18/10/2024
Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga Oktoba 18, 2024 limezindua kampeni ya "Tuwaambie kabla hawajaharibiwa" yenye lengo la kufikisha ujumbe kwa wanafunzi wote wa Shule za msingi, Sekondari na vyuo vya kati mkoani humo. Kampeni hiyo imezinduliwa na Mkuu wa Wilaya ya Kishapu Mhe. Joseph Mkude ambapo amelipongeza Jeshi la Polisi kupitia kitengo cha dawati la Jinsia na watoto kwa kubuni na kuzindua kampeni hiyo yenye lengo la kuwajengea uwezo watoto na vijana kuweza kutambua hatari na kuchukua tahadhari ili wasijiunge katika makundi ambayo yanaweza kupelekea kutofikia ndoto zao....
Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga Oktoba 18, 2024 limezindua kampeni ya 'Tuwaambie kabla hawajaharibiwa' yenye lengo la kufikisha ujumbe kwa wanafunzi wote wa Shule za msingi, Sekondari na vyuo vya kati mkoani humo.Kampeni hiyo imezinduliwa na Mkuu wa Wilaya ya Kishapu Mhe. Joseph Mkude ambapo ameli...