R jum sports

R jum sports Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from R jum sports, Digital creator, R juma sports, Tanga.

..🌵..𝐖𝐀𝐙𝐈𝐑𝐈 𝐀𝐌𝐄𝐅𝐈𝐊𝐈𝐒𝐇𝐀 𝐆𝐎𝐋𝐈 11.Nyota wa KMC Waziri Shantembo Junior amefanikiwa kufikisha Magoli (11) na Pasi ya Usaidiz...
11/03/2024

..🌵..𝐖𝐀𝐙𝐈𝐑𝐈 𝐀𝐌𝐄𝐅𝐈𝐊𝐈𝐒𝐇𝐀 𝐆𝐎𝐋𝐈 11.

Nyota wa KMC Waziri Shantembo Junior amefanikiwa kufikisha Magoli (11) na Pasi ya Usaidizi (1) akiwa Nyuma ya Mchezaji wa Yanga Stephen Azizi Ki Mwenye Magoli (11) akiwa na Pasi za Usaidizi (4) Kilele cha Ufungaji bora kikipandwa na Mchezaji wa Azam FC Feisal Salum Mweye magoli (12) akiwa na Pasi za Usaidizi (5),

Waziri Junior anaingia katika Kitabu cha walio Funga Hat Trick Msimu huu Katika Ligi Kuu,Feisal dhidi ya Tabora United,Jean Baleke dhidi ya Coastal union,Azizi Ki dhidi ya Azam FC na yeye Waziri dhidi ya Tabora United.

Follow R juma sports

✍🏻Allex Ngereza" Simba kutinga hatua ya robo fainali imepitia kwenye kundi dhaifu sana. Kundi likiwa na mngonjwa mahutut...
04/03/2024

✍🏻Allex Ngereza

" Simba kutinga hatua ya robo fainali imepitia kwenye kundi dhaifu sana. Kundi likiwa na mngonjwa mahututi mmoja ambaye ni Wydad ambaye alikuwa ICU msimu huu kuanzia ligi ya kwao mpaka michuano ya . Huku akiwa pia na timu ya Asec Mimos timu yenye program ya kukuza vipaji na kuuza ikiwa ni ndogo sana kwenye soka la Africa. Na ikiwepo timu maiti kabisa ya J' Gallaxy ya Botswana kwa maana hiyo ilikuwa ni kundi dhaifu kuliko makundi yote ni Simba yenyewe ilichelewa kufuzu tu.' Alex Ngereza

✍🏻Kiukweli tu, Yanga amevuka katika hatua hii kwa kishindo hari ambayo hakuna hata mmoja ambae alitegemea, kila mmoja alitegemea kabisa wale waarabu wawili ndio watakaofanikiwa kuvuka kuelekea hatua ya robo fainal, Haijawahi kutokea katika soka letu timu yetu kupangwa katika kundi gumu k**a alilokuwa amepangwa Yanga na ingekuwa ni simba ndo kapangwa katika kundi hilo basi naamini habari yake ingeishia makundi tena huenda kwa kuburuza mkia au kupata angalau point Nne kwenye uwanja wa nyumbani.

Yanga angelikuwa amepangwa katika kundi alilokuwepo simba basi angemaliza akiwa kinara tena kwa point nyingihuenda kuliko timu yoyote katika makundi yote maana kundi la simba lilikuwa na timu zote nyepesi R juma sports

03/03/2024
Follow R juma sports
03/03/2024

Follow R juma sports

ya pili.

Uzuri wote wamesha kutana na kila mmoja alionyesha uwezo wake.

Chama ni kawaida sana kuonekana hatari kwenye timu dhaifu dhaifu nd'o mana mechi ngumu k**a Wydad.. Asec hakuna alicho kifanya.

Lakin PACOME mpe mechi yoyote ile.. Kuanzia ile ya Goli tano.. Dhidi ya Al Ahly dhidi ya Medeama kisha mechi ya juzi ya siku yake maalumu. Zote kachafua..

But roho ilikuwa inaniuma sana wakati ule Chama anapo fananishwa na Feisal.. Coz Chama hakuwa na mtu mwingine yalikuwa ni matusi kwake lakini ujio wa PACOME ZOUZOUA.. Zizu wa Ivorycost, Chama anayo mengi ya kujifunza kwake.

Kwanza jinsi anavyo cheza akiwa hana mpira!

Pili jinsi anavyo cheza timu yake ikiwa inashambuliwa.

Tatu jinsi anavyo cheza pindi mechi inapo kuwa yenye kasi sana.
Hivi ni vitu vichache kati ya vingi ambavyo Chama hana, alicho barikiwa ni utulivu tu anapo kuwa kwenye eneo la hatari pia hasa anapo kutana na mabeki au viungo wanao kabia Machi.

Hawezi kuwa na hatari chama k**a akicheza na viungo au mabeki wanao fika. Hii ndio sababu ya kushindwa kucheza Morocco. Miezi mitatu tu akarudi.
Upande wa PACOME.. Vyote hivyo anavyo waulize. Hii ni mali rejea kwenye chuma tano.

Chama alicho mzidi PACOME ni umri na umasikini tu

Acheni kumfananisha PACOME na uchafu.

Pichani hao ni wachezaji wa Al Ahly wakijifunza jambo kwa kiumbe wa ajabu.. Hapo kuna mchezaji wa Bilion 15 anatazama jinsi PACOME anavyo ufanya matusi mpira. Halafu mnakuja kumfananisha na mpiga Nyeto kwa petroli? Kisa amecheza vizuri na timu ambayo ni dhaifu!✍️✍️✍️ Oscar Oscar R juma sports

  ya pili. Uzuri wote wamesha kutana na kila mmoja alionyesha uwezo wake.Chama ni kawaida sana kuonekana hatari kwenye t...
03/03/2024

ya pili.

Uzuri wote wamesha kutana na kila mmoja alionyesha uwezo wake.

Chama ni kawaida sana kuonekana hatari kwenye timu dhaifu dhaifu nd'o mana mechi ngumu k**a Wydad.. Asec hakuna alicho kifanya.

Lakin PACOME mpe mechi yoyote ile.. Kuanzia ile ya Goli tano.. Dhidi ya Al Ahly dhidi ya Medeama kisha mechi ya juzi ya siku yake maalumu. Zote kachafua..

But roho ilikuwa inaniuma sana wakati ule Chama anapo fananishwa na Feisal.. Coz Chama hakuwa na mtu mwingine yalikuwa ni matusi kwake lakini ujio wa PACOME ZOUZOUA.. Zizu wa Ivorycost, Chama anayo mengi ya kujifunza kwake.

Kwanza jinsi anavyo cheza akiwa hana mpira!

Pili jinsi anavyo cheza timu yake ikiwa inashambuliwa.

Tatu jinsi anavyo cheza pindi mechi inapo kuwa yenye kasi sana.
Hivi ni vitu vichache kati ya vingi ambavyo Chama hana, alicho barikiwa ni utulivu tu anapo kuwa kwenye eneo la hatari pia hasa anapo kutana na mabeki au viungo wanao kabia Machi.

Hawezi kuwa na hatari chama k**a akicheza na viungo au mabeki wanao fika. Hii ndio sababu ya kushindwa kucheza Morocco. Miezi mitatu tu akarudi.
Upande wa PACOME.. Vyote hivyo anavyo waulize. Hii ni mali rejea kwenye chuma tano.

Chama alicho mzidi PACOME ni umri na umasikini tu

Acheni kumfananisha PACOME na uchafu.

Pichani hao ni wachezaji wa Al Ahly wakijifunza jambo kwa kiumbe wa ajabu.. Hapo kuna mchezaji wa Bilion 15 anatazama jinsi PACOME anavyo ufanya matusi mpira. Halafu mnakuja kumfananisha na mpiga Nyeto kwa petroli? Kisa amecheza vizuri na timu ambayo ni dhaifu!✍️✍️✍️ Oscar Oscar R juma sports

Gari la Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) lililobeba Jeneza lenye Mwili wa Rais Mstaafu awamu ya pili Mzee Ali Hassan...
01/03/2024

Gari la Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) lililobeba Jeneza lenye Mwili wa Rais Mstaafu awamu ya pili Mzee Ali Hassan Mwinyi lilipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar tarehe 01 Machi 2024.


# R juma sports

.✍🏻Timu mbili ambazo kipindi cha kwanza kila mmoja alikuwa anaona njia sahihi ya kupita ni katikati ya uwanja na wote wa...
01/03/2024

.

✍🏻Timu mbili ambazo kipindi cha kwanza kila mmoja alikuwa anaona njia sahihi ya kupita ni katikati ya uwanja na wote wawili wakafunga njia za ndani : Al Ahly bila mpira wakiwa 4-4-1-1 wakati Yanga bila mpira wanakuwa 4-1-4-1 , wote wakiwa compact sana na kukubali kuacha space pembeni tu .

✍🏻Kipindi hiko hiko cha kwanza Al Ahly upande wao wa mashambulizi ni kushoto kwao : Maaloul na El Shahat wakati Yanga ilionekana sana nao upande wa kushoto Pacome na Lomalisa . Lakini kwanini kipindi cha kwanza njia zao hazikufanikiwa sana ?

1: Musonda alikuwa na kazi ya kurudi nyuma dhidi ya Maaloul ( mara chache sana alisinzia ) lakini mara nyingi alifanikiwa na ndio maana Al Ahly hawakutengeneza sana nafasi

2: Yanga wao licha ya Lomalisa kuwa na space upande wa kushoto shida walikuwa wanachelewa kushambulia kwa idadi kubwa ya wachezaji kwenye eneo la Al Ahly

✍🏻Kipindi cha pili Al Ahly ndio walionekana kupata suluhisho zaidi jinsi gani ya kuifungua Yanga

1: Rotations ya fullbacks na wingers wao pembeni ya uwanja , kivipi na ilisaidia nini ?

2: Pale ambapo Maaloul ana overlap basi El Shahat anaingia ndani kwenye halfspace , na El Shahat akibaki pembeni basi Maaloul anafanya runs kwa ndani sawa sawa na upande wa Percy Tau na Tawfik .... faida yake ?

3: Moja , Kupata space katikati ya mstari wa ulinzi na kiungo wa Yanga , Mbili kuharibu muundo wa ulinzi wa Yanga kwenye eneo lao la pili ulinzi ( kiungo ) na tatu kutengeneza idadi ya wachezaji wengi pembeni ya uwanja ( overloads )

✍🏻Nafikiri baada ya goli moja pale mechi ikabadilika ikawa k**a ya mpira wa kikapu , timu zote zikaacha spaces za kutosha katika mistari yao maana yake nani atakuwa mfanisi kutumia hizo spaces ?

NOTE

1: Diarra kuna saves anafanya zinaonekana nyepesi lakini positioning yake ni nzuri

2: Abdelmonem ni kitasa aisee , nguvu , kasi , akiwa na mali mguuni utulivu wa hali ya juu

3: Leo unaona kabisa kuna energy fulani ilikosekana kwa Al Ahly kwenye kiungo kwasababu ya Dieng kukosekan

Nimesikiliza Interview ya boss Masantula akidai alipoteza billion 51 sababu ya klabu ya Simba Sc . Imagine timu haina uw...
29/02/2024

Nimesikiliza Interview ya boss Masantula akidai alipoteza billion 51 sababu ya klabu ya Simba Sc . Imagine timu haina uwanja wala ofisi ya kueleweka hata kitega uchumi haina sjui hzo billions zilipotelea wapi?

NIMEJIFUNZA KUWA -
Njaa.. Ujinga.. Umasikini. Na ushirikina ni fedheha kubwa kwa maisha ya Mwanadamu.
Tuombe Mungu atupe mwisho ulio mwema 🙌 ✍️Oscar Oscar

Follow R juma sports

𝗠𝗠𝗘𝗠𝗦𝗞𝗜𝗔𝗔𝗔𝗔𝗔𝗔𝗔𝗔Aya Viongozi tokeni hadharani muwaambie ukweli wanachama na mashabiki wenu je ni kweli Mfadhili wetu alii...
29/02/2024

𝗠𝗠𝗘𝗠𝗦𝗞𝗜𝗔𝗔𝗔𝗔𝗔𝗔𝗔𝗔

Aya Viongozi tokeni hadharani muwaambie ukweli wanachama na mashabiki wenu je ni kweli Mfadhili wetu aliinunua klabu yetu kwa miaka 5...!?K**a ambavyo anasema yeye mwenyewe 😂.

Na je K**a alifanya uwekezaji ndani ya miaka 5 ndani ya klabu yetu,Klabu hadi sasa imevuna kiasi cha Shilingi ngapi kupitia uwekezaji wake...!?

Juma sports

Rais wa timu ya Wananchi Yanga na mwenyekiti wa timu zote za mpira africa Eng Hersi Said amesema anaamini fainali ya CAF...
29/02/2024

Rais wa timu ya Wananchi Yanga na mwenyekiti wa timu zote za mpira africa Eng Hersi Said amesema anaamini fainali ya CAF Champions League msimu huu itawakutanisha Miamba wawili Al Ahly Sporting Club kutoka Misri 🇪🇬 na Mamelodi Sundowns kutoka Kwa Madiba 🇿🇦 .

Hersi amesema Klabu hizi mbili Kwa sasa zipo katika ubora wao kumbuka Al Ahly ni Bingwa wa CAF Champions League msimu uliopita wakati Mamelodi Sundowns akiwa Bingwa wa African Football League.

Hersi amenena haya wakati akipiga stori na Al Ahly TV kuelekea mchezo wamwisho wa kumsaka kinara wa kundi "C" wa CAF Champions League hatua ya Makundi pale Misri utakao pigwa kesho Ijumaa saa moja kamili usiku .

👉 Huo mtego🤣 Follow R juma sports

Address

R Juma Sports
Tanga

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when R jum sports posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share