Ibrahim Hassan Daff

Ibrahim Hassan Daff 📖
Sadaka ya elimu haikatiki. Follow page hii tukumbushane mema kwa ajili ya Allah 🤍 Mimi sio sheikh na Wala Sina hata chembe🤌 ya usheikh

Dua ya leo 🕌👇"Allahumma barik lana fimaaa baqiya, wa qinaa adhabanaari, Allahumma baarik lana fii yoominaa hadhi, wa sha...
09/04/2026

Dua ya leo 🕌👇
"Allahumma barik lana fimaaa baqiya, wa qinaa adhabanaari, Allahumma baarik lana fii yoominaa hadhi, wa shafe'naa min dhuuni dhunuubinaa, Allahumma ajirnaa min naari, Allahumma aafinaa min fitnaa tuddiini, Allahumma adkhilnaa suraadiqaa rahmaatika, waj'alnaa min al-mu'miniina al-mu'miniina, Allahumma aamin."

Kwa Kiswahili:
"Ewe Mola wangu, tumbariki katika kile kilichobaki, na tuepushe na adhabu ya moto, Ewe Mola wangu, tumbariki katika siku yetu hii, na utusafishe na madhambi yetu, Ewe Mola wangu, tuokoe na moto, Ewe Mola wangu, tupe afya na fitna za kidini, Ewe Mola wangu, tuingize kwenye kivuli cha rehema yako, na tujaalie miongoni mwa waumini, Ewe Mola wangu, Aamin."

Hakika
09/04/2026

Hakika

09/04/2026
Majuto 9 Watakayokuwa nayo binadamu siku ya Qiyama.1.“Laiti ningekuwa mchanga.”(Surah An-Naba: 40)2.“Laiti ningetanguliz...
09/04/2026

Majuto 9 Watakayokuwa nayo binadamu siku ya Qiyama.
1.“Laiti ningekuwa mchanga.”

(Surah An-Naba: 40)

2.“Laiti ningetanguliza (mema) kwa ajili ya maisha yangu (ya Akhera).”

(Surah Al-Fajr: 24)

3.“Laiti nisingepewa kitabu changu (cha amali).”

(Surah Al-Haqqah: 25)

4.“Laiti nisingemfanya fulani kuwa rafiki yangu.”

(Surah Al-Furqan: 28)

5.“Laiti tungemtii Mwenyezi Mungu na tungemtii Mtume.”

(Surah Al-Ahzab: 66)

6.“Laiti ningefuata njia ya Mtume.”

(Surah Al-Furqan: 27)

7.“Laiti ningekuwa pamoja nao ili nipate mafanikio makubwa.”

(Surah An-Nisa: 73)

8.“Laiti nisingemshirikisha Mola wangu na yeyote.”

(Surah Al-Kahf: 42)

9.“Laiti tungerejeshwa (duniani), basi tusingekadhibisha Aya za Mola wetu, na tungekuwa miongoni mwa Waumini.”

(Surah Al-An'am: 27)

Kumbuka, majuto hayo hayatomnufaisha mtu Kwa chochote siku hiyo. Kilicho Cha muhimu ni kufanya tuliyoamrishwa na kuacha tuliyokatazwa kabla siku hiyo haijafika.
Usisahau ku follow page hiyo Ibrahim Hassan Daff ili tujifunze mengi zaidi inshaallah

08/04/2026

🌙Leo ni mwezi 19 Shawwal mwaka 1447H, J.tano, Allah atumiminie rizki, barka na kheri zote zitokanazo na siku hii ya leo, Amiin🤲

ukumbushe moyo wako kila wakati kuwa hakuna kitu cha milele kila kitu huisha ubabe huisha,cheo huisha dhiki huisha,umri ...
07/04/2026

ukumbushe moyo wako kila wakati kuwa hakuna kitu cha milele kila kitu huisha ubabe huisha,cheo huisha dhiki huisha,umri huisha,pesa huisha,pumzi nayo iko siku itaisha.
ila mema ya mja huisha milele baadhi ya tabia yako mpango wa ALLAH ni bora kuliko ndoto zako,na katika kila haki,sema Allahamdulillah

🌙 UKUMBUSHO WA LEO 🌙As-salaamu ‘alaykum warahmatullahi wabarakatuhLeo tukumbushane jambo muhimu sana katika maisha yetu ...
07/04/2026

🌙 UKUMBUSHO WA LEO 🌙

As-salaamu ‘alaykum warahmatullahi wabarakatuh

Leo tukumbushane jambo muhimu sana katika maisha yetu ya kila siku:

✨ Kumtaja Mwenyezi Mungu (Dhikr) ✨

Mwenyezi Mungu anasema katika Qur'an:
“Hakika kwa kumkumbuka Mwenyezi Mungu, nyoyo hutulia.” (Surah Ar-Ra’d: 28)

📌 Faida za Dhikr:

Hutuliza moyo na kuondoa wasiwasi

Huongeza imani (Imaan)

Hufuta madhambi madogo

Humkaribisha mja na Mola wake

🤲 Jitahidi kusema mara kwa mara:

Subhaanallah

Alhamdulillah

Allahu Akbar

Astaghfirullah

🌟 Kumbuka: Hata ukiwa na shughuli zako, ulimi wako uwe na unyevu wa kumtaja Allah.

📖 Funzo:
Usingoje hadi uwe na shida ndipo umkumbuke Allah, bali mfanye kuwa ni sehemu ya maisha yako kila siku.

🤍 Allah atujaalie tuwe miongoni mwa wanaomkumbuka sana, Aamiin.

Usisahau kuffollow Page hii Ibrahim Hassan Daff ilitujifunze mengi zaidi inshaallah

07/04/2026

Wewe apo nakuombea Allah akuhifadhi na mitihani katika huu usiku 🤲

UMETUACHIA ZAWADI NONO"Allah amekupenda sana, amekupa Qur ani tukufu, umehifadhi kitabu chake kitukufu . ...  Mohammed S...
07/04/2026

UMETUACHIA ZAWADI NONO

"Allah amekupenda sana, amekupa Qur ani tukufu, umehifadhi kitabu chake kitukufu . ...

Mohammed Said Zamzam, una umri mdogo sana, Umekuwa msindi leo kwenye mashindano ya kimataifa ya Qur ani tukufu yaliyofanyika hapa uwanja wa Mkapa Dar es salaam ....
Allah awajaze mema wazazi na walimu wako huko Mombasa ....

Unarudi na utapokelewa Mombasa ukiwa na zawadi ya maelfu ya Dola na zawadi nyingine nzuri zaidi kwa wazazi, walezi na walimu wako ambayo ni heshima kubwa...


07/04/2026

Tumerejea tena ili tuendelee kukumbushana biidhni llah

Address

Singida

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ibrahim Hassan Daff posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share