Thamthilia kali

Thamthilia kali Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Thamthilia kali, Digital creator, Geita, Mwanza.

💥💥Tafadhali subscribe📺📺 channel Yetu mpya YouTube kupitia link hii
📢📢youtube.com/c/amonTVgusu karibu sana✅ Pata clips na shorts video za Mr.KASONGO YEYE & movie stories kali kutoka kwetu.Njoo tukuvunje mbavu huku kwetu kicheko Tu🤣🤣🤣🤣

27/06/2025

I got over 1,500 reactions on one of my posts last week! Thanks everyone for your support! 🎉

🎉 Facebook recognized me as a consistent reels creator this week!
24/06/2025

🎉 Facebook recognized me as a consistent reels creator this week!

11/06/2025

I got over 1,000 reactions on one of my posts last week! Thanks everyone for your support! 🎉

Kwenye page ya kaizer chief Sasa kumejaa picha za Feisal huku mashabiki Wa timu hiyo wakifurahia ujio Wa mchezaji huyo n...
07/06/2025

Kwenye page ya kaizer chief Sasa kumejaa picha za Feisal huku mashabiki Wa timu hiyo wakifurahia ujio Wa mchezaji huyo nyota kutoka Tanzania

Kaizer Chiefs Football Club, affectionately known as "Amakhosi" (meaning "Lords" or "Chiefs" in Zulu), is one of South A...
07/06/2025

Kaizer Chiefs Football Club, affectionately known as "Amakhosi" (meaning "Lords" or "Chiefs" in Zulu), is one of South Africa's most storied and successful football clubs. Founded on January 7, 1970, by Kaizer Motaung, a former Orlando Pirates player who had just returned from a stint with the Atlanta Chiefs in the United States, the club quickly rose to prominence in South African football.

🏟️ Club Overview

Full Name: Kaizer Chiefs Football Club

Nicknames: Amakhosi, The Glamour Boys, The Phefeni Boys

Home Ground: FNB Stadium, Johannesburg (capacity: 94,797)

Chairman: Kaizer Motaung

Head Coach: Nasreddine Nabi (appointed in July 2024)

Kutoa nywele za kwapani ni jambo la kawaida kwa usafi wa mwili, kupunguza harufu mbaya, na kwa baadhi ya watu, kwa sabab...
07/06/2025

Kutoa nywele za kwapani ni jambo la kawaida kwa usafi wa mwili, kupunguza harufu mbaya, na kwa baadhi ya watu, kwa sababu za urembo au dini. Kuna njia mbalimbali za kufanya hivyo, na kila moja ina faida na hasara zake ikiwa ni
1.kiwembe
2.hair removal cream
3.tweezing au waxing
4. Laser
Ipi Iko poa sana

Thamthilia kali  inakutakia wewe na familia yako Heri ya SIKUKUU YA EID AL-ADHA!
07/06/2025

Thamthilia kali inakutakia wewe na familia yako Heri ya SIKUKUU YA EID AL-ADHA!

Askofu Dr. Josephat Mathias Gwajima ni kiongozi maarufu wa kidini na mwanasiasa nchini Tanzania.  Ni mwanzilishi na Asko...
05/06/2025

Askofu Dr. Josephat Mathias Gwajima ni kiongozi maarufu wa kidini na mwanasiasa nchini Tanzania. Ni mwanzilishi na Askofu Mkuu wa Kanisa la Glory of Christ Tanzania Church (GCTC), linalojulikana pia k**a Ufufuo na Uzima. Pia ni Mbunge wa Jimbo la Kawe kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) tangu mwaka 2020.

Maisha ya Awali na Elimu

Gwajima alizaliwa tarehe 19 Desemba 1970 katika kijiji kidogo mkoani Mwanza. Katika umri wa miaka 15, alipata ajali mbaya ya uti wa mgongo iliyomfanya kuwa mlemavu kwa miaka sita. Anadai alipona kimiujiza baada ya Yesu Kristo kumtokea katika ndoto, jambo lililomhamasisha kujitolea kwa huduma ya kiroho.

Baada ya kupona, alihitimu elimu ya sekondari katika Shule ya Sekondari ya Buswelu mwaka 1993. Kisha alipata Diploma ya Juu katika Biblia na Theolojia kutoka East African Pastoral Theological School huko Nairobi mwaka 1994. Alipata Shahada ya Uzamili katika Uinjilisti kutoka Japan Bible Institute kati ya 2006 na 2008, na baadaye alitunukiwa Shahada ya Udaktari wa Heshima (PhD) katika Theolojia kutoka Omega Global University, Afrika Kusini mwaka 2015 .

Huduma ya Kiroho

Baada ya kuhitimu, Gwajima alianza huduma ya kiroho kwa kupanda makanisa katika mikoa ya Mwanza, Musoma, na Mugumu. Mwaka 1994, alianzisha Glory of Christ Tanzania Church (GCTC) ambayo imekua kuwa mojawapo ya makanisa makubwa nchini, ikiwa na waumini zaidi ya 70,000 katika ibada moja jijini Dar es Salaam. Kanisa lake lina matawi ndani na nje ya Tanzania, ikiwa ni pamoja na Japan na Uingereza .
✓Maisha ya Kisiasa
Katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2020, Gwajima alichaguliwa kuwa Mbunge wa Jimbo la Kawe kupitia CCM, akimshinda Halima Mdee wa CHADEMA. Bungeni, anahudumu katika Kamati ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira .

27/05/2025

Hongera kwa club ya simba sports hata kwa hatua hii kesho ni siku na asiyekubali kushindwa si mshindani@thamthilia kali
25/05/2025

Hongera kwa club ya simba sports hata kwa hatua hii kesho ni siku na asiyekubali kushindwa si mshindani@thamthilia kali

Inawezekana  sports club
25/05/2025

Inawezekana sports club

Wanasimba hii inawezekana Simba 1 -0 RSB
25/05/2025

Wanasimba hii inawezekana
Simba 1 -0 RSB

Address

Geita
Mwanza

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Thamthilia kali posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share