BINA TV

BINA TV BINA TV Is a media for bring up break news around the world including Tanzania, Kindly Join with us for more updates. Stay tune.
(2)

Its in a none political and religious ethics, is all about news around the world

Mtu wa Kazi aachi kazi anafanya kazi,Unadhani hapa alikua anaimba wimbo gani ?
17/09/2025

Mtu wa Kazi aachi kazi anafanya kazi,
Unadhani hapa alikua anaimba wimbo gani ?

17/09/2025

Unampa asilimia ngapi

17/09/2025

DOTTO NA WASANII WAKE

Jamani amekosekana Mtu wa Kumtuliza Kipenzi chetu Fahyma 😭😭😭 wasije wakavujishaana mavideo jamani wayamalize kila mtu ak...
17/09/2025

Jamani amekosekana Mtu wa Kumtuliza Kipenzi chetu Fahyma 😭😭😭 wasije wakavujishaana mavideo jamani wayamalize kila mtu akae kwa amani .

Nimeachana na pigo za zamani maana zimenipa madhara, zamani nilikuwa napenda sana wanaume wenye hela ila kwasasa siwatak...
17/09/2025

Nimeachana na pigo za zamani maana zimenipa madhara, zamani nilikuwa napenda sana wanaume wenye hela ila kwasasa siwataki tena,

yaani watu wengi tunapagawa sana na hela zao ila niwatu wabaya sana kwanza wengi niwachawi, na ukiwa nao unapewa masharti mengi, mimi nimewai kuwa nao zaidi ya mmoja”

Maneno ya Mwanadada -Sophie Amelowa

Mpunguze ushauri watu wana stress za muwavumilie kidogo .
17/09/2025

Mpunguze ushauri watu wana stress za muwavumilie kidogo .

Mtu mwenye kipara kamkorofisha tena Jaymelody huko .
17/09/2025

Mtu mwenye kipara kamkorofisha tena Jaymelody huko .

Kijana Nicholas Hunter mwenye miaka 26 amechukua headline Duniani baada ya kuwapa ujauzito Mama na Mwana kwa wakati mmoj...
17/09/2025

Kijana Nicholas Hunter mwenye miaka 26 amechukua headline Duniani baada ya kuwapa ujauzito Mama na Mwana kwa wakati mmoja.

Kwenye moja ya mahojiano yao /Ade na mama yake Dani wamenikuliwa wakisema nguvu pekee iliyowafikisha hapo ni maridhiano na kuungana mkono ambapo jambo hilo limedumisha upendo wao.

Msemaji wa klabu ya Simba Ahmed Ally aandika ujumbe kuwa tia nguvu mashabiki wote wa Simba ,Tulijiandaa vema sana kuukab...
17/09/2025

Msemaji wa klabu ya Simba Ahmed Ally aandika ujumbe kuwa tia nguvu mashabiki wote wa Simba ,

Tulijiandaa vema sana kuukabii mchezo wa Derby

Tuliwadhibiti ipasavyo wapinzani sanjari na kuwapelekea pumzi ya moto kila wakati langoni kwao

Ndio maana husikiii wala huoni mchezaji wao yeyote akitajwa kwa kucheza vizuri zaidi ya sana ni Kipa wao ndio kawaokoa

Pamoja na ubora tuliokua nao lakini tukakasahau kumkaba Mguu akatuumiza kwa makusudi

Tuna kila sababu ya kujivunia timu yetu na Benchi la ufundi

Naiona Simba hatari sana siku za usoni naiona Simba yetu ikifanya balaa kubwa sana msimu huu kwa kuwa timu yetu imekamilika!!

Baada ya kila kitu tulichobishana kuhusu goli kuna mengine ya kutazama....mojawapo ni la huyu mshkaji. Huwa haonyeshi ki...
17/09/2025

Baada ya kila kitu tulichobishana kuhusu goli kuna mengine ya kutazama....mojawapo ni la huyu mshkaji. Huwa haonyeshi kitu hizi game za Kariakoo na nyingine kubwa. Huwa sielewi kwanini. Anahitaji kunyanyua timu zaidi game hizi. He is talented lad. - Edo .

16/09/2025

Simba kumfunga Yanga haitatokea tena .

16/09/2025

Shabiki wa Simba akitoa ya moyoni

Address

Bugarika
Mwanza
NONE

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when BINA TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share