SirLuquman

SirLuquman Nawasaidia Watanzania Kuagiza Bidhaa Kutoka CHINA � To TANZANIA kwa Kutumia Smartphone pekee!.

17/09/2025

16/09/2025

Chukua Funguo Hizi...( Zitakupa Mwanga Wa Namna Ya Kuagiza Bidhaa Kutoka China Kwa Kutumia Smartphone Yako ..)
Think digital
Prepared BySirLuquman
Think deep deeper
" Be The Change That You Wish To See In The World"

Je, Unatamani Kuagiza Bidhaa Kutoka CHINA kwa kutumia Simujanja Yako...!?.K**a Jibu Ndiyo BAS, ...( Stay On My PG Kwaaji...
15/09/2025

Je, Unatamani Kuagiza Bidhaa Kutoka CHINA kwa kutumia Simujanja Yako...!?.K**a Jibu Ndiyo BAS, ...( Stay On My PG Kwaajili Ya Kuendelea Kujifunza..)

Tumia Lugha Ya Nyumbani Kuwasiliana Na Mchina.....Yes, Umesoma Vizur unaweza Kutumia Lugha ya kiswahili kuwasiliana na m...
15/09/2025

Tumia Lugha Ya Nyumbani Kuwasiliana Na Mchina.....Yes, Umesoma Vizur unaweza Kutumia Lugha ya kiswahili kuwasiliana na mchina mbona ni simple TU!..
Prepared BySirLuquman
Think deep deeper
" Be The Change That You Wish To See In The World"
@kelvinkibenje

Auna Aja Ya Kuogopa Tena, Kuagiza Bidhaa Kutoka Taifa La CHINA..( Ata k**a Unamtaji Mdogo)Kwanini Nimesema hivyo, Kwa Sa...
14/09/2025

Auna Aja Ya Kuogopa Tena, Kuagiza Bidhaa Kutoka Taifa La CHINA..( Ata k**a Unamtaji Mdogo)
Kwanini Nimesema hivyo, Kwa Sababu Siri Inayotumiwa na Watu wanaowawezesha watu wengine Kuagiza bidhaa Kutoka CHINA Kwa Mitaji yao midogo, Ipo tayari...( Tena ajabu ni kwamba Uagizaji wa bidhaa unafanyika kwa kutumia Simujanja yako Tu!..).. Huu ni ukweli usio aminika na Wimbi kubwa la watu wengi sana apa Tanzania..( sasa kataa kuwa miongoni mwao kwa kufata Siri hizo..)
asante
prepared BySirLuquman
Think deep deeper
Be The Change That You
Wish To See In The World "

Siri Iliyojificha Kwa Bidhaa za CHINA kuenea  DUNIANI...Umebaki Wewe Tu!. Usiyejua Kuwa Kuna Uwekezano Wa Kuagiza Bidhaa...
13/09/2025

Siri Iliyojificha Kwa Bidhaa za CHINA kuenea DUNIANI...Umebaki Wewe Tu!. Usiyejua Kuwa Kuna Uwekezano Wa Kuagiza Bidhaa Kutoka Taifa La CHINA, Kwa Kutumia Simujanja Yako ..... Ajabu Ni Kwamba Ainaaja Ya Kuwa na Mtaji Mkubwa Ndiyo Uweze Kuagiza Bidhaa, ni Kuanzia Tshs 50,000/= Tu!..( Amini Na kwambia..)
asante
Prepared BySirLuquman
Think deep deeper
"Be The Change That You Wish To See In The World "
🇰🇪

Check out SirLuquman’s post.

13/09/2025

CHINA ilivyo Anza Kueneza Bidhaa Zake Duniani Unajua Nani Sababu..!?

12/09/2025

Kabla Aujaanza Kuagiza Bidhaa Kutoka Taifa La CHINA, kwa Kutumia Simu Janja Yako, Tambua haya Muhimu..!.

14/06/2025

Je, Umekuwa Ukijiuliza swali hili ..!?
Unaweza kusoma apo chini...👇👇👇👇
.
*Utofauti kati ya Alibaba na Kikuu uko katika mfumo wa biashara, wauzaji* , ........ *gharama za usafiri, na aina ya bidhaa zinazopatikan* .
K**a jibu Ndiyo Basi Soma MAKALA HII, Hadi Mwisho..!

_Hapa kuna mambo makuu ya kuzingatia_ :

1. ```Mfumo wa Biashara```

*Alibaba* : Ni jukwaa la B2B ( *Business-to-Business* ), linawalenga wafanyabiashara wanaonunua kwa wingi (wholesale). Hapa, unawasiliana moja kwa moja na wazalishaji au wasambazaji wakubwa.
*Kikuu* : Ni jukwaa la B2C ( _Business-to-Consumer_ ), ambapo wauzaji wanauza moja kwa moja kwa wateja wa kawaida kwa rejareja (retail).

2. ```Gharama za Usafiri```

*Alibaba* : Wakati unanunua bidhaa, gharama za usafirishaji hutegemea msambazaji. Mara nyingi, mzigo hutumwa kwa njia kubwa k**a air freight au sea freight, na unaweza kuhitaji kulipia ushuru (customs duties).
*Kikuu* : Wana mfumo wa free shipping kwa baadhi ya bidhaa, lakini gharama za usafiri huweza kuwa zimejumuishwa kwenye bei ya bidhaa. Pia, usafirishaji hutumia njia rahisi (express shipping), mara nyingi kupitia njia k**a China Post au EMS.

3. ```Aina ya Bidhaa na Ubora```

*Alibaba* : Inatoa bidhaa nyingi zenye ubora tofauti, kulingana na msambazaji. Unaweza kununua bidhaa customized kulingana na mahitaji yako.
*Kikuu* : Inauza bidhaa za rejareja na nyingi zinakuwa bidhaa za bei nafuu (low-cost items), ambazo zinaweza kuwa na ubora wa wastani.

4. ```Malipo na Usalama```

*Alibaba* : Inatumia Trade Assurance ili kuhakikisha unapata bidhaa k**a ulivyoagiza. Malipo hufanyika kupitia bank transfer, PayPal, Western Union n.k.
*Kikuu* : Inatumia njia rahisi za malipo k**a mobile money (Mpesa, Airtel Money) na kadi za benki, lakini haina mfumo madhubuti wa ulinzi wa mnunuzi k**a Alibaba.

5. ```Wakati wa Usafirishaji```

*Alibaba* : Inategemea njia ya usafirishaji – sea freight inaweza kuchukua wiki 3–6, huku air freight ikichukua wiki 1–2.
*Kikuu* : Mara nyingi usafirishaji huchukua wiki 2–4 kupitia njia za kawaida.

```Hitimisho```

*K**a unataka kununua kwa rejareja* , _Kikuu_ ni rahisi kutumia.
K**a unataka kununua kwa jumla ( *wholesale* ) au kwa biashara, *Alibaba* ni chaguo bora kwani una nafasi ya kupata bei nafuu na bidhaa zenye ubora zaidi.
*Think deep deeper*
Prepared [email protected]
Think deep deeper
" *Be The Change That You Wish To See, In The World* ...'

Je, unatamani kujua ..!?. k**a unatamani kujifunza, sijali nichek Whatsapp kupitia Number 0766569656
10/05/2025

Je, unatamani kujua ..!?. k**a unatamani kujifunza, sijali nichek Whatsapp kupitia Number 0766569656

Check out SirLuquman Abdallah’s video.

Anza, sasa Kuagiza Bidhaa Wewe Mwenyewe kutoka china  kwa Kutumia Simu Janja Tu.. mtaji kidogo faida Kubwa..
08/05/2025

Anza, sasa Kuagiza Bidhaa Wewe Mwenyewe kutoka china kwa Kutumia Simu Janja Tu.. mtaji kidogo faida Kubwa..

Check out SirLuquman Abdallah’s video.

Address

0766569656
Mwanza
3321872

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when SirLuquman posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share