BINA TV

BINA TV BINA TV Is a media for bring up break news around the world including Tanzania, Kindly Join with us for more updates. Stay tune.
(5)

Its in a none political and religious ethics, is all about news around the world

15/07/2026

Hivi ni kweli hakuna Tajiri wa katoro anaweza kujenga mjengo wa billion 1.5

15/07/2026

Kuelekea kwenye shughuli ya mtoto wa wema sepetu na whozu kazi ipo jamani yaani watesi mtateseka sana

Follow

Kupitia Ukurasa Wa Instagram wa  ameandika ujumbe huu hapa Maisha ni safari, sio mashindano, na Furaha katika maisha ina...
15/07/2026

Kupitia Ukurasa Wa Instagram wa ameandika ujumbe huu hapa

Maisha ni safari, sio mashindano, na Furaha katika maisha inaanza pale unapojikubali😊

Follow

Write by

15/07/2026

Ifike Mahali akikupa hata Mia Yake Heshimu sana maana pesa yake anaipata kwa tabu Sana

Kwa taarifa zaidi tembelea channel yetu ya Bina tv YouTube 📺

Follow
Write ✍️ by

15/07/2026

Je, ulikuwa unajua kuwa mrembo anayetamba kwenye tamthilia ya Dunia Ana mtoto wa miaka sita, lakini mwanaume aliyezaa naye wameaisha Achana tayari?

Full video tembelea channel yetu ya Bina tv YouTube

15/07/2026

iting
Shindano la Chunya Drift msimu wa pili linatarajiwa kufanyika tarehe 25 na 26 Julai mwaka huu katika Wilaya ya Chunya, Mkoa wa Mbeya.
Jumla ya washiriki 30 watashindana kuwania ushindi, ambapo mshindi wa kwanza ataondoka na zawadi ya shilingi milioni 5 pamoja na gari aina ya Toyota Crown.

15/07/2026

anadai kuwa yeye ni shabiki wa kindaki ndaki sababu ya kuipenda yanga, Alizaliwa anaipenda

15/07/2026

Mrembo wa bongo movies anadai kuwa hajawahi kutamani kudate na msanii mwezake kabisa.

Full video tembelea channel yetu ya Bina tv 📺
----------------------------------------------------- Sponsored by ''BONITO WHITENING CREAM''Hili ni zaidi ya Suluhisho kwa wale wenye shida ya ngozi, wapigie simu kupitia namba hii 0713282893.

15/07/2026

Mrembo anasema kuwa mapenzi hayachagui mtu maskini au Tajiri ilimladi mpendane tu inatosha.

Full video tembelea channel yetu ya Bina tv YouTube 📺

Kupitia Ukurasa Wa Instagram wa  ameandika ujumbe huu kwa wanawake wenzake Wanawake wenzangu, tupunguze machaguzi ya wan...
15/07/2026

Kupitia Ukurasa Wa Instagram wa ameandika ujumbe huu kwa wanawake wenzake

Wanawake wenzangu, tupunguze machaguzi ya wanaume. Jamani, msinipige mawe, ila ukweli ni kwamba hakuna mwanaume mkamilifu.

Hawa ni watoto wa baba na mama k**a sisi, kila mmoja ana uzuri wake na mapungufu yake.

Usije ukamuacha huyu ukidhani mbele kuna wa tofauti sana, halafu ukakuta ni sura tu imebadilika, tabia nyingine zinafanana.

K**a una mwanaume anayekupenda, anakuheshimu na anajitahidi, mshike vizuri. Tusiwe tunatafuta ukamilifu usiokuwepo, maana hata sisi si wakamilifu.

Mungu atujalie hekima ya kuchagua vizuri na kulinda tulichonacho. Na wale washauri wenye viherehere vya mahusiano ya watu mkome kumshauri mtu wanayeshare shuka moja kazi aibu inakukuta kwako kuwa mpenzi mtazamaji tu 😏



Write ✍️ by Barack

Address

Bugarika
Mwanza
NONE

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when BINA TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share