SirLuquman

SirLuquman Nawasaidia Watanzania Kuagiza Bidhaa Kutoka CHINA � To TANZANIA kwa Kutumia Smartphone pekee!.

*Ilinichukua Mda Kuijuwa Siri Hii Kuhusu China*... Hivi, Unajua Kwamba Amazon, Wanatoa Bidhaa Kutoka Taifa La CHINA...!?...
31/12/2025

*Ilinichukua Mda Kuijuwa Siri Hii Kuhusu China*... Hivi, Unajua Kwamba Amazon, Wanatoa Bidhaa Kutoka Taifa La CHINA...!?.. ( Ipo hivi, Unapoagiza Bidhaa CHINA Kutoka Kiwandani Moja Kwa Moja ..!?). Kuna Opportunity Ya *OEM and ODM* ... Unaweza Kuuzila hizo Terminology Mbili Zina Maana Gani...!?
Okay Ipo Hivi
*OEM ni Original Equipment Manufacturers* , hii ni huduma ya OEM, ambayo Mnunuaji anawekewa Logo,....... kwenye Bidhaa anayonunua k**a Atahitaji
*OD ni Original Designing Manufacturer* , hii ni huduma ambayo Mteja, anasikilizwa Nini Atahitaji Kutengenewa.... Kitu hiki, Ndicho AMAZON, wanakifanya...
*By The Way* : zimebaki Dakika Chache TU, .. Tuingie Kwenye Session so, be attention..
Think deep deeper
Prepared BySirLuquman
" Be The Change That You Wish To See In The World"
.com

31/12/2025

*Ipo Hivi..!*
_Supplier Ambaye Ni Verified Supplier Na Ni Trade Assurance Supplier ...( Unaweza Kufanya Naye Biashara..)_.. Unahitaji Kujua ni Kwa Nini..!?... K**a Ndiyo Soma Hadi Mwisho..!... Siyo Lazima Kila Supplier Awe Ana Gold...( Maana *Gold Supplier* , Aina Maana Ya Kwamba Ni Supplier Mwenye Sifa Halisi Ya Kufanya Naye Biashara...)
*Gold Supplier*, Ni Supplier ambaye amelipia uanachama wa kiwango cha juu ( _Premium Subscription_ )......
...Alibaba anampa *VISIBILITY Kubwa kwenye Search Result*
Hii ni membership ya kulipia kwa Alibaba..
( ```Bei ni Kuanzia $ 5000 - $ 20,000 Kwa Mwaka``` .
Prepared BySirLuquman
Think deep deeper
" *Be The Change That You Wish To See In The World* "
Think digital
.com

*Kwa Nini Ni Mtumie Supplier Ambaye An-badge Ya Verified* ..!?. Swali Hili, Niliuliswa Na Client Wangu Mmoja Anaitwa Dau...
31/12/2025

*Kwa Nini Ni Mtumie Supplier Ambaye An-badge Ya Verified* ..!?.
Swali Hili, Niliuliswa Na Client Wangu Mmoja Anaitwa Daudi From Mbeya... *k**a Na Wewe Ni Muhanga Wa Swali Basi Soma Hadi Mwisho*"
Supplier Ambaye an-badge ya Verified, Ni Supplier anaye-lipia *Verification Fee*... .. ( Unaweza Kuuliza Verification Fee ni Nini..!)...........Ni........
Kias Cha Dollar Ambacho Kila Supplier Ambaye an-badge ya Verified, Analipia Kwa Lengo La Kufanyiwa Ukaguzi.....na makampuni yanayo ' *Zipitisha Ubora Duniani, Mfano SGS n.k*.. ", Chini Ya Usimamiz Wa Alibaba.Team
Kias Cha Dollar ni Kuanzia $ 1,000 Hadi $ 2,000..... Kwahyo Hadi Kufikia supplier katoa Ada ya Verification, Ujuwe
anauwakika na Kitu anachokifanya ...( Nje na Hilo Kila supplier ambaye ni verified, baada ya kuzibitishwa na Hayo Makampuni...... Huwa Wanapewa Certificate, ambazo zinaonesha kuwa amefanyiwa Verification ).

Think digital..

By The Way:... Content ya Mwisho...
Kwa Leo... Kesho ni Practical, ya vipengele vya Leo...
Prepared BySirLuquman
Think deep deeper
" *Be The Change That You Wish To See In The World* "

31/12/2025

FANYA HIVI KUEPUKA GHARAMA HII KUBWA YA USAFIRISHAJI NDANI YA Alibaba Platform
#.com # Ocean Ltd

31/12/2025

Chakufanya Ni
Kufanya Malipo Kupitia .
Lipa Namba Mpesa ( 36154663 )
jina: Luquman abdallah kakonge .. Baada Ya Malipo utanitumia uthibisho Wa muamala Whatsapp, Kupitia Whatsapp Namba 0766569656
.[email protected] Ocean Ltd

30/12/2025

Namma Ya Kulipia Fedha Alibaba Katika Mfumo Wa TANZANIA Shilling Tshs..
.com_official 🌊🤫

*%Najua %*  _Autoambiwa Siri Hii, Ya Kwa Nini Watu Wengi Wana Lalamika Kupokea Mizigo Isiyo Sahihi Hasa Mwisho Wa Mwaka_...
23/12/2025

*%Najua %*
_Autoambiwa Siri Hii, Ya Kwa Nini Watu Wengi Wana Lalamika Kupokea Mizigo Isiyo Sahihi Hasa Mwisho Wa Mwaka_ ..... _Pindi Wanapo Agiza Bidhaa Kutoka CHINA Hasa Wale Wanao Agiza mizigo ya kuanzia 2 Million Plus_ ..!?
```So, Leo, Utaenda Kujifunza Sababu 8 Zitakazo Kusaidia Kujua Ni Kwa Nini..!``
*01 #*
_Msongamano Mkubwa wa Oda (Peak Season)
Mwisho wa mwaka (Septemba–Desemba) ni kipindi cha_ :
👉Black Friday ,Christmas, New Year.....Mahitaji huwa makubwa sana, viwanda na maghala vinakuwa na oda nyingi kuliko uwezo wao → makosa huongezeka.

*02 #*
_Wafanyakazi wa Muda (Temporary Workers)
Viwanda na maghala huajiri wafanyakazi wa muda:_
Hawana uzoefu wa kutosha, Hukosea kuhesabu, kupakia au kuchanganya bidhaa...
👉 ...Hii hupelekea mzigo pungufu au bidhaa tofauti.
*03 #*
_Haraka ya Kukamilisha Oda, Wasambazaji wengi wanakuwa wanakimbizana_ :
Kukamilisha oda haraka
Kupakia kabla ya deadline......👉 Ubora wa ukaguzi (quality check) hupungua.
*04 #*
_Kukosekana kwa Ukaguzi wa Kabla ya Kusafirisha (Pre-shipment Inspection)
Waagizaji wengi_ :
Huamini supplier bila ukaguzi, Hawatumii inspection company.....👉 Mzigo huondoka bila kuthibitishwa idadi na aina ya bidhaa

*05 #* _Kubadilishwa kwa Supplier au Warehouse
Wakati wa msimu huu_ :
Supplier hupeleka kazi kwa warehouse nyingine
Au subcontractor.....👉 Mawasiliano yanapotea, mzigo hupakiwa vibaya
*06 #* .
_Changamoto za Usafirishaji (Logistics Pressure)
Containers zinakuwa chache
Nafasi za meli zinakuwa haba_ ......👉 Forwarder au supplier hupakia haraka bila uhakiki wa kutosha

*07 #.* _Makosa ya Ufungaji (Packing Errors)
Katoni zisizo sawa
Uzito au ujazo tofauti_ ...👉 Unapokea mzigo “usio timiza” uliyoagiza.
*08 #.*
_Mawasiliano Hafifu (Language & Documentation Errors)
Invoice & packing list kutofautiana
Tafsiri isiyo sahihi_ ....👉 Mzigo halisi hautofautiani na uliyoandikiwa.
*Kwa Hints K**a Hizi Tembelea Mitandao Ya Kijamii Kwa Jina La SirLuquman ( Luquman Abdallah )*
Prepared BySirLuquman
Think deep deeper
" Be The Change That You Wish To See In The World"
Next Time MAKALA UTAJIFUNZA Nini Chakufanya, ilikuepuka.
.Com@agizachina

22/12/2025

Mda Sahihi Wa Mzigo Wako Kufika Tanzania From Chin..... " Kwanza Ina-depend Na Aina Ya Usafirishaji Uliyo-utumia Kusafirisha Mzigo WAKO ". Maana Kila Aina Ya Usafirishaji Una Mda Wake Wa Makadiliyo Kufika Tanzania...
Mfano...
" K**a Umetumia Usafiri Wa Ndege Kwa Mzigo Wa Kawaida Ni Siku 10 Maximum, Unakuwa Umeishapata Mzigo Wako , Ila k**a Mzigo siyo wakawaida ni Siku 15 Maximum "
" Meli Ni Ndani ya Siku 28 Hadi 30 Mzigo unakuwa umeishafika Tanzania, ila Kwa sababu ya Process Za Clear Huwa zinachukua maximum week 2 '... Kwahyo Totally itakuwa Mwezi 1 na wiki 1 Hadi 2..
Je, Unatamani Kuendelea Kujifunza Zaidi Kuhusu Uagizaji Bidhaa Kutoka Taifa La CHINA TO TANZANIA Kwa Kutumia Simu Janja Pekee...!?.. K**a Ndiyo, Basi comments, Neno YES, na Follow Page Yetu Kwa Content k**a hizi..
Think deep deeper
Prepared BySirLuquman
" Be The Change That You Wish To See In The World "
.com Kelvin Kibenje

*CARD NETWORK* — “Mfumo wa Ulimwengu wa Kusimamia Malipo ya Kadi”Card Network _ni kampuni ya kimataifa inayounganisha:_ ...
10/12/2025

*CARD NETWORK* — “Mfumo wa Ulimwengu wa Kusimamia Malipo ya Kadi”
Card Network _ni kampuni ya kimataifa inayounganisha:_
*Benki inayotoa kadi (issuer)*
*Benki inayopokea malipo (acquirer)*
*Merchant k**a Alibaba*
*Mtumiaji wa kadi (mteja)*

_Card Network hutengeneza miundombinu, sheria, usalama na njia za kusafirisha taarifa za malipo duniani._
*Card Networks Zinazojulikana* :
Visa
Mastercard
American Express
UnionPay
Discover
*Majukumu ya Card Network:*

1. Kuunganisha benki ya mteja na benki ya merchant
2. Kusafirisha transaction data kiusalama (Authorization, Clearing, Settlement)
3. Kukokotoa ada na viwango vya kubadilisha fedha (FX rates)
4. Kuamua ada za kimataifa (Cross-border, Scheme fees, Assessment fees)
5. Kuhakikisha malipo yameidhinishwa kihalali
6. Kutengeneza standards k**a PCI-DSS, EMV chip rules, tokenization, 3D-Secure

Kwa kifupi:
Card Network = “ *Barabara kuu ya kimataifa” ambapo malipo yote ya kadi yanapita* .

___________________________________________________________________________

*CROSS-BORDER TRANSACTION FEE*

Hii ni ada inayotozwa na card network kwa malipo yanayovuka nchi.
By Definition:

A _fee charged by the card network when the merchant’s country and the card issuer’s country are different_ .

*Yaani* :

Mteja wako yuko Tanzania

*Alibaba yuko China*
➡️ Hapo card network anasema hii ni cross-border transaction, hivyo anakutoza ada.

Kwanini wanatoza hii ada?
Kwa sababu transaction ya kuvuka mipaka inahitaji:
Authentication ya nchi tofauti
Risk analysis kubwa
Kiwango tofauti cha compliance
Routing ya data ya kimataifa
*Range ya Ada:*

Visa: 1.0% – 1.15%

Mastercard: 1.0% – 1.4%

___________________________________________________________________________

*ASSESSMENT FEE*

Hii ni ada ya msingi ya operesheni ambayo card network anatoza kwa kila transaction — ya ndani au ya nje.

By Definition :

> A _baseline fee charged by the card network to maintain the global payment infrastructure and allow the transaction to be processed_ .

Assessment fee ni k**a “ *membership fee ya kutumia mtandao wa card network” katika kila malipo* .
Inalipiwa kwa nini?
Kutunza systems za global authorization
Uendeshaji wa network
Security (tokenization, fraud detection, encryption)
Research & development
Regulatory compliance

*Range ya Ada* :
Visa: 0.13% – 0.15% ya transaction
Mastercard: 0.1275% – 0.15%

*Hii ada ipo hata k**a unalipia ndani ya nchi* .
___________________________________________________________________________

*SCHEME FEE*

Hii ni ada inayotozwa na card network kulingana na aina ya transaction, risk level, channel, na region.

Ni advanced fee ambayo wachache wanajua.

By Definition

> A _fee charged by the card scheme (Visa/Mastercard) for specific operational, regional, or technical aspects of processing a transaction._
*Scheme fee haiko fixed; ina categories nyingi* :

Aina za Scheme Fees:

1. Acquirer scheme fee
2. Issuer scheme fee
3. Cross-border scheme fee
4. Digital/online scheme fee
5. Chip transaction scheme fee
6. E-commerce security scheme fee (3D-Secure, tokenization)
7. Risk-based scheme fees

Kwanini ipo? ( Unaweza Kuuliza...!)
Kwa sababu card networks hutumia gharama kubwa kufanya:
Fraud risk analysis
Regional regulation compliance
Routing optimization
Network bandwidth and load management
Product innovation (e.g., contactless, virtual cards)

Range:

*0.01% – 1.00% (inategemea aina ya transaction)*

Prepared BySirLuquman
Think deep deeper
" Be The Change That You Wish To See In The World"

.*MERCHANT NI NINI* ? > Merchant ni _biashara, kampuni au mtu anayekubali malipo ya wateja kwa kutumia mifumo ya kadi, e...
10/12/2025

.

*MERCHANT NI NINI* ?

> Merchant ni _biashara, kampuni au mtu anayekubali malipo ya wateja kwa kutumia mifumo ya kadi, e-commerce, wallet, au njia yoyote ya digital payment kupitia acquiring bank au payment processor._

*Kwa lugha rahisi:*
➡️ Merchant = Yule anayepokea malipo.
*Mfano wa merchant:*
Alibaba
Aliexpress
Amazon
Jumia
Supermarket zinazopokea VISA/Mastercard
Sellers kwenye Shopify, Etsy, eBay
POS shops
Mobile money agents
__________________________________________________

*MERCHANT KATIKA MFUMO WA MALIPO*
```Katika payment ecosystem, tuna wahusika 4 wakuu:```

1. *Cardholder* – Mteja mwenye kadi
2. *Issuer* – Benki iliyompa mteja kadi
3. *Merchant* – Biashara inayouza bidhaa/ huduma
4. *Acquirer* – Benki ya merchant inayopokea malipo kwa niaba yake
*Merchant ndilo jukwaa la malipo kufanyika, mfano Alibaba website* .
________________________
*MAJUKUMU YA MERCHANT KWA KITAALAMU*

Merchant anafanya yafuatayo:

1️⃣ _Kukusanya malipo kutoka kwa wateja_

Kupitia:
*Card payments (Visa, Mastercard, UnionPay)*
*Digital wallets (Alipay, PayPal)*
*Mobile money*
*Bank transfers*

2️⃣ _Kutumia Payment Gateway_
Merchant anatumia mfumo unaoitwa payment gateway kuunganisha website yake na card network.

Kwa mfano:
*Alibaba → Alipay* *gateway → Visa/* *Mastercard → Benki ya mteja*

3️⃣ *Kuzalisha authorization request*
*Kila unaponunua bidhaa → merchant hutuma taarifa kwa card network:*

> “Mteja anataka kulipa kiasi hiki.”
4️⃣ *Kuhifadhi data kwa usalama (PCI-DSS Compliance)*

Merchant lazima afuate viwango vya kimataifa vya usalama vya:
Encryption
Tokenization
Secure card storage
_________________________

*AINA ZA MERCHANT (Professional Classification)*

A. _E-Commerce Merchant_
Biashara zinazouza mtandaoni bila physical store.
Mfano: Alibaba, eBay.
B. _Retail Merchant_
Biashara za kawaida zinazotumia POS machines.
Mfano: Supermarket, duka, pharmacy.
C. _Digital Service Merchant_
Huduma za mtandaoni: web hosting, SaaS, apps, cloud services.
D. _Marketplace Merchant_
Platform inayouza kwa niaba ya sellers wengine.
Mfano: Alibaba, Amazon Marketplace.
_________________________

*MERCHANT ID (MID)*

_Kila merchant anapewa Merchant Identification Number na acquirer, ambayo hutumika kufuatilia_ :

Location ya malipo
Aina ya biashara
Risk category
Transaction history
*Alibaba ana MID yake ya kimataifa.*
_________________________
*RELATIONSHIP YA MERCHANT NA BENKI*

Merchant ana benki wake (Acquiring Bank).
Benki hii inampa:
Merchant account
Settlement services
Payment routing
Risk management

_Benki ya merchant ndiyo inapokea malipo kutoka kwa Visa/Mastercard kisha kumlipa merchant_ .
Mfumo unakwenda hivi:
*Customer → Card → Issuer Bank → Card Network → Acquirer Bank → Merchant*
Prepared BySirLuquman
This deep deeper
" Be The Change That You Wish To See In The World"
# agizachina

Je..Na Wewe Ulitamani Kuagiza Bidhaa Kutoka Taifa La CHINA TO TANZANIA k**a Hawa...!?👇👇👇👇👇👇Pitia hizo Testimony Vizur..N...
29/11/2025

Je..
Na Wewe Ulitamani Kuagiza Bidhaa Kutoka Taifa La CHINA TO TANZANIA k**a Hawa...!?
👇👇👇👇👇👇
Pitia hizo Testimony Vizur..
Nichek Whatsapp Kupitia 0766569656

Address

0766569656
Mwanza
3321872

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when SirLuquman posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to SirLuquman:

Share