Sport vibe

Sport vibe “Habari na burudani zote za michezo – matokeo, habari moto na stori kali kila siku!”

Mna lipi la kusema kwa huyu mwamba wa pila sigara au bado mapema ?
19/10/2025

Mna lipi la kusema kwa huyu mwamba wa pila sigara au bado mapema ?

FULL TIMEMechi ya ligi kuu ya NBC kati ya Mtibwa Sugar  dhidi ya Coastal Union imemalizika kwa sare ya bila kufungana ti...
19/10/2025

FULL TIME

Mechi ya ligi kuu ya NBC kati ya Mtibwa Sugar dhidi ya Coastal Union imemalizika kwa sare ya bila kufungana time zote zimegawana alama moja.

Pira Tatoo limepigwa🔥 ila huyu dogo Morice Abraham wampe nafasi dogo anajuwa mali
19/10/2025

Pira Tatoo limepigwa🔥 ila huyu dogo Morice Abraham wampe nafasi dogo anajuwa mali

Siku moja tu tangu Simba Sports Club imtambulishe Kocha Mkuu, Skaunti Mkuu wa klabu hiyo, Mels Daalder leo Oktoba 4, ame...
04/10/2025

Siku moja tu tangu Simba Sports Club imtambulishe Kocha Mkuu, Skaunti Mkuu wa klabu hiyo, Mels Daalder leo Oktoba 4, amejiuluzu. Kupitia akaunti yake ya Instagram ameandika hivi:

"Nimeamua kuachia nafasi yangu k**a Mkuu wa Skauti ndani ya Simba SC, kwa sababu siioni tena nafsi yangu katika mwelekeo wa sasa wa klabu.

"Katika safari hii nimepitia changamoto nyingi, ambazo zimenijenga na kufanya mafanikio tuliyopata yawe na thamani kubwa zaidi. Tukio la kihistoria lililobaki moyoni mwangu ni kufika Fainali ya Kombe la Shirikisho la CAF msimu wa 2024/2025 – kumbukumbu nitakayoiheshimu daima.

"Natoa shukrani za dhati kwa Rais wa Klabu, Mohamed Dewji, Kocha Mkuu wa zamani Fadlu Davids pamoja na benchi lake la ufundi kwa kuniamini na ushirikiano mkubwa tuliokuwa nao. Zaidi ya yote, shukrani zangu kubwa ni kwa mashabiki ambao ni moyo na uhai wa Simba – kwa mapenzi na support yenu isiyo na kikomo.

"Ninaondoka kwenye nafasi hii, lakini si katika mapenzi yangu kwa Simba. Milele nitabaki shabiki na nina hamu ya kuona yajayo katika soka."

FULL TIME ⏰Mbeya City 0️⃣ ➖ 0️⃣ Young Africans  🇹🇿
30/09/2025

FULL TIME ⏰

Mbeya City 0️⃣ ➖ 0️⃣ Young Africans

🇹🇿

Kikosi cha pamba jiji kinachoanza dhidi ya Yanga
24/09/2025

Kikosi cha pamba jiji kinachoanza dhidi ya Yanga

Kikosi cha Yanga kinachoanza dhidi ya Pamba Jiji🔰💪🏽
24/09/2025

Kikosi cha Yanga kinachoanza dhidi ya Pamba Jiji🔰💪🏽

🚨Siku hii ya Leo Klabu ya Young Africans Sports Club imekabidhiwa Kiasi cha Tzs Mil 15 k**a sehemu ya ahadi iliyotolewa ...
22/09/2025

🚨Siku hii ya Leo Klabu ya Young Africans Sports Club imekabidhiwa Kiasi cha Tzs Mil 15 k**a sehemu ya ahadi iliyotolewa na Raisi Samia (goal la mama) kwa timu zote zinazoshiliki mashindano ya Kimataifa.

Yanga SC imepokea kiasi hicho mala baada ya kumchakaza Willets bao 3.

FOLLOW US 🙏🏻

Picha ni baadhi ya wachezaji wa Fc Barcelona wakiwa wameanza safari ya kuelekea Paris 🇫🇷 kwaajili ya tuzo za Ballon D'or...
22/09/2025

Picha ni baadhi ya wachezaji wa Fc Barcelona wakiwa wameanza safari ya kuelekea Paris 🇫🇷 kwaajili ya tuzo za Ballon D'or zitakazofanyika usiku wa leo Septemba 22, 2025.

🚨Selemani Matola 'Veron' anataraji kuiongoza Club ya Simba SC kwenye Mchezo dhidi ya Fountain Gate utakaochezwa alhamis ...
22/09/2025

🚨Selemani Matola 'Veron' anataraji kuiongoza Club ya Simba SC kwenye Mchezo dhidi ya Fountain Gate utakaochezwa alhamis tarehe 25 Sept 2025 kwenye dimba la Benjamin Mkapa.

☑Selemani Matola ataanza maandalizi kesho jumanne kukinoa kikosi hicho kwenye mazoezi kuelekea kwenye mechi yao ya kwanza kwenye ligi ya NBC PL.

FOLLOW US 🙏🏻

RASMI: Simba Sc imethibitisha kuwa itautumia uwanja wa Benjamin Mkapa 🏟️ katika mechi zao za nyumbani za NBC PL.FOLLOW U...
22/09/2025

RASMI: Simba Sc imethibitisha kuwa itautumia uwanja wa Benjamin Mkapa 🏟️ katika mechi zao za nyumbani za NBC PL.

FOLLOW US

Kocha Mkuu wa Simba SC, Fadlu Davids, ametangaza kuachana na klabu hiyo kuelekea msimu ujao kupitia ukurasa wake rasmi w...
22/09/2025

Kocha Mkuu wa Simba SC, Fadlu Davids, ametangaza kuachana na klabu hiyo kuelekea msimu ujao kupitia ukurasa wake rasmi wa Instagram.

Katika ujumbe wake wa kuaga, Davids amesema:

🗣️ “Ni kwa moyo mzito naiaga Simba SC. Tangu nilipowasili, nilihisi shauku ya klabu hii kubwa na upendo wa mashabiki wake wa ajabu. Pamoja tulipigana, tukasherehekea, na tukaimarika kupitia kila ushindi na kila changamoto. Shukrani zangu za dhati kwa Rais Mo Dewji kwa uongozi wake wa kutia moyo, maono, na msaada wake wa kila mara.”

Kocha huyo pia aliwashukuru wachezaji, benchi la ufundi na mashabiki wa Simba SC kwa mshik**ano na mapokezi makubwa aliyoyapata, akisisitiza kuwa klabu hiyo itaendelea kubaki sehemu ya maisha yake:

🗣️ “Kwa wachezaji: endelea kupigana, kuamini na kuilinda beji kwa heshima. Kwa mashabiki: ninyi ndio mapigo ya moyo wa klabu hii, nyimbo zenu na shauku yenu zitasikika daima katika kumbukumbu yangu. Simba itabaki sehemu yangu siku zote. Asanteni sana, forever Nguvu Moja.” ❤️🦁

FOLLOW US🙏🏻.

Address

Bima

Telephone

+255763605771

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Sport vibe posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Sport vibe:

  • Want your business to be the top-listed Media Company?

Share