yanavyochemka ndani ya sufuria na huku mchanganyiko unapata moto kupitia maji ya kwenye sufuria.

Mchanganyiko ukishapata moto humo weka beeswax, shea butter na olive oil.. Acha mpaka shea butter na beeswax viyeyuke kisha ipua.

Chuja kwa kutumia kitambaa cha shifon kisha weka kwenye bakuli safi.. Acha kwa dakika 20 ikianza kuganda chukua hand mixer au mchapo anza kumix... Mix mpaka iwe kitu kimoja, laini na nzito.. Body cream yako tayari.

[email protected]

SCRUB YA KAHAWA_____________MAHITAJI____1.Unga wa kahawa 115gm2. Sukari ya brown 115gm3. Mafuta ya n**i/olive oil 65mls4...
16/01/2023

SCRUB YA KAHAWA
_____________

MAHITAJI
____
1.Unga wa kahawa 115gm
2. Sukari ya brown 115gm
3. Mafuta ya n**i/olive oil 65mls
4. Natural vanilla extract ¼ kijiko cha chai(sio lazima)
5. Vitamin E matone 3
6. G-acid powder vijiko 2
7. Rose water vijiko 2
8. Asali vijiko 3 vya chakula
9. rKay solutions vijiko 2
10. Mdalasini ya unga/manjano vijiko 2
11. Unga wa mchele kidogo.

JINSI YA KUTENGENEZA
________________
🔹Pima unga wa kahawa na sukari kisha changanya au koroga vizuri kwa muda wa dk 10

🔹Ongeza unga wa mchele uliochekechwa kisha changanya vizuri.

🔹Ongeza mafuta ya n**i au Olive oil na koroga vuzuri kwa dk 10 au zaidi ili upate mchanganyiko mlaini/soft

🔹Ongeza Vitamin E, Vanilla na mdalasini au manjano kisha koroga.

🔹Baada ya hapo ongeza rose water, G-acid powder na rKay solutions kisha koroga tena vizuri mpaka mchanganyiko wako uwe mlaini.

NB: Ikiwa utapenda Scrub yako iwe laini sana isiwe na mikwaruzo unaweza kusaga kahawa, sukari, unga wa mchele na mafuta ya n**i iwe laini zaidi. Kisha uongeze malighafi zilizo bakia.

✅Mpaka hapo Scrub yako itakuwa tayari, ifungashe tayari kwa matumizi ya uso na mwili.

MATUMIZI: Paka usoni na acha kwa dk 30 kisha osha uso kwa maji ya vuguvugu.

[email protected]

Grandmaza bushkitchen
Mamaland nyoni

mmea wa msofu simba ________________________________________huu mti msofu simba moja dawa kubwa sana leo nitakupa moja f...
15/01/2023

mmea wa msofu simba
________________________________________
huu mti msofu simba moja dawa kubwa sana leo nitakupa moja faida mti huu majani hadi mzizi yake

1 k**a sehemu hunaishi panakuwa pazito upande wa riziki panakuwa pangum sana kupindukia au nyumba humeamia au kuishi hina vituko sana usiku toka umehamia nyumbani fulani mambo yako yamekuwa magumu kupindukia au ukilala unasikia unaitwa au mchanga humemwagwa juu ya paa nk
chukua majani ya msofu simba ponda loweka mwagia sehemu yako ima nyumba yako au chumba au sehemu ya biashara k**a palifukiwa uchawi utakufa

2 huna jinsi huko tofauti na wezako ukijagalia upata mashaka fulani moyoni kuwa Mimi siko sawa jua una uchawi au kutopendwa na watu bila sababu za msingi juu ukiogea jambo upuzwa au kuna watu wamekufunga vitu vibaya usoni

chukua majani yake ponda loweka tumia kunawa usoni mikononi kwa manuizo kuwa kila mtu aweza kukuona hakufuraye na mikono yako iwe heri kila ukishikacho kutwa mara mbili

3 kuondoa uchawi kutupiwa mwilini kitu kimbaya mwilini au kivuli fulani unakuwa unatembea nacho ambacho kinazuia ziriki zako

chuma majani yake ponda chuma majani ya mbaazi na maajani mjafarii tumia kuogea kutwa mara mbili kwa siku 7 kivuli kitahama mara moja

4 mizizi yake kuchanganya na mbaazi muzambarau ukachemsh uhutibu kifua

5 mzizi wake ukichanganya na mzizi wa mkuyu mzizi wa mpigi mzizi wa mdaula
kutibu maradhi ya kutembea vitu mwili moyo kwenda mbio bila sababu za msingi miguu kuuma na kuwaka moto

6mizizi yake dawa mzuri ya nguvu za kiume na k**e ukichanganya mizizi ya mkuyu mchungwa mpingi
kuchemsha kunywa

faida zake kutibu ngiri changoo kukupa msisimko wa tendo la ndoa kwa walio poteza hisia

[email protected]
Anuket mamaland

Kwa kizungu inaitwa African malgold( Mshona nguo au mbwembwe)Mmea huu unauwezo wa kuzuia Wadudu waharibifu shambani au b...
14/01/2023

Kwa kizungu inaitwa African malgold
( Mshona nguo au mbwembwe)

Mmea huu unauwezo wa kuzuia
Wadudu waharibifu shambani au bustani fungasi ktk mimea na udongo

upungufu wa damu, madonda ya tumbo, magonjwa ya macho, kansa ya
ngozi n damu, kisukari nk...
Yotee tisa kumi sasa inauwezo wa kuzuia,kutibu na kurinda ngozi yako
dhidi ya kila adui wa ngozi
Anza sasa kuwa na ngozi salama yenye afya km ulivyo zaliwa kwa kutumia sabuni asili toka kwa mmea asili uirudie ngozi yako asili

Kwa tsh 5000 tuu
Call ..0746138096

14/01/2023
mpapai dume  ktk tiba    Mpapai dume ni mpapai usiozaa kabisa utoa maua na kuanguka k**a ukizaa utoa papai dogo sana    ...
14/01/2023

mpapai dume ktk tiba

Mpapai dume ni mpapai usiozaa kabisa utoa maua na kuanguka k**a ukizaa utoa papai dogo sana

Maelekezo

_ k**a umefungwa usizae

_ umefungwa usione hedhi

_ umefungwa usipate kizazi nk.

Chukua vitawi saba vya mauwa na mizizi kata iwe saba kisha weka na chumvi ya mawe vidonge vitatu kisha chemsha dawa yako ukimaliza ipua muombe mungu akutatulie matatzo yako kwa kutumia dawa hiyo kisha tumia kunywa nusu kikombe siku moja Mara mbili kwa masiku 7 utaona matokeo.
una tatizo la kichawi una presha, kisukari, damu kuganda yani uwe umerogwa kwa maradhi yoyote tumia hii chukua majani ya mpapai dume osha vizur kata kata yasage katika brenda kisha kamulia ndimu moja koroga juice hii tumia kunywa siku 1×2 kwa siku 7/11 utapona
k**a ukibahatika kupata kipapai icho cha mpapai dume kitwange kisha anika ikinyauka changanya na mafuta ya n**i yaliyopikwa kisha tumia kupakaa mchawi aliye kuchanja chale chale ufutika, unalogwa, unafatwa na wachawi tumia hii njia utaona matokeo mazuri

Address

Nakatunguru
Mwanza

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Anuket mamaland posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Anuket mamaland:

Share