Njombe TV

Njombe TV NI PAGE INAYOUNGANISHA CHANNEL YA NJOMBE TV INAYOPATIKANA YOUTUBE https://youtu.be/SOQAqoBYFvk

https://youtu.be/WufE0wXfvCU?si=naV44x5IUVzXtQafMSIGWA ATINGA HIFADHI YA MPANGA KIPENGER NA MAAFISA HABARI "HIFADHI HII ...
09/05/2026

https://youtu.be/WufE0wXfvCU?si=naV44x5IUVzXtQaf
MSIGWA ATINGA HIFADHI YA MPANGA KIPENGER NA MAAFISA HABARI "HIFADHI HII NI SALAMA".

Enjoy the videos and music that you love, upload original content and share it all with friends, family and the world on YouTube.

https://youtu.be/H9hkvdMTHyE?si=qrf1zO9gP5DtK4LcMAAFISA HABARI WA SERIKALI  TANZANIA WAPANDA MITI 2000 CHANZO CHA MAJI M...
08/05/2026

https://youtu.be/H9hkvdMTHyE?si=qrf1zO9gP5DtK4Lc

MAAFISA HABARI WA SERIKALI TANZANIA WAPANDA MITI 2000 CHANZO CHA MAJI MIJI 28 NJOMBE contact us 0766880828

katika siku ya tatu ya kikao cha maafisa habari nserikalini kinachoendelea mkoani njombe maafisa habari na mawasiliano serikalini wamepanda miti 2000 kwenye ...

05/05/2026

Vifaranga wa wiki tatu wanahitaji Nini zaidi Ili wawe kuku wa kutaga?

Waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt Mwigulu Lameki Nchemba amesema Rais Samia Katika kipindi chake Cha uo...
01/05/2026

Waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt Mwigulu Lameki Nchemba amesema Rais Samia Katika kipindi chake Cha uongozi amefanya miradi mingi ya maendeleo na kuacha alama kubwa Kwa WANANCHI

Amesema alama kubwa zimeachwa kwenye sekta nyingi zikiwemo sekta za Elimu na afya

Akitoa Salamu kwenye kwenye maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani MEIMOSI Amewataka wafanyakazi kuto kukata tamaa huku akitolea mfano wa timu ya Simba fc ambayo imevumilia kufungwa na yanga Kwa Miaka 10 mfululizo na hivi majuzi wameshinda.

WANANCHI Mkoani Njombe Kwa kushirikisha na viongozi wamempa zawadi ya ngo'mbe  10 wa maziwa Rais wa jamhuri ya muungano ...
01/05/2026

WANANCHI Mkoani Njombe Kwa kushirikisha na viongozi wamempa zawadi ya ngo'mbe 10 wa maziwa Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kwenye maadhimisho ya siku ya meimosi yalifabyika kitaifa Mkoani Njombe

Tamkonla zawadi hiyo limetolewa na mkuu wa mkoa wa Njombe Antony Mtaka mbele ya Rais Samia wakati akiwasilisha Salamu za mkoa Wa Njombe

Asante sana Arusha, Asante Rosarea Tours Company  ,Condo Hotel ,Misa-Tanzania nimekuwa na wakati mzuri hapa jijini Arush...
30/04/2026

Asante sana Arusha, Asante Rosarea Tours Company ,Condo Hotel ,Misa-Tanzania nimekuwa na wakati mzuri hapa jijini Arusha kupata mafunzo ya kitaaluma na kuweka maazimio makuu juu ya taaluma ya Habari na vyombo vya habari hapa nchini kuelekea siku ya uhuru vyombo vya habari duniani.

Shukrani pia kwenu wadau wa habari mkoa Wa Njombe mbunge wangu Deodatus Mwanyika ,Kampuni ya Mtewele General traders company na Wengine Wote mliofanikisha safari yetu tuhongidze.

Address

NJOMBE
Njombe

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Njombe TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Njombe TV:

Share