Juma Tupa Tz

Juma Tupa Tz YouTube channel link: https://www.youtube.com/

MEDIA FOR: sports News, Politics ,social updates, Entertainment and Advertising.

05/08/2025

Una kipi cha kumwambia Diamond Platnumz baada ya shabiki yake mkubwa kwenye siasa baba levo kuliwa kichwa??

Kumbuka unaweza kutangaza biashara yoyote,kipaji au fursa yoyote kupitia ukurasa huu wa Juma Tupa Tz
Wasiliana nasi kwa Whatsapp number 0687071176 KENYA,UGANDA, TANZANIA, SOUTH AFRICA NA BURUNDI

Mbwana Ally Samatta amesaini rasmi kujiunga na Le Havre AC, timu inayoshiriki Ligi Kuu ya Ufaransa (Ligue 1), mnamo Agos...
05/08/2025

Mbwana Ally Samatta amesaini rasmi kujiunga na Le Havre AC, timu inayoshiriki Ligi Kuu ya Ufaransa (Ligue 1), mnamo Agosti 5, 2025, kwa mkataba wa mwaka mmoja utakaoisha Juni 30, 2026.

📝 Muhtasari wa harakati zake za hivi karibuni:

Baada ya kucheza misimu miwili na PAOK Thessaloniki ya Ugiriki (2023–2025), aliondoka rasmi kwenye klabu hiyo tarehe Julai 1, 2025, na kuwa mchezaji huru.

Muda mfupi baadaye, Samatta alisaini mkataba na Le Havre, na kuwa mchezaji wa kwanza kutoka Tanzania kucheza katika Ligue 1 ya Ufaransa.

📋 Historia yake ya vilabu (karibuni):

Msimu Klabu Ligi Nafasi yake

2023–24 PAOK Super League (Ugiriki) Mchezaji muhimu, bingwa wa ligi
2024–25 PAOK Super League (Ugiriki) Aliendelea kucheza
Agosti 5, 2025–2026 Le Havre AC Ligue 1 (Ufaransa) Hatua ya kihistoria kwa Tanzania

Kwa hiyo kuanzia Agosti 5, 2025, Samatta ni mchezaji rasmi wa Le Havre, akicheza katika Ligi Kuu ya Ufaransa.

Facebook player for Kaizer Chiefs fans and he is named a Man of the match against Burkina Faso Feisal Salum Abdallah 🇹🇿Y...
02/08/2025

Facebook player for Kaizer Chiefs fans and he is named a Man of the match against Burkina Faso

Feisal Salum Abdallah 🇹🇿

Your thoughts?

Mohammed Bajaber ni mmyama 💯💯💯
02/08/2025

Mohammed Bajaber ni mmyama 💯💯💯

01/08/2025

Eti wadau hii imekaaje kitaalamu,mwamba kazingua au??????
Weka maoni yako kuhusiana na taarifa hii

Kwa matangazo ya biashara wasiliana na mkurugenzi mkuu wa Juma Tupa Tz media kupitia Whatsapp number 0687071176 wahi sasa biashara ni matangazo💯💯💯🌍

01/08/2025

Msimamo wa wazi wa Tanzania,unaumga mkono uwepo wa mataifa mawili huru ya Israel na Palestina.Hii ni kutokana na historia ya Tanzania katika kupinga uvamizi wa Israel kwenye ardhi ya Palestina.
Mwaka 1973 TANZANIA ilivunja rasmi uhusiano wa kidiplomasia na Israel kufuatia kuvamia kimabavu ardhi ya wapalestina.Israel nayo ilijibu kwa kufunga ubalozi wake Tanzania.
Nchi mbalimbali za Africa ziliunga mkono msimamo huo wa Tanzania na baadae mataifa k**a Uganda, somalia,Nigeria na mataifa ya Africa ya kaskazini yalifanya hivyo k**a sehemu ya kuishinikiza Israel kuondoka kwenye ardhi inayozikalia kimabavu.
Mnamo mwaka 1995 mahusiano kati ya Tanzania na Israel yalirejea baada ya marekebisho kadhaa yaliyofanywaa na Israel.
Je huu pia ni wakati wa Tanzania kufikiria upya tena mahusiano yake na Israel kufuatia kile kinachoendelea kule Gaza?

Weka maoni yako kuhusiana na taarifa hii👇

#

Tuweke sawa kidogo,huyu yupo kwa mkopo piaaaa😁
31/07/2025

Tuweke sawa kidogo,huyu yupo kwa mkopo piaaaa😁

Simba yamtambulisha Morice Abraham kwa mkataba wa miaka miwili.Welcome Morice Abraham🇹🇿
31/07/2025

Simba yamtambulisha Morice Abraham kwa mkataba wa miaka miwili.
Welcome Morice Abraham🇹🇿

K**a hajawahi kukuangalia hivi broooh umeisha😁😁😁
31/07/2025

K**a hajawahi kukuangalia hivi broooh umeisha😁😁😁

31/07/2025

😁😁😁


31/07/2025

Nyota wa Argentina Lionel Messi akizungumza mara baada ya mchezo kati ya Inter Miami na Atlas fc mchezo wa kombe la ligi ambapo inter Miami ilifanikiwa kuibuka na ushindi huku Messi akifanikiwa kutoa asisti mbili

30/07/2025

Mbunge anaemaliza muda wake katika jimbo la Bumbuli mheshimiwa January Makamba amevunja ukimya na kueleza kukubaliana na matokeo baada ya kutupwa nje kwenye mchuano wa kugombea ubunge jimbo la Bumbuli kupitia chama cha mapinduzi.

Follow ukurasa huu wa Juma Tupa Tz kwa taarifa nyingi zaidi

Address


Telephone

+255687071176

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Juma Tupa Tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Juma Tupa Tz:

Shortcuts

  • Address
  • Telephone
  • Alerts
  • Contact The Business
  • Claim ownership or report listing
  • Want your business to be the top-listed Media Company?

Share