Stevecheuc

Stevecheuc πŸ“Œ YOUTUBER AND BLOGGER

welcome to stevecheuc my passion is to travel around the world to show you each and everything please subscribe my YouTube channel www.youtube.com/swahibatv

BEΕ”KANE WAFUTA TANGAZO LAO LAKUCHEZA MECHI ZANZIBARBaada ya kuwepo kwa taarifa kuwa mechi ya fainali ya pili kombe la sh...
15/05/2025

BEΕ”KANE WAFUTA TANGAZO LAO LAKUCHEZA MECHI ZANZIBAR
Baada ya kuwepo kwa taarifa kuwa mechi ya fainali ya pili kombe la shirikisho baraniafrika itachezwa visiwani zanzibar kupitia ukurasa wao berkane walipost tangazo kuwa mechi itachezwa zanzibar ghafla wamefuta post hiyo baada ya timu ya Simba SC Tanzania kuja juu na kuonesha kuwa hawapo tayari kucheza zanzibar

TIMU ya Kagera Sugar imeaga rasmi Ligi Kuu ya NBC baada ya timu ya Pamba Jiji kuifunga KenGold 0-2 ugenini na kufikisha ...
14/05/2025

TIMU ya Kagera Sugar imeaga rasmi Ligi Kuu ya NBC baada ya timu ya Pamba Jiji kuifunga KenGold 0-2 ugenini na kufikisha alama 30 ambazo haziwezi kufikiwa na Kagera ikiwa itashinda michezo yake miwili iliyosalia.

Pamba Jiji ilipata bao lake la kuongoza kipindi cha kwanza lililofungwa na mchezaji Yonta Camara dakika ya 30 anayecheza kwa mkopo kwenye timu hiyo kutokea Singida Black Stars.

Kipindi cha pili Yonta Camara kwa mara nyingine aliipatia bao la pili timu yake Dakika ya 60 na kufanya matokeo kuwa 0-2 hivyo kuzamisha matumaini ya Kagera kuendelea kusalia Ligi Kuu ya NBC .

Pamba jiji imefikisha alama 30 ikiwa nafasi ya 11 huku KenGold ikiwa tayari imeshuka daraja baada ya kukusanya alama 16 ikicheza msimu mmoja pekee wa Ligi Kuu ya NBC tangu kupanda ligi ya NBC championship.

UJIO WA SIMBA WAWAPA KIWEWE BERKANEBaada ya timu ya simba kutua nchini moroco kuikabili timu ya Berkane katika fainali y...
14/05/2025

UJIO WA SIMBA WAWAPA KIWEWE BERKANE
Baada ya timu ya simba kutua nchini moroco kuikabili timu ya Berkane katika fainali ya kwanza shirikisho barani afrika timu mwenyeji yaingiwa na kiwewe inaaminika wameongeza ulinzi kuulinda uwanja na wameshusha bei za viingilio kuutazama mchezo huo

Fainali ya kwanza itachezwa jumamosi saa nne usiku saa za afrika mashariki huku fainali ya pili ikija kuchezwa katika uwanja wa mkapa mjini dar es salaam

Katika fainali hii Simba SC Tanzania wana advantage kubwa kwakuwa wanakuja kumalizia nyumbani ambapo tayari wameshaanza kuuza tiketi

14/05/2025

I got 50 reactions and comments on my posts last week! Thanks everyone for your support! πŸŽ‰

BILIONEA MMILIKI WA TIMU YA NOTTINGHAM FOREST YA UINGEREZA BADO ANATUMIA IPHONE 7 HILI NI SOMOHuenda mtu asichukulie kwa...
14/05/2025

BILIONEA MMILIKI WA TIMU YA NOTTINGHAM FOREST YA UINGEREZA BADO ANATUMIA IPHONE 7 HILI NI SOMO

Huenda mtu asichukulie kwa ukubwa hili swala ila pamoja na utajiri wake woote bosi bado anatumia iphone 7 ambayo ni simu yakizamani hii inatoa taswira kuwa matajiri wengi hawayumbishwi wala kuandafia vitu vya thamani kubwa

TIMU KUTOKA UKANDA WA CECAFA ZILIZOWAHI KUCHEZA FAINALI YA CAFβ€’ 1972: Simba FC πŸ‡ΊπŸ‡¬ β€’ 1979: Gor Mahia πŸ‡°πŸ‡ͺβ€’ 1987: Gor Mahia ...
13/05/2025

TIMU KUTOKA UKANDA WA CECAFA ZILIZOWAHI KUCHEZA FAINALI YA CAF

β€’ 1972: Simba FC πŸ‡ΊπŸ‡¬

β€’ 1979: Gor Mahia πŸ‡°πŸ‡ͺ

β€’ 1987: Gor Mahia πŸ‡°πŸ‡ͺ & Al Hilal πŸ‡ΈπŸ‡©

β€’ 1989: Al Merriekh πŸ‡ΈπŸ‡©

β€’ 1991: Villa SC πŸ‡ΊπŸ‡¬

β€’ 1992: Al Hilal πŸ‡ΈπŸ‡© & Villa SC πŸ‡ΊπŸ‡¬

β€’ 1993: Simba SC πŸ‡ΉπŸ‡Ώ

β€’ 1994: Kenya Breweries (then) but Tusker FC (now) πŸ‡°πŸ‡ͺ

β€’ 2007: Al Merreikh πŸ‡ΈπŸ‡©

β€’ 2023: Yanga πŸ‡ΉπŸ‡Ώ

β€’ 2025: Simba SC πŸ‡ΉπŸ‡Ώ

PICHA YA MPANZU AKISAINI MKATABA SIMBAKumekuwa na habari nyingi kuhusu Mpanzu huku ikisemejana yupo Simba SC Tanzania kw...
13/05/2025

PICHA YA MPANZU AKISAINI MKATABA SIMBA
Kumekuwa na habari nyingi kuhusu Mpanzu huku ikisemejana yupo Simba SC Tanzania kwa mkopo kitu ambacho sio sahihi

Mpanzu anamkataba na msimbazi kwa muda wa miaka miwili kuitumikia klabu ya simba ya msimbazi

Fununu za kuwa yupo kwa mkopo zimekuja baada ya mpanzu kuonesha kiwango kizuli kwenye mecbi za ligi kuu na kombe la shirikisho barani afrika

#

SIMBA YASH*TUKIA MTEGO NCHINI MOROCOTimu ya simba yafanya mabadiliko ya muda wa kuondoka nchini awali walipanga kuondoka...
13/05/2025

SIMBA YASH*TUKIA MTEGO NCHINI MOROCO
Timu ya simba yafanya mabadiliko ya muda wa kuondoka nchini awali walipanga kuondoka leo saa 11 alfajiri na sasa watatoka saa tatu usiku kwenda nchini moroco ambako watacheza fainali ya kwanza ya kombe la shirikisho barani afrika dhidi ya Berkane

FEISAL KAMALIZANA NA KAIZERCHIEFSTaarifa kutoka katika chanzo chetu cha kuaminika ni kwamba feisali tayari k**alizana na...
12/05/2025

FEISAL KAMALIZANA NA KAIZERCHIEFS
Taarifa kutoka katika chanzo chetu cha kuaminika ni kwamba feisali tayari k**alizana na timu ya Kaizerchiefs inayocheza ligi kuu nchini Afrika Kunisi

Feisali alihusishwa na tetesi za kutaka kurudi yanga huku simba wakiaminika kumuhitaji pia ambapo inaaminika kaamua kwenda kupiga pesa nchini afrika kusini...

MPANZU NI MALI YA MSIMBAZI KWA MIAKA MIWILIBaada ya kuzuka tetesi nyingi kuhusu  Mpanzu kuwa simba kwa mkopo timu yetu i...
12/05/2025

MPANZU NI MALI YA MSIMBAZI KWA MIAKA MIWILI
Baada ya kuzuka tetesi nyingi kuhusu Mpanzu kuwa simba kwa mkopo timu yetu iliingia kazini na kutafuta ukweli na tumebaini kuwa mpanzu ni mali ya Simba SC Tanzania kwa muda wa miaka miwili

Mpanzu ataendelea kutoa huduma yake ndani ya simba kwa muda wa miaka miwili au zaidi k**a watakubaliana kumuongezea muda zaidi

Address

Songea

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Stevecheuc posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share