Ibrahim Hassan Daff

Ibrahim Hassan Daff KARIBU KWENYE PAGE YENYE MAFUNZO YAA KIISLAM 🕌

💦Tunawatakia Kila la kheri Wanafunzi wote wa darasa la Nne Katika Mtihani wa Upimaki wa Kitaifa 2025 nchini Tanzania🇹🇿🤲M...
21/10/2025

💦Tunawatakia Kila la kheri Wanafunzi wote wa darasa la Nne Katika Mtihani wa Upimaki wa Kitaifa 2025 nchini Tanzania🇹🇿

🤲Mwenyezi Mungu Awaongoze wafanye vyema na Wafaulu. Aamiyn.
Ibrahim Hassan Daff Ibrahim Hassan Daffi

🇹🇿

SIKU HIYO ALLAH ATASEMA UFALME LEO NI WANANI...???HAKUNA WA KUMJIBU ISPO KUWA YEYE TU. AL JABBARU☝🏾
21/10/2025

SIKU HIYO ALLAH ATASEMA UFALME LEO NI WANANI...???
HAKUNA WA KUMJIBU ISPO KUWA YEYE TU. AL JABBARU☝🏾

21/10/2025

MSI WAUWE WATOTO WENU KWA KUOGOPA UMASKINI

21/10/2025

KWANI UISLAM NI NINI...???

Allah Atujalie Mwisho Mwema 🤲
21/10/2025

Allah Atujalie Mwisho Mwema 🤲

Ujumbe kwa Dada Yangu Muislamu Asiyevaa Hijaab**Dada yangu mpendwa,Amani, rehema na baraka za Mwenyezi Mungu ziwe juu ya...
21/10/2025

Ujumbe kwa Dada Yangu Muislamu Asiyevaa Hijaab**

Dada yangu mpendwa,
Amani, rehema na baraka za Mwenyezi Mungu ziwe juu yako 🌸

Nakuandikia si kwa kukuhukumu wala kukukemea, bali kuzungumza na moyo wako — kutoka kwa nafsi inayokupenda kwa ajili ya Allah, kwenda kwa nafsi ambayo bado ina nuru ya imani ndani yake.

Dada yangu,
Wewe ni binti wa Uislamu, uliyeheshimiwa na kupewa heshima kubwa na Mola wako. Mwenyezi Mungu anasema katika Qur’ani Tukufu:

[ Ewe Nabii, waambie wake zako, na binti zako, na wake wa Waumini, wajiteremshie mashuka yao juu yao.]
*(Surat Al-Ahzab, 33:59)*

Amri hii ya Mwenyezi Mungu haikukusudiwa kukufunga au kukuonea, bali **kukulinda, kukuheshimu, na kukuinua daraja.**
Hijabu si kipande cha nguo tu — ni **taji la heshima**, alama ya usafi wa moyo, na ishara kuwa urembo wako ni wa thamani — si wa kuonyeshwa kwa ulimwengu, bali ni amana kwa Muumba wako.

Dada yangu mpenzi,
Hijabu haikupunguzi uzuri wako — bali **inakamilisha** uzuri wako.
Inakuongezea nuru usoni, utulivu moyoni, na heshima katika macho ya watu na kwa Mola wako.

Sote hukosea, sote hupambana, lakini bora zaidi ni yule anayesikia wito wa Mola wake na kusema:

“Tumesikia na tumetii.”

Anza leo, hatua moja ndogo tu — si kwa ajili ya mtu mwingine, bali kwa ajili ya **Allah peke yake**.
Vaa hijaabu yako kwa upendo, si kwa woga.
Tembea kwa kujiamini, ukijua malaika wanakutazama kwa furaha, na Mola wako ameridhika nawe.

Na kumbuka dada yangu:
Mola wako ni **Msamehevu na Mwenye Rehema nyingi**.
Anakusubiri umkaribie, uchukue hatua moja tu ya kurudi kwenye nuru.

Basi kwanini tusianze leo?
Tuseme kwa mioyo yetu:

> “Imetosha kuchelewesha — nataka kuwa karibu zaidi na Mola wangu.”

🌙 Mwenyezi Mungu awaongoze dada zetu wote kuelekea katika yaliyo mema, na afanye hijaabu iwe nuru katika maisha yao na kinga siku ya Kiyama 🤍

21/10/2025
Rakaa ni nini?Cha kwanza ni muhimu ufahamu maana ya Rakaa, Rakaa ni kipindi kimoja cha swala hupatikana mtu anapoinuka k...
21/10/2025

Rakaa ni nini?
Cha kwanza ni muhimu ufahamu maana ya Rakaa, Rakaa ni kipindi kimoja cha swala hupatikana mtu anapoinuka kutoka baina ya sijda mbili na kusimama wima.

Rakaa ni pale umeanza swala yako ukaenda rukuu, ukainuka na ukaenda sujud kisha ukakaa kitako na ukasujudu tena ukiinuka hiyo ni tayari rakaa moja.

Kila swala ina rakaa zake Mfano
Salatul Fajr ina rakaa mbili.
Salatul Dhuhr ina rakaa Nne
Salatul Asr ina rakaa Nne
Salatul Magharibi ina rakaa tatu
Salatul Ishaai ina rakaa Nne.

Kila utakapo inuka toka katika sijda mbili na kusimama wima basi utahesabu k**a rakaa ingine.

Kwa swala zenye Rakaa Nne na Tatu, basi kuna Tahiyyat mbili,
1) Tahiyyat ndogo na
2) Tahiyyat kubwa (ambayo ni ya mwisho).

Katika swala za Asr, ishaai na Dhuhr kuna attahiyat kila baada ya rakaa mbili (Tahiyyat ndogo na ya pili ni kubwa na kutoa Salamu)

Salatul Magharibi ina rakaa tatu hivyo katika rakaa ya pili utakaa Tahiyyat na rakaa ya tatu utakaa Tahiyyat kubwa ambayo ni ya mwisho.

Salatul Fajr ina rakaa mbili hivyo ukikaa Tahiyyat moja katika rakaa ya pili basi ndio Tahiyyat kubwa na ya mwisho ME PLACE

♥️♥️♥️
20/10/2025

♥️♥️♥️

Ewe.. Mwana dam laaa tansa lmawta   . . . .  TUMUOMBE ALLAH ATUJAALIE MWISHO MWEMA INSHAALLAH🤲🏻🤲🏻🤲🏻
20/10/2025

Ewe.. Mwana dam laaa tansa lmawta . . . . TUMUOMBE ALLAH ATUJAALIE MWISHO MWEMA INSHAALLAH🤲🏻🤲🏻🤲🏻

Address

Singida

Opening Hours

09:00 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ibrahim Hassan Daff posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share