Bungolive Online

  • Home
  • Bungolive Online

Bungolive Online Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Bungolive Online, Broadcasting & media production company, .
(1)

11/07/2025

DONE DEAL 🚨 Mudathir Yahaya Kusalia Jangwani.

Kiungo wa Yanga na timu ya taifa ya Tanzania,Mudathir Yahya Abbas,ameongeza mkataba wa miaka miwili na Yanga✅

Kıla kitu kimekamilika na mkataba mpya umesainiwa Muda amechagua kubaki Yanga.

09/07/2025

🚩 HT: PSG 3-0 Real Madrid

08/07/2025

BREAKING 🚨Aziz Ki amejiunga rasmi na Wydad ✅

K**a nilivyo tipoti mwanzo Yanga walimtoa Aziz kwa mkopo wenye kipengele cha kumuuza mazima Wydad kabla ya 10/07/2025.

Baada ya kuwepo sintofahamu leo Rasmi Wydad wametuma barua Yanga ya “ku-trigger” kipenge cha kumnunua mazima Stephane Aziz Ki na Yanga wamekubali hivyo Aziz amejiunga Rasmi na Wydad.

Biashara ya Aziz imekamilika na Yanga wameingiza 1.7bilion.

Kıla kitu kimekamilika Aziz atabaki Wydad….its a deal done✅

08/07/2025

🚨 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 𝐅𝐑𝐎𝐌 𝐑𝐖𝐀𝐍𝐃𝐀🇷🇼
✅ Rayon Sports ya Rwanda 🇷🇼 imetangaza kuwa itacheza na Yanga 🇹🇿 kwenye RAYON DAY 2025 itakayofanyika mwezi ujao Agosti, Amahoro Stadium.
➡️ Pia,Yanga imealikwa Namibia kwaajili ya Pre Season ikiwa na vilabu vya African Stars 🇳🇦 Petro De Luanda 🇦🇴 na Lioli 🇱🇸

08/07/2025

YANGA WATUMA MAOMBI SIMBA KUCHEZA NAO SIKU YA MWANANCHI

Afisa habari wa Yanga, Ally Kamwe amesema wanatafuta timu nzuri ya kucheza nayo katika kilele cha wiki ya wananchi, Kamwe amesema kwakuwa kipindi cha matamasha ya wiki ya wananchi na Simba day itakuwa ngumu kupata timu za kucheza nazo basi wao wametuma barua kuwaomba Simba SC Tanzania wacheze nao na wao siku ya Simba day wapo tayari kwenda kucheza nao kwahiyo mechi itapigwa ugenini na nyumbani (Home and away)

➡️Unaonaje hili wazo?

07/07/2025

🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Nickson Kibabage hatokuwa sehemu ya kikosi cha Yanga Sc msimu ujao,tayari klabu ya Singida Black Stars imemalizana nae na kuanzia msimu ujao ataitumikia Singida Black Stars.

06/07/2025

Aliyekuwa mbunifu wa jezi za Yanga Sheria Ngowi, ameachana rasmi na klabu hiyo baada ya kuutumia ukurasa wake wa mitandao ya kijamii kuwaaga Wananchi.

Hatua hiyo inaashiria kuwa sasa tenda ya jezi mpya za Yanga itakwenda kwa mbunifu mwingine.

06/07/2025

ARSENAL WAKARIBIA KUKAMILISHA USAJILI WA VIKTOR GYOKERES KUTOKA SPORTING CP.

Klabu ya Arsenal iko katika hatua za mwisho za mazungumzo na Sporting CP kwa ajili ya kumsajili Mshambuliaji wa Sweden, Viktor Gyökeres, kwa mkataba wa miaka mitano hadi 2030. Kwa mujibu wa Mwandishi wa habari za michezo, Ben Jacobs, pande zote mbili zinamatumaini ya kufikia makubaliano ya mwisho hivi karibuni.

"Arsenal wanataka kufanya jambo moja: kumsajili Gyökeres au Sesko kwa €70m," alisema Ben Jacobs katika mahojiano na Tribuna.

Gyökeres, mwenye umri wa miaka 27, alifunga mabao 54 katika mechi 52 msimu uliopita, akiisaidia Sporting CP kutwaa taji la Primeira Liga kwa mara ya pili mfululizo. Mchezaji huyo anatajwa kuwa na nia ya kujiunga na Arsenal, licha ya klabu k**a Manchester United na Chelsea pia kuonyesha nia ya kumsajili.

Sporting CP inadai ada ya uhamisho ya angalau £68.5 milioni, ambayo ni juu ya makubaliano ya awali ya £60 milioni ambayo klabu hiyo inakanusha kuwepo. Gyökeres amekataa ofa kutoka kwa klabu za Saudi Arabia, akisisitiza kuwa anataka kucheza Ligi Kuu ya England, hasa Arsenal.

Arsenal tayari imemsajili Kiungo wa kati, Martín Zubimendi, kutoka Real Sociedad kwa £51 milioni, na sasa inatafuta kuongeza nguvu katika safu ya ushambuliaji kwa kumsajili Gyökeres.

Iwapo usajili huu utakamilika, Gyökeres atakuwa Mchezaji wa tatu ghali zaidi katika historia ya Arsenal, nyuma ya Declan Rice (£100m) na Nicolas Pépé (£72m).

06/07/2025

TEAM JOB MABINGWAAAAAAAA..!!🏆

FT: TEAM JOB 1-1 TEAM KIBWANA
52’—⚽️ Dickson Job (Penalti)

39’—⚽️ Nassor Saadun
✅ OFFICIAL: Kikosi kilichokuwa kimeundwa na Dickson Job kimeibuka na ushindi kwa penalti 4-3 baada ya mchezo kumalizika kwa bao 1-1 kwenye mchezo wa kirafiki wa hisani uliondaliwa na Taasisi ya

06/07/2025

🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Mohammed Kudus has decided that he ONLY WANTS TO JOIN SPURS! 🤍🇬🇭

06/07/2025

🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Arsenal are getting 𝐜𝐥𝐨𝐬𝐞𝐫 to signing Viktor Gyökeres after new talks! ❤️🤍💣

Gyökeres will 𝐧𝐨𝐭 return for training at Sporting as he’s fully focused on leaving… and Arsenal are advancing.

06/07/2025

🚨𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆:Arsenal confirm to sign Martin Zubimendi as a new Player

Address


Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bungolive Online posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

  • Address
  • Alerts
  • Claim ownership or report listing
  • Want your business to be the top-listed Media Company?

Share