Futbal Planet Media.

Futbal Planet Media. Karibu kwenye Page ya Kimichezo ya FUTBAL PLANET MEDIA ambayo ni Back Up page ya FUTBAL PLANET iliyopata changamoto hivi karibuni.
(1)

"MO hawezi kuiacha Simba kwa sababu yupo kimkataba. Hawezi kuamka tu na kusema anaondoka na kuiacha Simba. Hilo suala ha...
01/06/2026

"MO hawezi kuiacha Simba kwa sababu yupo kimkataba. Hawezi kuamka tu na kusema anaondoka na kuiacha Simba. Hilo suala halipo. Ukiangalia nyaraka za uwekezaji utaona wazi, wala si jambo la siri. Mfadhili anaweza kuamua kuondoka wakati wowote, lakini MO ni sehemu ya Simba. Nilisikia wengine wakisema wanampa saa kadhaa aondoke, jambo ambalo linaonyesha hawafahamu uhalisia wa suala hili"

CRESCENTIUS MAGORI, Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Klabu ya Simba SC

"Jambo muhimu kwetu ni kusalia kwenye kile ambacho tumekuwa tukikifanya bila ya kubeba presha ya mchezo, hakuna sababu y...
01/06/2026

"Jambo muhimu kwetu ni kusalia kwenye kile ambacho tumekuwa tukikifanya bila ya kubeba presha ya mchezo, hakuna sababu ya kuhofia chochote, fainali sio kitu cha ajabu, fainali. Ni mchezo k**a michezo mingine, tofauti ni ukubwa wa jina tu lakini uwanjani ni dakika 90 au zaidi. Naamini ambacho tumekuwa tukiongea na vile ambavyo tumekuwa tukijiandaa basi tunaweza kuweka historia"

ELIENEZA NSANGANZELU, Kocha Mkuu wa Serengeti Boys kuhusu Fainali ya AFCON

๐Ÿšจ OFFICIAL: Klabu ya Simba SC imeachana na aliyekuwa golikipa wake, Moussa Pin Pin Camara baada ya mkataba wake kumalizi...
01/06/2026

๐Ÿšจ OFFICIAL: Klabu ya Simba SC imeachana na aliyekuwa golikipa wake, Moussa Pin Pin Camara baada ya mkataba wake kumalizika hapo jana May 31,2026.
Camara ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ณ amedumu ndani ya Simba kwa misimu miwili na anatarajia kwenda Ulaya kutafuta maisha.

JE OKWI AKIRUDI SIMBA ATAPATA NAMBA?"Ningependa kuishi Bongo (Tanzania) hata siku moja"AMEANDIKA EMMANUEL OKWI huku akia...
31/05/2026

JE OKWI AKIRUDI SIMBA ATAPATA NAMBA?
"Ningependa kuishi Bongo (Tanzania) hata siku moja"
AMEANDIKA EMMANUEL OKWI huku akiambatanisha na picha akiwa Simba.

Kundi la kwanza la Kikosi cha Taifa ya Mali "Eagles" limewasili alasiri ya leo mjini Antalya, nchini Tรผrkiye, na limewek...
31/05/2026

Kundi la kwanza la Kikosi cha Taifa ya Mali "Eagles" limewasili alasiri ya leo mjini Antalya, nchini Tรผrkiye, na limeweka makazi yake katika hoteli ya Gloria Sports Arena Complex.

Kikosi hiki kipo kambini kwa ajili ya mechi ya kirafiki dhidi ya Iran itakayochezwa Alhamisi, tarehe 4 Juni, katika uwanja wa Mardan Sports Complex kuanzia saa 9:30 alasiri kwa saa za Afrika Mashariki (EAT), sawa na saa 3:30 GMT (6:30 jioni kwa saa za nchini Tรผrkiye).

๐Ÿšจ JUSTIN: ๐Ÿ†๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช Gor Mahia wametawazwa mabingwa wa Ligi Kuu ya Kenya kwa mara ya 22 katika historia yao, wakiongeza rekodi ...
31/05/2026

๐Ÿšจ JUSTIN: ๐Ÿ†๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช Gor Mahia wametawazwa mabingwa wa Ligi Kuu ya Kenya kwa mara ya 22 katika historia yao, wakiongeza rekodi yao k**a klabu iliyoshinda mataji mengi zaidi nchini humo.

๐Ÿ’ฐ Kwa kutwaa ubingwa huo, Kโ€™Ogalo watapokea zawadi ya Shilingi Milioni 15 za Kenya (takribani Dola za Marekani 116,000), sawa na karibu TSh Milioni 302 za Tanzania .

๐ŸŒ Aidha, Gor Mahia wamejihakikishia nafasi ya kushiriki michuano ya CAF Champions League msimu ujao, wakirejea tena kuiwakilisha Kenya katika mashindano makubwa zaidi ya vilabu barani Afrika.

๐Ÿ‘ Hongera Gor Mahia kwa mafanikio haya makubwa na ya kihistoria!

FOLLOW Michael Mwayombo Mpekeo

๐Ÿšจ OFFICIAL: Champions League Team of the Season:๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ GK: David Raya๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ RB: Llorente๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ท CB: Marquinhos ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ท CB: Gabriel๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡น LB: N...
31/05/2026

๐Ÿšจ OFFICIAL: Champions League Team of the Season:

๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ GK: David Raya
๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ RB: Llorente
๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ท CB: Marquinhos
๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ท CB: Gabriel
๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡น LB: Nuno Mendes
๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ท RM: M. Olise
๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ CM: D. Rice
๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡น CM: Vitinha
๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ช LM: Kvaratskhelia โญ๏ธ
๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ ST: H. Kane
๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ท ST. O. Dembele
๐Ÿšจ JUSTIN: Mshambuliaji wa PSG, Kvaratskhelia amechaguliwa kuwa Mchezaji bora wa mashindano ya kwa msimu wa 2025/26.

๐Ÿšจ JUSTIN: Mchana wa leo Klabu ya Arsenal imefanya parade lake la Ubingwa huko Jijini London ikiwa ni sehemu ya kusherehe...
31/05/2026

๐Ÿšจ JUSTIN: Mchana wa leo Klabu ya Arsenal imefanya parade lake la Ubingwa huko Jijini London ikiwa ni sehemu ya kusherehekea Ubingwa wa Ligi Kuu Nchini Uingereza ambao wameutwaa msimu huu baada ya miaka 22 kupita.
Licha ya kulikosa Kombe la UEFA hapo jana kwa kufungwa na PSG, hali hiyo haijapelekea unyonge kwa Arsenal ambao leo wamefurika mitaani kushangilia mafanikio ya kubeba EPL.

๐Ÿšจ BREAKING: Klabu ya Simba Queens imebeba Ubingwa wa Ligi Kuu ya wanawake ya Tanzania Bara baada ya kuibuka na ushindi w...
31/05/2026

๐Ÿšจ BREAKING: Klabu ya Simba Queens imebeba Ubingwa wa Ligi Kuu ya wanawake ya Tanzania Bara baada ya kuibuka na ushindi wa bao 5-2 dhidi ya Mashujaa Queens kisha kufikisha pointi 56, pointi ambazo haziwezi kufikiwa na timu yoyote ile kwenye ligi hiyo.
Simba Queens wanabeba Kombe hilo baada ya kulipoteza msimu uliopita.

TAKWIMU ZA WACHEZAJI WATATU WANAOWANIA TUZO ZA MCHEZAJI BORA WA MWEZI LIGI KUU.ZIFUATAZO ni Takwimu za wachezaji watatu ...
31/05/2026

TAKWIMU ZA WACHEZAJI WATATU WANAOWANIA TUZO ZA MCHEZAJI BORA WA MWEZI LIGI KUU.
ZIFUATAZO ni Takwimu za wachezaji watatu ambao Kampuni ya SokaMetrics ambao wana dhamana za kukusanya data za Ligi Kuu wameona ALLAN OKELLO wa Yanga ndiye anastahili kuwa Mchezaji bora wa mwezi kwa kuangalia TAKWIMU alizozipata kwa Mwezi Mei kwenye michezo yote aliyocheza huku akipata alama 9.2, nyingi kuliko CLATOUS CHOTTA CHAMA wa Simba na FEISAL SALUM wa Azam FC.

๐ŸŸข ALLAN OKELO (โญ Rate 9.2)

๐ŸŸ๏ธ โ€” 06 Mechi
โฑ๏ธ โ€” 521 Dakika
โšฝ๏ธ โ€” 09 Mabao
๐Ÿ…ฐ๏ธ โ€” 01 Assist

โš”๏ธ Ushambuliaji

๐ŸŽฏ โ€” 13 Mashuti yaliyolenga lango
โŒ๐ŸŽฏ โ€” 07 Mashuti nje ya lango
๐Ÿ”‘ โ€” 05 Pasi muhimu
โœจ โ€” 24 Nafasi zilizotengenezwa
๐Ÿ“ค โ€” 12 Krosi
๐Ÿ“ฆโšฝ๏ธ โ€” 53 Miguso ndani ya boksi
๐Ÿ›ก๏ธ๐Ÿšซ โ€” 04 Mashuti yake yaliyozuiwa

๐Ÿ›ก๏ธ Ulinzi

๐Ÿ”„ โ€” 14 Interceptions
โฌ†๏ธโš”๏ธ โ€” 02 Mipira ya juu aliyoshinda
๐Ÿ’ชโš”๏ธ โ€” 09 Mipambano ya chini aliyoshinda

๐Ÿ“‹ Nidhamu

๐ŸŸจ โ€” 00 Kadi za njano

---

๐Ÿ”ต FEISAL SALUM (โญ Rate 8.3)

๐ŸŸ๏ธ โ€” 06 Mechi
โฑ๏ธ โ€” 508 Dakika
โšฝ๏ธ โ€” 07 Mabao
๐Ÿ…ฐ๏ธ โ€” 01 Assist

โš”๏ธ Ushambuliaji

๐ŸŽฏ โ€” 09 Mashuti yaliyolenga lango
โŒ๐ŸŽฏ โ€” 07 Mashuti nje ya lango
๐Ÿ”‘ โ€” 02 Pasi muhimu
โœจ โ€” 19 Nafasi zilizotengenezwa
๐Ÿ“ค โ€” 07 Krosi
๐Ÿ“ฆโšฝ๏ธ โ€” 28 Miguso ndani ya boksi
๐Ÿ›ก๏ธ๐Ÿšซ โ€” 02 Mashuti yake yaliyozuiwa

๐Ÿ›ก๏ธ Ulinzi

๐Ÿ”„ โ€” 10 Interceptions
โฌ†๏ธโš”๏ธ โ€” 10 Mipira ya juu aliyoshinda
๐Ÿ’ชโš”๏ธ โ€” 12 Mipambano ya chini aliyoshinda

๐Ÿ“‹ Nidhamu

๐ŸŸจ โ€” 01 Kadi za njano

---

๐Ÿ”ด CLATOUS CHAMA (โญ Rate 8.9)

๐ŸŸ๏ธ โ€” 06 Mechi
โฑ๏ธ โ€” 500 Dakika
โšฝ๏ธ โ€” 05 Mabao
๐Ÿ…ฐ๏ธ โ€” 04 Assist

โš”๏ธ Ushambuliaji

๐ŸŽฏ โ€” 09 Mashuti yaliyolenga lango
โŒ๐ŸŽฏ โ€” 00 Mashuti nje ya lango
๐Ÿ”‘ โ€” 07 Pasi muhimu
โœจ โ€” 22 Nafasi zilizotengenezwa
๐Ÿ“ค โ€” 08 Krosi
๐Ÿ“ฆโšฝ๏ธ โ€” 52 Miguso ndani ya boksi
๐Ÿ›ก๏ธ๐Ÿšซ โ€” 03 Mashuti yake yaliyozuiwa

๐Ÿ›ก๏ธ Ulinzi

๐Ÿ”„ โ€” 17 Interceptions
๐Ÿฆต โ€” 01 Tackles
โฌ†๏ธโš”๏ธ โ€” 08 Mipira ya juu aliyoshinda
๐Ÿ’ชโš”๏ธ โ€” 17 Mipambano ya chini aliyoshinda

๐Ÿ“‹ Nidhamu

๐ŸŸจ โ€” 01 Kadi za njano

KWAKO WEWE NANI ANASTAHILI KUBEBA TUZO HAPA?๐Ÿ‘‡

Address

Mwanza

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Futbal Planet Media. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share