Mwanafalsafa Claudius HAULE Ligendayika

Mwanafalsafa Claudius HAULE Ligendayika Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Mwanafalsafa Claudius HAULE Ligendayika, Film/Television studio, Quarters Street Majengo, Songea.

WATANZANIA TUFANYEJE IKIWA MPAKA SASA CCM HAWAPO TAYARI KUFANYA MABADIRIKO YA SHERIA ZA UCHAGUZI BILA CHADEMA NA WATETEZ...
19/07/2025

WATANZANIA TUFANYEJE IKIWA MPAKA SASA CCM HAWAPO TAYARI KUFANYA MABADIRIKO YA SHERIA ZA UCHAGUZI BILA CHADEMA NA WATETEZI WA HAKI KUJITOLEA KUMBWAGA DAMU YA WANACHAMA WAKE NA WATETEZI WENGINE WA HAKI AMBAO NAO HAWAPO TAYARI KUIMWAGA DAMU YAO ILI KUPAMBANA DHIDI YA CCM KWA LENGO LA KUWEZESHA KUFANIKISHA SHERIA ZA HAKI ZA UCHAGUZI?

Je CHADEMA na watetezi wengine wa haki wafanyeje ikiwa mpaka sasa CHADEMA imefungiwa kisheria na mahak**a kufanya shughuli za kisiasa huku mwenyekiti wake Tundu Lissu yupo mahabusi wakati kesi yake inafanyiwa usanii wa muendelezo wa kuarishwa kus**ilizwa mashauri yake kiwango kwamba upo uwezekano wa kuipitiliza kesi yake mpaka baada ya uchaguzi batili wa kupora mamlaka ya uongozi wa nchi yetu?

Je watanzania mna ushauri wowote kwa CHADEMA kabla ya mabadiriko ya sheria za uchaguzi kubwagwa na serikali ya CCM hivyo kusababisha CHADEMA kutokufanya siasa kwa miaka mitano wakati viongozi wake wakiwa wamefungiwa kuhutubia mikutano ya hadhara ya uchaguzi?

Je watanzania wafanyeje ikiwa k**a bila wanachama wa CHADEMA kukubali kumwaga damu yao iweze kupambana dhidi ya serikali kudai mabadiriko ya sheria za uchaguzi tutaendelea kubuluzwa, kutekwa, KUUWAWA, kufungwa magereza kwa kesi za kusingiziwa

Je watanzania tukubali kuwa sisi ni wapumbavu wa kukubali kuporwa mamlaka ya uongozi na kikundi kidogo kinachotumia vibaya vyombo vya ulinzi na usalama kupora mamlaka uongozi wa ngazi zote za serikali kuanzia baraza la madiwani, bunge, mahak**a na vyombo vya ulinzi na usalama?

Leteni majibu yenu yasugue akili zetu. Mjadala huu unaendelea kwenye group la Jitambue Kifalsafa ambalo unaweza kujiunga kupitia link hiyo chini

https://chat.whatsapp.com/F7CQSSIAKW92S4RzKuQH3S?mode=ac_t



Ni mimi admin wa group k**anda Doctor Claudius Haule Ligendayika Mwenyekiti wa chadema wilaya ya Songea ambaye pia ni mwenyekiti wa baraza la wazee kanda ya kusini.

TAMBUA MAANA YA TAFSIRI YA KISHERIA YA KOSA LA UHAINI LILIVYOTAFSIRIWA KWENYE SHERIA ZA TANZANIA NA UMUHIMU WAKE WA KIKA...
17/08/2023

TAMBUA MAANA YA TAFSIRI YA KISHERIA YA KOSA LA UHAINI LILIVYOTAFSIRIWA KWENYE SHERIA ZA TANZANIA NA UMUHIMU WAKE WA KIKATIBA WA KUIREKEBISHA AU KUTOIREKEBISHA.

Kwa kufuata sheria za Tanzania kifungu cha 39 ( 1 ) cha kanuni za adhabu kinahukumu kuwa mtu yeyote ambaye yumo ndani ya Jamhuri ya Muungano au popote, kujaribu kumuua Rais, kuanzisha vita dhidi ya Jamhuri ya Muungano, kusababisha, kuwezesha, kuchochea, kushawishi, kushauri kuhusu kifo, kumlemaza, kumzuia, kufungwa kwa Rais.

Kumwondolea Rais heshima na jina la mkuu wa nchi, amiri jeshi mkuu, au kiongozi wa serikali, kupindua serikali iliyo madarakani, kutishia serikali, bunge au mahak**a kwa makosa haya na yale yaliyotajwa hapo juu mtu wa namna hiyo atakuwa ametenda kosa la jinai ambalo ni kosa la uhaini

Kwa kufuata sheria za Tanzania imehalalishwa kuhukumu kifo kwa raia yeyote atakaye wekwa hatiani kwa kosa la uhani kulingana na kifungu cha sheria namba 39 na 40 cha kanuni ya adhabu.

Watanzania tuwe makini kwenye hotuba zetu za kisiasa tunazozielimisha kwenye umma wa watanzania ili zis**iuke sheria za nchi na kusababisha tuhukumiwe kifo kwa kosa la uhaini.

Kupinga makosa yaliyofanyika kwenye mkataba wa bandara siyo kosa la jinai wala siyo kosa la uhaini. Pia kufanya maandamano ya kupinga makosa yaliyofanyika kwenye mkataba wa bandara siyo kosa la jinai wala siyo kosa la uhaini. Hapa inamaanisha kuwa kupinga makosa ya serikali na viongozi wake siyo kosa la uhaini.

Bali kwa mujibu wa kanuni za adhabu ya kifungu cha sheria namba 39 na 40 ni kosa la uhaini kuangusha mamlaka ya urais kinyume cha sheria za nchi na za kikatiba, ni kosa la uhaini kuangusha taasisi ya urais kinyume cha sheria za nchi na za kikatiba, ni kosa la uhaini kuangusha mamlaka ya bunge, ni kosa la uhaini kuangusha mamlaka ya mahak**a, ni kosa la uhaini kuangusha mamlaka ya viongozi wa serikali na pia ni kosa la uhaini kuiondolea heshima serikali na viongozi

Kwa hiyo basi kwa kufuata sheria za Tanzania imebainika kuwa serikali ya Tanzania kamwe haiwezi kuangushwa kwa njia ya maandamano, au kwa njia ya kuikosesha heshima serikali na viongozi wake kwa sababu kufanya hivyo ni kosa la uhaini.

Swali linakuja, je ni aina gani ya ukosoaji dhidi ya makosa ya serikali na viongozi wake ambao hautaikosesha heshima serikali na viongozi wake? Je hatuoni umuhimu wa kurekebisha sheria hiyo inayotafsiri kosa la uhaini na hukumu yake? Naomba majibu yenu.

Kwa maswali na ushauri nipigie 0757559876.

Ni mimi Doctor Claudius Haule Ligendayika

SIRI YA USHINDI WA MAPAMBANO YA AINA YEYOTE YA VITA YA KUDAI HAKI HULAZIMISHA KUWAINGIZA GHAFLA PASIPO KUJIJUA WAPAMBANA...
13/08/2023

SIRI YA USHINDI WA MAPAMBANO YA AINA YEYOTE YA VITA YA KUDAI HAKI HULAZIMISHA KUWAINGIZA GHAFLA PASIPO KUJIJUA WAPAMBANAJI WAKE WA KIVITA KUJIKUTA KWENYE MIKATABA YA VIAPO VYA SIRI VINAVYOWALAZIMISHA KUJIHUKUMU KIFO WENYEWE BILA RIDHAA YAO IKIWA K**A WATASALITI VIAPO VYAO VYA USHINDI WA VITA YA KUDAI HAKI.

K**a ilivyo urithi wa uchawi ambao urithi wake hupewa mtu bila yeye kujulishwa kuwa atakuwa mchawi lakini atatumbulishwa kwa matendo yake kuwa yeye ni mchawi baada ya hatari ya matendo yake kulazimika kuwa ya siri la sivyo akijulikana kwa matendo yake kutahatarisha kutoweka kwa uhai wake ndivyo inavyopaswa kurithishwa siri ya ushujaa wa upambanaji wa vita ya aina yeyote ya kudai haki.

Ikiwa k**a watanzania wanaona umuhimu wa kuhitaji kujikomboa kutoka kwenye serikali yao wanayoituhumu k**a ina ushahidi wa uwepo wa viongozi wezi, majambazi na wala rushwa ambao wanahatarisha usalama wa taifa, wanaangamiza uchumi wa taifa na kuuza nchi yao basi zoezi lao muhimu la kwanza ni kutambua namna ya kuwatofautisha raia wa haki na wasio wa haki ili wale wa haki wawatumbukizwe kwenye vita ya kudai haki bila tahadhari ya wao wenyewe kujijuwa kuwa wanatumbukizwa kwenye vita vya kudai haki ambayo ghafla wanawaingiza kwenye viapo vinavyopinga usaliti wao utakao walazimisha kujihukumu kifo wao wenyewe bila kupenda ikiwa k**a watasaliti viapo vyao.

Mfumo huu wa vita ya kudai haki kamwe hauwezi kushindwa kwa sababu wapiganaji wake wa kudai haki kamwe hawawezi kukata tamaa na kamwe hawawezi kutoa siri ya mapambano ya kivita. Mapambano ya kivita ya kudai haki kamwe hayawezi kuwa kwenye mfumo wa uwanaharakati wa kuuza sura za kujipatia umaarufu wa kisiasa ambao mara nyingi hauwezi kushinda vita za kudai haki kwa sababu unatoa siri za mbinu za mapambano na pia taarifa zake zisizo za siri kwa umma za namna ya kuendesha mapambano yake ya vita ya kudai haki husababisha kujulikana kwake kulazimika kuwekewa vikwazo dhidi ya ushindi wake wa vita hiyo.

Kwa wale walioelimika elimu ya ujasusi wanaelewa nini ninachoelimisha leo kwenye umma wa watanzania waliopo kwenye mitandao ya kijamii. Uwanaharakati wa vita ya kudai haki una idadi kubwa ya mashabiki wake ambao hawana uwezo wa kulikomboa taifa kutoka kwenye serikali ya wezi, majambazi na wala rushwa kwa sababu hawajaingizwa kwenye viapo vinavyowafunga wenyewe kwenye kujihukumu kifo wenyewe ikiwa k**a watasaliti viapo vyao wakiwa k**a viongozi au wafuasi au mashabiki.

Siasa za vita ya kudai haki nchini Tanzania zipo changa sana kwa sababu hazijaunda masharti ya viapo vya vifungo vya utekelezaji vinavyowawajibisha watekelezaji wake iwapo watasaliti viapo vyao. Je kiongozi gani hapa Tanzania alijiwajibishwa kujihukumu kifo chake mwenyewe kwa kosa la kusaliti viapo vyake vya vita ya kudai haki? Hivi mnanielewa kweli? K**a mnanielewa basi mnajua sababu ya nchi zingine zilizofanikiwa kupata utawala wa haki k**a vile China, Urusi, Korea ya Kasikazini na kungineko.

Mkiona wanasiasa wenye msimamo mkali k**a sisi tumekaa kimya mjuwe tupo kazini huku tukiwa kwenye viapo vya siri vinavyotulazimisha kujihukumu kifo sisi wenyewe ikiwa k**a tutasaliti viapo vyetu.

Ni mimi Doctor Claudius Haule Ligendayika wa Songea.

SIOGOPI CHOCHOTE BALI NIMEJIANDAA KISHUPAVU KWA LOLOTE NITAKALOSINGIZIWA KWENYE UBAMBIKIAJI WA TUHUMA KWA LENGO LA KUNIN...
16/04/2023

SIOGOPI CHOCHOTE BALI NIMEJIANDAA KISHUPAVU KWA LOLOTE NITAKALOSINGIZIWA KWENYE UBAMBIKIAJI WA TUHUMA KWA LENGO LA KUNINYANYASA, KUNIDHALILISHA NA KUNIDHULUMU UHAI WANGU.

Intelejensia siyo mali ya mtu mmoja bali ni ushirikishwaji wa umma. Ulinzi na usalama haumilikiwi na kikundi cha watu bali unamilikiwa na umma wa jamii husika. Mahak**a haimilikiwi na mtu mmoja bali inamilikiwa na umma. Tuhuma zozote za kubambikwa zinajulikana kisheria.

K**a nguvu za kiroho zimeinua uwezo wangu wa sayansi na teknolojia ya uponyaji wa magonjwa mbalimbali, ugunduzi wa vifaa na mashine mbalimbali basi nguvu hizo hizo zitanitetea dhidi ya yeyote mwenye wivu wa juhudi zangu za kuihudumia jamii yangu

Kwa kuwa nimekuwa msaada pekee kwenye uponyaji wa magonjwa ya cancer, kisukari, bawasiri ( hemorrhoids ), tezi dume, high blood pressure, vidonda vya tumbo, kifafa, ukichaa na mengineyo, nina uhakika sitaachwa upwekeni niangamizwe bali nitatetewa na umma ulioniona kuwa ni msaada kwao.

Na nina uhakika utafiti wangu wa tiba ya uponyaji wa ugonjwa wa virus vya ukimwi lazima utafanikiwa kwa asilimia mia moja badala ya asilimia sitini iliyopo kwa sasa. Lazima nifanikiwe k**a nilivyofanikiwa kwa asilimia mia moja kwenye uponyaji wa ugonjwa wa cancer ambao utafiti wake ulichukuwa miaka minne.

Najua mkishindwa kwenye mbinu ya ubambikiaji wa tuhuma mtaniwinda kwa silaha muweze kuniuwa. Nawaambia siogopi chochote bali nimejiandaa kwa lolote litakalojitokeza mbele yangu. Nipo imara na shupavu k**a alivyokuwa mhenga Babu yetu Nduna Songea Mbano

Ni mimi Doctor Claudius Haule Ligendayika

NEUTRAL CELLULAR TEA NI DAWA ISIYOBAGUA KUPONYESHA WAGONJWA WA KISUKARI AINA YA PILI.Hakuna mgonjwa wa kisukari aina ya ...
27/12/2022

NEUTRAL CELLULAR TEA NI DAWA ISIYOBAGUA KUPONYESHA WAGONJWA WA KISUKARI AINA YA PILI.

Hakuna mgonjwa wa kisukari aina ya pili aliyekunywa dawa hii ya Neutral Cellular Tea ambaye hajapona kisukari. Hapa wapo wagonjwa walioponyeshwa kabisa na dawa hii ya Neutral Cellular Tea ambao wanaombwa wawape ushuhuda wenzao.

Dawa hii inashusha kisukari kutoka kiwango chochote cha juu hadi kwenda kiwango cha kawaida kwa masaa 24 hadi 48. Na inaponyesha kabisa kwa miezi miwili tu.

Dawa hii imekuwa mbadala wa dawa ya kisukari ya Tirucallin DNA baada ya kuponyesha wagonjwa wa kisukari kwa kubagua baadhi yao na wengine kuwaacha bila kuwaponyesha.

Lakini dawa hii uponyaji wake haibagui wagonjwa badala yake inawaponyesha wagonjwa wote wa kisukari aina ya pili.

Kwa wale walioponyeshwa na dawa hii tunaomba watoe ushuhuda kwa wenzao ili nao waweze kuponyeshwa na dawa hii.

Kwa upande wa tiba ya virusi vya ukimwi bado naendelea kwenye utafiti wa kugundua dawa ya kuwezesha kuponyesha aina zote za species za HIV one, two, three na four. Lengo la utafiti huo ni kufanikisha kugundua dawa ya kuponyesha aina zote za species za HIV bila kuacha kuponyesha mgonjwa wa aina yeyote ya species ya HIV

Tarehe 25 January 2023 nitagawa dozi za dawa mpya iitwayo Enzymatic Antiviral DNA iliyolengwa kuponyesha ugonjwa wa virus vya ukimwi bila malipo. Ikiwa k**a unajijua una virus vya ukimwi tafadhali wasiliana nami uweze kupewa dawa hiyo ya bila malipo kwa lengo la majaribio ya kuponyesha ugonjwa wa virus vya ukimwi vya aina zote za species za HIV. Kutakuwa na dozi 100 ambazo zitagawiwa bila malipo. Kwa wale walio nje ya Songea mjini gharama ya usafiri wa parcel ya dawa itakuwa ni juu yao kulipia usafiri wake. Dawa hiyo itagawiwa kwa awamo mbili ambazo awamo ya kwanza ni tarehe 25 January 2023 na awamo ya pili ni tarehe 25 February 2025

Dawa hiyo ya kuponyesha virus vya ukimwi itaanza kuuzwa mwezi march 2023.. Wahi kuchukua mgao wako wa dozi ya dawa hiyo bila malipo kwa kufuata masharti ya muda.

Naomba ushauri wenu wa kufanikisha ugunduzi wa dawa ya kuponyesha ugonjwa wa virus vya ukimwi. K**a nimefanikiwa kugundua dawa za kuponyesha sickle cells, cancer, kisukari aina ya pili, uterine fibroids, hemorrhoids na kazalika kwa nini nishindwe kugundua dawa ya kuponyesha ugonjwa wa virus vya ukimwi vya species za aina zote wakati nimegundua dawa moja wa wapo inayobagua kuponyesha virus vya ukimwi vya species za aina zote? Naumia sana! Msaada wenu tafadhali chukueni mgao wa dozi za dawa za kuponyesha ugonjwa wa virus vay ukimwi bila malipo ili tujuwe k**a nayo haitabagua kuponyesha wagonjwa baadhi badala ya kuwaponyesha wote.

Kwa matatizo ya magonjwa yote sugu nipigie 0757559876

Ni mimi Doctor Claudius Haule Ligendayika wa Songea

NINI MAANA, MATUMIZI NA MALENGO YA BIOTECHNOLOGY YAANI KWA KISWAHILI INAYOPASWA KUITWA UHANDISI WA VIINI HAI VYA KIBAOLO...
18/12/2022

NINI MAANA, MATUMIZI NA MALENGO YA BIOTECHNOLOGY YAANI KWA KISWAHILI INAYOPASWA KUITWA UHANDISI WA VIINI HAI VYA KIBAOLOJIA.

Kuna fikra potofu za baadhi ya wataalamu wa afya za ukwezaji wa kutishia utata wa ujuaji, matumizi na malengo ya sayansi ya afya ya biotechnology yaani uhandisi wa viini hai vya kibaolojia kana kwamba ni elimu ya kisayansi yenye upekee wa kutisha ujuaji wake unaolazimisha washiriki wa matumizi ya elimu hiyo ya biotechnology kulazimika kuhitimu kiwango cha chuo kikuu kitu ambacho siyo kweli.

Nikiwa mtaalamu wa phytomedical science, biotechnology, electronic engineering na celestial engineering leo nitaelimisha maana ya biotechnology, matumizi yake na malengo yake kisha mtagundua ukweli kuwa wengi wenu mmetumia maarifa ya elimu ya biotechnology kwa kiwango cha uhitimu wa elimu ya chuo kikuu bila kujijua.

Biotechnology ni sayansi ya kiteknolojia ya uhandisi wa namna ya kushirikisha maarifa mbalimbali ya sayansi za kiteknolojia zenye uwezo wa kufanikisha ugunduzi wa viini hai vya kimolekuli vya kibaolojia, chembe hai za viumbe hai, vifurushi vya kibaolojia vya virutubisho lishe, kinga na dawa kwa malengo ya uzalishaji wa vifurushi vya kibaolojia vya virutubisho lishe vya afya ya binadamu, vifurushi kinga dhidi ya magonjwa mbalimbali na vifurushi dawa za kuponyesha magonjwa ya wanyama na mimea pamoja na uzibiti wa mapambano dhidi ya chembe hai za vijidudu vya uzalishaji wa magonjwa mbalimbali ya wanyama na mimea.

Biotechnology inafanikishwa matumizi na malengo yake kwa kushirikisha sayansi za kiteknolojia za uhandisi mbalimbali k**a zifuatazo;

1) Molecular biology yaani sayansi ya uhandisi wa kibaolojia wa viini hai vya kimolekuli inayolazimisha matumizi ya teknolojia za mashine za blenda, mashine za kusanga unga, matumizi ya kemikali za reagents zenye malengo ya utenganishaji wa chembe hai, molekuli na vifurushi vya kibaolojia vya virutubisho lishe na vifurushi kinga na dawa.

2) Cellular biology yaani sayansi ya uhandisi wa chembe hai za viumbe hai yenye malengo ya kujua chembe hai za viumbe hai mbalimbali, utofauti na uhusiano wa chembe hai hizo na namna zinavyowezekana kutumika kwa manufaa ya viumbe uhai mbalimbali vya wanyama na mimea. Pia Cellular biology hulazimisha matumizi ya teknolojia za mashine za blenda, kemikali za reagents na darubini.

3) Genetics ni sayansi ya afya ya kibaolojia inayohusu maarifa ya utambuzi wa RNA, DNA, vinasaba( genes ), utofauti wa vinasaba ( genes), uhusiano wa vinasaba unaosababisha utofautisha na ufananaji wa vinasaba na mwisho ni urithishaji wa vinasaba.

4) Genomics ni sayansi ya afya inayohusu utambuzi, matumizi na malengo ya ujumla wa DNA ya aina ya kiumbe yeyote husika ambaye DNA yake inamiliki ukamilifu wa vinasaba ( genes) vyake, maumbile ya vinasaba vyake, utendaji wa vinasaba vyake, historia ya mabadiriko ya vinasaba vyake na marekebisho ya vinasaba . Wengi hupotosha Genomics kwa kuifanya kuwa genetics japo kwa kiwango fulani kuna uhusiano kwa sababu genetics ni chimbuko lililozalisha Genomics.

4) Genetic engineering au gene editing yaani sayansi ya uhandisi wa marekebisho ya vinasaba yenye maarifa ya kulazimisha matumizi ya teknolojia za uhandisi wa matumizi ya vifaa vya mashine za umeme, mashine za elekronic, darubini na reagents kwa lengo la kutenganisha, kuunganisha na kurekebisha vinasaba. Genetic engineering ndiyo iliyo kiini cha teknolojia ya uhandisi wa CRISPR CAS 9 yenye uwezo wa kupandikiza sifa na vitendo vya vinasaba kutoka kwenye aina yeyote ya kiumbe hai kwenda kwa aina yeyote ya kiumbe hai ikiwa pamoja na matumizi ya vinasaba hivyo kuviwezesha kuwa dawa za uponyaji wa magonjwa ya wanyama na mimea au kuwa vyanzo vya viangamizi vya uzalishaji wa magonjwa mbalimbali yenye lengo la kuangamiza aina yeyote ya kiumbe akiwemo aina ya rangi yeyote ya binadamu, iwe ya kiafrika, kiasia au kizungu yaani kiyuropa.

5) Phytopharmacology ni sayansi ya afya ya uhandisi wa utenganishaji, uunganishaji na urekebishaji wa viini hai vya vifurushi vya kibaolojia vya mimea vilivyolengwa kuwa virutubisho lishe vya ujenzi wa afya bora, vifurushi dawa za kinga na uponyaji wa magonjwa yote mbalimbali ya wanyama na mimea. Phytopharmacology ni msingi wa mwanzo wa uhandisi wa synthetic pharmacology ujulikanayo kuwa pharmaceutical engineering au pharmaceutical technology ambayo huzalisha madawa ya kifamasia( pharmaceutical drugs)

6) Micro biology ni sayansi ya afya ya uhandisi wa utambuzi wa viini hai vya kibaolojia vidogo kabisa vya mwisho kwa ukubwa wake ambavyo hulazimisha kushirikisha uhandisi wa cellular biology, molecular biology, genomics na genetics

7) Biological celestial engineering ni uhandisi wa utambuzi wa namna ya kujua maarifa ya nguvu za mvutano wa umeme wa sumaku wa vitu vya anga vya mwezi, sayari na nyota zinavyoathiri muundo na utendaji wa viini hai vya kibaolojia. Elimu hii ndiyo inayowezesha utabibu wa kuponyesha ugonjwa wa kifafa na baadhi ya magonjwa ya utaahira na ya ukichaa.

Kwa hiyo wewe k**a mtabibu ukiwa na maarifa ya phytopharmacology ujuwe una elimu ya uhandisi wa biotechnology. Pia usitishike na msamiati huo wa phytopharmacology kiwango kwamba ukajiona hauhus**i kivitendo kwenye utaalamu wa uhandisi huo wa phytopharmacology. Phytopharmacology ni msamiati unaotokana na maneno mawili yaani phyto yenye maana ya mimea na pharmacology yenye maana ya utenganishaji, uunganishaji na urekebishaji wa vifurushi dawa vya kinga na uponywaji wa magonjwa ya wanyama na mimea.

Hivyo basi wengi wenu hapa mmekuwa wahandisi wa biotechnology na phytopharmacology bila kujijua kwa kufanikiwa kutenganisha vifurushi dawa kwa kutumia reagents za kemikali za kibaolojia za ethanol, mafuta ya petroli, vinegar yaani s**i, mafuta ya kula na kazalika.

Pia wengi wenu hapa mmekuwa wahandisi wa Genetics na Genomics bila kujua kwa kufanikisha kufanya marekebisho ya vinasaba vya wanyama na mimea japo katika hali ya kawaida sana lakini mlifanikiwa kupandikiza vinasaba kutoka kwenye species ya kiumbe hai mmoja tofauti kwenda kwenye species kingine tofauti ambacho kimefanana kwenye genus ya aina moja. Mfano wale ambao walilima mahindi ya aina mbili tofauti za species ambazo zipo kwenye aina moja ya genus lakini mkaamua kukata maua dume yote yenye mbegu dume ya species ya aina moja na kuacha maua dume yote yenye mbegu dume ya aina ya pili ya species na hatimaye kufanikiwa kuzalisha mbegu ya chotara yaani hybrid watakuwa wamethibitika kuwa wahandisi wa Genomics na Genetics. Hapa msifanye complecations. Naomba tuelekezane vizuri ili tuelimishane.

Ni ukweli usiopingika kuwa karibu sisi sito tuliopo hapa hatuna maarifa ya vitendo ya uhandisi wa genetic engineering or gene editing technology lakini upo uwezekano wa wachache wetu wenye elimu ya nadharia ya Genetic engineering nikiwemo na mimi mwenyewe mwandishi wa mada hii. Ukweli ni kwamba uhandisi wa teknolojia ya CRISPR CAS 9 Bado haijaelimishwa kwa vitendo kwenye vyuo vikuu vyote vya Afrika kusini mwa jangwa la Sahara.

Ni aibu ya kisomi kupotosha ukweli kuwa eti watabibu wetu hawana elimu ya uhandisi wa molecular biology wakati dawa za watabibu hao wa tiba asili zimetengenezwa kwa kutambua utenganishaji wake kwa kiwango cha kimolekuli za kibaolojia zenye vifurushi dawa za kinga na uponywaji wa magonjwa mbalimbali ya wanyama na mimea.

Kinachotakiwa kuwaelimisha watabibu wa tiba asili na mbadala ni kuwaelewesha kuwa viwango vya maarifa wanayotumia kutengenezea dawa zao za kinga na uponywaji wa magonjwa mbalimbali ya wanyama na mimea wanatumia maarifa ya uhandisi wa aina mbalimbali pasipo wao wenyewe kujua kuwa wana elimu za aina mbalimbali za uhandisi zinazoshirikishwa kufanikisha utengenezaji wa dawa zao zikihusisha uhandisi wa molecular biology, cellular biology, genomics na genetics

Haina maana ya kueleza kiwango changu cha uhandisi wa biotechnology lakini nimefanikishwa kuwezeshwa kuelimishwa biotechnology kwa vitendo kwa ushirikishwaji wa mkufunzi wangu aliyenielimisha kwa vitendo nikiwa nje ya nchi. Nawaomba watabibu wenzangu wa tiba asili na mbadala msitishike na misamiati iliyokuwa kwenye uhandisi wa biotechnology wakati wengi wenu wenu mmetekeleza kwa vitendo aina zake mbalimbali za uhandisi wa biotechnology. Kinachowafanya muonekane hamjui ni utofauti tu wa matumizi ya lugha za kiteknolojia ambazo Kiingreza kina misamiati yake na kiswahili kina misamiati yake ijapokuwa misamiati hiyo haijakua kiasi cha kuiwakilisha kuwa misamiati sahihi ya kisayansi ya lugha ya kiswahili

Ni kashfa kuwaambia eti watabibu wetu wa tiba asili na mbadala hawana elimu ya cellular biology kwa sababu tu hawana darubini za kuwawezesha kuona chembe hai. Lakini unawezaje kupotosha ukweli kuwa watabibu wetu hawana uhandisi wa cellular biology wakati dawa zao nyingi ni cellular tea yaani ni chai ya chembe hai? Hapa cha msingi ni kuwafumbua macho watabibu wetu kuwa wanachohudumia chai zao za chembe hai zinazokutwa kwenye utabibu wenye mafanikio ya uponyaji wa magonjwa mbalimbali basi wajuwe wana viwango vikubwa vya uhandisi wa cellular biology ambavyo vinapaswa kueliweshwa maana yake kwa vitendo wavifanyavyo kwenye utabibu wao.

Mimi nikiwa kwenye ushirikiano na mhandisi wa biotechnology kutoka uingereza tulifanikiwa kutembelea kitabibu nchi tano za kiafrika ambazo zilimshangaza mwingereza huyo kuona uwezo wa kiafrika wa kutumia uhandisi wao wa kiasili wa biotechnology ambao hautambuliki kwao kuwa ni biotechnology ambao unaowawezesha kutengeneza dawa zao za kuponyesha magonjwa mbalimbali ya wanyama na mimea.

Umefika wakati serikali za kiafrika zinawajibika kuwaelimisha watabibu wetu waweze kutambua viwango vya elimu zao za kitabibu zikihusisha kwenye uwezo wao wa utambuzi wa maarifa ya uhandisi wa biotechnology, molecular biology, cellular biology, Genomics na Genetics huku wakilengwa kuboresha ubora wa ufanisi wa aina hizo za uhandisi wa biotechnology, molecular biology, cellular biology genomics na genetics

Kwa vile nimebahitika kuwa na elimu ya uhandisi wa electronic engineering nitalazimika siku moja kuelimishwa namna ya utengenezaji wa vifaa mbalimbali vinavyotumika kwenye biotechnology ili kuwawezesha watabibu wetu waweze kutengeneza vipimo vya kupima viwango vya acid na alkali za dawa wanazotengeza kwa lengo la kuepuka kutengeneza dawa zenye sumu zinazouwa figo, ini, mapafu na moyo pamoja na kusababisha vidonda vya tumbo.

Siku za mbeleni nitalazimika kuwaelimisha watabibu wenzangu namna ya kutenganisha DNA kutoka kwenye tishu za aina zozote za mimea na wanyama ili watabibu wetu wakielewa wawe na ujasiri wa kutotishwa eti hawana elimu ya uhandisi wa Genomics inayowawezesha kujua kiwango cha umeme wa kibaolojia wa DNA ya species ya aina moja ya genus na kuuhusisha umeme wake wa kibaolojia dhidi ya RNA za virus au DNA za virus au DNA ya fungus au DNA ya aina yeyote ya mmea na mnyama.

Nitalazimika kuwafundisha kwa vitendo namna ya kuvitengeneza vifaa na mashine za aina mbalimbali za biotechnology nikiwa k**a mtaalamu wa electronic engineering ili kila mmoja wetu awezeshwe kutengeneza vifurushi dawa vya tiba asili na mbadala kwa lengo la kufanikisha uponyaji wa magonjwa mbalimbali ya wanyama na mimea.

Maamuzi haya nimeyafanya baada ya kuona watabibu wetu wa tiba asili na mbadala wanadhalilisha hasa na wale waliokuwa kwenye ajira rasmi zinazotambulika kiserikali.

Kwa maswali zaidi kuhusu mada hii niliyoiwasilishwa kwenu na matatizo ya magonjwa yote sugu nipigie 0757559876

Ni mimi Doctor Claudius Haule Ligendayika wa Songea.

USHOGA NA UTAAHIRA KAMWE HATUWEZI KUANGAMIZA KWA NJIA YA MAFUNZO YA MAADILI BORA YA KIJAMII PEKE YAKE BALI PIA LAZIMA TU...
17/12/2022

USHOGA NA UTAAHIRA KAMWE HATUWEZI KUANGAMIZA KWA NJIA YA MAFUNZO YA MAADILI BORA YA KIJAMII PEKE YAKE BALI PIA LAZIMA TUANGAMIZE KWA MAPAMBANO DHIDI YA SILAHA ZA KIBAOLOJIA ZA GMO ANGAMIZI KIAFYA NA CHANJO NGENI ANGAMIZI ZA KIAFYA ZA KINGA DHIDI YA MAGONJWA MBALIMBALI NA KUHIMIZA UNYWAJI WA CHANJO ZA MIMEA YA DAWA MBALIMBALI YENYE KINGA DHIDI YA MAGONJWA MBALIMBALI AMBAYO PIA HULINGANISHA USAWA WA HORMONES ZA KIJINSIA( BALANCING OF GE***AL SEXUAL HORMONES) K**A VILE MIMEA DAWA YA TARAXACUM OFFICINALE, MIMOSA PUDICA NA ANGELICA SINENSIS YAANI D**G QUAI AMBAYO HUKINGA DHIDI YA USHOGA NA UTAAHIRA.

Mapambano dhidi ushoga na utaahira kamwe hayawezi kufanikiwa kuwa kutii maadili bora ya kijamii peke yake bali pia ni lazima jamii husika ipambane dhidi ya vita vya silaha za kibaolojia za aina mbalimbali za chanjo angamizi kiafya dhidi ya magonjwa mbalimbali na kupambana dhidi ya ulaji wa vyakula vya aina mbalimbali za GMO angamizi kiafya kutoka nchi za kigeni.

Wanasayansi wa afya kukwepa majukumu yao ya kutafiti uwepo wa vita vya silaha za kibaolojia kupitia aina mbalimbali za chanjo angamizi kiafya za kinga dhidi ya magonjwa mbalimbali pamoja na uwepo wa vyakula vya wanyama na mimea vyenye GMO angamizi kwa afya ya binadamu hakumaanishi kuwa hakuna hizo silaha za kibaolojia bali pia husababisha ujengaji wa fikra potofu za viongozi wa kiafrika wenye hoja zinazopotosha kuwa hakuna vita vya silaha za kibaolojia zinazotokana na chanjo angamizi kiafya wala vyakula vya GMO angamizi kiafya.

Upo ushahidi unaothibitisha kuwa siyo tu watanzania wamekwisha ingiliwa kuangamizwa na silaha za kibaolojia bali pia nchi zote za kiafrika kusini mwa jangwa la Salaha zimevamiwa na silaha za kibaolojia. Ushahidi huo wa kisayansi unathibitishwa hapa kwa uwepo wa asilimia 40% ya wanafunzi wote wa shule za msingi wamebainika kuwa mataahira nchini Tanzania, mlipuko wa ugonjwa wa uterine fibroids unaotokea kwa asilimia 20% ya wakimama wote wenye uwezo wa kuzaa ambao wapo chini ya miaka 35, mlipuko wa ugonjwa wa cancer za aina mbalimbali zinazotokea kwa asilimia 20 ya wakimama wote wenye uwezo wa kuzaa.

Magonjwa yaliyotajwa uterine fibroids kwa wanawake na cancer za aina mbalimbali hazikujitokeza kwa wanawake na wanaume kwenye miaka ya nyuma kuanzia 1995 na kurudi nyuma. Pia kujitokeza kwa magonjwa mlipuko ya aina mbalimbali ambayo hayajulikani kisayansi ni ushahidi wa uvamizi wa silaha angamizi za kibaolojia dhidi yetu ambazo husababisha kujitokeza kwa magonjwa mlipuko yasiyojulikana k**a ule ulivyojitokeza Rwangwa mkoani Lindi hapo tarehe 12 July 2022 ambao watu 13 waliambukizwa na watu watatu walikufa.

Mlipuko wa magonjwa mbalimbali yaliyo na utata wa namna yanavyojitokeza k**a vile ugonjwa wa ebola kwenye nchi mbalimbali za kiafrika kusini mwa jangwa la Sahara ni ushahidi tosha wa kuthibitisha uwepo wa silaha angamizi za kibaolojia kwenye jamii zote za kiafrika kusini mwa jangwa la Sahara.

Serikali za nchi za Afrika zinawajibika kufanya utafiti wa kuhoji kwa nini kuna uwepo wa asilimia 40% ya wanafunzi wa shule za msingi walio taahira hapa Afrika? Je kiwango hicho cha mataahira wanafunzi waliopo Afrika kinalingana sawa na kile kiwango cha wanafunzi taahira waliopo Ulaya, Amerika na Asia? Na k**a kiwango hicho kimezidi idadi yake hapa Afrika ni kwa nini wakati muda wa nyuma ya miaka ya 1990 tulikuwa na kiwango kidogo sana cha mataahira?

Serikali inawajibika kutafiti kwa nini kwa sasa kuna mlipuko wa kujitokeza mashoga vijana wengi sana walio chini ya miaka 25 ambao wanapatikana kwenye majiji, miji na vijiji vikubwa vilivyo maarufu?

Maswali yote ya kitafiti ya hapo juu yanajibiwa kwa uthibitisho wa matokeo ya matumizi ya chanjo ngeni angamizi kwa afya za waafrika pamoja na ulaji wa vyakula vya GMO angamizi kwa afya za waafrika.

Tunapopinga ulaji wa vyakula vya GMO hatumaanishi kuwa vyakula vyote vya GMO ni angamizi kwa afya za walaji bali pia maadui wetu hutumia fursa ya kupenyeza silaha zao za kibaolojia kwa njia ya kusambaza vyakula vya GMO.

Kwa nini waafrika wasijikinge dhidi ya magonjwa mbalimbali kwa njia ya matumizi ya unywaji wa mimea ya dawa inayokinga dhidi ya magonjwa mbalimbali na pia inayolinganisha usawa wa hormones za kijinsia( balancing of ge***al sexual hormones) k**a vile Taraxacum officinale na Angelica sinensis( D**g quai )? Kwa nini tuna idadi kubwa sana ya mimea ya dawa inayoweza kutumika k**a chanjo za kinga dhidi ya magonjwa mbalimbali na pia yenye uwezo wa kulinganisha usawa wa hormones lakini hatuitumii mimea hiyo? Mimi nimeleta mfano wa mimea mitatu tu lakini nina uhakika wapo phytomedical Doctors wengi wenye uwezo wa kutuletea mimea dawa mingi yenye uwezo wa kuwa k**a chanjo dhidi ya magonjwa mbalimbali na pia yenye uwezo wa kukinga dhidi ya ushoga na utaahira.

Phytomedical science imethibitisha namna ya uratibu wa dozi ya mimea ya dawa ya Taraxacum officinale na Mimosa pudica inavyofanikisha kukinga dhidi ya magonjwa mbalimbali kwa ufanisi mkubwa ukiwa k**a chanjo ya asili kwa wakina mama wajawazito wanaorithisha kinga imara dhidi ya magonjwa mbalimbali ya watoto wachanga ambao huzaliwa bila upotoshaji wa hormones zao za jinsia k**a zinavyopotosha chanjo ngeni angamizi wazopewa akina mama wajawazito zinazolazimisha kujitokeza kwa mashoga, mataahira na magonjwa mbalimbali angamizi kwa kizazi Cha kiafrika.

Unywaji wa dozi ya mimea dawa ya Taraxacum officinale na Mimosa pudica hulazimika kutumika siyo tu kwa akina mama wajawazito bali unawajibika kutumika kwa kila binadamu kuanzia mwaka mmoja na kuendelea kwa lengo la kukuza na kuimarisha kinga dhidi ya magonjwa mbalimbali na kulinganisha usawa wa hormones za kijinsia za kiume na za kik**e ili kuepusha kujitokeza kwa hisia za kishoga.

Dozi ya mmea wa dawa wa Angelica sinensis hutumika kwa wanawake pekee kuanzia umri wa miaka tisa kabla ya mwanamke kubalehe ili kumuandaa kumwezesha uzalishaji mkubwa wa hormones za k**e zinazomwandaa msichana kuoteshwa matiti na kuboresha urembo wa sura ya k**e kwa msichana. Mmea huu wa Angelica sinensis hautumiki kwa wanaume bali unatumika kwa wanawake pekee wasio wajawazito kwa sababu unalazimisha kuondoa mimba.

Wanawake waliokunywa dozi ya mmea huu wa Angelica sinensis kwenye wakati husika kamwe hawataugua uterine fibroids na cancer za aina mbalimbali na pia hawawezi kushawishika kwenye hisia za usagaji kwa sababu wanakuwa ndio wenye hormones kamilifu za kik**e zenye nyege kubwa za mvuto wa tamaa ya kuwapenda waume zao kingono.

Jitahidi ipatie familia yako ya k**e dozi ya dawa ya mmea huu wa Angelica sinensis ili ijikinge dhidi ya magonjwa ya cancer za aina mbalimbali, uterine fibroids na pia ijikinge dhidi ya usagaji.

Hakuna vijana wa kiume waliokunywa mara kwa mara dozi ya mmea wa dawa wa Taraxacum officinale na Mimosa pudica kuanzia mwaka mmoja hadi 18 ambao watakutwa kwenye hisia za ushoga kwa sababu hormones zao za kiume zimeshalinganishwa usawa wake na pia zimeshaimarisha kwenye ukamilifu wake wa kiume unaosababisha mvuto wa kufanya ngono na wake zao.

Kwa hiyo tunapaswa kutoa mafunzo ya maadili bora kwa jamii zetu za kupinga ushoga na utaahira huku tukichukua hatua kali za kitabibu za kupambana dhidi ya ushoga, utaahira na dhidi ya magonjwa mbalimbali. Hakuna mama mja mzito aliyekunywa dozi ya mimea ya dawa ya Taraxacum officinale na Mimosa pudica kwa kikamilifu ambaye atazaa mtoto taahira na kujitokeza kuwa shoga kwenye maisha yake ya hapo baadaye.

Kwa matatizo ya magonjwa yote sugu nipigie kwenye namba 0757559876

Ni mimi Doctor Claudius Haule Ligendayika

Address

Quarters Street Majengo
Songea

Telephone

+255757559876

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mwanafalsafa Claudius HAULE Ligendayika posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Mwanafalsafa Claudius HAULE Ligendayika:

Share