Habari & Michezo

Habari & Michezo PATA HABARI ZA MICHEZO KITAIFA NA KIMATAIFA HAPA , PIA TANGAZA NASI MATANGAZO YAKO YA AINA MBALIMBALI ⚽🏟️✅🫂

Klabu ya Simba Sports Club 🦁 inatarajia kufanya mkutano mkuu siku ya Leo kujadili masuala mbalimbali yanayoihusu klabu h...
30/11/2025

Klabu ya Simba Sports Club 🦁 inatarajia kufanya mkutano mkuu siku ya Leo kujadili masuala mbalimbali yanayoihusu klabu hiyo.

📷 Pichani ni wanachama wa klabu hiyo wakiwa tayari ndani ya ukumbi ambao mkutano huo itafanyika siku ya Leo...

FOLLOW US.

⚽Kwa wale ndugu zangu📱 wakubeti🔥 jiunge na group hilo ukutane 🥇na mabingwa 🏆wa mikeka Tanzania🇹🇿 https://chat.whatsapp.com/LQR34Uo9cdRGaxq5V0BJkU?mode=wwc

⚽️⚽️𝐇𝐈𝐈 𝐍𝐈 𝐊𝐖𝐀 𝐌𝐀𝐑𝐀 𝐘𝐀 𝐊𝐖𝐀𝐍𝐙𝐀 𝐊𝐀𝐁𝐈𝐒𝐀🔹Sidhani k**a kushawahi kutokea Goli kipa yoyote kweye haya mashinda CAFCL na CAFC a...
29/11/2025

⚽️⚽️𝐇𝐈𝐈 𝐍𝐈 𝐊𝐖𝐀 𝐌𝐀𝐑𝐀 𝐘𝐀 𝐊𝐖𝐀𝐍𝐙𝐀 𝐊𝐀𝐁𝐈𝐒𝐀

🔹Sidhani k**a kushawahi kutokea Goli kipa yoyote kweye haya mashinda CAFCL na CAFC ambaye ashawahi kuwa na Rate kumzidi hii ya Diarra kwenye mchezo wa jana

🔹Bila shaka kuna siku timu mtacheza vibaya hasa kwenye mechi za ugenini zenye presha kubwa k**a ya jana ambayo unahitaji kuwa na goli kipa imara ambaye ataliweka salama lango lenu

🔹Diarra alifanya Saves 6 na kati hizo Saves 4 kazifanya ndani ya box kuonesha kwamba alijua sehemu gani anatakiwa kusema na kwa muda gani siyo yule wa kufungwa nje ya box

🔹Nje na saves Diarra pia jana alikuwa anakaba k**a beki kabisa kuna mipira alitoka na kwenda kukaba pale ambapo mabeki wamecheza kuja kukaba yeye alitimiza majuku hayo

🔹Nilitoka kuwambia juzi na narudia tena kwa sasa Diarra ndo kipa bora zaidi barani Afrika hakuna kipa ambaye unaweza kumlinganisha naye huyu kiumbe

NB;K**a mnabisha leteni saves za kipa wenu na rati yake ipo kwenye Comments 😂😂😂

⚽Kwa wale ndugu zangu📱 wakubeti🔥 jiunge na group hilo ukutane 🥇na mabingwa 🏆wa mikeka Tanzania🇹🇿 https://chat.whatsapp.com/LQR34Uo9cdRGaxq5V0BJkU?mode=wwc

Huyu bwana mdogo Nico Paz(21) msimu huu amechafukwa sana akiwa na klabu yake ya Como chini ya kocha Fabregas.Nico Paz mp...
29/11/2025

Huyu bwana mdogo Nico Paz(21) msimu huu amechafukwa sana akiwa na klabu yake ya Como chini ya kocha Fabregas.

Nico Paz mpaka sasa yeye ndiyo kinara wa mabao pale ligi kuu Italia akiwa na mabao 5 pia ndiyo kinara wa asist akiwa na asist 5 kwenye michezo 13 ya ligi.

Kipaji kingine cha taifa la Argentina🙌

FOLLOW US

⚽Kwa wale ndugu zangu📱 wakubeti🔥 jiunge na group hilo ukutane 🥇na mabingwa 🏆wa mikeka Tanzania🇹🇿 https://chat.whatsapp.com/LQR34Uo9cdRGaxq5V0BJkU?mode=wwc

🚨 BREAKING NEWS:Nicolas Jackson anatarajiwa kurejea Chelsea baada ya muda wake Bayern Munich kufika mwisho, na tayari Ne...
29/11/2025

🚨 BREAKING NEWS:
Nicolas Jackson anatarajiwa kurejea Chelsea baada ya muda wake Bayern Munich kufika mwisho, na tayari Newcastle pamoja na klabu nyingine takribani sita zimeanza kufuatilia kwa karibu hali yake.

Kipindi kijacho kinaonekana kuwa moto kwenye dirisha la usajili, huku Chelsea ikitarajiwa kufanya maamuzi makubwa juu ya mustakabali wa mshambuliaji huyo, wakati klabu kadhaa za Ulaya zikionesha nia ya kweli kumchukua.

⚽Kwa wale ndugu zangu📱 wakubeti🔥 jiunge na group hilo ukutane 🥇na mabingwa 🏆wa mikeka Tanzania🇹🇿 https://chat.whatsapp.com/LQR34Uo9cdRGaxq5V0BJkU?mode=wwc

Luis Jose Miquosonne ameiwezesha klabu yake ya UD Songo kutwaa ubingwa wa ligi kuu ya Mozambique 🇲🇿,  huku yeye akifunga...
29/11/2025

Luis Jose Miquosonne ameiwezesha klabu yake ya UD Songo kutwaa ubingwa wa ligi kuu ya Mozambique 🇲🇿, huku yeye akifunga mabao 14 na kuwa mfungaji bora wa ligi hiyo 🙌

Arudi Unyamani Au Vipi...???

⚽Kwa wale ndugu zangu📱 wakubeti🔥 jiunge na group hilo ukutane 🥇na mabingwa 🏆wa mikeka Tanzania🇹🇿 https://chat.whatsapp.com/LQR34Uo9cdRGaxq5V0BJkU?mode=wwc

ACHENI UBINAFSI NA ULAFI, MO KAIPANDISHA SIMBA  THAMANI. Siyo siri kinachowasumbua baadhi ya watu wanaozalisha Migogoro ...
29/11/2025

ACHENI UBINAFSI NA ULAFI, MO KAIPANDISHA SIMBA THAMANI.

Siyo siri kinachowasumbua baadhi ya watu wanaozalisha Migogoro ndani ya Simba ni kundi la Walafi na wabinafsi wanaopambania matumbo yao kwa kivuli cha kutetea wanachama, hawana uchungu na Club zaidi ya matumbo yao

Hivi Simba kufikia mpaka kua Club No5 barani Afrika unafikiri kulishuka tu kutoka juu mawinguni k**a mvua? Ni pesa, uwekezaji na mapenzi ya Tajiri MO kwa Club.
Kwa vyovyote vile mabadiliko yeyote ya iwe ya kubadili kanuni au katiba ni lazima MO yeye na bodi wakae wakubaliane na ni lazima awe na sauti ya kuelekeza nini kifanyike na sio kikundi cha watu kiamue kwa maslahi yao binafsi
Hivi ninyi Simba isingepanda thamani kuna watu wangeitamani? Nani kaipandisha thamani?
Ni unafki, unafki wa kiwango cha Lami.

Hatutaki Watu wasiokua na historia ndani Club, hatutaki watu wasiokua na mapenzi na Club watuulie timu yetu. K**a ni MO kuongeza uwekezaji zaidi kutokana na kupanda kwa thamani ya Club mazungumzo yanaweza kufanyika upya na tuna uhakika atakubali.
K**a kuna mtu anataka kuwekeza atoke wazi azungumze na pande zote mbili upande wa Mwekezaji aliyepo na Wanachama. K**a anataka kuingia k**a mfadhili basi ijulikane taratibu za kikanuni ziangaliwe.

Hatukatai kwamba yapo mabadiliko ya kikatiba ya kisheria yanayopaswa kufanyika lakini isiwe ya maslahi binafsi yanayolenga kuumiza Club kwa kufanya mapinduzi ya kiuongozi.
Mashabiki na wanachama ndio tunaoumia zaidi wakati kuna watu wanawaza matumbO yao. TAFADHALI BWANA! 😒

⚽Kwa wale ndugu zangu📱 wakubeti🔥 jiunge na group hilo ukutane 🥇na mabingwa 🏆wa mikeka Tanzania🇹🇿 https://chat.whatsapp.com/LQR34Uo9cdRGaxq5V0BJkU?mode=wwc

🚨𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄wenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba SC, Salim Magori, Amebainisha kuwa taarifa zinazoenezwa kuhusu masuala ...
29/11/2025

🚨𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄
wenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba SC, Salim Magori, Amebainisha kuwa taarifa zinazoenezwa kuhusu masuala ya uongozi, ikiwemo upotoshaji juu ya nafasi ya Mtendaji Mkuu (CEO), hazina ukweli wowote.

“Nataka kuweka wazi, Mtendaji Mkuu wetu tayari ameongezewa mkataba muda mrefu kabla hata sijawa mwenyekiti wa bodi. Taarifa zinazotolewa sasa ni uzushi unaolenga kuvuruga umoja wa Simba SC.” - alisisitiza.

Magori pia aliwakemea waliotajwa kuanzisha mikanganyiko kwa malengo ya kujitafutia uongozi kupitia njia zisizo sahihi.

“Si kila mtu anatakiwa kuwa kiongozi wa Simba. Wapo wanaotumia mbinu zisizo stahili kutafuta uongozi, na klabu haiwezi kukubali hilo.”

⚽Kwa wale ndugu zangu📱 wakubeti🔥 jiunge na group hilo ukutane 🥇na mabingwa 🏆wa mikeka Tanzania🇹🇿 https://chat.whatsapp.com/LQR34Uo9cdRGaxq5V0BJkU?mode=wwc

🚨🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Kocha Mkuu wa Chelsea Enzo Maresca amethibitisha kuwa Kiungo Mshambuliaji Cole Palmer yupo tayari na ...
29/11/2025

🚨🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Kocha Mkuu wa Chelsea Enzo Maresca amethibitisha kuwa Kiungo Mshambuliaji Cole Palmer yupo tayari na atakuwepo kwenye mchezo dhidi ya Arsenal Siku ya Jumapili. ✅

⚽Kwa wale ndugu zangu📱 wakubeti🔥 jiunge na group hilo ukutane 🥇na mabingwa 🏆wa mikeka Tanzania🇹🇿 https://chat.whatsapp.com/LQR34Uo9cdRGaxq5V0BJkU?mode=wwc

Kitendo cha kijinga na cha aibu kilifanywa na mchezaji wa klabu ya  Go Ahead Eagles Victor Edvardsen kwenye mechi ya Eur...
29/11/2025

Kitendo cha kijinga na cha aibu kilifanywa na mchezaji wa klabu ya Go Ahead Eagles Victor Edvardsen kwenye mechi ya Europa League dhidi ya VfB Stuttgart.

Edvardsen anatuhumiwa kumkejeli kiungo wa VfB Stuttgart Angelo Stiller kwa kuiga mwonekano wake wa sura hasa pua.

Edvardsen alionekana akielekeza kidole kwenye pua mara kadhaa, jambo lililowakasirisha wachezaji wa Stuttgart ambao walimkabili papo hapo. Stuttgart ilishinda mchezo huo kwa mabao 4–0 dhidi ya GA Eagles hata hivyo Edvardsen aliishia kupewa kadi ya njano.

Wachezaji wengi wa zamani na wadau wa soka wamekasirishwa na kitendo hicho na wengi wakiomba Edvardsen kupewa adhabu kali iwe fundisho.

⚽Kwa wale ndugu zangu📱 wakubeti🔥 jiunge na group hilo ukutane 🥇na mabingwa 🏆wa mikeka Tanzania🇹🇿 https://chat.whatsapp.com/LQR34Uo9cdRGaxq5V0BJkU?mode=wwc

🚨.. Young Africans Sports Club wamefikia uamuzi wa kuachana na nyota Andy Boyeli 🇨🇩 mapema mwezi January.Tayari Sekhukhu...
26/11/2025

🚨.. Young Africans Sports Club wamefikia uamuzi wa kuachana na nyota Andy Boyeli 🇨🇩 mapema mwezi January.

Tayari Sekhukhune United F.C. wamejulishwa juu ya hilo; kila kitu kipo sawa, wapo tayari kumrejesha nyota huyo anayekipiga Yanga SC kwa mkopo.

Baadhi ya vilabu kutoka Zambia 🇿🇲 vimeonesha nia ya kumhitaji nyota huyo wa kimataifa kutoka Congo DR.

Yanga SC wanamtizamia Taddeus Nkeng 🇨🇲 k**a mrithi sahihi wa Andy Boyeli.

⚽Kwa wale ndugu zangu📱 wakubeti🔥 jiunge na group hilo ukutane 🥇na mabingwa 🏆wa mikeka Tanzania🇹🇿 https://chat.whatsapp.com/LQR34Uo9cdRGaxq5V0BJkU?mode=wwc

🎫 🎟️ SOLD OUT ✅JS Kabylie wametangaza kuuza ticket 🎫 zote za mchezo wao wa hatua ya makundi ya klabu bingwa dhidi ya You...
26/11/2025

🎫 🎟️ SOLD OUT ✅

JS Kabylie wametangaza kuuza ticket 🎫 zote za mchezo wao wa hatua ya makundi ya klabu bingwa dhidi ya Young Africans Sports Club Ijumaa.

⚽Kwa wale ndugu zangu📱 wakubeti🔥 jiunge na group hilo ukutane 🥇na mabingwa 🏆wa mikeka Tanzania🇹🇿 https://chat.whatsapp.com/LQR34Uo9cdRGaxq5V0BJkU?mode=wwc

-Mahak**a ya Usuluhishi wa Michezo (CAS) imetupilia mbali rasmi rufaa ya Guinea dhidi ya CAF na Shirikisho la Soka Tanza...
26/11/2025

-Mahak**a ya Usuluhishi wa Michezo (CAS) imetupilia mbali rasmi rufaa ya Guinea dhidi ya CAF na Shirikisho la Soka Tanzania kuhusu mechi ya kufuzu AFCON 2025 iliyochezwa tarehe 19 Novemba 2024..

-Katika rufani hiyo, Guinea ilitaka ipewe ushindi wa mabao 3-0 ikidai Tanzania ilitumia mchezaji (Ibrahim Ame) ambaye alivaa jezi yenye namba tofauti na ile iliyosajiliwa.

-CAS imeamua kuwa tukio hilo lilikuwa kosa la kiutawala lisilo na madhara mchezoni, ikithibitisha uamuzi wa awali wa CAF na kukataa ombi la Guinea la kuiondoa Tanzania kwenye AFCON 2025.

⚽Kwa wale ndugu zangu📱 wakubeti🔥 jiunge na group hilo ukutane 🥇na mabingwa 🏆wa mikeka Tanzania🇹🇿 https://chat.whatsapp.com/LQR34Uo9cdRGaxq5V0BJkU?mode=wwc

Address

Tanga

Telephone

+255753442886

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Habari & Michezo posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Habari & Michezo:

Share