BINA TV

BINA TV BINA TV Is a media for bring up break news around the world including Tanzania, Kindly Join with us for more updates. Stay tune.
(8)

Its in a none political and religious ethics, is all about news around the world

14/05/2026

Mwanamuziki Kutoka Benin Angelique kidjo aimba verse ya kiswahili kwenye wimmbo wake aliomshirikisha DIamond Platnumz 'Kakua' huko jijini Paris Ufaransa .

---------------------------------------------------------------- Sponsored by ''BONITO WHITENING CREAM''Hili ni zaidi ya Suluhisho kwa wale wenye shida ya ngozi, wapigie simu kupitia namba hii 0713282893

14/05/2026

Babu anakwambia zamani alikuwa anaiba anaenda kuuza sasa hivi ndio anavivaa yeye .

----------------------------------------------------------------- Sponsored by ''BONITO WHITENING CREAM''Hili ni zaidi ya Suluhisho kwa wale wenye shida ya ngozi, wapigie simu kupitia namba hii 0713282893

Familia Patrock na Jenipher siku ya leo wamemtembelea Mama Kanumba hii ni furaha sana kubwa kwao maana bila Kanumba R.I....
14/05/2026

Familia Patrock na Jenipher siku ya leo wamemtembelea Mama Kanumba hii ni furaha sana kubwa kwao maana bila Kanumba R.I.P wao wasingejulikana mpaka sasa .

14/05/2026

Remmy amekuja Dar hana hata miaka miwili ila tayari anaendesha gari kabla yako na amepanda nsege mara nyingi kabla yako na wewe upo tu mwanetu .

----------------------------------------------------------------- Sponsored by ''BONITO WHITENING CREAM''Hili ni zaidi ya Suluhisho kwa wale wenye shida ya ngozi, wapigie simu kupitia namba hii 0713282893

14/05/2026

Ni muda sahihi wa kufanya maamuzi ya kuboresha nyumba yako na kwa ubora wa hali ya juu yaaani decoration zote za ndani, Wamefika sehemu zote dar es salaam na Mikoani,Mikoani tutaelewana _ VITU TUNAVYO DEAL NAVYO    design  ____________ Call/whatsapp 0787236729

Chama inatosha baba haya magoli ya kutafutia tuzo za Puskas wayakuja wakurage .Mashujaa 0 - 1 Simba .
14/05/2026

Chama inatosha baba haya magoli ya kutafutia tuzo za Puskas wayakuja wakurage .

Mashujaa 0 - 1 Simba .

14/05/2026

Wanafunzi na Waalimu wa shule ya sekondari ya Wasichana Geita wamemshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa uwekezaji wake mkubwa wa zaidi ya Shilingi Bilioni 4.6 katika shule hiyo, suala ambalo limerahisisha mazingira ya upataji na utoaji wa elimu ikiwa ni pamoja na ujenzi wa maabara, maktaba na Mabweni ya kisasa pamoja na nyumba za waalimu.

Ujenzi wa shule hiyo ni utekelezaji wa mpango mkubwa wa Rais Samia wa kuimarisha elimu ya sayansi kwa wasichana Nchini, lengo likiwa ni kuongeza idadi ya wasichana wanaosoma masomo ya sayansi, teknolojia, uhandisi na hisabati pamoja na kuwapa mazingira salama na bora ya kujifunzia ili waweze kushindana katika taaluma mbalimbali.

"Shule hii imejengwa kwa fedha za Watanzania kwa awamu mbili ambazo zilitumika kujenga madarasa 12, mabweni 8, nyumba mbili za waalimu, lakini pia ikajenga matundu 19 ya vyoo na vyote hivi vimekamilika kwa asilimia 100." Amesema Mwalimu Mwamini George, Mkuu wa Shule ya Sekondari Geita.

Mwalimu Mwamini kadhalika amemshukuru Rais Samia kwa ujenzi wa nyumba za waalimu katika shule hiyo suala ambalo limewaweka waalimu katika mazingira salama, rafiki na ya karibu, akiungana pia na Mwalimu Japhet Thobias ambaye amesema ujenzi wa shule hizo Nchi nzima zimesaidia pia katika kutoa fursa ya ajira kwa waalimu wengi.

Aidha kwa upande wao wanafunzi wa shule hiyo Lydia Hezema, Rahel Marwa na Penina Mshegoli, wamemshukuru Rais Samia kwa kuwawekea mazingira rafiki ya kusoma, wakimuahidi kusoma kwa bidii pamoja na kumtumia k**a kilelezo sahihi cha kuamini kuwa wanaweza kutimiza ndoto zao mbalimbali ikiwemo za kutamani kuwa Viongozi wakubwa wa baadae.

Je wajua kuwa ni siku maalumu ya kulala duniani inayoadhimishwa siku k**a ya leo kila mwaka ikiwa na kuli mbiu hii "Siku...
14/05/2026

Je wajua kuwa ni siku maalumu ya kulala duniani inayoadhimishwa siku k**a ya leo kila mwaka ikiwa na kuli mbiu hii

"Siku ya Usingizi Duniani ni fursa ya kukuza afya ya usingizi pamoja na maelfu ya wataalamu na watetezi wengine wa afya ya usingizi. Sote tunapohimiza afya ya usingizi na pamoja, juhudi zetu zote ni kubwa kuliko jumla ya sehemu zake. Eneza habari kuhusu afya ya usingizi kwenye Siku ya Kulala Duniani, na usaidie kuinua mazungumzo kuhusu usingizi"

14/05/2026

Dodoma jiji kwa kujiamulia mambo wanaongoza jamani, wamefanya paredi baada ya kutembezea kichapo kikali yanga hapo jana.

14/05/2026

Harmonize na Kajala wapo bize wanacheza michezo ya Amarah ,

----------------------------------------------------------------- Sponsored by ''BONITO WHITENING CREAM''Hili ni zaidi ya Suluhisho kwa wale wenye shida ya ngozi, wapigie simu kupitia namba hii 0713282893

14/05/2026

Siku ya leo Prophet Mtapi amezungumza na waandishi wa habari kwenye kanisa la lake la KJY Ministry linalo patikana Goba Rastanza kuhusu mafundisho atakayokuwa anayatoa kuhusu njia ya kutokana na umaskini ili vijana waweze kufanikiwa katika maisha yao.

Vile vile amewashauri vijana wafanye kazi ambazo zinaeleweka anadai kuwa hauwezi kuuza Mboga za majani mtaani na uwe tajiri mkubwa utakesha sana lakini pia hata kupata mkopo benk kwako itakuwa ni ngumu sana.

Je ni kweli hauwezi kuwa tajiri kwa kuuza mboga mtaani?

Address

Bugarika
Mwanza
NONE

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when BINA TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share