07/04/2026
Msanii wa muziki wa bongo fleva Alikiba aliwa kwenye show Mwanza pale “eleventclub” ametuma salamu kwa wasanii wenzake kuwa watatoa ngoma nyingi ilikushindana naye Ila yeye atatoa ngoma moja tu.
“Watatoa ngoma nyingine na nyingine, halafu mimi natoa nyingine, moja tu" Alisema -Alikiba