Mkisi Tz

Mkisi Tz HOME OF CREATIVE CONTENTS
Holding B.A in PR & Advertising (UDSM) Contact:+255 628210865/SUBSCRIBE 👇

 Zitakuwepo nyakati mbaya kwenye maisha nazo hazitadumu , k**a unapitia kipindi kigumu kwenye biashara yako ya kuto kupa...
09/07/2025



Zitakuwepo nyakati mbaya kwenye maisha nazo hazitadumu , k**a unapitia kipindi kigumu kwenye biashara yako ya kuto kupata wateja usijari .

Nipo hapa Kukusaidia .

Piga sasa hivi : 0757468193

_______________________________

Naitwa Mkisi , mtaalamu wa Digital marketing, Public Relations na Advertising. 

Natakusaidia ....

1. Kuikuza biashara yako kupitia mitandao ya kijamii

2. Kujenga jina lako binafsi (personal brand)

3. Kupata mkakati bora wa mawasiliano na wateja wako

4. Kutengeneza kampeni za matangazo zenye matokeo

5. Au kuimarisha taswira yako kwenye soko

Mimi nipo hapa kukusaidia ,na kuifanya biashara yako kuwa ya kipekee . Utafanikiwa kwa kupata mwelekeo sahihi, mkakati thabiti, na matokeo yanayoonekana.

Nipigie / WhatsApp...sasahivi : 0757468193 

Pengine hutakitana tena na posti hii ... Nifollow sasa , save posti kisha share na wengine . 

______________________________________________________________

Je , Ungependa kununua Simu au Laptop Original zenye warranty hadi mwaka mzima ? ndio chaguo lako sahihi . Wafollow sasa au wapigie 0628210865 .

Wapo kariakoo mtaa wa Aggrey na msimbazi. 

 

  Nipo hapa Kukusaidia kuhakikisha unakuwa na brand kubwa inayofanya vizuri mtandaoni na kupata mafuriko ya wateja . ___...
07/07/2025



Nipo hapa Kukusaidia kuhakikisha unakuwa na brand kubwa inayofanya vizuri mtandaoni na kupata mafuriko ya wateja .

_______________________________

Naitwa Mkisi , mtaalamu wa Digital marketing, Public Relations na Advertising. 

Natakusaidia ....

1. Kuikuza biashara yako kupitia mitandao ya kijamii

2. Kujenga jina lako binafsi (personal brand)

3. Kupata mkakati bora wa mawasiliano na wateja wako

4. Kutengeneza kampeni za matangazo zenye matokeo

5. Au kuimarisha taswira yako kwenye soko

Mimi nipo hapa kukusaidia ,na kuifanya biashara yako kuwa ya kipekee . Utafanikiwa kwa kupata mwelekeo sahihi, mkakati thabiti, na matokeo yanayoonekana.

Nipigie / WhatsApp...sasahivi : 0757468193 

Pengine hutakitana tena na posti hii ... Nifollow sasa , save posti kisha share na wengine . 

______________________________________________________________

Je , Ungependa kununua Simu au Laptop Original zenye warranty hadi mwaka mzima ? ndio chaguo lako sahihi . Wafollow sasa au wapigie 0628210865 .

Wapo kariakoo mtaa wa Aggrey na msimbazi. 

 

07/07/2025
  ....Ukiaminiwa Aminika 😊 Asante sana kwa wewe unae endelea Kutuamini kila siku ili kufanya biashara na sisi.Karibuni s...
06/07/2025

....

Ukiaminiwa Aminika 😊 Asante sana kwa wewe unae endelea Kutuamini kila siku ili kufanya biashara na sisi.

Karibuni sana na wale mnao hitaji simu zipo za aina zote ambazo ni verified kutoka kwenye kapuni husika.

_______________________________

Naitwa Mkisi , mtaalamu wa Digital marketing, Public Relations na Advertising. 

Natakusaidia ....

1. Kuikuza biashara yako kupitia mitandao ya kijamii

2. Kujenga jina lako binafsi (personal brand)

3. Kupata mkakati bora wa mawasiliano na wateja wako

4. Kutengeneza kampeni za matangazo zenye matokeo

5. Au kuimarisha taswira yako kwenye soko

Mimi nipo hapa kukusaidia ,na kuifanya biashara yako kuwa ya kipekee . Utafanikiwa kwa kupata mwelekeo sahihi, mkakati thabiti, na matokeo yanayoonekana.

Nipigie / WhatsApp...sasahivi : 0757468193 

Pengine hutakitana tena na posti hii ... Nifollow sasa , save posti kisha share na wengine . 

______________________________________________________________

Je , Ungependa kununua Simu au Laptop Original zenye warranty hadi mwaka mzima ? ndio chaguo lako sahihi . Wafollow sasa au wapigie 0628210865 .

Wapo kariakoo mtaa wa Aggrey na msimbazi. 

 

“ Taratibu zitafuatwa na tuziache zifuatwe, lakini huwezi Kusema Bodi ya Ligi Kuu (TPLB) ljiuzulu”“Hata wanaosema Bodi i...
17/03/2025

“ Taratibu zitafuatwa na tuziache zifuatwe, lakini huwezi Kusema Bodi ya Ligi Kuu (TPLB) ljiuzulu”

“Hata wanaosema Bodi ijiuzulu wawaambie na Viongozi wao wenyewe wako Sawa? Hawastahili Kujiuzulu?”

“Vitu vingine Vinafanyika vya Kitoto, sijui vinataka Kutujaribu au Kutuporomoshea mpira wetu .K**a watu wamechoka Kucheza mpira basi wakaendelee na Sinema zao”

Rais wa TFF - Wallace Karia

Kwa Taarifa zaidi Tembelea sasa Channel yetu ya Youtube.
Bofya link kwenye Bio kwenda moja moja , Subscribe, like , Share & Comment.
Je, Unajiuliza wapi utapata Simu / Laptop kali Original Grade 1?
Fanya wafollow sasa mabingwa wa hizi kazi Au unaweza kuwapigia 👉 0628210865 wapo Kariakoo , Aggrey mkoani wanatuma unalipia ukipokea mzigo wako.

Unaweza kujiunga na Group lao la WhatsApp hapa 👇👇👇
https://chat.whatsapp.com/Ej5ogQ18nwzEB1anO4oZBx

Rasmi klabu ya Yanga imetoa msimamo wake baada ya mchezo wake kushindwa na Simba kushindwa kufanyika jana na bodi ya Lig...
09/03/2025

Rasmi klabu ya Yanga imetoa msimamo wake baada ya mchezo wake kushindwa na Simba kushindwa kufanyika jana na bodi ya Ligi kuahirisha mchezo huo .

Yanga imesema imefikia maamuzi hayo baada ya kikao cha k**ati ya utendaji kukaa siku ya leo.

K**ati imedai Simba haikufuata utaratibu kupata haki yake , na mamlaka za uwanja ndizo ziliwazuia Simba kuingia uwanjani .

Hivyo wao k**a Yanga wanaamini walifuata taratibu zote , na Bodi ya Ligi hawakuwa na sababu za kuahirisha mechi hiyo. Hivyo wanadai alama zao tatu na adhabu stahiki ichukuliwe .

Yanga wameenda mbali kwa kutaka bodi ya Ligi ivunjwe kwa kushindwa kuendesha ligi , na viongozi wake wakuu wajihudhuru .

SWIPE LEFT KUONA ZAIDI ….

Unakubaliana na hili kwa Yanga?

Kwa Taarifa zaidi Tembelea sasa Channel yetu ya Youtube.
Bofya link kwenye Bio kwenda moja moja , Subscribe, like , Share & Comment.
Je, Unajiuliza wapi utapata Simu / Laptop kali Original Grade 1?
Fanya wafollow sasa mabingwa wa hizi kazi Au unaweza kuwapigia 👉 0628210865 wapo Kariakoo , Aggrey mkoani wanatuma unalipia ukipokea mzigo wako.

Unaweza kujiunga na Group lao la WhatsApp hapa 👇👇👇
https://chat.whatsapp.com/Ej5ogQ18nwzEB1anO4oZBx

Mtangazi wa Azam Tv  amesema ameacha kazi Azam Tv na kwa sasa anaangalia zaifi uigizaji.Haya ameanfika katika ukurasa wa...
09/03/2025

Mtangazi wa Azam Tv amesema ameacha kazi Azam Tv na kwa sasa anaangalia zaifi uigizaji.

Haya ameanfika katika ukurasa wake wa Instagram alipo kuwa anamjibu shabiki mmoja ambaye alicoment kwenye ukurasa wake akimsihi arudi kutangaza ball na kuachana na Uigizaji .

Je, ni kweli Mpenja amesepa Azam Tv au alikuwa anatania?

Kwa Taarifa zaidi Tembelea sasa Channel yetu ya Youtube.
Bofya link kwenye Bio kwenda moja moja , Subscribe, like , Share & Comment.
Je, Unajiuliza wapi utapata Simu / Laptop kali Original Grade 1?
Fanya wafollow sasa mabingwa wa hizi kazi Au unaweza kuwapigia 👉 0628210865 wapo Kariakoo , Aggrey mkoani wanatuma unalipia ukipokea mzigo wako.

Unaweza kujiunga na Group lao la WhatsApp hapa 👇👇👇
https://chat.whatsapp.com/Ej5ogQ18nwzEB1anO4oZBx

  Sisi k**a   sifa yetu ni kuhakikisha unapata Bidhaa bora na za Uhakika popote ulipo…Utapata SIMU , LAPTOP, TABLETS na ...
09/03/2025



Sisi k**a sifa yetu ni kuhakikisha unapata Bidhaa bora na za Uhakika popote ulipo…

Utapata SIMU , LAPTOP, TABLETS na ACCESSORIES ZAKE kwa bei ya kawaida sana tunauza kwa jumla na Rejareja .

Lengo letu ni kuona tunawasaidia watanzania na nchi jirani kupata bidhaa bora na za kuaminika kwa bei ndogo kadri iwezekanavyo.

Na sasa tumesindua Oda maalumu za moja kwa moja kutoka Dubai Mbaka Tanzania , Tunasafirisha kwa Express.

Hata k**a hutaki kununua piga simu yetu tu uliza chochote utasaidiwa .

Contacts: WhatsApp na Call +255 628210865

Tupo kariakoo , Aggrey … ukija kariakoo Usiache kupita hata kuangalia tu na kujua mambo mengi kuhusu Simu na Laptop 📌

SIMU KIDIGITALI, FOR DIGITAL AND SMART BUSINESS

Bofya hapa 👇👇 kujiunga na WhatsApp group upate simu na Laptop kwa bei ya Jumla

https://chat.whatsapp.com/HXZfcx2aO70G2yFuIeNcdB

Simu zetu zote zina warranty hadi miezi 6 , Dar es salaam Delivery ni Bureeee! Kwa walio mkoani na nchi jirani unachangia nauli Kiduchu sana......Weka oda yako sasa kwa kubofya link kwa Bio kisha taja simu unayo itaka...
TUNAUZA SIMU NA LAPTOP ZA AINA ZOTE !! Kwa Bidhaa kali na kijanja follow tupo Kariakoo mtaa wa Agrey jengo la Dubai plaza /piga sasa 👉 0628210865 .

Bodi ya ligi imetoa taarifa yake ya kuthibitisha kuhairishwa kwa mchezo wa leo tarehe 8 march 2025 katika dimba la Benja...
08/03/2025

Bodi ya ligi imetoa taarifa yake ya kuthibitisha kuhairishwa kwa mchezo wa leo tarehe 8 march 2025 katika dimba la Benjamin Willium Mkapa.

Tff inadai Simba hawakutoa taarifa yeyote walipokuwa wanaenda uwanjani hapo , na baadhi ya mabaunsa wa Yanga walihusika kuzuia basi la Simba .

Tff imesisitiza kuwa hizi ni taarifa za awali na uchunguzi unaendelea na hatua stahiki zitachukuliwa , Tff imemaliza kwa kusema mchezo huu utapangiwa siku nyingine haraka na iwezekanavyo.

Kwa Taarifa zaidi Tembelea sasa Channel yetu ya Youtube.
Bofya link kwenye Bio kwenda moja moja , Subscribe, like , Share & Comment.
Je, Unajiuliza wapi utapata Simu / Laptop kali Original Grade 1?
Fanya wafollow sasa mabingwa wa hizi kazi Au unaweza kuwapigia 👉 0628210865 wapo Kariakoo , Aggrey mkoani wanatuma unalipia ukipokea mzigo wako.

Unaweza kujiunga na Group lao la WhatsApp hapa 👇👇👇
https://chat.whatsapp.com/Ej5ogQ18nwzEB1anO4oZBx

Klabu ya Yanga Inadai kuendelea kushikilia msimamo wa kuja uwanjani k**a kawaida na wanatambua ratiba ya mechi kuwepo vi...
08/03/2025

Klabu ya Yanga Inadai kuendelea kushikilia msimamo wa kuja uwanjani k**a kawaida na wanatambua ratiba ya mechi kuwepo vile vile k**a ilivyo pangwa na wataleta timu uwanjani majira ya saa 1:15 jioni licha ya Simba kutangaza kuwa hawataingia uwanjani.

Yanga imeendelea kusisitiza iwapo mchezo hautachezwa leo hawapo tayari kucheza mchezo huu siku nyingine yeyote tofauti na leo.

Kwa Taarifa zaidi Tembelea sasa Channel yetu ya Youtube.
Bofya link kwenye Bio kwenda moja moja , Subscribe, like , Share & Comment.
Je, Unajiuliza wapi utapata Simu / Laptop kali Original Grade 1?
Fanya wafollow sasa mabingwa wa hizi kazi Au unaweza kuwapigia 👉 0628210865 wapo Kariakoo , Aggrey mkoani wanatuma unalipia ukipokea mzigo wako.

Unaweza kujiunga na Group lao la WhatsApp hapa 👇👇👇
https://chat.whatsapp.com/Ej5ogQ18nwzEB1anO4oZBx

Klabu ya Simba imekataa kupeleka Timu uwanjani tarehe 8.3.2025 ambapo ilitakiwa kucheza na Yanga kwenye Derby ya kariako...
07/03/2025

Klabu ya Simba imekataa kupeleka Timu uwanjani tarehe 8.3.2025 ambapo ilitakiwa kucheza na Yanga kwenye Derby ya kariakoo katika dimba la Benjamin Willium Mkapa .

Klabu ya Simba imedai kuzuiliwa mlangoni na maofisa wa uwanja baada ya suluhu ndipo Makomandoo wa Yanga wakaingilia kati vagi hilo na kuizuia Simba kwa saa takribani 2 na kwa sababu za kiusalama Simba iliamua kuondoka uwanjani .

KUSOMA ZAIDI SLIDE KUSHOTO 👉👉

Kwa Taarifa zaidi Tembelea sasa Channel yetu ya Youtube.
Bofya link kwenye Bio kwenda moja moja , Subscribe, like , Share & Comment.
Je, Unajiuliza wapi utapata Simu / Laptop kali Original Grade 1?
Fanya wafollow sasa mabingwa wa hizi kazi Au unaweza kuwapigia 👉 0628210865 wapo Kariakoo , Aggrey mkoani wanatuma unalipia ukipokea mzigo wako.

Unaweza kujiunga na Group lao la WhatsApp hapa 👇👇👇
https://chat.whatsapp.com/Ej5ogQ18nwzEB1anO4oZBx

Address


Telephone

+255628210865

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mkisi Tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Mkisi Tz:

Shortcuts

  • Address
  • Telephone
  • Alerts
  • Contact The Business
  • Claim ownership or report listing
  • Want your business to be the top-listed Media Company?

Share