SirLuquman

SirLuquman Nawasaidia Watanzania Kuagiza Bidhaa Kutoka CHINA � To TANZANIA kwa Kutumia Smartphone pekee!.

Tambua Hili kuhusu mitandao ya kijamii ambayo ni matokeo ya utafiti (Global socialmedia research) uliofanywa duniani kot...
09/11/2025

Tambua Hili kuhusu mitandao
ya kijamii ambayo ni matokeo ya utafiti (Global social
media research)
uliofanywa duniani kote na kutolewa
januari 2023....... 1: Watu (zaidi ya) bilioni 4.76 sawa na 59% ya watu wote duniani hutumia mitandao ya kijamii.....Hii inatoa tafsiri kwamba zaidi ya nusu ya watu wote duniani wanatumia mitandao ya kijamii...
Hii ni kusema kwamba k**a unataka kukutana na watu wa ulimwengu wa leo, njia rahisi ya kukutana nao ni kupitia
mitandao.

“K**a unataka kukutana na watu wa
ulimwengu wa leo, njia rahisi ya kukutana
nao ni kupitia mitandao.”

2: Watu zaidi ya 4 hujiunga na mitandao ya
kijamii kwa kila sekunde..

Hii bado ikusaidie kufahamu kuwa k**a kuna eneo la kukutana na watu kwa urahisi basi ni katika mitandao ya kijamii....
Mitandao si kitu cha kawaida k**a unavyoidhania, Katika mitandao ndiko uliko ulimwengu wa kileo

3: Kwa wastani mtu hutumia masaa 2 na dakika 31 kwa siku katika mitandao ya kijamii...
Hii ni kwa mtu wa kawaida …. (jaribu kufikiri) …...Hii inamaanisha kwamba k**a utawekeza nguvu zako
kufanya mambo yenye tija kupitia mitandao ya kijamii,.... basi
utakuwa na nafasi ya kukutana na kila mtu kwa angalau masaa 2 na nusu kila siku
Mpaka hapa bila shaka unatambua nguvu ya mitandao ya kijamii. .
Hii ndiyo sababu Chris Young alisema;

“Mitandao ya kijamii ni nyenzo zenye nguvu
sana"
Prepared BySirLuquman
Think deep deeper
.com@ Kelvin Kibenje

Mda Sahihi Wa Mzigo Wako Kufika Tanzania From Chin..... " Kwanza Ina-depend Na Aina Ya Usafirishaji Uliyo-utumia Kusafir...
09/11/2025

Mda Sahihi Wa Mzigo Wako Kufika Tanzania From Chin..... " Kwanza Ina-depend Na Aina Ya Usafirishaji Uliyo-utumia Kusafirisha Mzigo WAKO ". Maana Kila Aina Ya Usafirishaji Una Mda Wake Wa Makadiliyo Kufika Tanzania...
Mfano...
" K**a Umetumia Usafiri Wa Ndege Kwa Mzigo Wa Kawaida Ni Siku 10 Maximum, Unakuwa Umeishapata Mzigo Wako , Ila k**a Mzigo siyo wakawaida ni Siku 15 Maximum "
" Meli Ni Ndani ya Siku 28 Hadi 30 Mzigo unakuwa umeishafika Tanzania, ila Kwa sababu ya Process Za Clear Huwa zinachukua maximum week 2 '... Kwahyo Totally itakuwa Mwezi 1 na wiki 1 Hadi 2..
Je, Unatamani Kuendelea Kujifunza Zaidi Kuhusu Uagizaji Bidhaa Kutoka Taifa La CHINA TO TANZANIA Kwa Kutumia Simu Janja Pekee...!?.. K**a Ndiyo, Basi comments, Neno YES, na Follow Page Yetu Kwa Content k**a hizi..
Think deep deeper
Prepared BySirLuquman
" Be The Change That You Wish To See In The World "
.com Kelvin Kibenje

" Huwezi Kuwa Mvuvi Mzuri Wa Samaki Kwa Kuendelea Kukaa Na Mafundi Ujenzi "Una-muhitaji Mvuvi Mzoefu Akupe Mbinu Za Nyav...
09/11/2025

" Huwezi Kuwa Mvuvi Mzuri Wa Samaki Kwa Kuendelea Kukaa Na Mafundi Ujenzi "
Una-muhitaji Mvuvi Mzoefu Akupe Mbinu Za Nyavu Gani Ni Nzuri, Muda Gani Mzuri Wa Kuvua Samaki Wakubwa, Upepo Gani Unaashiria Wingi Wa Samaki Na Muda Sahihi Wa Kupata SAMAKI Wengi..... Fursa Ni Nyingi Zinazoweza Kukufanya Ufanikiwe, Tatizo Upo Kwenye Kundi La Watu Wenye MINDSET Na Experience Ambayo Siyo Sahihi Kwako...
So, " If You Need To Change Your MINDSET Change Your CIRCLE ".. Anza Kufatilia Watu Ambao watakupa Ujasiri, Kulingana na Niche Unayohitaji..
Think deep deeper
Prepared BySirLuquman
" Be The Change That You Wish To See In The World "
SirLuquman

Hivi... Unajua Kuwa Asilimia Kubwa Ya Watu Wanao-hitaji Kuanzisha Biashara Huwa Wana-lalamikia MTAJI FEDHA...!Jambo, Amb...
09/11/2025

Hivi... Unajua Kuwa Asilimia Kubwa Ya Watu Wanao-hitaji Kuanzisha Biashara Huwa Wana-lalamikia MTAJI FEDHA...!
Jambo, Ambalo Siyo First Important Need Kwa Mtu Anaye-itaji KUANZA Kufanya Biashara.... " Unachotakiwa Kufanya Ni Kuingia SOKONI "
Ukiisha-ingia SOKONI , Soko ndiyo Litakwambia Nini LINAHITAJI Na Huko ndiyo IDEAS YA BIASHARA HUTOKEA..
Thanks.
Prepared BySirLuquman
Think deep deeper
" Be The Change That You Wish To See In The World"
.com

*Hello!...*.. Ili kuhakikisha kuwa vipodozi unavyonunua kutoka kwa *Alibaba* ni *original na salama* kwa matumizi, ........
09/11/2025

*Hello!...*.. Ili kuhakikisha kuwa vipodozi unavyonunua kutoka kwa *Alibaba* ni *original na salama* kwa matumizi, .......unapaswa kuzingatia mambo haya:

1. *Angalia Supplier Aliye Verified*
Chagua *Gold Supplier* au *Verified Supplier* kwa sababu hizi ni kampuni zilizokaguliwa na Alibaba.
*Angalia Supplier* *Assessment* ili kuona ripoti ya ukaguzi wa kampuni hiyo.
2. *Angalia Reviews na Ratings* ...
Soma maoni ya wateja waliowahi kununua bidhaa hiyo....
K**a kuna malalamiko kuhusu bidhaa *feki* , *epuka* hiyo kampuni.

3. *Omba Vyeti na Hati za Ubora*
Muulize supplier k**a ana vyeti k**a *ISO, CE, FDA* (k**a bidhaa inahitaji).
Wauzaji wa vipodozi vya asili wanapaswa kuwa na *MSDS* ( _Material Safety Data Sheet_ ) inayoonyesha usalama wa bidhaa.

4. *Omba Picha za Bidhaa Halisi*
Uliza supplier akutumie picha halisi za bidhaa, ikiwa ni pamoja na *lebo* , *batch number* , na *barcode* .
Linganisha na picha za bidhaa rasmi kutoka kwa *brand manufacturer.*

5. *Uliza Kuhusu Chanzo cha Bidhaa*
K**a vipodozi ni brand name (k**a *MAC* , *Fenty* , *Maybelline* , nk.), hakikisha supplier ni *authorized distributor.*
Wauzaji wa kweli wanapaswa kutoa *proof of authorization* kutoka kwa kampuni ya brand.

6. *Agiza Sample Kwanza*
Kabla ya kufanya order kubwa, omba sample ili kuthibitisha ubora wake.
Baada ya kupokea *sample, angalia harufu* , *muundo* , na *packaging* ili kulinganisha na *bidhaa original.*

7. *Epuka Bei Isiyo ya Kawaida*
K**a bidhaa inauzwa kwa bei ya chini sana kuliko soko la kawaida, kuna uwezekano ni feki.

Linganisha bei na wauzaji wengine wenye *reputation* nzuri.

8. *Lipa kwa Njia Salama*

Tumia *Trade Assurance ya Alibaba* badala ya kulipa moja kwa moja kwa njia zisizo na ulinzi k**a *Western Union.* ........Kwa kufuata hatua hizi, utaweza kupunguza hatari ya *kununua vipodozi feki* .
Prepared [email protected]
Think deep deeper
Think deep deeper
" *Be The Change That You* *Wish To See In The World* "
..
Alibaba.com

_Je, Umewahi, kukutana Na— *supplier* ambaye_ *si verified* , _lakini ana_ *reviews nzuri* _na anatumia_ *Alibaba Trade ...
08/11/2025

_Je, Umewahi, kukutana Na— *supplier* ambaye_ *si verified* , _lakini ana_ *reviews nzuri* _na anatumia_ *Alibaba Trade Assurance* .,.!?
K**a Jibu Ndiyo, ```MAKALA HII``` , Ni Kwaajili Yako.... Soma Hadi Mwisho .....
```Kwanza , hebu tuchambue hii hali.👇👇👇👇👇```
---
1. *Si Verified Supplier* :
Hii ina maana Alibaba haijathibitisha rasmi uwepo na uhalali wa kampuni hiyo kupitia *third-party verification* .........Haina maana kwamba ni *scam* automatically, lakini inahitaji umakini mkubwa kabla ya kufanya biashara naye
---

2. *Ana Reviews Nzuri* :
K**a _wateja wengi_ wameshafanya naye biashara na wametoa *positive feedback* , hii ni dalili nzuri sana
Unaweza kuuliza Ufanye, nini katika hili. 👇👇
*Chakufanya Ni Kuangalia:*

🌹 _Idadi ya reviews_ ( _ikiwa zaidi ya 4–10, ni bora_ )
🌹 _Maelezo ya wateja waliompa review_
🌹 _Picha walizopakia_ (ikiwa zipo, hapa ipo hivi, k**a mteja kwenye review alituma picha unaziangalia)
🌹 _Countries walikotoka_ — k**a kuna *Wakenya* , *Watanzania* , au *Waafrika* , ni _point ya kuzingatia zaidi._
---

3. *Anatumia Trade Assurance:*
Hii ni kinga kubwa — ina maana unaweza......Kulipa kwa usalama kupitia Alibaba
*Kudai refund* k**a _bidhaa haijafika_ , _imechelewa sana_ , au _ubora haupo sawa_ na _mlichokubaliana_
*Hii ni nguzo muhimu sana ya kulinda pesa yako kwa supplier asiye verified* .

----------------------------------------------------------------------------------------
Mpaka Kufikia Apo, Unaweza Kujiuliza 👇👇👇👇
```Je, ni salama kufanya kazi naye?```
*Ndio, lakini kwa tahadhari zifuatazo:* ..👇👇👇

1. Wasiliana naye kwa kina: Uliza maswali mengi kuhusu *bidhaa* , *customization* k**a utaitaji, *shipping time* , *MOQ* *nk*

2. Omba Proforma Invoice rasmi kutoka kwa Alibaba system
3. Hakikisha malipo yanaenda kupitia *Trade Assurance tu* (usiitumie _Western Union_ , au _direct transfer_ ).
4. Omba picha au video ya bidhaa kabla ya kutuma mzigo
5. Angalia k**a ana *Order History nzuri*( ila hii, siyo kila supplier anazionyesha so, — siyo Muhimu
6. Ukitaka, unaweza kutumia kampuni ya *ku-inspect mzigo kabla ya kusafirishwa* .( Ila kuna Gharama zake ...)
---
.com

*Siri Hii, Importer Trainer Wengi Hawato Kuambia* ....         NA :-Unaweza Kujiuliza Importer Trainer Ni Nani...!?( Baa...
08/11/2025

*Siri Hii, Importer Trainer Wengi Hawato Kuambia* ....
NA :-
Unaweza Kujiuliza Importer Trainer Ni Nani...!?( Baada Ya Sekunde Chache Tu,! Utaenda Kujua ...
" _Ni KWAMBA_ ". *Importer Trainer* :-- Ni Mtu _anayetoa Mafunzo Ya Namna Ya Kuagiza Bidhaa Kutoka Mataifa Ya Nje, Kwa Njia Ya_ ..... Kidigitali Kwa Kutumia Simu JANJA Tu!..
Okay, Baada Ya Kutambua Nini Maana Ya Import Trainer, Sasa Twende ukatambuwe Siri Hiyo..
Na Jua Unashauku Ya Kujua Siri hiyo, Okay Ni Kwamba Siyo Kila *MDA ni Sahihi* *Kwaajili Ya Uagizaji Wa Bidhaa Kutoka Taifa La CHINA..* . Unaweza Kuuliza Kwa nini...!?. ni kwamba , Nchi Ya CHINA , Ni Tofauti Sana Na Nchi Yetu TANZANIA Katika Swala La Sikukuu Za Likizo..( *Holiday )*....
... _Taifa La CHINA, Lina Holiday nyingine ambazo zina Adhiri Shughuli Nzima Za Uagizaji Bidhaa Kutoka CHINA Kwenda Mataifa Mbalimbali_...
Pia Ajabu Ni kuwa Holiday Za Taifa La CHINA azichukuwi Siku 1 au 2 k**a huku kwetu BONGO..... Hivyo Kulingana Na Changamoto Ya Watu Wengi, Kunipa Malalamiko Kuwa , Sometimes Mizigo, Yao Inachelewa Sana Kufika Nchini Tanzania....
Kwahyo Unatakiwa Kufahamu Holiday za China Kwa Mwaka Mzima zipo ngapi na zinafanyika lini. ...!?

" *Be The Change That You Wish To See In The World* "

08/11/2025

Kwa Mtaji Mdogo TU!.. Unaweza Kuanza Biashara Ya Uagizaji Bidhaa Kutoka Taifa La CHINA TO TANZANIA Kwa Kutumia Simu Janja Yako Pekee...
Je, Na wewe Ni Miongoni Mwawanufaika Wa Program zetu...!? ( Angalia video hii Hadi Mwisho !)
.Com.

08/11/2025
07/11/2025

Hello.... Mjasiliamari Unayetamani Kuagiza Bidhaa Kutoka Taifa La CHINA Kwa Njia Ya Kidigitali.... Una Taarifa Njema Leo..
.

Address

0766569656
Mwanza
3321872

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when SirLuquman posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to SirLuquman:

Share