
16/08/2025
⚽
🚨 KHALID AUCHO ATUA SINGIDA BLACK STARS KWA MKATABA WA MIAKA MITATU👏🙌
Klabu ya Soka ya Singida Black Stars imefanikiwa kukamilisha usajili wa Kiungo wa chini mwenye ufundii mwingi mguuni 'Khalid Aucho' kwa mkataba wa miaka MITATU k**a mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba wake na Yanga SC mwisho mwa msimu huu.
🔔 Kwa hizi sajili hii ligii msimu ujao itakuwa ya moto sana🙌
| | 🧠