Denny mapenzi

Denny mapenzi Denny mapenzi,ni page inayo husiana na swala zima la mapenzi,fuatilia hili upate kujua mengi

SIMULI:MAPENZI YA KWELIMTUNZI:DENNY MAPENZIWHATSAPP:0622461725SEHEMU YA PILI "ni wakupoteza mda tu"  "awapi ester ukitak...
26/07/2018

SIMULI:MAPENZI YA KWELI
MTUNZI:DENNY MAPENZI
WHATSAPP:0622461725

SEHEMU YA PILI
"ni wakupoteza mda tu"
"awapi ester ukitaka ujue nini maana.ya mapenzi tukifika shule nitakwambia"
ENDELEA NAYO
"anna anna halikuwa ni ester akimwita kwa ajili tu ya anna amwambie nini maana ya mapenzi
"oooooh! sa hacha ni kwambie mtu yoyote ni lazima tu utapenda"
"ndiyo hayo tu"
"hapana yapo mengi ambayo yana usiana na mapenzi"
"basi kaa ukijua kuwa mimi siwezi nika badili msimamo wangu"
"lakini tuachane na hayo yote kuna mtu kanituma kuja kwako"
"nani tena shosti"
"si Denny kwan haumjui "
"na msikia tu"
"sa ameniambia ni kwambie kuwa anakupenda"
"ha!ha!ha!ha!ha! usini chekeshe best"kweli shosti
"basi hina takiwa ukamwambie kuwa me simpendi na simtaki"
"ester acha kuwa hivyo"kwani nimekuwaje
"ujue sio vizuri kwa unacho fanya hivyo"
"kamwambie kuwa aje yeye mwenyewe "haya bana nitamwambia basi".....******......******.......*****......*****
sasa leo ester hata jua kuwa na mimi ni mwanaume yani na mtuma rafiki yake anazingu sa ngoja nika kae kule kwenye njia ambayo anapenda kupita kila siku"nilikaa kwa mda k**a wa dakika hamsini hivi. ni kamwona ester akiwa anakuja kwenye hile njia ambayo nimekaa.halipo fika karibu nikamwita.
"ester ni subilie "
"we ni nani kwanza "
"me naitwa denny ambaye nilimtuma anna aje ku kwambia.kuaaaaaaa!
"siumalizie mbona una ng'ata meno"
"amna bana kila kitu kina enda taratibu
wala husijali nita kwambia kila kitu"
"eeeeeeeeeeh!"
"mbona huna shangaa"
"amna ninafuraha tu ya kuona kuwa "
"kwani kuna nini ester"
"nakupenda pia denny"
"kweli ester" ndiyo kwani hauja amini kuwa nakupenda piaa.
"basi asante kwa jibu lako zuri"
hila samahani ester naomba nikuhulize kitu..
"uliza na nitakupa jibu lake k**a na lijua"basi sawa hivi una simu
" ninayo ok namba zako basi mpenzi akamwandikia 0622461725 ndiyo hizo my basi poah"nita kucheki mida
basi sawa,mchana mwema my love ,na we pia. ester halipo fika nyumbani hata kabla aja vua nguo zake kwa ajili ya kubadilisha na kuvaa nguo za nyumbani,hali chukua simu yake aina ya tecno y4 na kuiwasha,na halipo hakikisha kuwa simu ime waka kabisa,mara ghafla halish*tushwa na sms hiliyo ingia na kusema.
"vip mpenzi umesha fika"
"ester alijiona kuwa wakipekee kwenye shule yao ambayo ina wanafunzi wengi wa.kike ambao wana mzidi ester uzuri, na ester bila ya kupoteza wakati aka mjibu
"nimesha fika my love".....******.......******.....
NINI KITAENDELEA KWENYE SEHEMU YETU YA TATU.KWENYE HII HADITHI YETU NZURI YA "MAPENZI YA KWELI"UNAWEZA KUNITAFUTA WHATSAPP KWA KUTUMIA NAMBA 0622461725.NA PIA NAPENDA KUTOA SHUKULANI ZANGU KWA WASOMAJI WOTE KWENYE HII PAGE YA DENNY MAPENZI.NANI WAOMBA NDUGU WASOMAJI MUE MNA TOA KOMENT ZA USHARI SIO, NICE,NZURI,PENDEZA HIZO HAZITAKIWI KWENYE HII PAGE.ASANTE SANA .tusubilieni sehemu yetu ya tatu ambayo hita itatuonesha jinsi gani denny na ester walipo fika kwenye penzi lao.na pia bila ya kuwa sahau rapha na paschal waki geto.jee ni ni kitaendelea.tusikose kwenye sehemu yetu ya tatu asante.

CHOMBEZO LA MAPENZI.mapenzi ya kweli.mMtunzi:denny mapenzi Whatsapp:0622461725Age.......................18+   SEHEMU YA ...
25/07/2018

CHOMBEZO LA MAPENZI.mapenzi ya kweli.
m
Mtunzi:denny mapenzi
Whatsapp:0622461725
Age.......................18+

SEHEMU YA KWANZA
"ester ester ester " abeeeeeee mama
amka uende shule "
"haya mama "shikamoo mama
marahaba.
"mpaka saa hizi hume lala kwani auendi shule"naenda mama
"mbona umelala mpaka saa hizi "amna mama nilikuwa nimechoka tu
"haya basi kajiandae uende shulee"haya
"mama kwa heriii"haya mwanangu masomo mema"haya mama.
"byeeeeee mama"haya mwangu.
"anna anna anna "
yalikuwa ni maneno ya ester akimwita rafiki yake"amsubilie kwa ajili ya kwenda shule"halipo mfikia tu waka anza story mbili tatu kabla ya kufika shule.
"hivi ester nili huta kuwa na mpenzi"
"wa nini"
"kwani we unajua kuwa mpenzi ni wa nini"
"ni wa kukupotezea mda tu"
"awapi ester ukitaka ujue nini maana ya mapenzi tukifika shule nitakwambia".......*******.........*******
"lazima nitampata " hayo yalikuwa ni maneno ya denny ambaye kusema ukweli alisha * kumpenda sana ester.kila siku denny alifanya juhudi kwa ajili tu ya kumpata ester lakini ester halikuwa anamtukana lakini denny hakukata tamaa kwasababu rafiki yake kipenzi raja alikuwa anampa moyo kuwa ester ni wako tu wala husijali rafiki yangu.hilipo fika mda wakwenda nyumba denny na rafiki yake waliku wa kwanza kuondoka shul.wali kaa kwenye njia ambayo ester anapenda kupita.hilipo fika mida ya saa tisa alasili denny na raja walimuona ester kwa mbali denny hali furahi sana kwasabu msichana halieye kuwa ana msumbua kwa leo denny haliapa kuwa kwa siku ya leo hato weza kumuacha ester aende salama k**a kila siku"...........******.............******..........
"karibu sana mpenzi mtazamaji wa kipindi chetu kizuri cha mjue mpenzi bora"
mda huo raphael akiwa ametumbua macho yake kwa ajili ya kusikiliza kwa umakini kipindi hicho ambacho kina angaliwa na wengi"
"kwa siku ya leo tuta zungumzi ni jinsi gani una weza uka mwomba msamaha mpenzi wako kwa ajili ya kudumisha penzi lenu.
"hodi hodi" nani
"ni mimi paschal "ooooh!karibu ndani
"asante mbona leo uko mwenyewe"amna bana mbona kawaida "basi amna noma
"vip twende kwa waremboo"
"wapi tena kule mabati" mbona mbali sana
"awapi we twende tu"
"basi poah ngoja ni tupie pamba man"poah fastal
'basi amna noma"rapha "este cim inaita" nani CHOMBEZO LA MAPENZI.mapenzi y piga" anna ok.ngoja nije"basi poa.......jee ni nini kita endelea kwenye sehemu ya pili ya simulizi yetu nzuri ya mapenzi ya kweli.
ANAYE TAKA KUJIUNGA KWENYE GROUP LANGU LA WHATSAPP TUMIA NAMBA 0622461725.KWA BEI NAFUU

njia au sababu ambazo zina mfanya mwanamke asikuache daima zifuatazo ni njia ambazo zina weza kusababisha mwanamkee asik...
24/07/2018

njia au sababu ambazo zina mfanya mwanamke asikuache daima zifuatazo ni njia ambazo zina weza kusababisha mwanamkee asikuache daima.πŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œ
1. kumpa mapenzi ya kweli.kwa mfano huna weza hukakuta mtu anakuwa na mpenzi harafu anakataa kumjali kwa kumpa mapenzi ya kweli kwa asilimia 57 za watanzania hawana mapenzi ya kweli especial wanawake kwasababu ya tamaa tu

Address

Tarime
Tarime

Telephone

+255622461725

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Denny mapenzi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share

Category