Juma Tupa Tz

Juma Tupa Tz Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Juma Tupa Tz, Digital creator, .

YouTube channel link: https://www.youtube.com/
1️⃣:mchambuzi wa michezo💯
2️⃣: mtengenezaji wa maudhui ya mtandaoni ✍️
3️⃣:mshawishi na mhimizaji✌️
4️⃣:mchambuzi wa siasa za kimataifa🇹🇿
5️⃣:Human Resource Manager (By professional)

Agustine Okejepha apewa thank you msimbazi👋👋🇹🇿
11/07/2025

Agustine Okejepha apewa thank you msimbazi👋👋🇹🇿

11/07/2025

Katika hali ya kushangaza mahak**ani,umeibuka mzozo kati ya Mwenyekiti wa chama cha demekrasia na maendeleo CHADEMA dhidi ya askari magereza

Una maoni gani kuhusu hali hii?
Ni follow

Best left full back of all time in Tanzania 💯
10/07/2025

Best left full back of all time in Tanzania 💯

Nitashangaa sana k**a Achraf Hakimi atakosa tuzo ya mchezaji bora Africa mwaka huu 💯🔥
10/07/2025

Nitashangaa sana k**a Achraf Hakimi atakosa tuzo ya mchezaji bora Africa mwaka huu 💯🔥

Asisti bora ya muda wote kutoka kwa Donnaruma 😁
10/07/2025

Asisti bora ya muda wote kutoka kwa Donnaruma 😁

Shirikisho la mpira wa miguu duniani FIFA limetoa orodha moya ya viwango kwa upande wa wanaume huku Tanzania ikipanda mp...
10/07/2025

Shirikisho la mpira wa miguu duniani FIFA limetoa orodha moya ya viwango kwa upande wa wanaume huku Tanzania ikipanda mpaka nafasi ya 103 kutoka 107.

Kwa upande wa Africa Morroco bado wanaendelea kuongoza wakiwa katika nafasi ya 12 duniani wakifuatiwa na senegal ya 19.

Rasmi Simba wamemalizana na beki wa kushoto kutoka Burkina Faso 💯.Thank you Valentine Nouma👋👋
09/07/2025

Rasmi Simba wamemalizana na beki wa kushoto kutoka Burkina Faso 💯.
Thank you Valentine Nouma👋👋

Tanzania one Aishi Manula sasa ni mali ya azam fc mpaka 2028💯
08/07/2025

Tanzania one Aishi Manula sasa ni mali ya azam fc mpaka 2028💯

08/07/2025

FAHAMU KIUNDANI KWANINI ISRAEL INAZUIA VYOMBO VYA HABARI KURIPOTI TAARIFA NYETI WAKATI WA VITA

Raisi wa IRAN Masoud Pezeshkian ameeleza kwenye moja ya mahojiano yake kuwa katika siku 12 za vita kati ya Iran na Israe...
08/07/2025

Raisi wa IRAN Masoud Pezeshkian ameeleza kwenye moja ya mahojiano yake kuwa katika siku 12 za vita kati ya Iran na Israel,kulikuwepo na mpango wa mauaji dhidi yake kutoka Israel ambapo jaribio la kumuua lilifanyika kwa kulipulowa sehemu ambayo yeye alikuwepo kwenye mkutano.

Alipoulizwa kuhusu Marekani kuhusika na jaribio hilo alisema
"Sio Marekani,ni Israel ndio walijaribu kuniua lakini hawakufanikiwa mpango wao.

Unadhani kipi kingetokea k**a jaribio hili la Israel la kumuua Raisi wa Iran lingefanikiwa?
Je Iran ingelipiza?

Jamal Musiala amepata majeraha na kuzua hofu kwa wachezaji wengine juu ya ukubwa wa jeraha alilopata.picha zinaonesha mg...
05/07/2025

Jamal Musiala amepata majeraha na kuzua hofu kwa wachezaji wengine juu ya ukubwa wa jeraha alilopata.picha zinaonesha mguu wa kushoto ukiwa umepinda baada ya kugongana na kipa wa PSG Donarruma.
Inawezekana Mguu ukawa umevunjika au umepinda na unahitaji kunyooshwa na pengine huwenda ikachukua muda kidogo kupona majeraha yake.

Address


Telephone

+255687071176

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Juma Tupa Tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Juma Tupa Tz:

Shortcuts

  • Address
  • Telephone
  • Alerts
  • Contact The Business
  • Claim ownership or report listing
  • Want your business to be the top-listed Media Company?

Share