Story Tz

Story Tz STORY ZA WASANII HABARI UDAKU NA MATUKIO VYOTE KWA PAMOJA UTAVIPATA HUMU

Hatimae Ratiba ya kumalizia Msimu wa ligi kuu imetoka huku ile mechi iliyo kua una subiriwa kwa hamu kupangiwa tarehe na...
06/05/2025

Hatimae Ratiba ya kumalizia Msimu wa ligi kuu imetoka huku ile mechi iliyo kua una subiriwa kwa hamu kupangiwa tarehe nayo ikiwemo ni Deby kati ya Simba SC Tanzania na Young Africans Sports Club
Darby's hiyo itapigwa June 15 siku ya jumapili
Je wananchi wataendelea na Misimamo wao


30/04/2025

Ina semekana Wadada wenye Makalio Makubwa Hua wana akili ndogo Katika kufakari Mambo na Mara nyingi hufanya Maamuzi ya kitoto
JE UNA KUBALIANA NA HILO!??

25/04/2025

😂😂😂Vishandu wa Mjini

Happy Easter to all of you 😘🥰
20/04/2025

Happy Easter to all of you 😘🥰

April 20 1889"Chuma" kinazaliwa leo.Mbali na stori zote mbaya unazozijua kuhusu Adolf Hittler, jamaa ana sifa zake chach...
20/04/2025

April 20 1889"Chuma" kinazaliwa leo.Mbali na stori zote mbaya unazozijua kuhusu Adolf Hittler, jamaa ana sifa zake chache ambazo wanawake wengi wangetamani kuziona kwa wanaume wao.

1.Hakupenda pombe
2.Alikua mwaminifu kwa "mwanamke" wake mmoja tu,Eva Braun.
3.Hakuwa mvuta sigara.

huyo ndio Hi**er,,,,

Taarifa Kutoka Tanzania Football Federation Meneja Wa Habari na Mawasiliano wa Club ya Young Africans Sports Club Ndugu ...
19/04/2025

Taarifa Kutoka Tanzania Football Federation
Meneja Wa Habari na Mawasiliano wa Club ya Young Africans Sports Club
Ndugu Ally Shabani Kamwe Amepewa Adhabu Ya kulipa Fedha Faini Shilingi 5,000,000/= (Million Tano) Pamoja na Onyo La kutofanya Kosa la Kimaadili kwa Muda wa Miaka miwili
Wengineo ni Pamoja na Afisa Habari wa Club ya Simba SC Tanzania ndugu Ahmed Ally yeye Hakukutwa na Hatia Yoyote


Story Tz



Gather this point 🤏😎
18/04/2025

Gather this point 🤏😎

𝐘𝐀𝐍𝐆𝐀!✅ *MSEMAJI WA SERIKALI GERSON MSIGWA:* Amewatakia kila la heri Simba SC kuelekea Nusu Fainali ya   🦁 🎙️Akiwasilish...
18/04/2025

𝐘𝐀𝐍𝐆𝐀!

✅ *MSEMAJI WA SERIKALI GERSON MSIGWA:*
Amewatakia kila la heri Simba SC kuelekea Nusu Fainali ya 🦁
🎙️Akiwasilisha salamu za Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan 🇹🇿
💰Ametangaza MILIONI 20 kwa kila bao la ushindi
🔥Ameahidi mzigo kuongezeka Simba wakifika FAINALI

👇🏽Wadau, tusisahau kuombea ushindi! Hasa mashabiki wa yanga

❤️🦁




















🦁🔥🇹🇿

18/04/2025

Address

Ubungo

10605

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Story Tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Story Tz:

  • Want your business to be the top-listed Media Company?

Share